Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

Mkuu ntakutafuta nje ya jf unipe habari Zaid,huwa napenda Sana hizi habari
 
Duuu!!!
 
Ulikutana na mauza uza gani?
 

Umenikumbusha story ya yule jamaa alieanzisha uzushi huu, kijijini akampeleka Bibi aliekua anawauzia watu halafu wakija mjini wanaziuza kwa jamaa, kumbe jamaa alikua anazirudisha kule kijijini. Demand ilivyokua inaongezeka na bei inapanda, watu wakaenda kukopa wakanunua kwa yule bibi kwa gharama kubwa, walipofika town mnunuzi hayupo, waliporudi kijijini Bibi nae hayupo.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Lupembe alikuja dada mmoja wa kizungu Kama volunteer akawapanga wanakijiji wachimbe shimo,walipofikia urefu flani akawaambia Basi inatosha,usiku akamalizia kuchimba akaamsha hajaonekana mpaka leo
Hiyo si Amini kbs!!! Jee viongozi na mweyekiti was Kijiji walipewa pombe wanted????
 
Mkuu mwaka juz jamaa flan raia wa Germany walikuja Lindi ktk ofisi ambayo ilikua ya utawa wa Germany enzi hizo wakazuga kua wanaboresha ili kufanya hotel ya kitalii usiku walikua wanawasha moto kumbe walikua wanalainisha zege
Dah kuja kustuka jamaa washasepa na sanduku kibao za Heller zilifukiwa chini ya ilo jengo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uliwaona pindi wanazika? Mbona husemi kuwa babu zako walizika mali nyingi? Acheni akili za kijinga hakuna mambo kama hayo

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu Kapalamsenga Tanzania ni kubwa sana, mambo mengine ikiwa unayasikia kwa mara ya kwanza na huyajui ni bora kunyamaza tu! Kama una akili utanielewa!
 
Ndugu yangu Kapalamsenga Tanzania ni kubwa sana, mambo mengine ikiwa unayasikia kwa mara ya kwanza na huyajui ni bora kunyamaza tu! Kama una akili utanielewa!
Kuna wakati huko Mwanza kulitakiwa kujengwe rada ya hali ya hewa. Sasa bicon iliwekwa tangu Mjerumani anatawala Bongo watu waliozaliwa 80s wakavamia eneo wakajenga. Wamekuja serikali kujenga rada watu wakaanza ubishi wakaletewa nyaraka kuwa bicon ipo humo ndani tangu 1920

Sent using Infinix hot 4
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…