Waislamu wanatubeba sana!!

Hata dgi wa tiss wengi ni waislam 1. Imran kombe 2. Rashid othman 3.diwani msuya 4. Hassy kitine
 
Sindano ya moto hii,bila shaka dozi imemkolea vizuri.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Asante kwa uzi unaomfanya mtu afikiri baada ya kuusoma.
Kuna vitu umeandika hapo inabidi ukubaliane na UKweli ntakaokupa.
Umegusia kuhusu michezo tuanze na bwana Hashim Thabit pamoja na kuwahi kwake kucheza ligi Bora duniani ya vikapu (NBA),hajawahi kuwa successful katika ligi hiyo kama ulivyoandika, ni failure yule inabidi tuseme UKweli japo unauma,katika vipindi vya pre seasons,wakati ambapo ndo wachezaji wa NBA hujinoa kwa ajili ya kupandisha viwango vyao yeye alikuwa anarudi kijirusha kwenye manight club matokeo yake alikuwa akiporomoka kiwango kila kukicha mpaka akashushwa acheze ligi ya chini ya D-league,huwenzi kumlinganisha na wachezaji wengine walotokea Afrika na kucheza katika ligi hiyo,mfano Dikembe Mutombi,n.k.
Umeandika pia kuwa eti asilimia zaidi ya 70 ya wachezaji wa vilabu vikubwa nchini ni waislamu,wanazisaidiaje timu zao mbona timu hizo ni failures wakubwa,Wana kazi kubwa ya kununua mechi na kuhonga marefa, inapokuja suala la mashindano ya kimataifa,hata uwepo mkubwa wa waislamu katika timu za Taifa unazisaidiaje timu hizo? mbona bado ni kichwa cha mwenda wazimu?
Kuhusu wealth,bado hatuna list ya kuaminika inayoelezea utajiri wa waTanzania asilimia kubwa ya watu huficha uKweli wa mahesabu ya thamani za biashara zao,kwa hiyo hao unao waona wewe unadhani ni matajiri sana kwa kuhesabu idadi ya magari yao au nyumba zao .
Hai wanamuziki uliowataja ndiyo wanaoongoza kuomba nyimbo sizizo na maadili,nyimbo zinazoeleza kuhusu ngono na uasherati kwa ujumla nadhani kwako hiyo ni sifa.
 
Umeandika maelezo kibao hayaeleweki!
 
Mengine yote yanavumilika lakini sio hili la kwamba biashara wanafanya watu wasio na elimu wala akili are you nuts or braindead?
Waislamu wana elimu ndogo hivyo wanaingia kwenye biashara, biashara gani hizo?

Asilimia 100 ya mabilionea wote duniani ni wafanyabiashara wenye elimu kubwa au unadhani biashara ni kuuza nyanya tu mkuu?
Alafu seriously mkuu unamtaja elon musk kwamba ni mmoja ya walio level nyingine wakati hapohapo huyo Elon Musk ndio mfanya biashara mkubwa duniani tena alisoma kabisa economics degree two years, what the hell you're talking about?
Ana company karibu saba au unadhani kumiliki na kuendesha company sio biashara? well ni biashara vilevile hivyo Elon musk nae ana elimu ndogo?

Au unadhani unasomea economics ili ukae na makaratasi chumbani kwako mkuu na hapa napo utasema wanaosoma economics nao wana elimu ndogo?
Kipi hicho ndio elimu kubwa?

Kuna special courses kwa aajili ya business kibao Mfano (MBA).
Unadhani hizo courses ni za nini mkuu na kwanini watu wenye akili zao walikaa miaka yote hiyo mpaka kuja na courses kama hizo nao hawana akili na kukataaa shule?

Wakristo wapo vizuri kwenye elimu?
Then baada ya hapo wanaenda wapi? wanaenda kukwea miti au kuajiriwa?
Well wanaenda kuajiriwa tena na company binafsi ambazo nazo ni biashara vilevile unazosema wasiosoma wanenda kufanya.

