Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Eeh masaa 10 ni standard kabisa kwa gari private2018 Nilitoka Mbeya saa 10 Unusu jioni, 7 usiku niko Kimara
Faini 25000 Tu Iyovi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeh masaa 10 ni standard kabisa kwa gari private2018 Nilitoka Mbeya saa 10 Unusu jioni, 7 usiku niko Kimara
Faini 25000 Tu Iyovi
lazima ichunwe ili mafundi rangi wale, isipochunwa watakula wapi?Haya nimeamka asubuhi nakuta gari imechunwa,haina hata mwezi,ikifika miezi sita itakuwaje?
View attachment 1659984
2018 Nilitoka Mbeya saa 10 Unusu jioni, 7 usiku niko Kimara
Faini 25000 Tu Iyovi
Hujui usiku pia tochi zipo?Kwa muda huo wa saa kumi unusu jioni kutoka mbeya Iyovi ulifika saa ngapi mpaka ukapigwa tochi?
Hujui usiku pia tochi zipo?
Waulize watembea usiku watakwambiaDuh tochi za usiku kwangu mpya ila pole.
Huyu yupo buza kwa maparangeMkuu ww upo Japan?
Itanidi hii crown nihonge naona imeanza kuwa yeboyebo 😃😃😃... maana watu wanaziongelea vibaya vibaya tuHahahaha ilo superchager kiboko. Sema hizi Mark tu zilikuwa magoli sana. Yani kama mzee akiwa nalo mtaani heshima sana ni kama zilivyo crown tu kwa sasa.
Wengi tulipelekwaga shule na hii gari. Gari comfortable ikipgwa na Mr.Poppy kwa Dashboard ni uhakika
Crown ukihonga ununue vieite sasa, sio unarudi kwenye Carina TiItanidi hii crown nihonge naona imeanza kuwa yeboyebo 😃😃😃... maana watu wanaziongelea vibaya vibaya tu
😃😃😃😃 subirini niwe DED wa Dar es Salaam.. muoneCrown ukihonga ununue vieite sasa, sio unarudi kwenye Carina Ti
ni ngumu, wamesharekebisha kifungu wote mtanunua Suzuki samurai😃😃😃😃 subirini niwe DED wa Dar es Salaam.. muone
ni ngumu, wamesharekebisha kifungu wote mtanunua Suzuki samurai😃😃😃😃 subirini niwe DED wa Dar es Salaam.. muone
Mungu akubariki sana. Akakutendee makuu zaidi, wewe na gari lakoHii gari ninayo mpaka Leo....inatumia engine nguli ya 1g-fe kavu. Six cylinder, hatari
Kudadeki 😂DED
ni ngumu, wamesharekebisha kifungu wote mtanunua Suzuki samurai
Huu ni wivu tu wa msukuma 😃😃😃..DED
ni ngumu, wamesharekebisha kifungu wote mtanunua Suzuki samurai
Kwa bongo hata ukiendesha gari mara 1 kwa wiki lkn liangalie baada ya mwaka haliwezi kulinga na la japan japo yametengenezwa mwaka mmojaPamoja na miundombinu ya barabara za Japan kuwa bora, lakini pia Wajapani hutumia sana usafiri wa umma (public transport) ambao uko more advanced na kasi. Ambapo wengi hutumia gari binafsi kwa siku chache katika mwezi.
Ahsante kwa maelezo mazuri, hapohapo naomba unisaidie kuhusu haya magari, kuna magari ukiangalia bei ya kuagiza mpaka unalimiliki bei ni kubwa sana lkn ukienda showroom za bongo unakuta gari hilo ni jipya( hasa rangi ya silver) na bei yake iko chini sana waweza kukuta tofauti ni kama milioni 7 hadi 10 kulingana na aina ya gari.Yaani hapo kinachonishangaza hayo magari yanaonekana ni mapya tofauti na mitumba toka japan.Hzo gar ni biashara na kuna makampun rasmi ndo kaz yao hyo..mtu akishatumia anapeleka kuuza gar lake kwa hayo makampun ..hayo makampun wnaachofanya wana repair gar sehem zote zenye kasoro kubwa kubwa..na rangi inapigwa...na kwaasabab wana tech nzur bas gar inatoka mpyaa kabisa....kwahyo si kwel et wanatunza kihivyoo...kawaida ingawa yao hayachakai sana kama huku
1JZ na 1G kavu upi ni moto mkali????La 1JZ ndio nafikiri alikuwa nalo huyo mzee wa magendo. Maana lile ni moto wa kuotea mbali.