Wazungu walipokuja Afrika walifuata sheria zetu?mambo ya kifala. umeenda ugenini fuata sheria za ugenini. umeona hapafai hama. hawa waislamu wachache wanafanya waislamu wanaojielewa waonekane wote mazwazwama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazungu walipokuja Afrika walifuata sheria zetu?mambo ya kifala. umeenda ugenini fuata sheria za ugenini. umeona hapafai hama. hawa waislamu wachache wanafanya waislamu wanaojielewa waonekane wote mazwazwama
Kujikatakata na kumwaga Damu ambayo ni najisi huo sio ukafiri?!Nano aliyemwita shia kafir?
Huo ni zaidi ya wazimu.Kujikatakata na kumwaga Damu ambayo ni najisi huo sio ukafiri?!
View attachment 3134959
View attachment 3134960
Ndio maana mnawaita Shia kuwa ni Makafiri?!Huo ni zaidi ya wazimu.
Hakuna mafundisho hayo katika Uislam.
Nano aliyemwita shia kafir?
Kiarabu nnakijuwa kuliko unavyodhania. Labda upige goti nikufundishe.
Mnaambiwa msome elimu dunia mpate kujua mambo hamtaki kusikia mmekalia kusomea elimu feki ambazo zinawapelekea kufanya vitendo viovu tu kama ugaidi nk. Bure kabisa.Ulishawahi kusikia uchaguzi wa Mfalme wa Uingereza?
Elimu zote uzijuazo, zimeanzishwa na Waislam. hakuna elimu zaidi ya duniani.Mnaambiwa msome elimu dunia mpate kujua mambo hamtaki kusikia mmekalia kusomea elimu feki ambazo zinawapelekea kufanya vitendo viovu tu kama ugaidi nk. Bure kabisa.
Kwa nini leo ndio wawe wajinga kushinda watu wote.Elimu zote uzijuazo, zimeanzishwa na Waislam. hakuna elimu zaidi ya duniani.
Kumbuka hilo.