Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

SOKO LA KUAMINIKA LA MALI ZA KIJERUMANI TU LIPO HAPA DAR ES SALAAM VITU VIFUATAVYO AU VYENYE UKARIBU NA HIVI ... MERCURY , PASI, STOVA, KOROFINDO, KUFULI , KIKOMBE, CHEMLI.. PIA FUFUMARK , RUPIA NYEKUNDU, RUPIA YA KITUMBUA , RUPIA YA SIMBA WAWILI ,DINALI. TAFADHALI VIGEZO KUZINGATIWA NA HAKIKISHA MZIGO USIWE NA MASHARTI YA BABU AU BIBI ANATAKA HV AMA VILE LETA KAZI TUFANYE KAZI SOKO LIPO BILA SHAKA ....0785510604,. 0716637717,. 0752591369
 
SOKO LA KUAMINIKA LA MALI ZA KIJERUMANI TU LIPO HAPA DAR ES SALAAM VITU VIFUATAVYO AU VYENYE UKARIBU NA HIVI ... MERCURY , PASI, STOVA, KOROFINDO, KUFULI , KIKOMBE, CHEMLI.. PIA FUFUMARK , RUPIA NYEKUNDU, RUPIA YA KITUMBUA , RUPIA YA SIMBA WAWILI ,DINALI. TAFADHALI VIGEZO KUZINGATIWA NA HAKIKISHA MZIGO USIWE NA MASHARTI YA BABU AU BIBI ANATAKA HV AMA VILE LETA KAZI TUFANYE KAZI SOKO LIPO BILA SHAKA ....0785510604,. 0716637717,. 0752591369
 
 
Tuanzie hapo zile siyo bidhaa na ile siyo Biashara bali kwa kanuni na sheria zake na malipo ya pesa yake wanaita ni sadaka kwa maana moja hakuna mtu afanyae biashara na Mfalme bali Mfalme huwa anatoa sadaka yake kwa watu......
CAESAR WILHELM II alikuwa ndiye Mfalme wa mwisho Ujerumani na Vyombo vyote vitafutwavyo vina alama ya sura yake sasa ukipeleka kwa waliokula kiapo cha kuwa wakusanyaji wa zile item basi wanakupa kiasi ambacho ile familia imepanga kwa kushukuru vile vyombo kurudishwa kwenye ufalme wao.
Kuhusu wachukuaji wapo na Mmoja ndiye sahihi na Yupo vizuri zaidi.
Mchukuaji huyo alie sahihi namtaka.
 
Kuna sehemu Mali zipo, na Kila mwaka kuna wajerumani huingia, but ukiingia Hilo pango mtanzania hutoki unapotelea ndani
 
Ndugu zangu wanajamvi.
Nimekuwa katika utafiti wa mali kale na mambo ya asili kwa muda mrefu.
Katika utafiti wangu nimekuja kugundua wajerumani wameficha mali nyingi sana kawenye ardhi ya Tanzania.
View attachment 1022278

Wakati wa utawala wa wajerumani kulikuwa na fedha ambazo zilikuwa zikitumiaka.
Heller na Rupee zilikuwa zikitumiaka. Coin hizo zilikuwa na madini mengi sana tofauti na coin za sasa.
Kwa mfano 1 Heller kwa sasa inauzwa kwa $900 - $1000.
View attachment 1022271

View attachment 1022276

Kwenye vita vya kwanza vya dunia wajerumani walizichimbia hizo mali sehemu mbalimbali kwenye ardhi ya Tanzania kwa ustadi mkubwa.

Katika tafiti nilizozifanya mpaka hivi leo. Maeneo yafuatayo na mengine mengi ndiko zilipogichwa mali hizo. Inatakiwa kujua sasa ni eneo gani masanduku yenye mali yalichimbiwa:-

  1. Ikombe
  2. Mibirizi
  3. Kasanga
  4. Ilembule
  5. Rombo
  6. Nyakanazi
  7. Uvinza
  8. Mlalo
  9. Kisarawe
  10. Kazimzumbwi
  11. Kirondatal
  12. Tukuyu
  13. Leganga
  14. Igulwa
  15. Ushetu
  16. Mnazi
  17. Mikese
  18. Shume
  19. Lumbira
  20. Mbulu
  21. Nansio
  22. Sekenke
  23. Galula
  24. Liuli
  25. Manda
  26. Lushoto
Hizi ni sehemu kadhaa zinazohitajika utafiti wa kina ili kujua ni sehemu zipi mali hizo zilifichwa.

