Waislamu wa kiarabu wametapakaa Ulaya na America kwenye nchi ambazo huziita za makafiri kufanya nini?

Waislamu wa kiarabu wametapakaa Ulaya na America kwenye nchi ambazo huziita za makafiri kufanya nini?

🤣🤣

Acha tu nianze na kicheko

Lakini pili:

Napenda kujivunia nchi yangu Tanzania na Watanzania wenzangu wengi ambao licha ya kutofautiana dini, lakini bado, namna tunavyoishi, ni mfano wa ndugu wa damu moja ingaweje kuna baadhi ya wachache washika dini ambao hutaka kulazimisha kutaka kushikamana na mafundisho ya chuki dhidi ya wengine

Jambo la tatu, Naipongeza serikali yangu ya TANZANIA, jinsi ilivyo makini hasa katika kusimamia uhuru wa kuabudu na kuwachukulia hatua wowote wenye kutaka kuleta sintofahamu za kidini

Asante TANZANIA kwa kuendelea kusimamia misingi yote ya kulinda Imani zote na kuacha uhuru wa kuabudu, Jambo moja lingine la kujivunia ni kwamba, twaweza kuwa chini kielimu lakini Elimu ihusuyo Dini, haituzingui, waarabu waendelee na imani yao isiyotambulika na dini zote hapa nchini kwa wao kuwa na utamaduni wa kujilipua mabomu na kuleta taharuki

Nikirejea kwenye mada sasa...!

Unajua kuna watu na dini zao hujiona wao ndo wana mungu na wanaakili nyingi kulikoni watu wengine wote ilihali kumbe wao huwenda ndio wajinga kushinda kila mtu dunian

Unakejeri nchi za watu na kuwaita Makafiri, halafu wewe ndo unaomba kuhamia huko na usivyo na ustarabu sasa, tabu tupu

Nchi za Ulaya na Marekani huitwa nchi za Makafiri kwa sababu Dini yao huko ni tofauti na aliyonayo mwarabu ambayo kwa hiyo, huwaita watu wa huko makafiri

Cha ajabu ni kwamba, hawa watu kila leo wanawaza kwenda ulaya kuishi huko kwa makafiri!

Swali ni Je, unaanzaje kuita nchi za watu ni nchi za Makafiri na wakati huo huo unapanga kufia huko kwa makafiri na kuzikwa kwenye nchi ambazo kwa wewe unaziona ni za laana maana zimekaliwa na makafiri

Je? Kafiri anaweza kumlea mwislamu asiyependa makafiri?
Sasa wewe mmkonde wa Tandahimba hiyo inakuhusu nini? Wenyewe ndio wanapokea na kuwapa uraia wewe huku unateseka nini?
 
Sasa wewe mmkonde wa Tandahimba hiyo inakuhusu nini? Wenyewe ndio wanapokea na kuwapa uraia wewe huku unateseka nini?
Kwa nini wanaenda kwa makafiri na kuacha kutulia kwenye nchi zao zisizo na makafiri
 
Unamkataa Popo mnayesema ni Mungu wenu wa hapa duniani?
Sishangai mikelele ugomvi na ubishi wa maisilamu!; hata Mungu wako alimkemea muham mad!🙄😜
👇👇
۞ وَلَمَّا ضُرِبَ ابْنُ مَرْيَمَ مَثَلًا إِذَا قَوْمُكَ مِنْهُ يَصِدُّونَ

(AZZUKHRUF - 57)
Na alipo pigiwa mfano Mwana wa Mariamu, watu wako waliupiga ukelele.
وَقَالُوا أَآلِهَتُنَا خَيْرٌ أَمْ هُوَ ۚ مَا ضَرَبُوهُ لَكَ إِلَّا جَدَلًا ۚ بَلْ هُمْ قَوْمٌ خَصِمُونَ

(AZZUKHRUF - 58)
Wakasema: Miungu yetu kwani si bora kuliko huyu? Hawakukupigia mfano huo ila kwa ubishi tu. Bali hao ni watu wagomvi!
 
IMEANDIKWA KABLA YA muhammad Wala Quran KUWEPO!
👇🏼👇🏼
يوحنا 1: 1-4، 14
[1] في البدء كان الكلمة، والكلمة كان عند الله، وكان الكلمة الله.

[2] في البدء كان عند الله.

[3] حدث له كل شيء؛ وبدونه لم يحدث شيء مما تم.

