jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 6,963
- 9,401
Kwani Sasa hivi Nani anagawa ubunge!!??Au aende akagombee çhato,maana aliyempa ubunge hayupo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Sasa hivi Nani anagawa ubunge!!??Au aende akagombee çhato,maana aliyempa ubunge hayupo
Hawana hoja hawa wapuuzi tuNdiomaana nilikuuliza unafahamu nini juu ya neno "makazi".
Jengo linaweza kumilikuwa na mtu mwingine ila likawa ni makazi ya mtu mwingine. Kwakuwa Heche hufikia kwa mama yake akiwa huko jimboni yale ndio makazi yake akiwa huko.
TUELEWANE VIZURI SASA:
Kuna ubaya gani Heche kufikia kwenye hiyo nyumba? Msingi wa hoja yenu uko wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]2025 macho ya huyo mlevi Waitara yatazama ndani kabisa wait and see..))
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tarime haijawahi kupoa!
Mbunge Waitara, akihojiwa na kituo Cha tv Cha Dar24 ametamba kwamba hawezi kubabaishwa na mwanafunzi wake kisiasa, John Heche, na kwamba atamchakaza kwenye uchaguzi wa 2025.
Waitara ametamba kwamba John Heche hana nyumba Tarime, na kwamba anaishi kwa mama yake, hivyo hana msaada wowote kwa wanatarime. Waitara ameeleza kwamba ni aibu kwa Mila za kikurya kwa kijana wa umri wa Heche kungangania kwenye nyumba ya mama badala ya kujitegemea kwa kujenga ya kwake.
Waitara ambaye alikuwa anaongea kwa uchungu mfanano wa wenye kijacho,amejiapiza kutokimbia Jimbo na kwenda ukonga na anadai Tarime ni nyumbani kwao.
Waitara alielezea kwamba Heche hajaacha maendeleo yoyote Jimboni, zaidi ya umasikini uliotopea
View attachment 2659788
Upumbavu wako HUJAACHA TU?Au aende akagombee çhato,maana aliyempa ubunge hayupo