Asanteni

Wewe umesoma hadi elimu ya darasa la ngapi kwa uninga unaouleta humu? Hayo madini yaliyomo kwenye Rupie 1 au heller 1 ni madini gani kwa hiyo thamani ndogo namna hiyo ya hela? Fedha yenye madini kama dhahabu au almasi haiwezi kuwa na thamani ndogo kiasi hicho ndugu yangu! Ushauri wangu kwako ni huu: NENDA KULIMA HARAKA SANA, vinginevyo utatokwa na kibiongo kutafuta kitu ambacho hakipo! Sasa swali labda ni hili: Hao wajerumani ulishawaona wamekuja siku moja kufukua hayo madini, maana ni vizazi kwa vizazi vinapita huko ujerumani!
 
Nina ankal wangu anaishi vanga aliwahi kunambia mwaka jana mambo haya, kuna mercury, hizi sarafu, stove, pasi, jambia na sufuria alikua na saraf imeandikwa heller na nyingine doa kuna moja ni kubwa ndani ina kitu kama kidude ukiitikisa ambiwa hilo jambia ukilichomeka chini lazama naona anidanganya hivi hivi na ukizamia huko ni kupoteza muda na pesa tu naskia wakitaka kutafta hizo hazina lazima wakatambike na wanakutana na mauza uza si ya nchi hii
Mie nmebahatika kumiliki kufuli mpaka saiv lipo lina chapa ya 666 ,,vipo vijiko vya mjerumani ata hapa nnavyo nlifanikiwa kuvipata morogoro kwenye milima
 
IMG_20220909_073124_3_1662712110090.jpg
 
Mkuu, ni hatariii.....Ngoja nikupe kisa changu kilichonipata katika hizo pilika.

Kwanza nilivutiwa na jamaa fulani hivi tukiwa Mbeya huko wilaya XYZ,jamaa walifankkiwa kuopoa sanduku la dhahabu kwa Style hyhy ya kusaka Mali za wajerumani. Walikula bata sana na hadi muda huu ni malordilofa,yaani pesa bado wanayo.

Basi bhana,nikasafiri hadi wilaya kwa wajomba zangu baada ya kujifunza Code chache ambazo wajelumani walitumia kama alama na nikagundua hivi vitu nilivionaga kwa wajomba zangu nikiwa nachunga ng'ombe milimani.

Nilipofika kwa babu,nikanyoosha msituni kwenda kuhakiki kama zile alama kwenye miti,mawe na michoro kama ipo, bahati nzuri bhana nikavikuta kama vilivyo,wala havijaharibiwa sana na waharibifu wa mazingira. Nikashauriana na vijana wa pale tukaanza utaratbu wa kuchimba.

Huku tukiendelea kukutana na code na ninazisoma vizuri na kusonga mbele,baada ya siku 6 hatimaye tukalifikia sanduku bhana....!! Tulichokiona humo......mmamaye ,nikikumbuka huwa hata sijielewagi,maana ni hatari.

Tulikutana na marehemu mzungu humo.....ashamong'onyoka kawa unga tu,sijui walimtia nini hakuoza,kawa vumbi tu na mifupa, hilo vumbi likaingia vifuani, tulikohoa karibia ya kunya......!!!!

Aisee.....tulirudi nyumbani tukatengeezwa kienyehi ndio mambo yakawa sawa, lakini kuna mzee akasema mgetoa lile sanduku ndio mgekutana na mzigo wenyewe....!! Alinistua mbaya,lakini cha ajabu,nasema tena chaa ajabu niliporudi kule porini ile sehemu sijaikuta na wala sikuiona tena hadi leo, nilienda takribani mara 6 kwa siku tofauti lakini mpaka leo sipajui eti.....!!

