Lax
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 4,740
- 7,179
Kuna dini isiyo na makatazo?Haya makatazo mengine ni kunyimana raha tu za dunia, katoka huko mwarabu arabuni anakuja kunipangia cha kula,kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna dini isiyo na makatazo?Haya makatazo mengine ni kunyimana raha tu za dunia, katoka huko mwarabu arabuni anakuja kunipangia cha kula,kweli?
Hakuna ila ninayofuata ni yale yenye madhara kwangu na kwa jamii yangu, niambie madhara ya kula kitimoto aliyepimwa na daktari wa mifugo na akatoa go ahead aliwe huyu ni salama.Kuna dini isiyo na makatazo?
dini ni kufata maelekezo ya dini, maana kwa swali lako nadhani swali linalofata itakua " kuzini nje ya ndoa tukiwa tumepima na tuna afya njema kuna tatizo gani"Hakuna ila ninayofuata ni yale yenye madhara kwangu na kwa jamii yangu, niambie madhara ya kula kitimoto aliyepimwa na daktari wa mifugo na akatoa go ahead aliwe huyu ni salama.
Achana na huko tubakie kwenye mdudu ndg, mmeiga hata kukaa chini kama banio.dini ni kufata maelekezo ya dini, maana kwa swali lako nadhani swali linalofata itakua " kuzini nje ya ndoa tukiwa tumepima na tuna afya njema kuna tatizo gani"
Its either wewe ni muumini or sio muumini. Sidhani kama kuna inbetween kwenye imani
Kuzini nje ya ndoa ni kinyume, kwani kuna makubaliano ya watu wawili wenye hisia! Inapotokea ukafanya jambo lolote linaloathiri mtu mwingine kwa hasi, sio sawa.dini ni kufata maelekezo ya dini, maana kwa swali lako nadhani swali linalofata itakua " kuzini nje ya ndoa tukiwa tumepima na tuna afya njema kuna tatizo gani"
Its either wewe ni muumini or sio muumini. Sidhani kama kuna inbetween kwenye imani
Maelezo haya yanajibu swali lako la mdudu, unavokua muumini wa dini fulani unakubalina na yaliyomoKuzini nje ya ndoa ni kinyume, kwani kuna makubaliano ya watu wawili wenye hisia! Inapotokea ukafanya jambo lolote linaloathiri mtu mwingine kwa hasi, sio sawa.
Mfano we uko single ukakutana na yeye yuko single, mkakubaliana mkazagamuane kuna tatizo hapo?😂, halafu anakuja mwitaliano kutoka Itali akakwambia achia hiyo mbususu,usile, kweli?dini ni kufata maelekezo ya dini, maana kwa swali lako nadhani swali linalofata itakua " kuzini nje ya ndoa tukiwa tumepima na tuna afya njema kuna tatizo gani"
Its either wewe ni muumini or sio muumini. Sidhani kama kuna inbetween kwenye imani
Hapo ni mawili sasa ukubaliane na muitaliano au usikubaliane nae, hakuna kukaa katikatiMfano we uko single ukakutana na yeye yuko single, mkakubaliana mkazagamuane kuna tatizo hapo?😂, halafu anakuja mwitaliano kutoka Itali akakwambia achia hiyo mbususu,usile, kweli?
Islam belief (not Muslims), is a stain in humanity,, ni janga,ni kama ugonjwa wa akili, yakipigwa kwao, na watawala wao, sylia, Iraq, Egypt, yanakimbilia ulayaMzuka wanajamvi!
Kama kawaida yake mshambuliaji na winga matata wa timu ya ligi ya uingereza ambayo sasa hivi inaongoza ligi Raia wa Misri Mohammed Salah. Ameposti picha akiwa mbele ya mti wa Christmas na kuwatakia heri ya Krismas kila mtu.
Baada ya kuposti yaliyofuata ni mfululizo wa mashambulizi kutoka kwa waislam ambao hawakuridhishwa na kukasirishwa na Salah.
View attachment 3185476
MBona wakiwa wanagawa maji hamseni maji ya cancer?Islam belief (not Muslims), is a stain in humanity,, ni janga,ni kama ugonjwa wa akili, yakipigwa kwao, na watawala wao, sylia, Iraq, Egypt, yanakimbilia ulaya
Muslims do not traditionally celebrate Christmas but some do partake in the festivities that take place during the Christian holiday.
'You let me down bro,' wrote one user on Instagram, where Salah shared the post to his 63.7million followers.
'Delete this right now,' posted another, while a third wrote: 'At this point am just disappointed in you bro.'
Sio itikadi kali bali ni mafundisho ya uislamu, hairuhusiwa kula chakula kilichoandaliwa kwaajili ya sikukuu zisizokuwa za kiislamu, na hata zinazosemwa za kiislamu kama maulid ni haramu kula chakula hicho, isipokuwa eid mbili ya fitr na ya kuchinja.
Ama khitma, arobaini n.k ni haramu kula.
Awachokoze au hao waarabu wenzake ndiyo wanamchokoza yeye?Hiyo mbona ndio kawaida ya Salah? Mwenyewe naona ameshaona ni sehemu yake ya kupatia kick.
Kila mwaka lazima 'achokoze' Waarabu wenzie.