MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
- Thread starter
- #121
Nyerere alikuwa na propaganda zilizosoma shule.
Akikupiga dongo moja nchi nzima inakuchukia.
Sitasahau tulivyoimbishwa mabaya ya Idd amini tukiwa kwenye michakamichaka ya shule
Watanzania wengi tunapenda sana mambo marahisi lakini ukweli Mzee Nyerere alitukosea sana. Matatizo mengi yanayoendelea hapa nchini Tanzania yanaratibiwa na kizazi cha makada, majasusi na wasomi wenye mlengon wa kijamaa ambao walitengenezwa na MTAKATIFU RAISI NYERERE. Mambo mengi tu ni dhahiri ambayo ni lazima tuulize:
1. Katiba ya mwaka 1977,
2. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar,
3. Sera ya Ujamaa na Kujitegemea.
4. Kupigania uhuru wa nchi za Afrika (Nyerere ndiyo aliwaweka Kagame, Mugabe na Museveni madarakani)
Hizi ndiyo LEGACIES kubwa ambazo MTAKATIFU RAISI NYERERE, alituachia Tanzania. Sasa tujiulize kwenye lipi hapa alifanikiwa labda na kwa kiwango kipi, maana mengi hapa ni Propaganda zaidi ya uhalisia ambao ulikuwepo.
1. Katiba ya mwaka 1977,
2. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar,
3. Sera ya Ujamaa na Kujitegemea.
4. Kupigania uhuru wa nchi za Afrika (Nyerere ndiyo aliwaweka Kagame, Mugabe na Museveni madarakani)
Hizi ndiyo LEGACIES kubwa ambazo MTAKATIFU RAISI NYERERE, alituachia Tanzania. Sasa tujiulize kwenye lipi hapa alifanikiwa labda na kwa kiwango kipi, maana mengi hapa ni Propaganda zaidi ya uhalisia ambao ulikuwepo.