Waislamu wanatubeba sana!!

Nlitaka nkutag af mda, nlijua leo utakua na furaha mno [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yaan weeh,umejuaje[emoji3]
 
Wewe njoo kwenye sector kisector nani anatisha tuanze na elimu nani anatisha [emoji3]
Sehemu kubwa ya uzi wa mleta mada ni watu wanaofanikiwa kwa ujanja wao, jitihada zao na vipaji vyao wenyewe, achana na huko ambapo watu wanapata ulaji kwa connection na kubebana zaidi.
 
Uongo mtupu, kwa kuangalia juu juu tu Waislamu na Wakristo ni kama 50% kwa 50% au 50%+ kwa 45%+.
 
Professor Mohamed Janabi Mkuregenzi wa Taasisi ya Moyo Muhimbili
 
Kumbe anayosemaga mzee Mohamed Said kuwa waislam wanaonewa na kutengwa yote siyo sahihi.

Waislam ndio wanaokula keki ya nchi.

Labda mzee Mohamed Said anachokitafuta ni roho za watu wasiokuwa waislam ili afurahishe nafsi yake.
Ongezea na hawa

Watangazaji wa kimataifa
1. Salim Kikeke BBC
2. Zuhura Yunus BBC
3. Mohamed Khelef DW

CAG bora kabisa kuwahi kutokea
1. Professor Mussa Assad

Mtaalamu wa moyo
1. Mohamed Janabi- Muhimbili

Waandishi vitabu nguli na maarufu
1. Abdularazak Gurnah - Mzanzibari pekee aliyeshinda tuzo ya Nobel
2. Shaaban Robert
 
Thibitisha kua Uislamu unaruhusu hayo?
kwani mtu akifanya mtu ndo kinaruhusiwa kwenye dini yake?
 
Wewe ni mtu mjinga sana .. sasa dini na vipaji au maisha ya mtu yanaingiliaje. Dini ni utapeli unaowapumbaza watanzania
Marekani na Ulaya ni sehemu zilizoendelea sana na raia wake wengi wana dini.
 
Wadhamini wengine wa mpira
Manji- Yanga
Bin Salum- Coastal Union
 
Ah che mittoga kumbe ndo ivo bhna
m nakuombea uje kujisilimu bhna
hlf zile hoja zako kule nimekujibu bhna[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Jitekenye tuu.. mna kipi mlichokisoma nyinyi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…