Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa tuandamane kwenda ubalozi wa Marekani tukafanye nini? Tuandamane kuelekea Ubalozi wa Sudani ya Kaskazini, au kama vipi tuandamane kuelekea Khartoum kwenyewe - tukapinge vita tukiwa kulekule ndani ya Khartoum.Waislamu wote tuandamane kuelekea ubalozi wa Marekani na Israel kupinga vita ya wenyewe kwa wenyewe huko Sudan katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.
Licha ya kuandamana viongozi wa dini watoe tamko la kushutumu vikali vita hivi vya wenyewe kwa wenyewe hasa mwezi huu mtukufu.
Nakazia.Nashauri msiandamane, ila vaeni mabomu mkajitoe muhanga kwenye hizo balozi kuonyesha kusikitishwa kwenu mana ni kawaida yenu kujitoa muhanga.
Hivi hawa si wote ni waisilmu wote. Sasa haPo USA na Israel wanahusikajeWaislamu wote tuandamane kuelekea ubalozi wa Marekani na Israel kupinga vita ya wenyewe kwa wenyewe huko Sudan katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.
Licha ya kuandamana viongozi wa dini watoe tamko la kushutumu vikali vita hivi vya wenyewe kwa wenyewe hasa mwezi huu mtukufu.
unawaita waislam wenzenu wakati wao wanawabagua wanawaona kama nyani. Hamchangamani kwa chochote na waarabu wa uko ata ukitaka kuoa binti zao watakuona kama mkosi.Waislamu wanaonewa sana, kuchonganishwa na kubaguliwa. Kwenye Quran tukufu tuneamriwa tusifumvie macho unyanyasaji na uonevu kwa Waislamu wenzako. Tunaona Waislamu wenzetu wanavyonewa huko Palestina hadi wananyimwa kaswali kwenye msikiti wa Alaqsa. Waislamu wenzetu China wananyanyaswa kuuwawa. Waislamu wenzetu huko Myanmar rohingya wanateswa kuonewa na kuuwawa huko kote ni Marekani na Israel ndo wachonganishi. Somalia ilikuwa na amani ni Marekani akaingiza pua. Sasa amewachonganisha na wa Sudan. Tusinyamaze leo kwao na kesho kwetu
Mm n kafiri pro maxTena mi kafiri kweriikwerii
Straight peponi kufakamia bikra 70, ila jamani Uislamu raha knoma imagine unaenda kujipigia bikra zako 70 safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii 😂Nakazia.
Maana maandamano hayatasaidia, tangu dunia iumbwe wao wanalialia.lI solution ni kujilipua tu na kwenda straight peponi
Nenda kule upande wa pili,ukapakatwe na Ibrahimu.Mwenzako Lazaro kapakatwa na Ibrahimu.Straight peponi kufakamia bikra 70, ila jamani Uislamu raha knoma imagine unaenda kujipigia bikra zako 70 safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii 😂
Mie ningekuwa wa kiume ningeshabadili dini.Straight peponi kufakamia bikra 70, ila jamani Uislamu raha knoma imagine unaenda kujipigia bikra zako 70 safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Ww endelea kukalia Kurani mpaka itokee upande wa pili wa shimo lako la chooNenda kule upande wa pili,ukapakatwe na Ibrahimu.Mwenzako Lazaro kapakatwa na Ibrahimu.
Huyo sio muislamu.Na hakuna muislamu anayedharaulika.Wewe wafikiri hao wanaopigana huko Sudan ni wsislamu,uislamu si kwa jina,ni matendo.Ndio maana waislamu mnadharaulika muda mwingine.
Ukweli unauma?Nenda kapakqtwe na Ibrahimu kama Lazaro.Ww endelea kukalia Kurani mpaka itokee upande wa pili wa shimo lako la choo
Pale USA ubalozini wakikuona umevaa kanzu au juba wanaanza kujiweka tayari na silaha zao 😂Kwani kinachoendelea sudani ni vita ya kidini au sudani kuna waislamu tu? Alafu waislamu mkaandamane ubalozi wa marekani mnatafuta kuvunjwa miguu hamjui wamarekani wanachukulia uislamu kama dini ya magaidi na nyie wenyewe mnaona ugaidi ndio njia ya kuipata ile firidausi😂😂
Nyie dawa yenu ni kuendelea kuwapa dozi kama Israel anavowapa za motoUkweli unauma?Nenda kapakqtwe na Ibrahimu kama Lazaro.
Kama alivyofanya Askof Kibwetere,kuwalipua waumimj ndani na nje ya kanisa.Nashauri msiandamane, ila vaeni mabomu mkajitoe muhanga kwenye hizo balozi kuonyesha kusikitishwa kwenu mana ni kawaida yenu kujitoa muhanga.