Waitara atamba, adai Heche hana nyumba Tarime, anaishi kwa mama yake, asema anamsubiri kwa hamu uchaguzi wa 2025

Waitara atamba, adai Heche hana nyumba Tarime, anaishi kwa mama yake, asema anamsubiri kwa hamu uchaguzi wa 2025

Hamjui Heche vizuri.

Heche ana nyumba kubwa sana tu Mwanza mitaa ya Nyegezi-Majengo mapya , na nyumba yake imetizamana na ya moja ya moja ya wakurugenzi wa SUMA JKT. Ukiwa hapo stend kuu ya Mwanza, bodaboda yoyote ukimwambia akupeleke kwa HECHE ni faster tu.

Yeye ajitahidi kujikita kwenye hoja za msingi.
Kwanza nyumba ndiyo inaongoza?
 
Hao wote ni walevi, moja ni mlevi wa kubeti, Kiburi, majivuno, ubishi na mbinafsi sana hakupi ODDS kabisa za mchongo na mwingine ni mlevi sana wa pombe kupindikia, mpenda chini, madharau, short-tempered man, kwa ujumla Wote hawafai kua viongozi. Na nakuhakikishia huru na haki watashindwa hata na ANDAZI tu likiamua kugombea.
Oya acha basi 😂 ina maana Heche ni mkamaria?
 
2025 macho ya huyo mlevi Waitara yatazama ndani kabisa wait and see..))
 
makazi ya mama yake, kwa mujibu wa Waitara
Ndiomaana nilikuuliza unafahamu nini juu ya neno "makazi".

Jengo linaweza kumilikuwa na mtu mwingine ila likawa ni makazi ya mtu mwingine. Kwakuwa Heche hufikia kwa mama yake akiwa huko jimboni yale ndio makazi yake akiwa huko.

TUELEWANE VIZURI SASA:

Kuna ubaya gani Heche kufikia kwenye hiyo nyumba? Msingi wa hoja yenu uko wapi?
 
Huyu jamaa kilaza sana kashashau yeye ni zao la mwendazake huko ccm kwenyewe hawamtaki anauwaza ubunge
 
Hilo shoga linalolewa hadi linajikojolea tunalipuuza tu linajua halipati kitu 2025
 
Wewe mwenye nyumba umefanya nini kuinusuru Tanzania isiingie kwenye mikataba ya kijambazi na Tozo mpya za mpaka rangi....
 
Waitara mwenyewe anaishi kwao halafu anamtukana Heche, wote hao Tarime hawana chao tutaenda na mtu mwingine.
 
Back
Top Bottom