Waislamu wanatubeba sana!!

Waislamu wanatubeba sana!!

Acha uongo James hajafariki. Wewe utakuwa umechanganya mafaili. Halafu hata Kama angekufa, mazishi kufanyiwa ibada ya kidini inaweza kuchangiwa na uhusianao was familia yake kwenye Mambo ya kanisani sio yeye. Tofautisha dini ya kikiristo na jina la kikristo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
tanzania waislamu ni 90/% wananchi wake ni waislamu ila wengi hawaingii msikitini lakini kama siku mungu akiwakbusha waingie msikitini sala 5 tanzania itakuwa kama mwezi wa ramadhani kwa siku zote kwenye sensa hawataki kuandika dini na waislamu tanzania wakiamua wote wavae kanzu aaaa utahesabu mmoja mmoja wenye suruali
Acha uongo wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bora umesema kweli Mimi nilimpenda Sana mkapa lkn sikupenda ubabe wake na Anko magu hivo hivo lkn sikupenda ununda wake...

Ila nyie mnatuzidi kwny kutoa sadaka ..mpo vizuri Sana hii sector.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie hamtoi sadaka?
 
Back
Top Bottom