mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Usitufanye wajinga humu,huwezu kwenda arusha kwa masaa manne labda unatokea kwedukwazu ila sio dar wadanganye watotoHuijui supercharger kaa kimya. Nenda kaangalie Bei yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usitufanye wajinga humu,huwezu kwenda arusha kwa masaa manne labda unatokea kwedukwazu ila sio dar wadanganye watotoHuijui supercharger kaa kimya. Nenda kaangalie Bei yake
Achana nae huyo hao wengine umri wao ni kiduchu hawaijui Arusha ndiyo maana anatupiga fix eti masaa manne heee anaijua kweli dar to A town km zakeUsitufanye wajinga humu,huwezu kwenda arusha kwa masaa manne labda unatokea kwedukwazu ila sio dar wadanganye watoto
Kuna kile kipafyumu flan hv gari ikitoka kwny meliMtumba wa Japan huwa unanukia balaa... huwa najisikia raha ukitua bongo nikaenda kuupokea bandari kavu
Zikichakaa service na rangi wanapigaView attachment 1659067
Wajapani wanawezaje kutunza gari na kubaki mpya kiasi hiki ikiwa na miaka 28. Japan ni nchi ya visiwa visiwa, hali ya hewa ya joto na wakati mwingine baridi Kali, upepo unavuma chumvi, vitu vinapata kutu.
Lakini magari ya Japan yana bodi imara sana haiathiriki na kutu ukilinganisha na magari ya Uingereza.
Hivi hii imekaaje?
Hata tu gari kuendelea kuwa mpya baada ya miaka 28 tangu itengenezwe.
Extrovert , RRONDO na Mshana Jr naomba maarifa yenu na wengine wote ambao sijawataja mwakaribishwa
Japana waaminifu, watii wa sheria miundombinu mizuri, lakini pia wanatumia zaidi usafiri wa umma, gari zao private ni mala chache chache sana wanazitoa ( kuendesha ). Ni moja ya nchi raia wake wanatii sana sheria , so hata vyombo vya moto wana vitumia sawa sawa na standard..Well said my bro.
Huenda gari ina 360km/h 😃😃😃Achana nae huyo hao wengine umri wao ni kiduchu hawaijui Arusha ndiyo maana anatupiga fix eti masaa manne heee anaijua kweli dar to A town km zake
gari nyingi used kutoka Japan hua na zaidi ya miaka 10 au 15. km laki kwa miaka 15 sio matumizi makubwa ya chombo.Mbona zinakuja na Km juu ya laki na bado ni mpya kabisa?
Ila Tanzania akiongoza km 10,000 tu gari haifai?
😂😂 Dah nimecheka sana eti creti ya matunda anayouza.Mkuu umaskini na kutunza vitu ni vitu viwili tofauti. Chukulia wewe gari yako unaitunza vizuri sana ila ukiingiza barabarani unakutana na
1. Daladala
2. Bodaboda
3. Binadamu wasiojali Mali za watu(hawa unaweza kuwakuta wamekaa juu ya bonnet wanapiga Stori au unamkuta kaweka kreti lake la matunda au maji anayouza
4. Jua kali, vumbi, matope, madimbwi
5. Maji machafu na sabuni za unga unazooshea
Hivi vyote haviwezi kukukosa lazima gari ichakae bila kupenda
Hii gahawa! Eti Arusha 4 hours?! Moshi 2 ar tu masaa 3.24 valve nimeshawahi mara nyingi KWENDA Arusha kwa masaa manne usiku
Yes mkuuKuna kile kipafyumu flan hv gari ikitoka kwny meli
Nyie ndio mkiambiwa Tawaqal ilitoka Dar saa kumi na mbili asubuhi ikaingia Mbeya saa saba mchana mnabishaUsitufanye wajinga humu,huwezu kwenda arusha kwa masaa manne labda unatokea kwedukwazu ila sio dar wadanganye watoto
Toka wapi mkuu24 valve nimeshawahi mara nyingi KWENDA Arusha kwa masaa manne usiku
Kwahio point ya msingi ni matunzo right?Mkuu umaskini na kutunza vitu ni vitu viwili tofauti. Chukulia wewe gari yako unaitunza vizuri sana ila ukiingiza barabarani unakutana na
1. Daladala
2. Bodaboda
3. Binadamu wasiojali Mali za watu(hawa unaweza kuwakuta wamekaa juu ya bonnet wanapiga Stori au unamkuta kaweka kreti lake la matunda au maji anayouza
4. Jua kali, vumbi, matope, madimbwi
5. Maji machafu na sabuni za unga unazooshea
Hivi vyote haviwezi kukukosa lazima gari ichakae bila kupenda
Dah ila alikulipa mkuu?Bado enzi zile za foleni kubwa ya pantoni, kuna watu hawapangi foleni wanachomeka bila kukupa taarifa, Kuna mtu aligonga gari yangu siku moja kipumbavu Sana,mi nasogeza gari mbele nae huyo ghafla kaingiza nyuma yangu akapiga ubavu wote.
Alilipa, mwanzo alianza kujifanya usalama wa taifa, nikakaza, akalipaDah ila alikulipa mkuu?
Kuna watu na taasisi hapa Tz wana gari mpya kaziangalie zenye miaka miwili mitatu uone. Nyingi zishavurugwaMkumbuke wao wanazichukua zikiwa mpya kabisa.
Alafu akishaipasua anasepa mazimaHivi ushachunguza bodaboda akikufuata nyuma huwa anakuwa usawa wa taa?! Akikugonga haikosi taa
Hiki ndio kinauma zaidi!Alafu akishaipasua anasepa mazima
watu binafsi atleast wanajitahidi,japo mazingira yanawaangusha kama ulivyoandika hapo juu.Kuna watu na taasisi hapa Tz wana gari mpya kaziangalie zenye miaka miwili mitatu uone. Nyingi zishavurugwa
Dar - Arusha masaa 4 au Tanga-Arusha?24 valve nimeshawahi mara nyingi KWENDA Arusha kwa masaa manne usiku