Eti bibilia, hamjui hata bibilia hapo inapoint kitu gani kuna tofauti ya Mtu na nchi [emoji1]
Anayekubariki ni Mtu au Nchi?
Hapo navyo fahamu anambiwa Mtu sio nchi [emoji1]
Ndio hamuoni kila siku mnapata aibu, mnasema Mungu hakuna aliye muona afu mnasema Yesu aliwaokoa [emoji1]
Mnasema Yesu alitumwa kwa kondoo waliopotea. Afu mnasema ni taifa teule, yani Mungu awaite kondoo afu nyie mseme wamebarikiwa [emoji1] Kweli akili Mali.
Kama bibilia ilimuongelea Yakubu ndio Israel, hapo kulikuwa hakuna taifa la Israel, na kama mnasema taifa la Israel limebarikiwa basi Yesu alikuwa kichaa kutokana na bibilia zenu sababu katumwa kwa kondoo walio protea, vipi wawe wamebarikiwa afu waitwe kondoo waliopotea [emoji1] Afu we mwafrica Yesu hakutumwa kwako na wewe ni Myahudi au? Labda ungesema wa Ethopia kidogo ipo harufu si wewe Mtanzania.
Afu kama Yesu ni Mungu mbona anasema katumwa? Au Mungu wakikristo ni dhaifu anatumwa, anasaidiwa kulinda taifa lake na Biden, Macaroni, Sunak na wengine viongozi [emoji1]
Kweli mtu kuwa mkristo lazima uwe na ukosefu wa akili [emoji1]
Mwanzo 12:3 BHN
Anayekubariki, nitambariki; anayekulaani, nitamlaani. Kwako wewe, nitayabariki mataifa yote ya dunia.”
BHN: Biblia Habari Njema