Waislamu wanatubeba sana!!

Waislamu wanatubeba sana!!

Race ndo imesababisha wealth sio dini,,,maana kwa wealth wamatumbi wanapata tabu sana huko uswahilini

uongo kupita kiasi lete ushahidi.
chukua mfano mdogo tu siku ya ijumaa matajiri wa kiislam wanavyo lisha masikini mijini. Utayapata hayo jumapili?
 
Aisee kama kweli una mtoto anaitwa debora baas hana mama kwa kwel!! Ww ni kati ya wamama wajinga kabisaa kuja na hii mada ya kuanza kuwagawa watu kisa dini!
Wapuuzi kama nyie hampaswii kuikanyaga hii ardhi ya tz. Inabd uende central africa kule wanapouama wakristo kwa waislam.

hapa hakuna kugawa kidini wewe tu jicho lako la mchungwa usimtishe Debora na usilete fitna ktk uzi wa Debora kama wewe ni mfatiliaji wa mambo Utakumbuka Mwl. Julius kambarage Nyerere katika historia yake ya kutafuta Uhuru wanchi hii alitamka wazi kabisa kua 'NILIKUA MIMI PEKEYANGU MKRISTO WENZANGU WOTE WAISLAM.hapo naye alikua mjinga? au mjinga ni wewe unayetaka kuficha history.
believe or not u can't cover the history au sivyo UTAKUA MJINGA
 
Wafia dini.....

1640120496700.png
 
Pia ni waislamu ndio wanaoongoza kwa kulalamika kuwa wanaonewa na hawapewi fursa za msingi ndani ya nchi,,na pia wanadai kwenye mitihani mingi ya shule na vyuo wanafelishwa ,,hili nalo likoje

sahihi kabisa na ukweli wake tizama idadi ya waajirwa serikalini na mshirika ya umma tizama idadi ya mawaziri makatibu wakuu manaibu katibu wakurugenzi n.k huyo dada katiza upande mmoja wa social na wealth. Hakutazama kwenye mamlaka huko ndiko walikojikita wakristo na msingi huu aliujenga Nyerere mapema sana toka kupata uhuru nchi hii na akausimamia kwa maisha yake yote
 
Waislamu Kuna kitu wametuzidi wakristo na inabidi tujitafakari sana matendo Yao, mie Mkristo ila huwa na enjoy utawala wa Waislamu, huwa hawana mambo ya hovyo hovyo hivi tofauti na sie
Kokote Duniani Roman ni utawala wa chuma....hapa sio ukristo ila ni Romana Catholic

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Mbona kama unataka kuhamasisha udini.
Mbona hakuna sehemu nimetaja dini nyingine tofauti na Uislamu?

Na nimeutaja kwa kuusifia. Nimefanya vibaya kuusifia Uislamu na Waislamu wenyewe!!?
 
Acha uongo wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anasema ukweli,usimpinge,kwanza dini Islam inaruhusu kuoa make zaidi ya mmoja kwa mwenye uwezo,tofauti na ukristo,mke mmoja tu,take a look,mtu akiwa na wake wawili,na kila mke akimzalisha watoto 2,jumla Ana watoto wangapi?[emoji15][emoji15] Jibu msomi.
Wakitokea wanne wenye wake wawili,kila mke akiwa na watoto wawili[emoji15][emoji15] jumla wanakua wangapi?
Usifanye ushabiki,nenda kwa facts,Kama nilizokupa.
Wasalimie jalalani hapo,waambie huku udom hatuna mji[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wewe ni mtu mjinga sana .. sasa dini na vipaji au maisha ya mtu yanaingiliaje. Dini ni utapeli unaowapumbaza watanzania
 
Ukweli unauma.
Watu wanani poromoshea matusi pm!
Kama unauza nyapu huko pm useme tu, nani wa kukufuata pm?

Wewe ni zaidi ya Faiza Foxy au Marelia Sugu hapa JF?

Hawa wote ni wafia dini na hakuna mwenye mpango na pm zao.

Unajitekenya mwenyewe na kujitia dole mwenyewe halafu unanusa mwenyewe.

Insanity.
 
Back
Top Bottom