[4] فيه كانت الحياة، وكانت الحياة نور الشعب.

[14] والكلمة صار جسدا وبقي معنا. ورأينا مجده مجدا كما لوحيد من الآب. وهو مملوء نعمة وحقًا.

8 قال له فيلبس يا سيد أرنا الآب يكفينا.

9 قال له يسوع: «أنا معكم هذه الأيام كلها، أما تعرفني يا فيلبس؟» الذي رآني فقد رأى الآب. فكيف تقول أرنا يا أبانا؟

yuhanaa 1: 1-4, 14
[1] fi albad' kan alkalimatu, walkalimat kan eind allahi, wakan alkalimat allahu.
[2] fi albad' kan eind allahi.
[3] hadath lah kulu shay'a; wabidunih lam yahduth shay' mimaa tama.
[4] fih kanat alhayaatu, wakanat alhayaat nur alshaeb.
[14] walkalimat sar jasadan wabaqi maena. wara'ayna majdah majdan kama liwahid min alab. wahu mamlu' niemat whqan.
8 qal lah filbas ya sayid 'arna alab yikfina.
9 qal lah yasuea: <<ana maeakum hadhih al'ayaam kullha, 'ama taerifuni ya filibis?>> aladhi rani faqad ra'aa alab. fakayf taqul 'arnan ya 'abana?

John 1:1-4,14
[1]Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.

[2]Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.

[3]Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika.

[4]Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu.

[14]Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.

[8]Filipo akamwambia, Bwana, utuonyeshe Baba, yatutosha.

[9]Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?

Tatizo la Waislamu ni kumjadili YESU AKIWA KATIKA HALI YAKE YA UBINADAMU KAMILI! JN.1:14!
HAWANA HOJA ALIPO KUWA MUNGU KAMILI! "NENO" JN.1:1

TAMKA SASA MUNGU HANA UWEZO WA KUWA MUNGU KAMILI NA MWANADAMU KAMILI ILI UJIPE WEPESI WA KUFA KAFIRI!

لا يوجد إله يمكن أن يُعبد بالبر إلا يسوع ورسوله بولس!
تكبير المسيح أكبر

la yujad 'iilah yumkin 'an yuebd bialbiri 'iilaa Yasue warasulih Bulis!💪👍
takbir ✊🏼 alMasih 'Akbar 👊🏼

HAKUNA MUNGU APASWAYE KUABUDIWA KWA HAQI ILA YESU NA PAULO MTUME WAKE!💪👍
TAKBIR ✊🏼YESU AKBAR 👊🏼



Yohana uliandika wewe ??

Injili ya Yohana:

Hivi ndivyo wanatheolojia na wanahistoria wa Biblia walivyosema kuhusu injili hii:

“Wasomi wengi wa karne mbili zilizopita wamekana kwamba Yohana ndiye aliyeandika kitabu hiki, kwa sababu ya imani yao kwamba mwandishi alibuni mambo mengi kama vile miujiza na mazungumzo ya Yesu ( Luka 2:52: MUNGU alisamehe dhambi za Yesu na alikuwa “ hisani" pamoja naye). (The Holman Illustrated Study Bible, ISBN: 978-1-58640-275-4, Injili ya Yohana, Ukurasa 1540)"

"Uchambuzi wao Muhimu hufanya iwe vigumu kukubali wazo kwamba injili kama ilivyo sasa iliandikwa na mtu mmoja. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"



"Ndani ya injili yenyewe pia kuna baadhi ya kutofautiana. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"

"Ili kutatua matatizo haya, wasomi wamependekeza upangaji upya mbalimbali ambao utatoa utaratibu mzuri zaidi. Hata hivyo, wengi wamefikia hitimisho kwamba kutofautiana pengine kulitolewa na uhariri uliofuata ambapo vifaa vya homogeneous viliongezwa kwa asili fupi. Biblia, ISBN: 978-0-529-06484-4, Ukurasa 1136)"

"Matatizo mengine kwa nadharia yoyote ya uandishi wa mashuhuda wa injili katika hali yake ya sasa yanawasilishwa na theolojia yake iliyoendelea sana na kwa vipengele fulani vya mtindo wake wa kifasihi. ( The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4; Ukurasa wa 1136)"

"Injili ina maelezo mengi kuhusu Yesu ambayo hayapatikani katika muhtasari wa injili. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"

“Uhariri wa mwisho wa injili na mpangilio katika hali yake ya sasa huenda ulianza kati ya A.D. 90 na 100. Kidesturi, Efeso imependelewa kama mahali pa utunzi, ingawa wengi wanaunga mkono eneo la Shamu, pengine jiji la Antiokia, wakati wamependekeza maeneo mengine, ikiwa ni pamoja na Alexandria (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Ukurasa 1136)"
 
IMEANDIKWA KABLA YA muhammad Wala Quran KUWEPO!
👇🏼👇🏼
يوحنا 1: 1-4، 14
[1] في البدء كان الكلمة، والكلمة كان عند الله، وكان الكلمة الله.

