The king mswati
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 787
- 825
Huyo huyo, nakumbuka pale akiwataja Matajiri wakubwa.... Kwamba alishangaa kuwaona kwenye Kibao Hotelini, kabla hata hajakutana na Wazungu.
Huyo huyo, nakumbuka pale akiwataja Matajiri wakubwa.... Kwamba alishangaa kuwaona kwenye Kibao Hotelini, kabla hata hajakutana na Wazungu.
Unatumia metal ditector Kama kuna Mali yeyeto imefichwa ardhini itakuonyesha
Ukoo wa kaisari unapataikanajeKuna baadhi yake huwa hazisomi kwenye metal detector Hapo ndo kuna ndumba za Mjerumani sasa
Je uliweka huo uzi, nipe link nijifunze mkuuMwanangu Venus Star umewahi kuhudhuria shughuli hata moja ya utafutaji wa hii kitu kaka? mimi nimewahi mkuu. Bagamoyo kuna sehemu moja inaitwa kimange tumeenda hapo kaka. Mimi nilifika siku ya tatu baada ya shughuli kuanza, ilikuwa ni kazi ya siku 5 kufukua ardhini walikuwepo pia wazee 2 wa Kijiji. Mambo yaliotokea hapo sitokaa nisahau kaka. Ipo siku nitaweka uzi hapa. Lakini kwa ufupi nilijifunza mengi.
Taja eneo Kijiji na wilaya mkoa
Link Bila link ww n tapeliHilo swala la Jina la John ni kwamba kama unakuwa na Mtoaji Halisi wa mali zile ni Lazima kutaja na jina la aliyeweka mali hiyo mahali hapo( kwenye site husika maana yule (nafsi) kuna asilimia kubwa akatokea kuhojiana naye ndiyo ufanye yako ikibidi sasa anaweza akliita jina lako na wewe utalitaja jina lake katika Kulazimisha jambo kuwa.na hapo kusema kuwa baada ya kuokoka ndiyo jamaa aliamua kuachana na hiyo kitu ya wajerumani,sidhani kama sababu ni ulokole ila kutokuwa na mwanga wa kile alichokifuatilia tu,pia shetani hakuwahi kuwa na mali bali Mungu ndiye aliyekuwa navyo ila nafsi chafu zimehodhi tu Fahari ya dunia Mkuu.
K ww n mknd mtamu wkWe kiazi kweli..unafikiri ni rahisi kutaja Kama unataja eneo yanakopatikana maandazi....unazingua
Pumbavu wewe...eti taja location..mkoa ..wilaya.picha.na methods za kujua mitego na kusoma Ramani...Kama jinga ivi unafkir izo site unatajiwa tu kama unatawaza chooni..??....imbicile little toad weK ww n mknd mtamu wk
Usikute kwenu we unaitwa genius ππππππK ww n mknd mtamu wk
Samahani Mkuu sijakuelewa nn unamaanisha???!Link Bila link ww n tapeli
Maashaalaaaah umefungua ubongo wanguu .Wacha kudanganya watu, hakuna mdini yoyote kwenye hizo heller zaidi ya shaba. Hizo zinauzwa kwa "collectors" wa sarafu almaaruf "numismatics".
Thamani zake hizi hapa: German East Africa Heller KM 7 Prices & Values | NGC
Kuna utapeli wa siku nyingi toka miaka ya 70 kuhusu pesa za kizamani. Huu utapeli unakwenda na kurudi. Naona sasa mmeamua kuileta kwenye mtandao.
Yeyote atakae kufanya shughuli za sarafu za zamani azame eBay tu.
Mbona siioni Tupe link mkuuUngekuwa umewahi kumiliki majini ningekuamini.
Aliyesimulia hii stori amewahi kumiliki majini kabla ya kuokoka.
Amekuwa mganga wa kienyeji kwa miaka kadhaa na ametaja majini matatu aliyokuwa anayamiliki kumsadia uganga wake, majini hayo matatu aliyoyataja kama John, Makata na la tatu nimelisahau kidogo.
Na kasema hayo mawili Makata na mwenzake alisema ni ya kiislamu na akitaka kuyaita anachukua Quran alafu anasema maneno anayoyajua yeye yanafika yanamwelekeza namna yakutatua shida anayoitaka yeye, then huyo John kasema alikuwa jini wa kikristo na alikuwa mjerumani na akitaka kumuita anatumia Biblia anaiweka mahali then anakuja kuongea nae na kumpa maelekezo.
Na hayo majini ndo walienda nao kwenye kuzitafta hizo mali za mjerumani wakiongozwa na John wa kijerumani ingawa walikuwa wanakutana na mauza uza mengi sana then huyo john ndo ana wa direct namn a ya kuondokana na hayo mauza uza na kusonga mbele.
NB : Kwa ushuhuda wake zaidi (maana huyo jamaa siku hizi ameokoka na Mtu Mungu ndiye alikuwa anatoa ushuhuda) ingia You tube search Channel inaitwa Syllas TV then andika "Mwanaume aliyetafta utajiri kwa nguvu za Giza" itakutana na stori ya jamaa mmoja stor ake imegawanyika part 1-10 then isikilize full ndo utakutana na hivyo vimbwengo
Samahani Mkuu.......Umefika eneo hili au ni maelezo ya Mtu mwingine aliyefika mkuu?Unadhani kuyapata hayo vyepesi huwa kuna mauza uza sana ,kuyapata mpaka apatikane mjeruman mwenyewe.Mfano kule kwa babu wa roliondo kuna pango linalia zaaaazaaaaa ikifika muda linatulia inatoka harufu kali sasa kama mpo humo mkitema mate mnakula fimbo
hii utasikia alisikia kwa aliyesikia.akikujib tutajuaSamahani Mkuu.......Umefika eneo hili au ni maelezo ya Mtu mwingine aliyefika mkuu?
sawa sawa....ilikufanya mambo kuwa rahisis ni kumpata aliyefika eneohusika yeye ndiye mwenye kuweza kujibu baadhi ya maswali.hii utasikia alisikia kwa aliyesikia.akikujib tutajua