Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yesu ni MUNGU KAMILI NA MWANADAMU KAMILI!💪👍Kwani Yesu ni Nani huyo kwa mujibu wa biblia ?
Mkuu Huyu jagi ni ubao mzuri wa kufundishia!Mwandishi ni huyohuyo Yohana mkuu
Nikimbie kitu Gani?? Mimi, ww, muham mad aka allah MUNGU WETU ni Mmoja!Mbona unakimbia kutuambia ile Exodus uliyotuletea katuletea Mungu yupi ?
Wamekimbia kwenye nchi zao zenye dini ya amani.🤣🤣
Acha tu nianze na kicheko
Lakini pili:
Napenda kujivunia nchi yangu Tanzania na Watanzania wenzangu wengi ambao licha ya kutofautiana dini, lakini bado, namna tunavyoishi, ni mfano wa ndugu wa damu moja ingaweje kuna baadhi ya wachache washika dini ambao hutaka kulazimisha kutaka kushikamana na mafundisho ya chuki dhidi ya wengine
Jambo la tatu, Naipongeza serikali yangu ya TANZANIA, jinsi ilivyo makini hasa katika kusimamia uhuru wa kuabudu na kuwachukulia hatua wowote wenye kutaka kuleta sintofahamu za kidini
Asante TANZANIA kwa kuendelea kusimamia misingi yote ya kulinda Imani zote na kuacha uhuru wa kuabudu, Jambo moja lingine la kujivunia ni kwamba, twaweza kuwa chini kielimu lakini Elimu ihusuyo Dini, tunaimudu vema na haituzingui, waarabu wao waendelee na imani yao isiyotambulika na dini zote hapa nchini, wao kuwa na utamaduni wa kujilipua mabomu na kuleta taharuki
Nikirejea kwenye mada sasa...!
Unajua kuna watu na dini zao hujiona wao ndo wana mungu na wanaakili nyingi kulikoni watu wengine wote ilihali kumbe wao huwenda ndio wajinga kushinda kila mtu dunian
Unakejeri nchi za watu na kuwaita Makafiri, halafu wewe ndo unaomba kuhamia huko na usivyo na ustarabu sasa, tabu tupu
Nchi za Ulaya na Marekani huitwa nchi za Makafiri kwa sababu Dini yao huko ni tofauti na aliyonayo mwarabu ambayo kwa hiyo, huwaita watu wa huko makafiri
Cha ajabu ni kwamba, hawa watu kila leo wanawaza kwenda ulaya kuishi huko kwa makafiri!
Swali ni Je, unaanzaje kuita nchi za watu ni nchi za Makafiri na wakati huo huo unapanga kufia huko kwa makafiri na kuzikwa kwenye nchi ambazo kwa wewe unaziona ni za laana maana zimekaliwa na makafiri
Je? Kafiri anaweza kumlea mwislamu asiyependa makafiri?
Nikimbie kitu Gani?? Mimi, ww, muham mad aka allah MUNGU WETU ni Mmoja!
👇👇
وَإِلَـٰهُكُمْ إِلَـٰهٌ وَاحِدٌ ۖ لَّا إِلَـٰهَ إِلَّا هُوَ الرَّحْمَـٰنُ الرَّحِيمُ
[ AL - BAQARA - 163 ]
Na Mungu wenu ni Mungu mmoja tu, hapana mungu ila Yeye. Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.
Yesu ni MUNGU KAMILI NA MWANADAMU KAMILI!💪👍
👇👇
لا ينبغي أن يوعد الله بحق سوى يسوع! وبولس رسوله
la yanbaghi 'an yueid allah bihaqi siwaa yasuea! wabulus rasulah
Hakuna Mungu Apaswaye Kuabudiwa kwa Haqi ila Yesu! na Paulo Mtume wake
Takbir✊🏼Yasue Akbar👊🏼
Wamekimbia kwenye nchi zao zenye dini ya amani.
Mwandishi ni huyohuyo Yohana mkuu
Yesu ni MUNGU KAMILI NA MWANADAMU KAMILI!💪👍
👇👇
لا ينبغي أن يوعد الله بحق سوى يسوع! وبولس رسوله
la yanbaghi 'an yueid allah bihaqi siwaa yasuea! wabulus rasulah
Hakuna Mungu Apaswaye Kuabudiwa kwa Haqi ila Yesu! na Paulo Mtume wake
Takbir✊🏼Yasue Akbar👊🏼
Nikimbie kitu Gani?? Mimi, ww, muham mad aka allah MUNGU WETU ni Mmoja!
