Madwari Madwari
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 1,825
- 3,085
Zanzibar hamna ushoga Bara ndio inaongoza kwa ushoga ? Hii ni kwa sababu Bara kuna wakristo wengi kuliko waislamu ,😂😂😂😂Mmh Ufaransa ina wa kuristu 97% wamepokea ushogaa Watanzania wako 30% wakristu wamegomea ushogaa, kwahiyo wataka kuwafuata kwasbb ni wengi na wanajua ukristo kuzidi nyie huku,......?
Kumbe dini zina protocal! Akila kitimoto ruksa kwa sababu kiongozi wa nchi! Hapa umebuma, dini hazina protocal hiyoPia naomba ujifunze dini ya kiislamu kuna mambo ya hiari na ya lazima faradha suala la mazishi sio la lazima lina flexebility kubwa kama kuna sababu, uislamu una logic sana kuliko dini zote duniani.
Hapo Iran hawana haramu yoyote ata wakiamua kukaa wiki nzima bado wako sahihi yule ni kiongozi wa nchi kuna protocal
Hapana, usituaminishe kuwa serikali inaweza kumzika kipagani.Kwamba maamuzi ya serikali tena serikali ya kidini yana-override taratibu za kidini ambazo serikali hiyo hiyo inapaswa kuzisimamia? Let's be serious! The point is, kuchanganya dini na siasa ni mbaya.
Mkuu, ngoja waje tuwasikie kwanza.Ni hivi, viongozi kadhaa wa dini ya kiislamu hapa nchini katika mawaidha yao hudai kuwa ni haramu kuchelewesha mwili wa marehemu hata kama alikuwa kiongozi akifa azikwe fasta fasta.
Sasa kafariki Rais wa Iran (nchi yenye watu wanaoujua na kuuishi uislamu kukiko waislamu wa buza), amefariki tangu tarehe 19 na leo ni tarehe 22 bado hawajazika, wana aga tu, kesho ndiyo watazika.
Nataka mashehe wangu waje hapa waseme ni nani anaujua uislamu zaidi kati yao na hawa majamaa, ikumbukwe kuwa huyu mzee alikuwa kiongozi wa kidini tena yule mkereketwa, na Iran wana mpaka mchinjaji wa taifa anayechinja watu wanaokana uislamu na kufanya makosa mengine kinyume na sharia.
Hizo asilimia za watanzania umezipataze au ndio mnatumia takwimu za waraka mliopitisha kimyakimya.Mmh Ufaransa ina wa kuristu 97% wamepokea ushogaa Watanzania wako 30% wakristu wamegomea ushogaa, kwahiyo wataka kuwafuata kwasbb ni wengi na wanajua ukristo kuzidi nyie huku,......?
😂😂😂 kwamba Wakristo ni 60% ya Watanzania wote?Umelewa au umevuta!? Takwimu ya wapi hiyo kuwa Wakristo Tz ni 30%? Kwa Takwimu ya mwisho hapa nchini Wakristo ni 60% ya Watanzania wote, hizo takwimu za madrasa wapelekee hukohuko madrasa muendelee kujifariji.
Wale hawatenganishi dini na serikali (Iran).Wake serikali humohumo, Dini humohumo ndo maana kuna askari wanaofuatilia mambo ya morality ( can you imagine?).Kuna dini na kiongozi wa nchi. Kiongozi wa nchi ni mali ya serikali. Anapofariki serikal husimamia taratibu zote, haijalishi dini yako
Dini ya mashetaniNi hivi, viongozi kadhaa wa dini ya kiislamu hapa nchini katika mawaidha yao hudai kuwa ni haramu kuchelewesha mwili wa marehemu hata kama alikuwa kiongozi akifa azikwe fasta fasta.
Sasa kafariki Rais wa Iran (nchi yenye watu wanaoujua na kuuishi uislamu kukiko waislamu wa buza), amefariki tangu tarehe 19 na leo ni tarehe 22 bado hawajazika, wana aga tu, kesho ndiyo watazika.
Nataka mashehe wangu waje hapa waseme ni nani anaujua uislamu zaidi kati yao na hawa majamaa, ikumbukwe kuwa huyu mzee alikuwa kiongozi wa kidini tena yule mkereketwa, na Iran wana mpaka mchinjaji wa taifa anayechinja watu wanaokana uislamu na kufanya makosa mengine kinyume na sharia.
Nataka wanijibuUna wachokoza vijana wa mnyaazi mungu watakurukia shauri yako
Leo mnakana mashehe ubwabwa wanaosema ni haramu kuchelewesha mazishi?Waislamu hawafuati saudia wla Iran , hao hawana cha kuongeza mbona yule kiongozi wa saudia alizikwa usiku ule ule.
Nani kakuambia kuchelewesha kuzika ni dhambi?
Hahahaa, ngoja tuoneHutapewa jibu hapa due wenyew hawaelewi...wapo wapo tu
Kabisa mkuuWabongo ni wafuasi tu na hawajuwi lolote kuhusu hizi dini za maboti, usikute watu wengi waliokufa na kuzikwa haraka walikuwa wamezimia tu
Huko peponi mudi atakuwa kapata U.T.IHata akicheleweshwa haimuathiri ashajitwalia mabikira wake japo kapewa wachache kwasababu mudi anawang'ang'ania wengi