Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

Mnafanyia nini isije kuwa nakuuzia milioni wewe unaenda kupiga 15,000,000/=?!
Kaka huniuzii mm na wala sina uwezo wa kuinunua cha muhimu tu kama unacho kitu kilicho sahihi basi hatua ya mwanzo had mwisho wa malipo unahusika mwenyewe wala hakuna bei ya dalali hapo wote wanaohusika ktl hyo shughuli wanapata kinachostahili hakuna dhulma ktk haya
Ukiwa tayari basi nitafute kwa namba yangu kwa maelezo zaid
 
Kaka huniuzii mm na wala sina uwezo wa kuinunua cha muhimu tu kama unacho kitu kilicho sahihi basi hatua ya mwanzo had mwisho wa malipo unahusika mwenyewe wala hakuna bei ya dalali hapo wote wanaohusika ktl hyo shughuli wanapata kinachostahili hakuna dhulma ktk haya
Ukiwa tayari basi nitafute kwa namba yangu kwa maelezo zaid
Ntakutafuta PM mkuu
 
mm ni mwenyeji wa tukuyu , kila mwaka wanakuja wenyewe kuja kuzichimbua walizificha kwenye ziwa kisiba! pale masoko pembezoni mwa shule ya msingi masoko kwa wageni! kiukweli kuna mali nyingi maana sio kwa garama wanaotumia
 
Zege linalainishwa kwa kuwasha moto? Kweli? Aiseeeee.......

Mkuu mwaka juz jamaa flan raia wa Germany walikuja Lindi ktk ofisi ambayo ilikua ya utawa wa Germany enzi hizo wakazuga kua wanaboresha ili kufanya hotel ya kitalii usiku walikua wanawasha moto kumbe walikua wanalainisha zege
Dah kuja kustuka jamaa washasepa na sanduku kibao za Heller zilifukiwa chini ya ilo jengo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika kupambana niliingia mkumbo ila mm na jamaangu tulijikita kusoma mchezo tukaanza kama madalali tujue hasa mnunuzi nani bwana we kila mtu dalali huyu anasema kuna mwarabu kariakoo Naye anasema anandugu Oman wa Oman ana muisrael na muisrael analijua shirika linalinunua basi tukabahatisha jamaa anamuisrael anayesema akithibitisha jamaa anakuja kulipa.ok tukahamia field tafuta wewe kila tukipima hola .afu wanakutoa hela kabla ya yote mara tambiko mara mashart tukikaribia kata tamaa jamaa wa congo akatutafuta tukaenda hadi kigoma kasulu baba pima ikawa poa uzuri akaomba mil 5 kama kishika uchumba mo nilikataa maana nawajua jamaangu katoa baba kufika tabora polisi wakatudaka na kutukamata walitula 5 mil tukakoma .mpaka leo naamini biashara hii ina wenyewe maana mzigo niliona mara 2 zote mizengwe inaibuka
 
Katika kupambana niliingia mkumbo ila mm na jamaangu tulijikita kusoma mchezo tukaanza kama madalali tujue hasa mnunuzi nani bwana we kila mtu dalali huyu anasema kuna mwarabu kariakoo Naye anasema anandugu Oman wa Oman ana muisrael na muisrael analijua shirika linalinunua basi tukabahatisha jamaa anamuisrael anayesema akithibitisha jamaa anakuja kulipa.ok tukahamia field tafuta wewe kila tukipima hola .afu wanakutoa hela kabla ya yote mara tambiko mara mashart tukikaribia kata tamaa jamaa wa congo akatutafuta tukaenda hadi kigoma kasulu baba pima ikawa poa uzuri akaomba mil 5 kama kishika uchumba mo nilikataa maana nawajua jamaangu katoa baba kufika tabora polisi wakatudaka na kutukamata walitula 5 mil tukakoma .mpaka leo naamini biashara hii ina wenyewe maana mzigo niliona mara 2 zote mizengwe inaibuka
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ivi vitu uwa vinachekesha sn.mnunuzi uwa hajulikani maana hata anayekushawishi uingie kwenye dili izo nae
unakuta kambiwa tu na watu
 
Hawa ni wezi kama wezi wengine, jiulize uzito wa sarafu yenyewe hata kama ingekuwa imetengenezwa kwa dhahabu haifikii thamani inayosemwa na huyu tapeli
 
Kuna maeneo kweli nikishawahi kuona mauza uza ambayo sikuyaelewa mfano eneo moja huko singida ambalo lina zege na ni kwenye miamba, nilipouliza wenyeji wakasema kuna mali za mzungu zipo humo na watu walijaribu kufukua ila walishindwa.
Kwa hiyo kiasi fulani hizi mada zina ukweli ndani yake.
 
Mkuu, ni hatariii.....Ngoja nikupe kisa changu kilichonipata katika hizo pilika.