👇👇
وَإِلَـٰهُكُمْ إِلَـٰهٌ وَاحِدٌ ۖ لَّا إِلَـٰهَ إِلَّا هُوَ الرَّحْمَـٰنُ الرَّحِيمُ
[ AL - BAQARA - 163 ]
Na Mungu wenu ni Mungu mmoja tu, hapana mungu ila Yeye. Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.
Yesu ni MUNGU KAMILI NA MWANADAMU KAMILI!💪👍
👇👇
لا ينبغي أن يوعد الله بحق سوى يسوع! وبولس رسوله
la yanbaghi 'an yueid allah bihaqi siwaa yasuea! wabulus rasulah
Hakuna Mungu Apaswaye Kuabudiwa kwa Haqi ila Yesu! na Paulo Mtume wake
Takbir✊🏼Yasue Akbar👊🏼
Mjadara unaenda vizuri sanaInjili ya Yohana:
Hivi ndivyo wanatheolojia na wanahistoria wa Biblia walivyosema kuhusu injili hii:
“Wasomi wengi wa karne mbili zilizopita wamekana kwamba Yohana ndiye aliyeandika kitabu hiki, kwa sababu ya imani yao kwamba mwandishi alibuni mambo mengi kama vile miujiza na mazungumzo ya Yesu (The Holman Illustrated Study Bible, ISBN: 978-1-58640-275-4, Injili ya Yohana, Ukurasa 1540)"
"Uchambuzi wao Muhimu hufanya iwe vigumu kukubali wazo kwamba injili kama ilivyo sasa iliandikwa na mtu mmoja. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"
"Ndani ya injili yenyewe pia kuna baadhi ya kutofautiana. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"
"Ili kutatua matatizo haya, wasomi wamependekeza upangaji upya mbalimbali ambao utatoa utaratibu mzuri zaidi. Hata hivyo, wengi wamefikia hitimisho kwamba kutofautiana pengine kulitolewa na uhariri uliofuata ambapo vifaa vya homogeneous viliongezwa kwa asili fupi. Biblia, ISBN: 978-0-529-06484-4, Ukurasa 1136)"
"Matatizo mengine kwa nadharia yoyote ya uandishi wa mashuhuda wa injili katika hali yake ya sasa yanawasilishwa na theolojia yake iliyoendelea sana na kwa vipengele fulani vya mtindo wake wa kifasihi. ( The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4; Ukurasa wa 1136)"
"Injili ina maelezo mengi kuhusu Yesu ambayo hayapatikani katika muhtasari wa injili. (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Page 1136)"
“Uhariri wa mwisho wa injili na mpangilio katika hali yake ya sasa huenda ulianza kati ya A.D. 90 na 100. Kidesturi, Efeso imependelewa kama mahali pa utunzi, ingawa wengi wanaunga mkono eneo la Shamu, pengine jiji la Antiokia, wakati wamependekeza maeneo mengine, ikiwa ni pamoja na Alexandria (The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Ukurasa 1136)"
Bila shaka tunakubaliana sote kwamba! Hakuna neno lolote gumu kwa MunguYESU ALIMUOMBA MUNGU, JE, MUNGU ANAJIOMBEA MWENYEWE?
• Yesu aliomba mwongozo katika mahali pa faragha - “Asubuhi na mapema, kukiwa bado na giza, Yesu aliamka, akatoka nyumbani, akaenda mahali pasipokuwa na watu, akasali. [Marko 1:35]
"Lakini mara nyingi Yesu aliondoka kwenda mahali pasipokuwa na watu na kusali." [Luka 5:16]
• Yesu aliombea wanafunzi wake na waamini wote -“Baba Mtakatifu (MUNGU), uwalinde kwa nguvu ya jina lako—jina ulilonionyesha—ili wawe na umoja kama sisi tulivyo umoja” [Yohana 17:11]. ].
