Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjinga kabisa. Kwa akili yako vita ya Sudan ni Israel na Marekani? Ila sio Mrusi na Mchina? Basi sawa kaandamane umesikia kaandamane Hustadhi. Ila usisahau kuja kutuabarisha kitakacho kupataWaislamu wote tuandamane kuelekea ubalozi wa Marekani na Israel kupinga vita ya wenyewe kwa wenyewe huko Sudan katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.
Licha ya kuandamana viongozi wa dini watoe tamko la kushutumu vikali vita hivi vya wenyewe kwa wenyewe hasa mwezi huu mtukufu.
Huna haki ya kuniondoa kwenye uislamu na hiyo nakuhakikishia hutaweza. Allah na mtume wake watanitetea.Hakuna Muislamu wa hovyo kama wewe ,huu uzi umeandika kwa malengo yako ya kipuuzi.
Kwa nini ukubali uchonganishwe kama wewe sio zuzu?Ni mataifa ovu Marekani na Israel kawachonganisha. Wakati wa Al Bashir hali ilikuwa shwari kwasababu aliegemea Urusi.
Kwanini msiandamane kuelekea ubalozi wa Sudan?Waislamu wote tuandamane kuelekea ubalozi wa Marekani na Israel kupinga vita ya wenyewe kwa wenyewe huko Sudan katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.
Licha ya kuandamana viongozi wa dini watoe tamko la kushutumu vikali vita hivi vya wenyewe kwa wenyewe hasa mwezi huu mtukufu.
tameer tunatukanwa huku 😡😡😡Kwa nini ukubali uchonganishwe kama wewe sio zuzu?
Huna akili ya kujua huyu anatugombanisha na ndugu yako
Madume ya ng'ombe ndiyo yanachonganishwa yapigane maana hayajitambui
Acheni ujinga kama kweli marekan anahusika basi nami namuunga mkono awachonganishe hivo hivo mataahira hayo yasiyo jitambua yauane wenyewe kwa wenyewe
Pumbavu kabsaa
Muulize pia Amekula!mkuu maliza kwanza migogoro ya familia yako ndio ufuatilie mambo ya kimataifa.
Waislamu wote tuandamane kuelekea ubalozi wa Marekani na Israel kupinga vita ya wenyewe kwa wenyewe huko Sudan katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.
Licha ya kuandamana viongozi wa dini watoe tamko la kushutumu vikali vita hivi vya wenyewe kwa wenyewe hasa mwezi huu mtukufu.
Hakuna Muislamu wa hovyo kama wewe ,huu uzi umeandika kwa malengo yako ya kipuuzi.
Mgogoro wao unahusu dini ya kiislam? Naomba elimu tafadhali.Ni mataifa ovu Marekani na Israel kawachonganisha. Wakati wa Al Bashir hali ilikuwa shwari kwasababu aliegemea Urusi.
Waislamu wanaonewa sana, kuchonganishwa na kubaguliwa. Kwenye Quran tukufu tuneamriwa tusifumvie macho unyanyasaji na uonevu kwa Waislamu wenzako. Tunaona Waislamu wenzetu wanavyonewa huko Palestina hadi wananyimwa kaswali kwenye msikiti wa Alaqsa. Waislamu wenzetu China wananyanyaswa kuuwawa. Waislamu wenzetu huko Myanmar rohingya wanateswa kuonewa na kuuwawa huko kote ni Marekani na Israel ndo wachonganishi. Somalia ilikuwa na amani ni Marekani akaingiza pua. Sasa amewachonganisha na wa Sudan. Tusinyamaze leo kwao na kesho kwetuMgogoro wao unahusu dini ya kiislam? Naomba elimu tafadhali.
Mmetubagua sie engine tungependa kushiriki wenye hayo maandamano.
Allah na mtume ni shaheed wangu. Imani yangu katika uislam haitetereki.Nina mashaka sio muislamu huyu
Angalia kafiri lingineNilijua mnaenda kuandamana sudani
Ili tuwasindikize na majeneza kabisa
Haya piganieni haki zenu kama wanawake wanavyopigania haki zao.Waislamu wanaonewa sana, kuchonganishwa na kubaguliwa. Kwenye Quran tukufu tuneamriwa tusifumvie macho unyanyasaji na uonevu kwa Waislamu wenzako. Tunaona Waislamu wenzetu wanavyonewa huko Palestina hadi wananyimwa kaswali kwenye msikiti wa Alaqsa. Waislamu wenzetu China wananyanyaswa kuuwawa. Waislamu wenzetu huko Myanmar rohingya wanateswa kuonewa na kuuwawa huko kote ni Marekani na Israel ndo wachonganishi. Somalia ilikuwa na amani ni Marekani akaingiza pua. Sasa amewachonganisha na wa Sudan. Tusinyamaze leo kwao na kesho kwetu