[2] في البدء كان عند الله.

[3] حدث له كل شيء؛ وبدونه لم يحدث شيء مما تم.

[4] فيه كانت الحياة، وكانت الحياة نور الشعب.

[14] والكلمة صار جسدا وبقي معنا. ورأينا مجده مجدا كما لوحيد من الآب. وهو مملوء نعمة وحقًا.

8 قال له فيلبس يا سيد أرنا الآب يكفينا.

9 قال له يسوع: «أنا معكم هذه الأيام كلها، أما تعرفني يا فيلبس؟» الذي رآني فقد رأى الآب. فكيف تقول أرنا يا أبانا؟

yuhanaa 1: 1-4, 14
[1] fi albad' kan alkalimatu, walkalimat kan eind allahi, wakan alkalimat allahu.
[2] fi albad' kan eind allahi.
[3] hadath lah kulu shay'a; wabidunih lam yahduth shay' mimaa tama.
[4] fih kanat alhayaatu, wakanat alhayaat nur alshaeb.
[14] walkalimat sar jasadan wabaqi maena. wara'ayna majdah majdan kama liwahid min alab. wahu mamlu' niemat whqan.
8 qal lah filbas ya sayid 'arna alab yikfina.
9 qal lah yasuea: <<ana maeakum hadhih al'ayaam kullha, 'ama taerifuni ya filibis?>> aladhi rani faqad ra'aa alab. fakayf taqul 'arnan ya 'abana?

John 1:1-4,14
[1]Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.

[2]Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.

[3]Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika.

[4]Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu.

[14]Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.

[8]Filipo akamwambia, Bwana, utuonyeshe Baba, yatutosha.

[9]Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?

Tatizo la Waislamu ni kumjadili YESU AKIWA KATIKA HALI YAKE YA UBINADAMU KAMILI! JN.1:14!
HAWANA HOJA ALIPO KUWA MUNGU KAMILI! "NENO" JN.1:1

TAMKA SASA MUNGU HANA UWEZO WA KUWA MUNGU KAMILI NA MWANADAMU KAMILI ILI UJIPE WEPESI WA KUFA KAFIRI!

لا يوجد إله يمكن أن يُعبد بالبر إلا يسوع ورسوله بولس!
تكبير المسيح أكبر

la yujad 'iilah yumkin 'an yuebd bialbiri 'iilaa Yasue warasulih Bulis!💪👍
takbir ✊🏼 alMasih 'Akbar 👊🏼

HAKUNA MUNGU APASWAYE KUABUDIWA KWA HAQI ILA YESU NA PAULO MTUME WAKE!💪👍
TAKBIR ✊🏼YESU AKBAR 👊🏼


Zaidi ya hayo, tunapata matatizo ya kutisha zaidi katika Injili ya Yohana yenyewe.

Kwa kuwa Wakristo wanaamini kwamba mwandishi wa injili ya Yohana ni yule yule aliyeandika 1 Yohana, basi ni muhimu kutaja upuuzi ufuatao katika uhalisi wa injili hii kutoka sura yake ya mwisho :

Yohana 21:24-25

24 Huyu ndiye yule mwanafunzi anayeshuhudia mambo haya na kuyaandika. Tunajua kwamba ushuhuda wake ni kweli.

25 Yesu alifanya mambo mengine mengi pia. Kama kila kimoja kingeandikwa, nadhani hata ulimwengu wote haungekuwa na nafasi ya vitabu ambavyo vingeandikwa.



“Tunajua kwamba ushuhuda wake ni kweli”?!

Je, mwanafunzi Yohana si ndiye aliyeandika injili ya Yohana?

Je, anawezaje kusema juu yake mwenyewe kwamba “tunajua kwamba ushuhuda wake (mwandishi) ni kweli”?!

