Mpwimbe
JF-Expert Member
- Oct 13, 2023
- 455
- 818
Nyerere alikuwa na dira na maono yake.1. Sasa mbona unasema Watu siku hizi hawafuati Azimio la Arusha wakati muda huohuo unakubali kuwa sera na falsafa zilizokuwapo kwenye Azimio hilo zilipitwa na wakati duniani tangu miaka hiyo. Ikiwemo ideology ya ujamaa.
Na aliyapambania hata Kama mengine yalikwama.
Tena amefariki dira yenu Sasa hivi ni ipi zaidi ya kuuza kila kitu na kuvimba MITUMBO.
Nyerere hakuiba kitu, kaacha nchi Bikra kabisa. Hata Kama alifeli, mmeshindwa nini kupiga hatua miaka 35 Sasa??
Mtoa maoni kaweka rejea yoyote?2. Kutokuwa na huruma rejea alichoandika mtoa post ndio anataka majibu. Kumjibu kama mnatofautiana hayo majibu.
Nyerere ambaye alikuwa anasamehe kina Bibi titi, Kambona na Abdul Jumbe??
Mtu asiye na utu ni Kama Kikwete kung'oa meno Ulimboka au Kutandika risasi Kama unaua chatu alikofanya Magu.
Wafuasi wa Nyerere ni Nani Sasa hivi kwenye mfumo?3. Kinachoshinda Watu kubadili hiyo mifumo ni kwa sababu bado nchi ipo mikononi mwa Wafuasi wa Nyerere.
Wapi hapaeleweki
Maana kina Madaraka, Butiku, WARIOBA hawana usemi kwa Sasa?
Acheni visingizio mavi ya bata.