Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

Huyo huyo, nakumbuka pale akiwataja Matajiri wakubwa.... Kwamba alishangaa kuwaona kwenye Kibao Hotelini, kabla hata hajakutana na Wazungu.

Yeah...ingawa mimi nilikuwa nataman kujua hilo dili la Rupia na Mercury kama watazichukua ila ndiyo hivo ikatokea maajabu ya jamaa kuokoka ila haijulikani sasa kama yule mganga wa shinyanga ataiendeleza show au vp
 
Huyo huyo, nakumbuka pale akiwataja Matajiri wakubwa.... Kwamba alishangaa kuwaona kwenye Kibao Hotelini, kabla hata hajakutana na Wazungu.

Kuna jamaaa humu JF kanibishia sana kanambia hiyo stori niya kutunga alafu hata kuisikiliza hajaisikiliza.

Hivi kwa wewe ulivyoisikiliza kwa jinsi anavyosimulia unaweza nambia kuwa ile ni stori ya kutunga kweli ?
 
Je uliweka huo uzi, nipe link nijifunze mkuu

Sent from my 502SO using JamiiForums mobile app
 
Link Bila link ww n tapeli
 
Mbona Yule msimuliaji wenu anasema hajawahi kuziona tofati na kuonyeshwa kwenye picha, na kuambiwa ina dhamani kiasi fulani, na wanunuzi nao wakapotea mwisho wa siku

Maana wao walikwama mwishoni walipo fikia hatua ya kutoa kafara, hizi mambo ni typical ushetani kama vile wanao tafuta pesa za mauza uza.

Mali ya kishetani hutolewa kishetani tuu hamna vinginevyo tutaishia, alishia tu kupata faida ya kuwa mganga wa kienyeji
 
Maashaalaaaah umefungua ubongo wanguu .
 
Mbona siioni Tupe link mkuu
 
Unadhani kuyapata hayo vyepesi huwa kuna mauza uza sana ,kuyapata mpaka apatikane mjeruman mwenyewe.Mfano kule kwa babu wa roliondo kuna pango linalia zaaaazaaaaa ikifika muda linatulia inatoka harufu kali sasa kama mpo humo mkitema mate mnakula fimbo
 
Samahani Mkuu.......Umefika eneo hili au ni maelezo ya Mtu mwingine aliyefika mkuu?
 
hii utasikia alisikia kwa aliyesikia.akikujib tutajua
sawa sawa....ilikufanya mambo kuwa rahisis ni kumpata aliyefika eneohusika yeye ndiye mwenye kuweza kujibu baadhi ya maswali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…