Je, huu si uthibitisho wa wazi na usiopingika kwamba kitabu hicho kiliandikwa na mtu asiyejulikana?
 
IMEANDIKWA KABLA YA muhammad Wala Quran KUWEPO!
👇🏼👇🏼
يوحنا 1: 1-4، 14
[1] في البدء كان الكلمة، والكلمة كان عند الله، وكان الكلمة الله.

[2] في البدء كان عند الله.

[3] حدث له كل شيء؛ وبدونه لم يحدث شيء مما تم.

[4] فيه كانت الحياة، وكانت الحياة نور الشعب.

[14] والكلمة صار جسدا وبقي معنا. ورأينا مجده مجدا كما لوحيد من الآب. وهو مملوء نعمة وحقًا.

8 قال له فيلبس يا سيد أرنا الآب يكفينا.

9 قال له يسوع: «أنا معكم هذه الأيام كلها، أما تعرفني يا فيلبس؟» الذي رآني فقد رأى الآب. فكيف تقول أرنا يا أبانا؟

yuhanaa 1: 1-4, 14
[1] fi albad' kan alkalimatu, walkalimat kan eind allahi, wakan alkalimat allahu.
[2] fi albad' kan eind allahi.
[3] hadath lah kulu shay'a; wabidunih lam yahduth shay' mimaa tama.
[4] fih kanat alhayaatu, wakanat alhayaat nur alshaeb.
[14] walkalimat sar jasadan wabaqi maena. wara'ayna majdah majdan kama liwahid min alab. wahu mamlu' niemat whqan.
8 qal lah filbas ya sayid 'arna alab yikfina.
9 qal lah yasuea: <<ana maeakum hadhih al'ayaam kullha, 'ama taerifuni ya filibis?>> aladhi rani faqad ra'aa alab. fakayf taqul 'arnan ya 'abana?

John 1:1-4,14
[1]Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.

[2]Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.

[3]Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika.

[4]Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu.

[14]Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.

[8]Filipo akamwambia, Bwana, utuonyeshe Baba, yatutosha.

[9]Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?

Tatizo la Waislamu ni kumjadili YESU AKIWA KATIKA HALI YAKE YA UBINADAMU KAMILI! JN.1:14!
HAWANA HOJA ALIPO KUWA MUNGU KAMILI! "NENO" JN.1:1

TAMKA SASA MUNGU HANA UWEZO WA KUWA MUNGU KAMILI NA MWANADAMU KAMILI ILI UJIPE WEPESI WA KUFA KAFIRI!

لا يوجد إله يمكن أن يُعبد بالبر إلا يسوع ورسوله بولس!
تكبير المسيح أكبر

la yujad 'iilah yumkin 'an yuebd bialbiri 'iilaa Yasue warasulih Bulis!💪👍
takbir ✊🏼 alMasih 'Akbar 👊🏼

HAKUNA MUNGU APASWAYE KUABUDIWA KWA HAQI ILA YESU NA PAULO MTUME WAKE!💪👍
TAKBIR ✊🏼YESU AKBAR 👊🏼


Kwa hivyo, hakuna anayejua kuhusu "Injili ya Yohana":

1. Nani aliiandika.
2. Ni watu wangapi waliandika.
3 Ilipoandikwa.
4 Mahali iliandikwa.

Pia, mtu anaposoma injili hii, angeona mara moja kwamba haikuandikwa na Yohana mwenyewe.

Wakristo wanasema kwamba ilikuwa ni Yohana Mtume akiandika kuhusu Yohana Mbatizaji.

Ushahidi katika nukuu hapo juu unathibitisha wazi kwamba huu ni uwongo wa kukata tamaa!

Nawasilisha kwako kwamba hakuna Yohana aliyeandika chochote!

Hebu tuangalie mistari ifuatayo kutoka kwa injili:

"Na huu ndio ushuhuda wake Yohana, Wayahudi walipotuma makuhani na Walawi kutoka Yerusalemu ili wamwulize, Wewe u nani? (Kutoka Biblia ya King James Version, Yohana 1:19)"

Yohana akawajibu, akasema, Mimi nabatiza kwa maji, lakini amesimama mmoja wenu, msiyemjua ninyi;

"Kwa maana Yohana alikuwa bado hajatupwa gerezani. (Kutoka Biblia ya King James Version, Yohana 3:24)"

na kadhalika...

Yeyote aliyeandika injili, je aliteuliwa au kuongozwa na MUNGU Mwenyezi?

