Waislamu tuandamane kupinga vita Sudan

Waislamu tuandamane kupinga vita Sudan

Waislamu wote tuandamane kuelekea ubalozi wa Marekani na Israel kupinga vita ya wenyewe kwa wenyewe huko Sudan katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.

Licha ya kuandamana viongozi wa dini watoe tamko la kushutumu vikali vita hivi vya wenyewe kwa wenyewe hasa mwezi huu mtukufu.
Sasa tuandamane kwenda ubalozi wa Marekani tukafanye nini? Tuandamane kuelekea Ubalozi wa Sudani ya Kaskazini, au kama vipi tuandamane kuelekea Khartoum kwenyewe - tukapinge vita tukiwa kulekule ndani ya Khartoum.
 
Nshawahi kusema na nasema tena, Waislamu ni wapumbavu na wanafiki sana.
 
Waislamu wote tuandamane kuelekea ubalozi wa Marekani na Israel kupinga vita ya wenyewe kwa wenyewe huko Sudan katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.

Licha ya kuandamana viongozi wa dini watoe tamko la kushutumu vikali vita hivi vya wenyewe kwa wenyewe hasa mwezi huu mtukufu.
Hivi hawa si wote ni waisilmu wote. Sasa haPo USA na Israel wanahusikaje

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Waislamu wanaonewa sana, kuchonganishwa na kubaguliwa. Kwenye Quran tukufu tuneamriwa tusifumvie macho unyanyasaji na uonevu kwa Waislamu wenzako. Tunaona Waislamu wenzetu wanavyonewa huko Palestina hadi wananyimwa kaswali kwenye msikiti wa Alaqsa. Waislamu wenzetu China wananyanyaswa kuuwawa. Waislamu wenzetu huko Myanmar rohingya wanateswa kuonewa na kuuwawa huko kote ni Marekani na Israel ndo wachonganishi. Somalia ilikuwa na amani ni Marekani akaingiza pua. Sasa amewachonganisha na wa Sudan. Tusinyamaze leo kwao na kesho kwetu
unawaita waislam wenzenu wakati wao wanawabagua wanawaona kama nyani. Hamchangamani kwa chochote na waarabu wa uko ata ukitaka kuoa binti zao watakuona kama mkosi.

Mnajipendekeza kwao ili waje kuwajengea visima na kuwaletea tende kwenye mfungo
 
Jarbu tukuonyeshe show moja pendwa kabisa. Unaleta udini Tanzania
 
Nakazia.
Maana maandamano hayatasaidia, tangu dunia iumbwe wao wanalialia.lI solution ni kujilipua tu na kwenda straight peponi
Straight peponi kufakamia bikra 70, ila jamani Uislamu raha knoma imagine unaenda kujipigia bikra zako 70 safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii 😂
 
Straight peponi kufakamia bikra 70, ila jamani Uislamu raha knoma imagine unaenda kujipigia bikra zako 70 safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Mie ningekuwa wa kiume ningeshabadili dini.
Najichukulia zangu kabinti ka miaka 14 kwa raha zangu, naoa wake wanne wote 14 yrs. Peponi mabikra 72...
Burudani kabisa
 
Kwani kinachoendelea sudani ni vita ya kidini au sudani kuna waislamu tu? Alafu waislamu mkaandamane ubalozi wa marekani mnatafuta kuvunjwa miguu hamjui wamarekani wanachukulia uislamu kama dini ya magaidi na nyie wenyewe mnaona ugaidi ndio njia ya kuipata ile firidausi😂😂
 
Kwani kinachoendelea sudani ni vita ya kidini au sudani kuna waislamu tu? Alafu waislamu mkaandamane ubalozi wa marekani mnatafuta kuvunjwa miguu hamjui wamarekani wanachukulia uislamu kama dini ya magaidi na nyie wenyewe mnaona ugaidi ndio njia ya kuipata ile firidausi😂😂
Pale USA ubalozini wakikuona umevaa kanzu au juba wanaanza kujiweka tayari na silaha zao 😂
 
Back
Top Bottom