Waislamu wanatubeba sana!!

Kama mnavyouita uislamu ni amani huku ghasia ukiwa ndio msingi wenu mkuu!
Kijana ukitaka kuujua Uislamu kaa chini Usome
Uislamu una maadui wengi sana ambao wanajinasibisha na Uislamu eg boko haram,taliban,isis wote hawa wanajinasibisha na Uislamu lkn hawafuati maamrisho ya Uislamu

Ukitaka Elimu zaidi nifuate nitakuelimisha
 
Mmmh mbona mnasomeka kirahisi tu au nyie mnajiona mmechutama?naijua vizuri hiyo dini yenu.
 
Mmmh mbona mnasomeka kirahisi tu au nyie mnajiona mmechutama?naijua vizuri hiyo dini yenu.
Huijui
Kitabu cha sarufi ulisomeshwa
Qur'an wataka kuisoma ww ndo mna nakwambia huijui
 
Kumbe ni mashindano, mimi sikuwa nafahamu.

Provocative threads kama hizi hazina sifa ya kujadiliwa humu.

Haipo faida yeyote kujua hayo.
 
Usisahau na wasiojulikana aka watesaji nao ni akina Jumanne, Omari, etc. Kweli Wakristo wanna hofu ya Mungu. Kumbuka pia pesa ni mali ya shetani kwa hiyo ukifuatilia vizuri utakuta hao mabilionea wako ni mawakala, hata hao wasanii ulowaweka kumbuka starehe kama imebarikiwa na shetani
 
Hahaha usipaniki unasemaje kuhusu hili kwanza usipige chenga
M nikishawaona watu kma hivi hua nawapotezea tuu mna hana hoja

Nimekwambia lete ilo andiko linalipingwa
Au ndo stori za vijiweni hlf unaleta maneno yko hpa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…