Ikiwa ndio, basi mtu huyo ni nani?

Haiwezi kuwa Yohana kwa kuwa ni dhahiri kabisa kutoka kwa aya zilizo hapo juu na nyingi zaidi katika injili yote kwamba Yohana hakuwa mwandishi asilia.

Mtu anapaswa kuwa na upendeleo wa dhihaka na kipofu katika imani ili kukataa hilo.

Kwa hivyo sasa, vipi kuhusu aya hizi maarufu zaidi:

“Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwako Mungu alikuwa na mamlaka (neno hilohilo la Kigiriki linalotumiwa kumaanisha utawala wa shetani [2] [3]). (Kutoka katika Biblia ya King James Version, Yohana 1:1)"

“Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. (Kutoka Biblia ya King James Version, Yohana 3:16)”

Mistari hii ni wazi iliandikwa na watu wa ajabu na si na yeyote wa wanafunzi wa awali wa Yesu.

Kwa hiyo, ni kufuru kuzingatia aya kama za Kimungu na kujaribu kuthibitisha kwamba Yesu ndiye Muumba wa Ulimwengu kupitia hizo.

Uongo wa utatu ulizaliwa kati ya miaka ya 150 hadi 300.

Inawezekana kabisa na kuna uwezekano mkubwa kwamba kanisa fulani liliandika kile kinachoitwa "Injili ya Yohana" kutoka kwa sehemu ambazo walipata.

Ona kwamba kuna "barua" 24,000 au karatasi zilizopatikana ambazo hazikujumuishwa katika Agano Jipya la leo, ambayo ina maana kwamba sehemu zilizotumiwa kuandika "Injili ya Yohana" na vitabu vingine vyote na injili za Agano Jipya zina shaka sana. na hazina uthibitisho wowote kwamba ziliandikwa na yeyote wa wanafunzi wa awali wa Yesu.

Injili ya Yohana iliandikwa juu ya Yohana lakini sio na "Mtakatifu Yohana" wa asili.

Tofauti kubwa na ufisadi mkubwa! Huwezi kuzingatia takataka kama Maneno Matakatifu ya MUNGU Mwenyezi.
 
Ukishakua Muslim km utabaki na akili timamu ujue we ni genious...


Ni kweli kabisa , wenye akili ni hawa wakristo wanaotapeliwa na Mchungaji wao

 
Sishangai mikelele ugomvi na ubishi wa maisilamu!; hata Mungu wako alimkemea muham mad!🙄😜
👇👇
۞ وَلَمَّا ضُرِبَ ابْنُ مَرْيَمَ مَثَلًا إِذَا قَوْمُكَ مِنْهُ يَصِدُّونَ

(AZZUKHRUF - 57)
Na alipo pigiwa mfano Mwana wa Mariamu, watu wako waliupiga ukelele.
وَقَالُوا أَآلِهَتُنَا خَيْرٌ أَمْ هُوَ ۚ مَا ضَرَبُوهُ لَكَ إِلَّا جَدَلًا ۚ بَلْ هُمْ قَوْمٌ خَصِمُونَ

(AZZUKHRUF - 58)
Wakasema: Miungu yetu kwani si bora kuliko huyu? Hawakukupigia mfano huo ila kwa ubishi tu. Bali hao ni watu wagomvi!

Injili ya 1 Yohana:

Hivi ndivyo wanatheolojia na wanahistoria wa Biblia walisema kuhusu injili hii:

"....Tofauti na barua nyingi za Agano Jipya, 1 Yohana haituambii mwandishi wake ni nani. Utambulisho wake wa kwanza kabisa unatoka kwa mababa wa kanisa...(Kutoka kwenye NIV Bible Commentary [1], ukurasa wa 1904)"

"Barua ni ngumu kufikia tarehe kwa usahihi....(Kutoka NIV Bible Commentary [1], ukurasa wa 1905)"



Uchakachuaji wa 1 Yohana

1 Yohana imechakachuliwa na mababa wa kanisa:

Uongo wa 1 Yohana 5:7.

Aya hii iligunduliwa baadaye kuwaimechakachuliwa na kanisa. Wanatheolojia wa Kirumi wa Kikatoliki hawaiamini, na haipo katika Biblia zao.

Kesi hiyo hiyo ambapo hakuna mwandishi anayejulikana ipo katika Injili za 2 na 3 Yohana.
 
Nadhani karafuu and more!.