• Yesu aliomba kwa sifa kwa Mungu, Baba – “Wakati huo Yesu, akijawa na furaha kwa Roho Mtakatifu, akasema, Nakusifu, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na hekima. kujifunza, na kuwafunulia watoto wadogo. Naam, Baba, kwa kuwa ndivyo ilivyokupendeza.” ( Luka 10:21 )
• Yesu aliomba kwa mkao na kwa mtazamo wa kunyenyekea kwa uchaji – “Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke. Lakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe” (Mathayo 26:39).
• Yesu aliomba katika nyakati za uchungu – “Naye, akiwa katika dhiki, akazidi kuomba kwa bidii, na jasho lake likawa kama matone ya damu yakidondoka chini. [Luka 22:44]
Huna Sifa wla MAMLAKA ya Kufundisha BIBLIA TAKATIFU!YESU ANA MUNGU, KWA HIYO SI MUNGU!
“Yesu akamwambia, Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba yangu; na kwa Mungu wangu, na Mungu wenu.” [Yohana 20:17]
“Atukuzwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo…” (1 Petro 1:3)
“Wakati huo Yesu, akijawa na furaha kwa Roho Mtakatifu, akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na elimu, ukawafunulia watoto wadogo. Naam, Baba, kwa kuwa ndivyo ilivyokupendeza.” ( Luka 10:21 )
Yesu (AS) alisema, “Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma. [Yohana 17:3]
"Yesu akawajibu, akasema, Mafundisho yangu si yangu, bali ni yake yeye aliyenipeleka." [Yohana 7:16]
YESU ALIKUWEPO KABLA YA KUZALIWAMUNGU HAWEZI KUONEKANA KWA MACHO. HAKUNA ALIYEMWONA MUNGU, KWA HIYO YESU SI MUNGU!
Yesu (AS) akasema; "Hakuna mtu ambaye amemwona Mungu wakati wowote." [Yohana 1:18]
Yesu (AS) akasema; "Si kwamba mtu amemwona Baba." [Yohana 6:46]
“Hakuna maono yanayoweza kumshika, bali Yeye hushika maono yote. Yeye ni Al-Latiif (Mpole na Mpole), Mjuzi wa kila kitu.” [Qur’ani 6:103]
“MUNGU akaendelea, “Lakini huenda usinione uso wangu. Hakuna anayeweza kuniona na kuishi.” [Kutoka 33:20]
“Mungu asiyeonekana.” [Wakolosai 1:15]
“Basi kwa Mfalme wa milele, asiyeweza kufa, asiyeonekana, Mungu pekee, na iwe heshima na utukufu milele na milele. [1 Timotheo 1:17]
Ambaye hakuna mtu aliyemwona wala awezaye kumwona.” [1 Timotheo 6:16]
YESU NI MTUMISHI WA MWENYEZI MUNGU, HIVYO YEYE SI MUNGU!
Yesu (AS) akasema; “Kama vile Mwana wa Adamu hakuja kutumikiwa, bali kutumika.” [Mathayo 20:28]
“Tazama mtumishi wangu (Yesu), niliyemchagua.” [Mathayo 12:18]
"Mungu wa Ibrahimu na wa Isaka, amemtukuza mtumishi wake Yesu." [Matendo 3:13]
"Kwa maana ni kweli juu ya mtumishi wako mtakatifu Yesu, uliyemtia mafuta." [Matendo 4:27]
Hiyo ni kwa mujibu wa biblia au injili ya bulelaa?Mjadara unaenda vizuri sana
Okay,
Kwanza tambua kwamba bwana Jagina
Jina (MUNGU) = na cheyo, yaani, ni kiti kinachosubiri mwenye hiyo mamlaka kukikaliwa
Ni sawa na kiti cha (Rais) Rais ni nafasi na au cheyo na siyo jina la mwenye Cheyo, mwenye Cheyo analo jina lake kamili, na anapoondoka kwenye nafasi hiyo, bado haibadirishi neno Rais! Yesu kuja duniani na kuvaa mwili, hakukumbafirisha kubaki kwenye nafasi hiyo kama (NENO) Ambaye ndiye MUNGU
Ndiyo maana kuna miungu wengi, na hata nafasi au cheo cha urais, kinaeweza kuwepo na nagasi hizo nyingi, lakini mwenye mamlaka makuu ni yule rais wa marais
ninakurejeza tena katika kitabu cha Yohana 1:1-14 hasa hasa ule wa 14 pekee
utakuja kugundua kuwa, anayejipambanua kwenye hiyo nafasi (CHEO) cha nafasi ya Uungu ndiye huyo (NENO) ambaye alikuja dunuani, kisha akavaa mwili huo ambao hata wewe unao, inamalizia kusema, nasi tukauona utukufu wa MUNGU
Ingaweje unamkataa Yohana kwamba hatambuliki na ili tu kuhalarisha kile kilichoko kwenye moyo wako
Unaelewa ninapo kwamba YESU NI MUNGU KAMILI NA NI MWANADAMU KAMILI??YESU ANA MUNGU, KWA HIYO SI MUNGU!
