Waislamu wasiofika Gaza wana silaha yao kuu. Huu ndio muda wa kuitumia kuhakikisha Israel inashindwa


Huyo Allah wa wapalestina na Mungu wa waisrael n mmoja au kila mtu ana mungu wake
 
Huyo Allah wa wapalestina na Mungu wa waisrael n mmoja au kila mtu ana mungu wake
Allah ni huyo huyo kwa dunia yote,sayari na kila uanchokijua.Anaona,anasikia na ana hekima katika mipango na maamuzi yake.
Unaweza ukafikwa na shida ukaomba na bado ukakosa.Haina maana hajakuona na haina maana amekuwacha.Utapata tu chenye kheri kuliko hicho unachokitaka.Ukikosa katika dunia basi utapewa kilicho bora mbele ya safari.
Katika uoni wa kibinadamu unaweza ukaona kama Israel ina nguvu sana na kwamba wapalestina ndio wanamalizika,kumbe kinachotokea hiyo nguvuj inayotumia Israel ndio inajipiga yenyewe.Kama si mwaka huu basi miaka michache watafutika na wanyonge wa leo ndio watakaokuwa watawala wa kesho.
Binadamu tunakuwa na mapenzi yetu na papara.Ukiacha historia za mbali kwenye Qur'an ambazo ndio muhuri wa hekima hizo basi hata ukirudi miaka 500 nyuma utagundua hakuna aliyefanya jeuri akazidi miaka 100 akiwa bado bado yuko juu.
Marekani,Uiengereza,Urusi na Israel wote wamepigika hata miaka 100 hawajafikisha.Hivyo wewe tulia tu.
 
utasemaje allah ni huyohuyo, wakati allah anakubali kuabudiwa na majini, na kuna majinimengine anasema ni mazuri mengine mabaya, wakati Mungu wa Israel kwake majini ni uchafu na mashetani havichangamani. utasemaje ni kitu kimoja? hauoni kama waarabu wamewaingiza chaka?
 

Ala kwa mujibu wa kurwani
 

Hivi mbona una akili ndogo hivi,USA ilipata uhuru 1776 leo hii unazungumzia miaka 247 tangu USA ipate uhuru toka kwa Muingereza.

Acha upotoshaji na propaganda za kipuuzi wewe gaidi.
 

Ukiwa mfuatiriaji mzuri utagundua uislam ni dini ya shetani baba wa uongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…