Kuna sehemu tena nipo ugenini,nilikwenda kucheki shamba la kununua nimekutana na code tena za ajabu aisee.....!!! Sasa sijajua nini wameficha...!!

Kwanza nilikuta Mti mkubwa una mzizi upo nje,mzizi huo umetobolewa,nikaufuatilia kidogo nikakuta tobo la pili, nikaendelea kufukua nikakuta nikakuta tena mzizi umekunjwa kuelekea direction ya kusini,nikaendelea kuufuata, mbele ya huo mzizi kulikuwa na jiwe kubwa sana kama tani 30 hivi, nilipolizoom vizuri kabisa na kulichunguza,nikagundua kuwa huyo ni picha iliyojchongwa picha ya bundi...!!!! Nikafukuafukua kuzungua hilo hiwe nikakuta ramani aisee.....!!! Bahati mbaya sijui kijerumani .

Mzee nikaazimia kazi, tukaenda kwa mchawi wetu akasema kuna mzigo wa kufa jamaa....vizuri vyote ruby,gold na sapphire akasema zipo. Akatupa masharti tukaingia mzigoni...!!

Baba tumefungua ardhi huku tukifuata masharti makamanda tulikuwa 6, tuliikosea ramani kidogo tukajikuta kuna mwamba una ninginia juu yetu.

Tulichokifikia ni kwanza kuna vigae vya mawe vimefunika kitu tusichokijua hapo chini, pili kuna ukuta umejengwa kwa mawe ya kupondekezwa hapo chini shimoni...!!

Tuliogopa kupondwa na tulikuwa tumechoka sana,maana kazi ilikuwa ya ngumu na ilituchukua miezi 3,tukasema labda tusake katapila.


Sasa tumeliacha tu na tumeamua tulime tu kwanza lakini tukiwa na matumaini kwamba ipo siku.
Sasa najiuliza,au tutakuta marehemu mzungu tena au la ....nakaribisha wadau,kama unaweza kuleta Scaveta njoo tujaribu bahati.





Sent using Jamii Forums mobile app
Nicheki WhatsApp 0715160365
 
Icho kijiko cha mjerumani kiufupi vitu ni vingi nimevishughudia Na kumiliki kabisa
 

Attachments

  • IMG_20220909_073411_5.jpg
    IMG_20220909_073411_5.jpg
    578.5 KB · Views: 72
Mim najua kuhusu pasi ya dhahabu na nlishuhudia.
Ukichukia maji kweny chupa yawe sealed kabisa ukiweka mbele ya pasi maji yanageuka rangi yanakua mekundu. Baada ya muda kidg yanarudi kweny hali yake ya kawaida..
Ukichukia kioo ukaweka mbele ya hyo pasi kioo kinaonyesha ukungu na ukitoa baad ya muda kinabaki SawA.

Hizo Mali kusema kweli ni za uchawi wa hali ya juu tena wa kizungu.
Ukisema mnataka kuuza hizo mali na mmja wenu anakaenda kinyume na mlivopanga hyo mali haitauzika ng'oooo.

Sehem zinapopatikana kama ukienda na lengo la kuzifuata uwez kupata.
Lkn kama umepita tu ujui hili wala lile
unaweza shangaa tu mzigo huo hapo
 
Mim najua kuhusu pasi ya dhahabu na nlishuhudia.
Ukichukia maji kweny chupa yawe sealed kabisa ukiweka mbele ya pasi maji yanageuka rangi yanakua mekundu. Baada ya muda kidg yanarudi kweny hali yake ya kawaida..
Ukichukia kioo ukaweka mbele ya hyo pasi kioo kinaonyesha ukungu na ukitoa baad ya muda kinabaki SawA.

Hizo Mali kusema kweli ni za uchawi wa hali ya juu tena wa kizungu.
Ukisema mnataka kuuza hizo mali na mmja wenu anakaenda kinyume na mlivopanga hyo mali haitauzika ng'oooo.

Sehem zinapopatikana kama ukienda na lengo la kuzifuata uwez kupata.
Lkn kama umepita tu ujui hili wala lile
unaweza shangaa tu mzigo huo hapo
Umeonaga wapi mrembo? Usukumani au mkoa gani?
 
Back
Top Bottom