Waislamu na walokole punguze kidogo unafiki

Waislamu na walokole punguze kidogo unafiki

Hellow

Mimi huwa na chukizwa sana na baadhi ya watu ambao wanapenda sana kujiona bora kuliko wengine especial waislamu na walokole

Waislam wao wanajiona wapo sahihi kwa asilimia 100 na wengine ni watenda dhambi hua nachukizwa sana

Unakuta mtu anasema huyo ni najisi mala amelaaniwa nani anajua au ana huwakika na hayo?

Na walokole mnakuta mtu akitenda dhambi mnasema mumtenge kanisan yaani afukuzwe nilikuwaga na sali katika kikundi cha sara akatokea dada anatongoza wanaume vibaya mno wakawa wanasema tumtemge asije hapa anatuambukiza laana zake

Mimi nilipinga nikasema hakuna mkamilifu ni rehema tu zinatifanya tunafika madhabahuni lakini kama ingekuwa tunaonyeshwa matendo yetu kila siku tusinge fika hapoa tunge chinjana

Nikaja kugundua watu hao wanaonyoshea wenzao vidole ni wabaya sana yaani wana mambo machafu sana

Kiufupii acheni unafiki kuna mtu muna muattack vibaya sans
Wewe ndie mshenzi mnaq watu wadini wana mambo yao wewe unafuata nini huko?
 
hivi vikundi visikie vya walokole na waislamu.

Nilikosa kazi kwa sababu mimi sio muislamu,kuna ndugu yetu alikuwa mlokole na nitajiri alikuwa anatusema vibaya mpaka tunaitwa watoto wa shetani na hatuksaidiwa
Sasa wewe mbona unaangaika sana ujui kuwa kunguru wafananao uluka pamoja?nenda kwa wenzio au nenda serikali ukaombe kazi
 
Mtu amejikuta tu kazaliwa kwenye uislamu au kwenye ulokole. Lakini anashupaza shingo kutetea dini yake. Mtu huyo angezaliwa upande wa pili angeshupaza hivyo hivyo. Wapumbavu wakubwa.
Uajifaraji tu huna lolote unataka watu waishi kama unavyo taka wewe jambo ambalo aliwezekani
 
Uajifaraji tu huna lolote unataka watu waishi kama unavyo taka wewe jambo ambalo aliwezekani
Wewe ndiyo unajifariji. Unaona kuwa dini ya wazazi wako, ambao nao walipewa na wazazi wao, ambao nao walipewa na wakoloni au mamwinyi wa kiarabu, ndiyo dini sahihi kabisa duniani. Na ya mwingine ambaye naye kaipata kwa njia hiyohiyo, si sahihi!!?
 
Back
Top Bottom