Waislamu wa kiarabu wametapakaa Ulaya na America kwenye nchi ambazo huziita za makafiri kufanya nini?


Unazikimbia hizi aya au hazimo ndanio ya biblia ??

imekujibu au hukuona au hizi aya huziamini





Unajifanya huoni

Ikiwa mwanamke atajifungua mtoto wa kiume, basi atakuwa najisi kwa siku 7.

Lakini akizaa mtoto wa kike, basi atakuwa najisi kwa siku 14. Hivyo kwa maneno mengine, kuzaliwa kwa mwanamke yeyote husababisha uchafuzi maradufu: Mambo ya Walawi 12:2-5

“Nena na wana wa Israeli, uwaambie, Mwanamke akichukua mimba na kuzaa mtoto wa kiume, atakuwa najisi SIKU SABA. , kwa kadiri ya siku za kutengwa kwake kwa ajili ya ugonjwa wake atakuwa najisi kitu kitakatifu, wala asiingie mahali patakatifu, hata siku hizo za kutakaswa kwake zitakapotimia; siku sita."

Nadhani ni salama kusema kwamba Mhubiri 22:3 na Mambo ya Walawi 12:2-5 ni mistari dada.

Ikiwa mwanamke anajaribu kumwokoa mume wake kutokana na kipigo kwa kushika sehemu za siri za mwanamume mwingine ili kumwinua kutoka kwa mumewe, basi mikono yake yote miwili lazima ikatwe: Kumbukumbu la Torati 25:11-12

“Na kama watu wakishindana pamoja. pigana wao kwa wao, na mke wa mmoja amekaribia kumwokoa mume wake kutokana na yule anayempiga (ili kumuokoa mumewe), na yeye akanyosha mkono wake na kumshika pajani mwake. , basi lazima akatwe mikono yake yote miwili, na macho ya wanaume hao yasiwe na huzuni.”

Akina baba wanaweza kuwauza binti zao kuwa vijakazi:
Kutoka 21:7-8

“Na mtu akimuuza binti yake awe kijakazi, hatatoka jinsi watumwa wa kiume watokavyo; macho ya bwana wake asije akamweka kuwa suria, bali atamfanya akombolewe, hatastahili kumuuza kwa watu wa kigeni, katika kumtendea kwa hila.”

Mabinti hawarithi chochote wanapokuwa na watoto wa kiume: “Mtu akifa bila kuacha mtoto wa kiume, mpe urithi wake kwa binti yake.” ( Hesabu 27:8 ) Kwa hiyo sheria ya Marekani ya kugawanya kila kitu kwa usawa si ya Biblia.

Yesu anawaona wanawake kuwa uchafu unaowatia wanaume unajisi (kwa kuwa Yesu, MUNGU, ndiye anayedaiwa kuwa alivuvia Agano Jipya kama Wakristo wanavyodai):

Ufunuo 14:4

“Hao ndio (wanaume) ambao hawakujitia unajisi pamoja na wanawake; walijiweka safi. Wanamfuata Mwana-Kondoo popote aendako.
 
Kwa hiyo ulivyoelewa hapo hiyo Aya ni imeruhusiwa ndiyo maana wakifanya wanatakiwa kuadhibiwa!?..no wonder mnaambiwa Mungu alikuja kwa njia ya binaadam akawa fundi seremala Ila aadhibiwe mkombolewe,uwezo wa kufikiri ziro
 
Elezea wewe mkuu, maana hao warabu wabamadharau sana, kazi kuwaambia wazungu ni makafiri ilihali wanakimbilia huko kutafuta maisha, hawaendi nchi za waarabu wenzao ambao si makafiri
kafir ni neno lenye maana zaidi ya moja na hakuna hata moja ambayo ni offensive , kwa uchache kafir lina maana hizi

1. Anayepinga dini ya kiislamu
2. Mtu wa dini nje ya uislamu (Bali wana wa chuoni wametofautiana juu ya hili)
3. Asiyeamini Uislamu

sasa sijaona correlation kati ya kumuita mtu kafir na kwenda kutafuta maisha kwenye nchi hizo wanazoziita za makafiri, kingine jua kwamba si kila mwarabu ni muislamu waarabu wana imani tofauti tofauti kwa uchache kuna waislamu, wapagani, wayazidi, wakristo n.k

hivyo sio kila mwarabu anayeenda kutafuta maisha ulaya ni mwislamu stop the generalization.
 
