Waislamu wanatubeba sana!!

Waislamu wanatubeba sana!!

Wanaoongoza kwa utawala bora Duniani ni Roman catholic ukiachana na Dini nyingine na madhehebu yake.

Hii inadhihirishwa na kauli ya imamu mkuu wa Tanzania jina limehifadhiwa ambaye alisema Nimejifunza kitu[emoji16]

Kwa hayo aliyoandika mtoa mada simpingi ni kweli kabisa wanatubeba sana kwenye mambo ya socio-poli entatainment. Big up sana waislam endeleeni na mwendo huo huo[emoji16]
Mkuu nchi yetu ma Rais wote ni RC ni nini walichofanya Sasa, hyo ya kuingiza sijui Rc ni best tungeyaona hayo mambo
 
Roho mbaya,unafiki,ushoga na umbeya ni wa kwako na sio ya ukristo.
Halafu wewe unajitia ukristo wakati ni alshabaab wa mkiru huko Mtwara.
Mbona hamjajiorodhesha kwa kuongoza kwa kuwa magaidi na mawakala wa magaidi nchini?
Wafadhili wakuu wa ugaidi Tanzania uwe unaofanyika Somalia ama Msumbiji ni ninyi
Mimi ni Mkristo mzuri nisiye mnafiki penye ukweli nitasema daima, angalia viongozi wakristo wako wapi?
 
Kwa hiyo hapo dini ya kiislamu ndio imewatengeneza kuwa hivyo?
Kwa hiyo tatizo ni dini ya kikristo ama ni mtu binafsi aliyefanikiwa kushika madaraka?
Kama hivyo ndivyo mbona kuna sehemu zenye waislamu tupu na hazijanawiri kwa kuwa na viongozi wa kiislamu? Na kama tatizo ni dini ya kikiristo mbona kuna sehemu zinazoongozwa na haohao wakristo na zimenawiri vyema?
Nafikiri hoja hapa sio dini ya mtu bali ni nafsi binafsi ya kiongozi husika

Viongozi wa Tanzania hususani wakristo wakishika nchi wanafanya mambo ya wonders sanaa ukilinganisha na waisilamu mzehe. Kwanzia yule babu yenu nyerere, mkapa sina uhakika,, magu naye amepoteza watu mwingine kama ckosei alikutwa kwenye kiroba amekufa,,sasaa baraka ya itatoka wapi!!! Babu yenu amekufa, mkapa amekufa, magu amekufa. Unawafanyia wa2 unyama ukitegemea utaishi milele mzehe, una mkataba gani na Mungu wa kuishi milele!!!!! Waisilamu since waongoze ushawai ckia unyama kama huo mzehe????
 
Naunga mkono hoja...Muslims are the best presidents ever...hawana roho mbaya na keki ya taifa wanahakiksha htugawan sawa ila hawatunyimi...
 
Kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake,kwa hiyo Maisha ambayo Mwenyenzi Mungu aliwapangia kuishi yamepunguzwa kwa sababu ya ukristo wao?
Ina maana urefu wa maisha ni proportional na matendo yako duniani?sijawahi sikia hiyo
Sio kwa sababu ya ukristo wao Hali kwa sababu ya ukatili wao Unfortunately makatili wote ni Wakristo..
 
Hongera kwa uzi!!Lakini WAKRISTO NDIO WANA PANGA KILA KITU KIWEJE NA KIFANYAJE KAZI!!!WAKRISTO NDIO WANAOAMUA UCHUMI WA DUNIA UWEJE NA UTAWALA KWA UJUMLA UWE VIPI JAPO NI WACHACHE!!!HAO MATAJIRI WA KIISLAMU WANAPIGA MAGOTI KWA MFUMO KRISTO ILI WAWE SALAMA NA MALI ZAO!NA HATA WAKIAMUA WAFILISIKE HAO JAMAA HAPO JUU WANAWEZA KABISA!!NI HAYO TU!!!
 
Sio kwa sababu ya ukristo wao Hali kwa sababu ya ukatili wao Unfortunately makatili wote ni Wakristo..
Sina hakika kama unajua idadi ya waliopotezwa ama kuuwawa katika awamu za hao unaowatetea.
Kama hujui nenda kafanye tathmini tena.
Usikaririshwe ndugu
 
Hongera kwa uzi!!Lakini WAKRISTO NDIO WANA PANGA KILA KITU KIWEJE NA KIFANYAJE KAZI!!!WAKRISTO NDIO WANAOAMUA UCHUMI WA DUNIA UWEJE NA UTAWALA KWA UJUMLA UWE VIPI JAPO NI WACHACHE!!!HAO MATAJIRI WA KIISLAMU WANAPIGA MAGOTI KWA MFUMO KRISTO ILI WAWE SALAMA NA MALI ZAO!NA HATA WAKIAMUA WAFILISIKE HAO JAMAA HAPO JUU WANAWEZA KABISA!!NI HAYO TU!!!

Ili maendeleo yawepo + kusiwe na dhuluma, unyanyasaji, mauwaji, ufisadi n.k yasiyofaa basi mfumo kristo unapaswa kundolewa.
 
Ndugu zangu waislamu wao na shule ni vitu viwili tofauti ndio maana wanajazana kwenye ushenzi huko....kozi zote nilizozisoma waislamu tulikuwa tunahesabika...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pia fatillia majina ya vibaka, mashoga, mabar maids, machangudoa nk wengi pia ndiohao hao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwahiyo unasema huyo James alikua Muislamu? Maana hata mazishi yake yaliongozwa na Kanisa!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] James amekufa lini wee? Au unasema Kaoge?
Vipi ant Ramadhan? Yule ndo alikua shoga maarufu hapa nchini, kabla hata ya ujio wa James. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom