Waislamu tuandamane kupinga vita Sudan

Waislamu tuandamane kupinga vita Sudan

Ni mataifa ovu Marekani na Israel kawachonganisha. Wakati wa Al Bashir hali ilikuwa shwari kwasababu aliegemea Urusi.
Kama walichonganishwa tu na wakakubali kukorofishana, basi ni wapumbavu tu waache wapigane. Ina maana Marekani ina nguvu kuliko Urusi?
 
Hebu nitajie jina la eunuch mmoja tu kutoka kanisa lenu hivi sasa kwa tafsiri hiyo unayoitaka wewe na kanisa lenu
mapadri wanaoa? jibu hizo aya alizoropoka mtume wenu wa uongo.
 
Waislamu wote tuandamane kuelekea ubalozi wa Marekani na Israel kupinga vita ya wenyewe kwa wenyewe huko Sudan katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.

Licha ya kuandamana viongozi wa dini watoe tamko la kushutumu vikali vita hivi vya wenyewe kwa wenyewe hasa mwezi huu mtukufu.
Ni bora utumie muda wako na waislamu wenzio kuwaombea watoto yatima na wagonjwa wa Tanzania ili Mungu awawezeshe wafikie matamanio yao na kupona maradhi yao.

Hawa wanaogombana Sudan ni sawa na wale wa Somalia. Wote ni Waislamu ila wanatofautiana nasaba za ukoo au kabila.

Pili hawa Sudan waliwatumia Janjaweed kuwaua Waafrika wenye asili ya Ukristu na upagani kule Darfur. Na sasa hivi ndiyo wanajiita Rapid Support Forces


Waache wamalizane kwa ubaguzi wao
 
Waislamu wote tuandamane kuelekea ubalozi wa Marekani na Israel kupinga vita ya wenyewe kwa wenyewe huko Sudan katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.

Licha ya kuandamana viongozi wa dini watoe tamko la kushutumu vikali vita hivi vya wenyewe kwa wenyewe hasa mwezi huu mtukufu.
Tumeisha kujua malengo yako sio mazuli kwetu ss waisilamu mbona ujasema tuandamane kupinga vita inayo piganwa kongo hacha unafiki wewe
 
mapadri wanaoa? jibu hizo aya alizoropoka mtume wenu wa uongo.
Ndio umeweka jina la huyo eunuch?

Hebu nitajie jina la eunuch mmoja tu kutoka kanisa lenu hivi sasa kwa tafsiri hiyo unayoitaka wewe na kanisa lenu
 
Unadhihirisha ukafiri wako kwa hicho ulichokiandika, Kafiri wahed
Allah lasul katika quran takatifu surat al qalbul de mariam aya ya 8:10 ametuasa eewe muislam ukitukanwana muislamu mwenzio chutama kunya na ujitawaze na uende zako bila mabishano.

Allah and his beloved prohet are my shaheed.

hydroxo The Icebreaker
 
Wew unayehamasisha maandamano upo nyuma ya keyboard huku umevalia msuli ukichungulia jamii forum
 
Tuzidi kuiombea Amani nchi yetu ya Tanzania!Hatujui yaliyo mbele yetu!
 
Tumeisha kujua malengo yako sio mazuli kwetu ss waisilamu mbona ujasema tuandamane kupinga vita inayo piganwa kongo hacha unafiki wewe
I love Allah, i love the prophet and i love Islam. You can't change that.
 
Ni bora utumie muda wako na waislamu wenzio kuwaombea watoto yatima na wagonjwa wa Tanzania ili Mungu awawezeshe wafikie matamanio yao na kupona maradhi yao.

Hawa wanaogombana Sudan ni sawa na wale wa Somalia. Wote ni Waislamu ila wanatofautiana nasaba za ukoo au kabila.

Pili hawa Sudan waliwatumia Janjaweed kuwaua Waafrika wenye asili ya Ukristu na upagani kule Darfur. Na sasa hivi ndiyo wanajiita Rapid Support Forces


Waache wamalizane kwa ubaguzi wao
Wewe kafiri tulia
 
Allah lasul katika quran takatifu surat al qalbul de mariam aya ya 8:10 ametuasa eewe muislam ukitukanwana muislamu mwenzio chutama kunya na ujitawaze na uende zako bila mabishano.

Allah and his beloved prohet are my shaheed.

hydroxo The Icebreaker

Endelea ukafiri wako unaoongozwa na Roho Mtakatifu wa kanisa lako. Hilo ndilo analolijuwa.
 
Back
Top Bottom