Mimi kwa akili yangu na uwezo wangu naweza kuwa daktari kama nikihitaji lakini napenda business kupitiliza sababu najua its potential and its immense adequately level capabilities.
Na sio kama option sababu una elimu ndogo na blahblah nyingine za wenye akili fupi na wapenda kuajiriwa kama wewe mkuu.
Sipendi kabisa kusikia neno ajira au kuajiriwa na ujinga mwingine sababu sipendi kuwa chini ya mtu wala kuendeshwa na kupangiwa nini cha kufanya, bali napenda kutumia akili yangu mwenyewe kwa kufanya ambayo nayataka kupitia business.

business it's a choice na ni passion na sio option kama business ni option ya mwisho basi tambua utaishia kufa masikini kuwa muuza nyanya.
Trust me this is not my opinion it's a fact.

Mimi natetea wafanyabiashara juu ya post dhaifu kama hii yako inayodescribe business na kufafanisha kitu chenye hadhi kama business na entertainment shit, I mean seriously?

What the hell were you thinking to come up with an immense amount of bullcrap like this?
Now here's my conclusion: you must be high or incredibly stupid.
Even kwenye nchi kama Marekani kusingekuwa na uchumi mkubwa na imara bila ya biashara, ndio maana marekani wanafanya biashara hapo sijaingiza china.
Business is the way of life na wanaoongoza na kuendesha biashara ni wenye akili na ubunifu wa hali ya juu kuliko waajiriwa wanaotegemea mshahara wa bosi.


mfano nitamtaja Elon musk vilevile.
 
Nani akupige mawe? Shida ya nyie watu huwa hamjiamini na huwa mnahisi muda wote mnaonewa.
Mfano. Kwenye chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) mlijenga msikiti kwenye eneo la chuo. Chuo ikabomoa kwasababu hicho ni chuo cha kutoa elimu na siyo sehemu ya dini.
Hakuna mtu atakayekupiga mawe kwenye ukristo kwasababu ''kama wewe hauna dhambi, uwe wa kwanza kumtupia mawe mtu yule'' Tukupige mawe, kwa kumtetea mungu gani?
ukweli mtupuuuu mama Debora. ila jiandae kwa maweeee
 
Huo ulioandika ni ujinga sasa Wakristo na sisi tuanze kuorodhesha wa dini yetu tukianza na Nyerere? Tumie japo sehemu ndogo ya eneo la kisogo kufikiri
 
Giving ni baraka kubwa sana maishani watu hawajui tu
 
Japo siuungimkono udini lakini hapo umeandika pumba mkuu hebu ifute tu.
UDSM uwepo wa Kanisa na Msikiti kwa maoni yako unadhani wamekosea? Mbona mambo yanakwenda vizuri tu?

Huo msikiti UDOM hao waliotaka kujenga walijichagulia tu eneo ndani ya chuo la kujenga bila kupata baraka za chuo?
 
Usafiri wa majini na nchi kavu umetawaliwa na waislamu pia,Azam marine,zanfast ferries,msisahau meli za Azam sealink bahari ya hindi na wale silent ocean
uchumi wa Tanzania unamilikiwa na watu wa Asia, na asia wengi ni musilimaa, sasa ulitegemea hivyo ulivyoorodhesha vidhoziwe na watu wa dini gani wakati wenye hela ndani ya nchi hii ni watu wa asia?.
unadhani Nyerere angeliwaacha wazungu ambao majority ni wagaratia hii mada ingelisomeka kama inavyosomeka sasa?.
🙂🙂
 
Waislam ni wanafiki nambari mpja diamond ni muislam anafunga ila ana kampuni ya kubet.kamari ni dhambi,magerezani kumejaa waislam,wasengge rema wengi waislam,wakaa uswahilini wengi waislam .wakristo higukuza mwixi kimyakimya
Private issue
 
Wazehe nawaona wamekereka kinoma haswaa,,,japo kuna baadhi sishadadii kwa maana Mwenyezi Mungu ameharamisha.
na madai ya Muhammad said kuwepo mfumo kristo Tanzania tuyapinge.

huyu mzee anaajenda zake binafsi anatumia neno mfumo kristo ilikupata upenyo wa kufanikisha hadhima yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…