Waislamu wa Tanzania hawaijui Dini yao?

Mmh Ufaransa ina wa kuristu 97% wamepokea ushogaa Watanzania wako 30% wakristu wamegomea ushogaa, kwahiyo wataka kuwafuata kwasbb ni wengi na wanajua ukristo kuzidi nyie huku,......?
Zanzibar hamna ushoga Bara ndio inaongoza kwa ushoga ? Hii ni kwa sababu Bara kuna wakristo wengi kuliko waislamu ,😂😂😂😂
 
Kumbe dini zina protocal! Akila kitimoto ruksa kwa sababu kiongozi wa nchi! Hapa umebuma, dini hazina protocal hiyo
 
Kwamba maamuzi ya serikali tena serikali ya kidini yana-override taratibu za kidini ambazo serikali hiyo hiyo inapaswa kuzisimamia? Let's be serious! The point is, kuchanganya dini na siasa ni mbaya.
Hapana, usituaminishe kuwa serikali inaweza kumzika kipagani.
 
Mkuu, ngoja waje tuwasikie kwanza.
 
Mmh Ufaransa ina wa kuristu 97% wamepokea ushogaa Watanzania wako 30% wakristu wamegomea ushogaa, kwahiyo wataka kuwafuata kwasbb ni wengi na wanajua ukristo kuzidi nyie huku,......?
Hizo asilimia za watanzania umezipataze au ndio mnatumia takwimu za waraka mliopitisha kimyakimya.
Ufaransa kumejaa waarabu na waislamu wengi toka nchi za Afrika Magharibi na nchi za kiarabu Kama Algeria na Tunisia ambazo ni za kiislamu..
 
Umelewa au umevuta!? Takwimu ya wapi hiyo kuwa Wakristo Tz ni 30%? Kwa Takwimu ya mwisho hapa nchini Wakristo ni 60% ya Watanzania wote, hizo takwimu za madrasa wapelekee hukohuko madrasa muendelee kujifariji.
😂😂😂 kwamba Wakristo ni 60% ya Watanzania wote?

Wakristo wameathiriwa na utamaduni wa wazungu eti uzazi wa mpango na mume mmoja mke mmoja.

Sasa mume mmoja na mke mmoja halafu mnazaa vitoto viwili sijui Junior na Senior basi unadhani utashindana na muislamu anayeoa wake wawili hadi wanne na kila mwanamke anazaa sio chini ya watoto watano?

Vitu vingine mnalishana matango pori makanisani pasipo kuwa na uelewa wa kawaida tu.
 
Kuna dini na kiongozi wa nchi. Kiongozi wa nchi ni mali ya serikali. Anapofariki serikal husimamia taratibu zote, haijalishi dini yako
Wale hawatenganishi dini na serikali (Iran).Wake serikali humohumo, Dini humohumo ndo maana kuna askari wanaofuatilia mambo ya morality ( can you imagine?).
Swali la mdau lina logic sana
 
😛 😛 😛Kuwahishwa ni muhimu kama kuzika, ndoa na salah
 
Waislamu hawafuati saudia wla Iran , hao hawana cha kuongeza mbona yule kiongozi wa saudia alizikwa usiku ule ule.

Nani kakuambia kuchelewesha kuzika ni dhambi?
 
Dini ya mashetani
 
Una wachokoza vijana wa mnyaazi mungu watakurukia shauri yako
 
Waislamu hawafuati saudia wla Iran , hao hawana cha kuongeza mbona yule kiongozi wa saudia alizikwa usiku ule ule.

Nani kakuambia kuchelewesha kuzika ni dhambi?
Leo mnakana mashehe ubwabwa wanaosema ni haramu kuchelewesha mazishi?
 
Hata akicheleweshwa haimuathiri ashajitwalia mabikira wake japo kapewa wachache kwasababu mudi anawang'ang'ania wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…