cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukweli unauma.
Watu wanani poromoshea matusi pm!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukweli unauma.
Watu wanani poromoshea matusi pm!
Mbn matajiri ulioweka Ni wahindi Na waarabu?
Race ndo imesababisha wealth sio dini,,,maana kwa wealth wamatumbi wanapata tabu sana huko uswahilini
Wewe njoo kwenye sector kisector nani anatisha tuanze na elimu nani anatisha [emoji3]
Aisee kama kweli una mtoto anaitwa debora baas hana mama kwa kwel!! Ww ni kati ya wamama wajinga kabisaa kuja na hii mada ya kuanza kuwagawa watu kisa dini!
Wapuuzi kama nyie hampaswii kuikanyaga hii ardhi ya tz. Inabd uende central africa kule wanapouama wakristo kwa waislam.
Prof Janabinaanza na prof. Asad
prof Lipumba
mwingine aendeleze
Pia ni waislamu ndio wanaoongoza kwa kulalamika kuwa wanaonewa na hawapewi fursa za msingi ndani ya nchi,,na pia wanadai kwenye mitihani mingi ya shule na vyuo wanafelishwa ,,hili nalo likoje
Kokote Duniani Roman ni utawala wa chuma....hapa sio ukristo ila ni Romana CatholicWaislamu Kuna kitu wametuzidi wakristo na inabidi tujitafakari sana matendo Yao, mie Mkristo ila huwa na enjoy utawala wa Waislamu, huwa hawana mambo ya hovyo hovyo hivi tofauti na sie
Shusha neti ulale!Mods kwanini mnaruhusu thread kama hizi zinashika hatamu hapa jukwaani......
Hizi thread hazina afya hapa JF na taifa kwa ujumla.....
Mbona hakuna sehemu nimetaja dini nyingine tofauti na Uislamu?Mbona kama unataka kuhamasisha udini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shusha neti ulale!
Nlitaka nkutag af mda, nlijua leo utakua na furaha mno [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimecheka[emoji1787][emoji1787],uzi huu watu wanatema mashudu[emoji40]
Ndio wizi mzur
Anasema ukweli,usimpinge,kwanza dini Islam inaruhusu kuoa make zaidi ya mmoja kwa mwenye uwezo,tofauti na ukristo,mke mmoja tu,take a look,mtu akiwa na wake wawili,na kila mke akimzalisha watoto 2,jumla Ana watoto wangapi?[emoji15][emoji15] Jibu msomi.Acha uongo wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama unauza nyapu huko pm useme tu, nani wa kukufuata pm?Ukweli unauma.
Watu wanani poromoshea matusi pm!