Ukizisoma hizi unaelewa nini mkuu
 
Picha za kuokoteza kama hizi zipo nyingi mtandaoni.
Iran hakuna vita na hakuna muiran anayekimbia taifa lake bro,kuwa makini na propaganda za wazungu.
Saudi Arabia ni taifa la Watu matajiri MARA ELFU YA MATAIFA YOTE ULAYA NA USA.
Huyo USA mwenyewe kakopa SAUDI ARABIA
Leo hii Saudi Arabia akimbia nchi yake kwaajili gani!!??
Wairan wanaokimbia nchi yao eidha ni wale wanaopinga serikali ya Ayatollah ama wana sababu binafsi.
Kuwa makini na propagandist.
Usikute hao ni waafghanistan au wakurdistan ukadanganywa Wairan.
Tena hapo kwa Saudi Arabia ndio kabisa,Saudia kuna Watu wana mawe wewe US hakuna.
 
Talking about Arabs culture not Islam mkuu.
Islamic is not oppressive but a bitter truth is that Arab culture is oppressive.
Hawa wakristo wanaposema waarabu hukusudia waislamu
 
Sawasawa , Akili hawana kwani hawana habari kuwa hao waarabu kuna wakristo na wenye dini nyengine pamoja na wasio na dini
Ndio kuna jamaa kule juu alisema waarabu wakristo wako poa nikamwambia big NO.
Mwarabu ni mwarabu tu😂😂😂😂.
 
Utasomewa albadili, haya !
 
kwa hivyo Yesu si Mungu unakubali leo , si haba unaelekea kuzuri
IMEANDIKWA KABLA YA muhammad Wala Quran KUWEPO!
👇🏼👇🏼
يوحنا 1: 1-4، 14
[1] في البدء كان الكلمة، والكلمة كان عند الله، وكان الكلمة الله.

[2] في البدء كان عند الله.

[3] حدث له كل شيء؛ وبدونه لم يحدث شيء مما تم.

[4] فيه كانت الحياة، وكانت الحياة نور الشعب.

[14] والكلمة صار جسدا وبقي معنا. ورأينا مجده مجدا كما لوحيد من الآب. وهو مملوء نعمة وحقًا.

8 قال له فيلبس يا سيد أرنا الآب يكفينا.

9 قال له يسوع: «أنا معكم هذه الأيام كلها، أما تعرفني يا فيلبس؟» الذي رآني فقد رأى الآب. فكيف تقول أرنا يا أبانا؟

yuhanaa 1: 1-4, 14
[1] fi albad' kan alkalimatu, walkalimat kan eind allahi, wakan alkalimat allahu.
[2] fi albad' kan eind allahi.
[3] hadath lah kulu shay'a; wabidunih lam yahduth shay' mimaa tama.
[4] fih kanat alhayaatu, wakanat alhayaat nur alshaeb.
[14] walkalimat sar jasadan wabaqi maena. wara'ayna majdah majdan kama liwahid min alab. wahu mamlu' niemat whqan.
8 qal lah filbas ya sayid 'arna alab yikfina.
9 qal lah yasuea: <<ana maeakum hadhih al'ayaam kullha, 'ama taerifuni ya filibis?>> aladhi rani faqad ra'aa alab. fakayf taqul 'arnan ya 'abana?

John 1:1-4,14
[1]Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.

[2]Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.

[3]Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika.

[4]Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu.

[14]Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.

[8]Filipo akamwambia, Bwana, utuonyeshe Baba, yatutosha.

[9]Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?

Tatizo la Waislamu ni kumjadili YESU AKIWA KATIKA HALI YAKE YA UBINADAMU KAMILI! JN.1:14!
HAWANA HOJA ALIPO KUWA MUNGU KAMILI! "NENO" JN.1:1

TAMKA SASA MUNGU HANA UWEZO WA KUWA MUNGU KAMILI NA MWANADAMU KAMILI ILI UJIPE WEPESI WA KUFA KAFIRI!

لا يوجد إله يمكن أن يُعبد بالبر إلا يسوع ورسوله بولس!
تكبير المسيح أكبر

la yujad 'iilah yumkin 'an yuebd bialbiri 'iilaa Yasue warasulih Bulis!💪👍
takbir ✊🏼 alMasih 'Akbar 👊🏼

HAKUNA MUNGU APASWAYE KUABUDIWA KWA HAQI ILA YESU NA PAULO MTUME WAKE!💪👍
TAKBIR ✊🏼YESU AKBAR 👊🏼
 
Wazungu wakivaa magunia huku wakisafiri na kufika hadi America, Australia, Cape of Good Hope, India na New Zealand, wakati mwarabu akiishia pwani ya Afrika ya mashariki kuletea ushoga Mombasa,
 
Wazungu wakivaa magunia huku wakisafiri na kufika hadi America, Australia, Cape of Good Hope, India na New Zealand, wakati mwarabu akiishia pwani ya Afrika ya mashariki kuletea ushoga Mombasa,
Unaambiwa eti mwarabu ndo kaleta mavazi 🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…