Waislamu wagombea Msikiti wa Wilaya ya Nyamagana, Ngumi zaibuka Waumini wadai BAKWATA imeundwa huu Msikiti wa Masjid Noor wameukuta!

Waislamu wagombea Msikiti wa Wilaya ya Nyamagana, Ngumi zaibuka Waumini wadai BAKWATA imeundwa huu Msikiti wa Masjid Noor wameukuta!

Mali ya waislam itaandikwaje kwenye hati ? Mfano Waislam wapo milioni 20 ama 30 na wanazaliwa na kufa kila siku

Si itakuwa vurugu mechi hiyo hati.

Hata Tanzania kwa mfano ardhi ni mali ya uma. Ila kisheria Rais ndie ana mamlaka ya kuisimamia hiyo ardhi ya uma akituwalilisha uma wa waTanzania . Ndie pekee ana mamlaka wa kuikopea ama kuiuza.

Hivyo Huwezi sema sababu mimi ni sehemu ya uma huu ni mmiliki wa hii ardhi nina mamlaka ya kuifanya chochote.

Bakwata ndie anawakilisha waislam. Mali zote za waislam zinapaswa zisimamiwe na bakwata kama muwakilishi wa hao waislam
Kwednye sheria za YTanzania kuna kitu kinaitwa "kabidhi wasihi" ambae ndiye mweka hazina wa mali zote zenye utata, zamani alikuwa pale vizazi na vifo, ambayo siu hizi inaitwa RITA, naamini kabishi wasihi bado yupo kisheria.

BAKWATA hawana haki ya kuhodhi mali za Waislam kwa kuwa BAKWATA siyo chombo cha Kiislam, jisomee:

 
Vurugu zimeibuka Ndani ya Masjid Noor Uhuru st Mwanza baada ya Uongozi wa Bakwata kujimilikisha Msikiti huo na Nyumba zake

Waumini wameadai Masjid Noor ipo tangu kabla ya Uhuru na watautetea usiporwe na Baraza

Inadaiwa BAKWATA ndio inamiliki Hati ya kiwanja cha Msikiti baada ya ile ya awali yenye jina la Waumini hao kuexpire na kabla hawajarenew Bakwata ikawahi

Source: Iqra FM radio Mwanza
 
Bakwata imeanzishwa na nyerere Bakwata imejifunza unyanganyi kutoka kwa nyerere, Bakwata wanadhulimu mali za waislamu walioijenga kwa pesa zao wanazimilikisha Bakwata wanakula wao na familia zao. nyerere aliwanyanganya watu nyumba zao zimejengwa miaka hata nyerere hajazaliwa aliposhika urais kawadhulumu watu nyumba zao na kuipa NHC wakati nhc hawajajenga nyumba hata moja zoote za wahindi na waarabu dhulma hii ndio inayotutafuna na inaitafuna bakwata
 
IMG_0932.png

IMG_1140.png

IMG_1243.jpg

ndugu zetu wakiristo mpo
 
Bakwata imeanzishwa na nyerere Bakwata imejifunza unyanganyi kutoka kwa nyerere, Bakwata wanadhulimu mali za waislamu walioijenga kwa pesa zao wanazimilikisha Bakwata wanakula wao na familia zao. nyerere aliwanyanganya watu nyumba zao zimejengwa miaka hata nyerere hajazaliwa aliposhika urais kawadhulumu watu nyumba zao na kuipa NHC wakati nhc hawajajenga nyumba hata moja zoote za wahindi na waarabu dhulma hii ndio inayotutafuna na inaitafuna bakwata
Bakwata haikuona haya kuuza viwanja vyenye thamani kubwa jijini Dar es salaam wataona haya kunyang'anya Mwanza. Wamefundishwa kazi na walioianzisha.
 
Mali ya waislam itaandikwaje kwenye hati ? Mfano Waislam wapo milioni 20 ama 30 na wanazaliwa na kufa kila siku

Si itakuwa vurugu mechi hiyo hati.

Hata Tanzania kwa mfano ardhi ni mali ya uma. Ila kisheria Rais ndie ana mamlaka ya kuisimamia hiyo ardhi ya uma akituwalilisha uma wa waTanzania . Ndie pekee ana mamlaka wa kuikopea ama kuiuza.

Hivyo Huwezi sema sababu mimi ni sehemu ya uma huu ni mmiliki wa hii ardhi nina mamlaka ya kuifanya chochote.

Bakwata ndie anawakilisha waislam. Mali zote za waislam zinapaswa zisimamiwe na bakwata kama muwakilishi wa hao waislam
FaizaFoxy THE BIG SHOW The Boss Ritz Mohamed Said watapinga wakati kila kitu kipo wazi.
 
BAKWATA ndio chombo au taasisi madhubuti ya kutetea kulinda mali za Waislam wote Tanzania.

Hizi taasisi nyingine kama Shura ya Maimamu......... zinawakisha fujo na kutuondolea amani watanganyika.
 
Kwanza wafia dini faiza fox,,,,,,tuambieni msikiti ni Mali ya Allah au nimali yawatu flani,,,mfano bwakwata wakistepdown hao wengine wataupeleka wapi msikiti zaidi yakuswalia hapo???sasa kama nikwaajili yakuswalia tu mnang'ang'ania umiliki ili mpeleke wapi huo msikiti,,,, hizi dini maujinga nimengi sana
 
Wanataka kuuana wenyewe wauane tu .
Nkajua wanataka kuua watu wa Dini zingine (Maqafir) wao hupenda kuita.
 
Huwa waaanza kutupiana majini pigwa mtu jini pigwa jini wakishindwana kwenye uchawi sasa ndio wanafatana live live kupigana makobazi ya uso na ukistaajabu sasa wanarukiana mpaka makaratee live live
 
Back
Top Bottom