Karafuu , mbata, mafuta ya nazi , usumba .makonyo

Nchi iliyokuwa ikiongoza kwa uzalishaji karafuu ulimwenguni ilikuwa Zanzibar. CCM imevuruga kila kitu
 
Wazungu wakivaa magunia huku wakisafiri na kufika hadi America, Australia, Cape of Good Hope, India na New Zealand, wakati mwarabu akiishia pwani ya Afrika ya mashariki kuletea ushoga Mombasa,
kwani wazungu walianza lini kusafiri kwenda hizo nchi ulizozitaja ? Mbona waafrika walifika mwanzo marekani kabla wazungu
 
IMEANDIKWA KABLA YA muhammad Wala Quran KUWEPO!
👇🏼👇🏼
يوحنا 1: 1-4، 14
[1] في البدء كان الكلمة، والكلمة كان عند الله، وكان الكلمة الله.

[2] في البدء كان عند الله.

[3] حدث له كل شيء؛ وبدونه لم يحدث شيء مما تم.

[4] فيه كانت الحياة، وكانت الحياة نور الشعب.

[14] والكلمة صار جسدا وبقي معنا. ورأينا مجده مجدا كما لوحيد من الآب. وهو مملوء نعمة وحقًا.

8 قال له فيلبس يا سيد أرنا الآب يكفينا.

9 قال له يسوع: «أنا معكم هذه الأيام كلها، أما تعرفني يا فيلبس؟» الذي رآني فقد رأى الآب. فكيف تقول أرنا يا أبانا؟

yuhanaa 1: 1-4, 14
[1] fi albad' kan alkalimatu, walkalimat kan eind allahi, wakan alkalimat allahu.
[2] fi albad' kan eind allahi.
[3] hadath lah kulu shay'a; wabidunih lam yahduth shay' mimaa tama.
[4] fih kanat alhayaatu, wakanat alhayaat nur alshaeb.
[14] walkalimat sar jasadan wabaqi maena. wara'ayna majdah majdan kama liwahid min alab. wahu mamlu' niemat whqan.
8 qal lah filbas ya sayid 'arna alab yikfina.
9 qal lah yasuea: <<ana maeakum hadhih al'ayaam kullha, 'ama taerifuni ya filibis?>> aladhi rani faqad ra'aa alab. fakayf taqul 'arnan ya 'abana?

John 1:1-4,14
[1]Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.

[2]Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.

[3]Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika.

[4]Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu.

[14]Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.

[8]Filipo akamwambia, Bwana, utuonyeshe Baba, yatutosha.

[9]Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?

Tatizo la Waislamu ni kumjadili YESU AKIWA KATIKA HALI YAKE YA UBINADAMU KAMILI! JN.1:14!
HAWANA HOJA ALIPO KUWA MUNGU KAMILI! "NENO" JN.1:1

TAMKA SASA MUNGU HANA UWEZO WA KUWA MUNGU KAMILI NA MWANADAMU KAMILI ILI UJIPE WEPESI WA KUFA KAFIRI!

لا يوجد إله يمكن أن يُعبد بالبر إلا يسوع ورسوله بولس!
تكبير المسيح أكبر

la yujad 'iilah yumkin 'an yuebd bialbiri 'iilaa Yasue warasulih Bulis!💪👍
takbir ✊🏼 alMasih 'Akbar 👊🏼

HAKUNA MUNGU APASWAYE KUABUDIWA KWA HAQI ILA YESU NA PAULO MTUME WAKE!💪👍
TAKBIR ✊🏼YESU AKBAR 👊🏼

MUNGU HAWEZI KUONEKANA KWA MACHO. HAKUNA ALIYEMWONA MUNGU, KWA HIYO YESU SI MUNGU!

Yesu (AS) akasema; "Hakuna mtu ambaye amemwona Mungu wakati wowote." [Yohana 1:18]

Yesu (AS) akasema; "Si kwamba mtu amemwona Baba." [Yohana 6:46]

“Hakuna maono yanayoweza kumshika, bali Yeye hushika maono yote. Yeye ni Al-Latiif (Mpole na Mpole), Mjuzi wa kila kitu.” [Qur’ani 6:103]

“MUNGU akaendelea, “Lakini huenda usinione uso wangu. Hakuna anayeweza kuniona na kuishi.” [Kutoka 33:20]

“Mungu asiyeonekana.” [Wakolosai 1:15]