Kwanza nilivutiwa na jamaa fulani hivi tukiwa Mbeya huko wilaya XYZ,jamaa walifankkiwa kuopoa sanduku la dhahabu kwa Style hyhy ya kusaka Mali za wajerumani. Walikula bata sana na hadi muda huu ni malordilofa,yaani pesa bado wanayo.

Basi bhana,nikasafiri hadi wilaya kwa wajomba zangu baada ya kujifunza Code chache ambazo wajelumani walitumia kama alama na nikagundua hivi vitu nilivionaga kwa wajomba zangu nikiwa nachunga ng'ombe milimani.

Nilipofika kwa babu,nikanyoosha msituni kwenda kuhakiki kama zile alama kwenye miti,mawe na michoro kama ipo, bahati nzuri bhana nikavikuta kama vilivyo,wala havijaharibiwa sana na waharibifu wa mazingira. Nikashauriana na vijana wa pale tukaanza utaratbu wa kuchimba.

Huku tukiendelea kukutana na code na ninazisoma vizuri na kusonga mbele,baada ya siku 6 hatimaye tukalifikia sanduku bhana....!! Tulichokiona humo......mmamaye ,nikikumbuka huwa hata sijielewagi,maana ni hatari.

Tulikutana na marehemu mzungu humo.....ashamong'onyoka kawa unga tu,sijui walimtia nini hakuoza,kawa vumbi tu na mifupa, hilo vumbi likaingia vifuani, tulikohoa karibia ya kunya......!!!!

Aisee.....tulirudi nyumbani tukatengeezwa kienyehi ndio mambo yakawa sawa, lakini kuna mzee akasema mgetoa lile sanduku ndio mgekutana na mzigo wenyewe....!! Alinistua mbaya,lakini cha ajabu,nasema tena chaa ajabu niliporudi kule porini ile sehemu sijaikuta na wala sikuiona tena hadi leo, nilienda takribani mara 6 kwa siku tofauti lakini mpaka leo sipajui eti.....!!

Kuna sehemu tena nipo ugenini,nilikwenda kucheki shamba la kununua nimekutana na code tena za ajabu aisee.....!!! Sasa sijajua nini wameficha...!!

Kwanza nilikuta Mti mkubwa una mzizi upo nje,mzizi huo umetobolewa,nikaufuatilia kidogo nikakuta tobo la pili, nikaendelea kufukua nikakuta nikakuta tena mzizi umekunjwa kuelekea direction ya kusini,nikaendelea kuufuata, mbele ya huo mzizi kulikuwa na jiwe kubwa sana kama tani 30 hivi, nilipolizoom vizuri kabisa na kulichunguza,nikagundua kuwa huyo ni picha iliyojchongwa picha ya bundi...!!!! Nikafukuafukua kuzungua hilo hiwe nikakuta ramani aisee.....!!! Bahati mbaya sijui kijerumani .

Mzee nikaazimia kazi, tukaenda kwa mchawi wetu akasema kuna mzigo wa kufa jamaa....vizuri vyote ruby,gold na sapphire akasema zipo. Akatupa masharti tukaingia mzigoni...!!

Baba tumefungua ardhi huku tukifuata masharti makamanda tulikuwa 6, tuliikosea ramani kidogo tukajikuta kuna mwamba una ninginia juu yetu.

Tulichokifikia ni kwanza kuna vigae vya mawe vimefunika kitu tusichokijua hapo chini, pili kuna ukuta umejengwa kwa mawe ya kupondekezwa hapo chini shimoni...!!

Tuliogopa kupondwa na tulikuwa tumechoka sana,maana kazi ilikuwa ya ngumu na ilituchukua miezi 3,tukasema labda tusake katapila.


Sasa tumeliacha tu na tumeamua tulime tu kwanza lakini tukiwa na matumaini kwamba ipo siku.
Sasa najiuliza,au tutakuta marehemu mzungu tena au la ....nakaribisha wadau,kama unaweza kuleta Scaveta njoo tujaribu bahati.





Sent using Jamii Forums mobile app
Ushafanikisha ?
 
Kuna maeneo kweli nikishawahi kuona mauza uza ambayo sikuyaelewa mfano eneo moja huko singida ambalo lina zege na ni kwenye miamba, nilipouliza wenyeji wakasema kuna mali za mzungu zipo humo na watu walijaribu kufukua ila walishindwa.
Kwa hiyo kiasi fulani hizi mada zina ukweli ndani yake.
"eneo moja huko singida" eneo gani hilo panaitwaje?
 
Wajerumani walitawala Tanganyika sio Tanzania kuanzia 1885-1914, ambapo eneo hilo (Tanganyika) ilihusisha baadhi ya maeneo ambayo leo yapo ndani ya nchi za Burundi na Rwanda.

Ina maana hizo hazina zipo hadi huko Burundi?
 
Back
Top Bottom