Shida yao shule tu basi.Kumbe anayosemaga mzee Mohamed Said kuwa waislam wanaonewa na kutengwa yote siyo sahihi.
Waislam ndio wanaokula keki ya nchi.
Labda mzee Mohamed Said anachokitafuta ni roho za watu wasiokuwa waislam ili afurahishe nafsi yake.
Mkuu nchi yetu ma Rais wote ni RC ni nini walichofanya Sasa, hyo ya kuingiza sijui Rc ni best tungeyaona hayo mamboWanaoongoza kwa utawala bora Duniani ni Roman catholic ukiachana na Dini nyingine na madhehebu yake.
Hii inadhihirishwa na kauli ya imamu mkuu wa Tanzania jina limehifadhiwa ambaye alisema Nimejifunza kitu[emoji16]
Kwa hayo aliyoandika mtoa mada simpingi ni kweli kabisa wanatubeba sana kwenye mambo ya socio-poli entatainment. Big up sana waislam endeleeni na mwendo huo huo[emoji16]
Mimi ni Mkristo mzuri nisiye mnafiki penye ukweli nitasema daima, angalia viongozi wakristo wako wapi?Roho mbaya,unafiki,ushoga na umbeya ni wa kwako na sio ya ukristo.
Halafu wewe unajitia ukristo wakati ni alshabaab wa mkiru huko Mtwara.
Mbona hamjajiorodhesha kwa kuongoza kwa kuwa magaidi na mawakala wa magaidi nchini?
Wafadhili wakuu wa ugaidi Tanzania uwe unaofanyika Somalia ama Msumbiji ni ninyi
Kwa hiyo hapo dini ya kiislamu ndio imewatengeneza kuwa hivyo?
Kwa hiyo tatizo ni dini ya kikristo ama ni mtu binafsi aliyefanikiwa kushika madaraka?
Kama hivyo ndivyo mbona kuna sehemu zenye waislamu tupu na hazijanawiri kwa kuwa na viongozi wa kiislamu? Na kama tatizo ni dini ya kikiristo mbona kuna sehemu zinazoongozwa na haohao wakristo na zimenawiri vyema?
Nafikiri hoja hapa sio dini ya mtu bali ni nafsi binafsi ya kiongozi husika
Sio kwa sababu ya ukristo wao Hali kwa sababu ya ukatili wao Unfortunately makatili wote ni Wakristo..Kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake,kwa hiyo Maisha ambayo Mwenyenzi Mungu aliwapangia kuishi yamepunguzwa kwa sababu ya ukristo wao?
Ina maana urefu wa maisha ni proportional na matendo yako duniani?sijawahi sikia hiyo
Sina hakika kama unajua idadi ya waliopotezwa ama kuuwawa katika awamu za hao unaowatetea.Sio kwa sababu ya ukristo wao Hali kwa sababu ya ukatili wao Unfortunately makatili wote ni Wakristo..
Nasema hivi,ukiacha ukatili wa wagalatia pia huwa wanaharibu uchumi maisha yanakuwa magumu kwa visingizio vya kujenga uchumi.Sina hakika kama unajua idadi ya waliopotezwa ama kuuwawa katika awamu za hao unaowatetea.
Kama hujui nenda kafanye tathmini tena.
Usikaririshwe ndugu
Tupe wewe idadi...Sina hakika kama unajua idadi ya waliopotezwa ama kuuwawa katika awamu za hao unaowatetea.
Kama hujui nenda kafanye tathmini tena.
Usikaririshwe ndugu
Hongera kwa uzi!!Lakini WAKRISTO NDIO WANA PANGA KILA KITU KIWEJE NA KIFANYAJE KAZI!!!WAKRISTO NDIO WANAOAMUA UCHUMI WA DUNIA UWEJE NA UTAWALA KWA UJUMLA UWE VIPI JAPO NI WACHACHE!!!HAO MATAJIRI WA KIISLAMU WANAPIGA MAGOTI KWA MFUMO KRISTO ILI WAWE SALAMA NA MALI ZAO!NA HATA WAKIAMUA WAFILISIKE HAO JAMAA HAPO JUU WANAWEZA KABISA!!NI HAYO TU!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe anayosemaga mzee Mohamed Said kuwa waislam wanaonewa na kutengwa yote siyo sahihi.
Waislam ndio wanaokula keki ya nchi.
Labda mzee Mohamed Said anachokitafuta ni roho za watu wasiokuwa waislam ili afurahishe nafsi yake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anakuja Na Data Toka NATIONAL BUREAU OF STATISTICS
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndugu zangu waislamu wao na shule ni vitu viwili tofauti ndio maana wanajazana kwenye ushenzi huko....kozi zote nilizozisoma waislamu tulikuwa tunahesabika...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pia fatillia majina ya vibaka, mashoga, mabar maids, machangudoa nk wengi pia ndiohao hao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shoga maarufu aliyekua anajulikana Tanzania nzima ni "James Delicious"
Unataka kujua alikua dini gani?
View attachment 2050760
LiesNdo maana TEC imeamua kujiunga na CCT 'and alike' kujitambulisha kama wao ni WakristO na kuachana na makao makuu ya WakristU.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] James amekufa lini wee? Au unasema Kaoge?Kwahiyo unasema huyo James alikua Muislamu? Maana hata mazishi yake yaliongozwa na Kanisa!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani Juma Lokole ni dini gani?