“Basi kwa Mfalme wa milele, asiyeweza kufa, asiyeonekana, Mungu pekee, na iwe heshima na utukufu milele na milele. [1 Timotheo 1:17]

Ambaye hakuna mtu aliyemwona wala awezaye kumwona.” [1 Timotheo 6:16]
 
Ulaya na marekani walishaachana na ukiristo,ni wapagani,halafu waislam hawawategemei wazungu kwa hayo,mwisho waarabu wanasilimisha wazungu huko ulaya na marekani, central London Mali nyingi ni za waislam,kwa hiyo tulia
Ndio hiki unachombiwa ni kiherehere kwenye nchi za watu husikii. Si hizo mali wangeenda kuzitafuta na kuzitumia kwao! Kwani shida iko wapi mpaka wang'ang'ane kuishi na London na kutaka wenyeji waishi kama wao
 
Karafuu , mbata, mafuta ya nazi , usumba .makonyo

Nchi iliyokuwa ikiongoza kwa uzalishaji karafuu ulimwenguni ilikuwa Zanzibar. CCM imevuruga kila kitu
Yawezekana ukawa sahihi au usiwe sahihi sana kwa hizo bidhaa.

Mimi siamini katika vyama ila unapoanza kuraumu CCM sijui imefanya nini bado na mimi nakuraumu wewe, maana unazidi kubweteka kwa lawama badala ya kufanya unaloona baya!.
 
Yawezekana ukawa sahihi au usiwe sahihi sana kwa hizo bidhaa.

Mimi siamini katika vyama ila unapoanza kuraumu CCM sijui imefanya nini bado na mimi nakuraumu wewe, maana unazidi kubweteka kwa lawama badala ya kufanya unaloona baya!.
Yaani Mimi nimechukuwa shamba la mtu ? CCM ndiyo ilitaifisha mashamba na viwanda vya watu kuvichukua matokeo yake mashamba yamekufa na viwanda vimekufa
 
Let the video itself
🤣🤣

Acha tu nianze na kicheko

Lakini pili:

Napenda kujivunia nchi yangu Tanzania na Watanzania wenzangu wengi ambao licha ya kutofautiana dini, lakini bado, namna tunavyoishi, ni mfano wa ndugu wa damu moja ingaweje kuna baadhi ya wachache washika dini ambao hutaka kulazimisha kutaka kushikamana na mafundisho ya chuki dhidi ya wengine

Jambo la tatu, Naipongeza serikali yangu ya TANZANIA, jinsi ilivyo makini hasa katika kusimamia uhuru wa kuabudu na kuwachukulia hatua wowote wenye kutaka kuleta sintofahamu za kidini

Asante TANZANIA kwa kuendelea kusimamia misingi yote ya kulinda Imani zote na kuacha uhuru wa kuabudu, Jambo moja lingine la kujivunia ni kwamba, twaweza kuwa chini kielimu lakini Elimu ihusuyo Dini, tunaimudu vema na haituzingui, waarabu wao waendelee na imani yao isiyotambulika na dini zote hapa nchini, wao kuwa na utamaduni wa kujilipua mabomu na kuleta taharuki

Nikirejea kwenye mada sasa...!

Unajua kuna watu na dini zao hujiona wao ndo wana mungu na wanaakili nyingi kulikoni watu wengine wote ilihali kumbe wao huwenda ndio wajinga kushinda kila mtu dunian

Unakejeri nchi za watu na kuwaita Makafiri, halafu wewe ndo unaomba kuhamia huko na usivyo na ustarabu sasa, tabu tupu

Nchi za Ulaya na Marekani huitwa nchi za Makafiri kwa sababu Dini yao huko ni tofauti na aliyonayo mwarabu ambayo kwa hiyo, huwaita watu wa huko makafiri

Cha ajabu ni kwamba, hawa watu kila leo wanawaza kwenda ulaya kuishi huko kwa makafiri!

Swali ni Je, unaanzaje kuita nchi za watu ni nchi za Makafiri na wakati huo huo unapanga kufia huko kwa makafiri na kuzikwa kwenye nchi ambazo kwa wewe unaziona ni za laana maana zimekaliwa na makafiri

Je? Kafiri anaweza kumlea mwislamu asiyependa makafiri?
Let the video itself enlinghten your wrongful thoughts
 

Attachments

  • VID-20240806-WA0002.mp4
    35.3 MB
Back
Top Bottom