Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hamjui hata Mama ana asili ya Kiarabu, kwani ni siri
Yaani kwa Kasi hii ya kuzaana hiyo race itatowekaje? Wewe sema meza kuu huwezi onekana kwa sababu za umaskini wako..Kati ya ujinga ambao mababu zetu waliufanya ni kukubali hizi dini. Yaani ni ujinga mkubwa sana kuwahi kutokea maana tumepoteza identity yetu kabisa. Unamkuta mhaya wa kamachumu anaishi kama mwalabu wa taleban.
Na kama hatujashituka sasa, race yetu itakuja kutoweka. Dawa ya kutokomeza huu ujinga Wa mara uislam mara ukiristo ni sasa. Turudi nyuma na tuanze upya kufuata misingi ya mababu zetu. Mamiskiti na makanisa yao tuyavunje na kuyachoma moto.
Sasa watakao kuwa wakiswali hapo ni Waoman au Wahaya? Mkuu naona haipendezi hao representative wa hilo tukio kuwa karibu 98% wageni.Ndugu zangu,
Mtu anapotaka kujadili jambo lolote nI vyema akafanya utafiti kwanza.
Hao ni viongozi wa Ibadh na asili yao ni Oman.
Mfano mzuri ni huu wa Greek Othodox Church (Hellenic).
Kanisa lao lipo Ali Hassan Mwinyi Road.
Itashangaza kuuliza kwa nini katika kanisa lao hakuna Waingereza.
Fugo...Kati ya ujinga ambao mababu zetu waliufanya ni kukubali hizi dini. Yaani ni ujinga mkubwa sana kuwahi kutokea maana tumepoteza identity yetu kabisa. Unamkuta mhaya wa kamachumu anaishi kama mwalabu wa taleban.
Na kama hatujashituka sasa, race yetu itakuja kutoweka. Dawa ya kutokomeza huu ujinga Wa mara uislam mara ukiristo ni sasa. Turudi nyuma na tuanze upya kufuata misingi ya mababu zetu. Mamiskiti na makanisa yao tuyavunje na kuyachoma moto.
Wakuu msiangalie rangi, miongoni mwa hao waliopiga picha na Hangaya kuna wahaya wa Kamachumu, Kishanda na Kyabagenzi kwa Arub Nassor ni wahaya wenye asili ya Oman..hata Karibu Kishanda ukaoe muarabu wapo wengi!
Uko sahihi 100% kabisa, mfano mzuri ni wale wazee wa "Vatican city" Roman Catholic/RC, KKKT na SDA/Wasabato huwa nawakubali sana kwa huduma za shule na Mahospitali wako vizuri sana tu tena si TZ pekee bali ni duniani kote.Alafu ukichunguza hizi nchi za uarabuni michango yao mingi ni miskiti na madrassa. Wazungu wao hospitali na mashule, tafakari
Halafu Wazungu wakimbagua Obama unalalamika
Wazee wote wa Tanzania wana asili ya nje ya Tanzania kasoro Mzee Ally Hassan Mwinyi
hata bin Mrisho ana asili ya Umanyema na ndio hilo jina limetokea
Kambarage kwa kina Kagame
Mkapa kwa kina Bakili Muluzi
JPM kwa kina Ntibantunganya
Uko sahihi 100% kabisa, mfano mzuri ni wale wazee wa "Vatican city" Roman Catholic/RC, KKKT na SDA/Wasabato huwa nawakubali sana kwa huduma za shule na Mahospitali wako vizuri sana tu tena si TZ pekee bali ni duniani kote.
Duh...!.Hiyo ni Bukoba KZ Tanzania ambapo 99.9% ya Wakazi na Waislamu wa KZ ni Black people, wako wapi kwenye hiyo picha ukiondoa Bakwata na Serikali ? Hapo siyo Omani au Saudia, ni Tanzania KZ, …
View attachment 2256996
View attachment 2257031
Honestly sina shida na hiyo picha hapo juu ila kuna vitu vimenifikirisha. Hivi hadi leo bado tuna haja ya msaada wa kanisa au Misikiti, kweli!? Kwanini isiwe shule, hospital!?
Watanzania bwana. Kila kitu tunajifanya tuna majibu.Huo msikiti umejengwa na watu wa Oman ndio hao waliopo kwenye picha
Zina faida na hasara zake.Kama hadi leo hujui au huja experience faida ya kuja hizi dini Africa unapaswa kupewa pole sana
[emoji16]Hao ndio waliojenga msikiti. Watakaotumia (waumini) ni mablack a.k.a Wamatumbi..
Nadhani ingekua haki Kama na waliojengewa wakawa na wawakilishi japo watano.Huo msikiti umejengwa na watu wa Oman ndio hao waliopo kwenye picha