“Yesu akamwambia, Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba yangu; na kwa Mungu wangu, na Mungu wenu.” [Yohana 20:17]
“Atukuzwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo…” (1 Petro 1:3)
“Wakati huo Yesu, akijawa na furaha kwa Roho Mtakatifu, akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na elimu, ukawafunulia watoto wadogo. Naam, Baba, kwa kuwa ndivyo ilivyokupendeza.” ( Luka 10:21 )
Yesu (AS) alisema, “Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma. [Yohana 17:3]
"Yesu akawajibu, akasema, Mafundisho yangu si yangu, bali ni yake yeye aliyenipeleka." [Yohana 7:16]
MUNGU HAWEZI KUONEKANA KWA MACHO. HAKUNA ALIYEMWONA MUNGU, KWA HIYO YESU SI MUNGU!
Yesu (AS) akasema; "Hakuna mtu ambaye amemwona Mungu wakati wowote." [Yohana 1:18]
Yesu (AS) akasema; "Si kwamba mtu amemwona Baba." [Yohana 6:46]
“Hakuna maono yanayoweza kumshika, bali Yeye hushika maono yote. Yeye ni Al-Latiif (Mpole na Mpole), Mjuzi wa kila kitu.” [Qur’ani 6:103]
“MUNGU akaendelea, “Lakini huenda usinione uso wangu. Hakuna anayeweza kuniona na kuishi.” [Kutoka 33:20]
“Mungu asiyeonekana.” [Wakolosai 1:15]
“Basi kwa Mfalme wa milele, asiyeweza kufa, asiyeonekana, Mungu pekee, na iwe heshima na utukufu milele na milele. [1 Timotheo 1:17]
Ambaye hakuna mtu aliyemwona wala awezaye kumwona.” [1 Timotheo 6:16]
YESU NI MTUMISHI WA MWENYEZI MUNGU, HIVYO YEYE SI MUNGU!
Yesu (AS) akasema; “Kama vile Mwana wa Adamu hakuja kutumikiwa, bali kutumika.” [Mathayo 20:28]
“Tazama mtumishi wangu (Yesu), niliyemchagua.” [Mathayo 12:18]
"Mungu wa Ibrahimu na wa Isaka, amemtukuza mtumishi wake Yesu." [Matendo 3:13]
"Kwa maana ni kweli juu ya mtumishi wako mtakatifu Yesu, uliyemtia mafuta." [Matendo 4:27]
Boss! Anakuelewa fika, ila kwa sababu ya jinsi ambavyo wameelekezwa wakatae tu kuuhusu Uungu wa Yesu, basi tuUnaelewa ninapo kwamba YESU NI MUNGU KAMILI NA NI MWANADAMU KAMILI??
👇👇
John 1:1,3,14
[1]In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God.
Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.
[3]All things were made by him; and without him was not any thing made that was made.
Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika.
[14]And the Word was made flesh, and dwelt among us, (and we beheld his glory, the glory as of the only begotten of the Father,) full of grace and truth.
Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.
Unaelewa ninapo kwamba YESU NI MUNGU KAMILI NA NI MWANADAMU KAMILI??
👇👇
John 1:1,3,14
[1]In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God.
Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.
[3]All things were made by him; and without him was not any thing made that was made.
Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika.
[14]And the Word was made flesh, and dwelt among us, (and we beheld his glory, the glory as of the only begotten of the Father,) full of grace and truth.
Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.