Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

Tusiwe watu wa kupinga kila kitu, hi ishu ipo na ipo kweli hata hao wazungu wenyewe wanatengeneza mpaka filamu za treasure hunting. Binafsi nimepata kusimuliwa na babu yangu kabisa habari kuwepo kwa hayo mapango ya hazina kwa maana alipatapo kuajiriwa na hao wajerumani kwenye miradi yao. Kimtazamo wa haraka unaweza ukaona ni hadithi tu ila mimi nimewahi shuhudia baadhi ya beacons na bearing points lakini sijabahatika kuona shughuli yeyote ya uvunaji wa hizo vitu. Tuwe na tabia ya kusoma au kufuatilia documentaries sio kupinga kila kitu.
 
Tusiwe watu wa kupinga kila kitu, hi ishu ipo na ipo kweli hata hao wazungu wenyewe wanatengeneza mpaka filamu za treasure hunting. Binafsi nimepata kusimuliwa na babu yangu kabisa habari kuwepo kwa hayo mapango ya hazina kwa maana alipatapo kuajiriwa na hao wajerumani kwenye miradi yao. Kimtazamo wa haraka unaweza ukaona ni hadithi tu ila mimi nimewahi shuhudia baadhi ya beacons na bearing points lakini sijabahatika kuona shughuli yeyote ya uvunaji wa hizo vitu. Tuwe na tabia ya kusoma au kufuatilia documentaries sio kupinga kila kitu.
Wanaopinga ni wakazi wa Dar fatilia icho kitu
 
Leo ndo nimeuona huu uzi,Mimi ni mmoja kati ya watu nilioshuhudia shuhuli hizo

Ila point yangu kubwa ni mwamba hizo mali za mjerumani ni za mjerumani kwanini tuwekeze nguvu kubwa kutafuta mali isiyo ya kwetu??
 
Waichofanya wajerumani walipokua wanaondoka walikua wanauliza nani anataka kuwa mlinzi wa mali zetu hivi watu wakawa wanajitolea wakawa wanawachukua na kuwazika na yale masanduku, ivyo nafsi za wale watu ndio walinzi wa izo mali. Kumbuka on your way to kuna death trap mana ni wajeramani pekee ndio wenye ramani ya safe entry point. Pale Tukuyu kwenye jengo la Utamaduni ambapo ni ofisi ya mkuu wa wilaya kwa sasa, walikuja wajerumani kutaka kufanya ukarabati wa ile ofisi, watu wakamtonya RC wa kipindi icho, ukarabati ukazuiwa. Waza kwann Mbeya kuna ubalozi mdogo wa wajerumani? Sehemu nyingine za maji wameacha machunusi, pale Mbeya mabatini kuna mto ulikua unaitwa Yordan walitumia kubatiza watu wao ashapotea mtu mpaka leo hajaoneka. Dodoma kuna sehemu inaitwa Hombolo, kumbuka wajerumani wamekaa mno dodoma maeneo ya Mpwapwa. Ukiahana na chunusi kuna majoka makubwa.

Kuzipata izo mali ni mpaka uende ujerumani ktk library zao ukasome kuweza kujua safe entry point mzee.

Wazungu wametuaminisha kwamba Uchawi ni dhambi lkn wao wanautumia mpaka.kesho wakiwa wameuficha nyuma ya Sayansi. Jiulize anayeruka kwa ungo na anayeruka na ndege tofauti yao ni nn? Anayemtungua mwenye ungo usiku na anayetungua ndege tofauti yao ni nn? Kumbuka hata anayeruka na ungo kabla hajaruka anapima hali ya hewa kujua uelekeo ama aahilishe kuruka siku iyo kutokana na hali ya hewa kuwa mbaya[emoji120]
 
Ndugu zangu wanajamvi.
Nimekuwa katika utafiti wa mali kale na mambo ya asili kwa muda mrefu.
Katika utafiti wangu nimekuja kugundua wajerumani wameficha mali nyingi sana kawenye ardhi ya Tanzania.
View attachment 1022278

Wakati wa utawala wa wajerumani kulikuwa na fedha ambazo zilikuwa zikitumiaka.
Heller na Rupee zilikuwa zikitumiaka. Coin hizo zilikuwa na madini mengi sana tofauti na coin za sasa.
Kwa mfano 1 Heller kwa sasa inauzwa kwa $900 - $1000.
View attachment 1022271

View attachment 1022276

Kwenye vita vya kwanza vya dunia wajerumani walizichimbia hizo mali sehemu mbalimbali kwenye ardhi ya Tanzania kwa ustadi mkubwa.

Katika tafiti nilizozifanya mpaka hivi leo. Maeneo yafuatayo na mengine mengi ndiko zilipogichwa mali hizo. Inatakiwa kujua sasa ni eneo gani masanduku yenye mali yalichimbiwa:-

  1. Ikombe
  2. Mibirizi
  3. Kasanga
  4. Ilembule
  5. Rombo
  6. Nyakanazi
  7. Uvinza
  8. Mlalo
  9. Kisarawe
  10. Kazimzumbwi
  11. Kirondatal
  12. Tukuyu
  13. Leganga
  14. Igulwa
  15. Ushetu
  16. Mnazi
  17. Mikese
  18. Shume
  19. Lumbira
  20. Mbulu
  21. Nansio
  22. Sekenke
  23. Galula
  24. Liuli
  25. Manda
  26. Lushoto
Hizi ni sehemu kadhaa zinazohitajika utafiti wa kina ili kujua ni sehemu zipi mali hizo zilifichwa.

Asanteni

Habari ndugu
Hapa nyumbani ni karibu na kisarawe pia katika kuendelea na ujenz tukakutana na beacon ambapo inasemekana kuna mali za wajerumani
Je wewe unatoa???
0789010287
Naomba unipigie
 
Habari ndugu
Hapa nyumbani ni karibu na kisarawe pia katika kuendelea na ujenz tukakutana na beacon ambapo inasemekana kuna mali za wajerumani
Je wewe unatoa???
0789010287
Naomba unipigie
0715160365 whatsapp nitumie picha
 
Waichofanya wajerumani walipokua wanaondoka walikua wanauliza nani anataka kuwa mlinzi wa mali zetu hivi watu wakawa wanajitolea wakawa wanawachukua na kuwazika na yale masanduku, ivyo nafsi za wale watu ndio walinzi wa izo mali. Kumbuka on your way to kuna death trap mana ni wajeramani pekee ndio wenye ramani ya safe entry point. Pale Tukuyu kwenye jengo la Utamaduni ambapo ni ofisi ya mkuu wa wilaya kwa sasa, walikuja wajerumani kutaka kufanya ukarabati wa ile ofisi, watu wakamtonya RC wa kipindi icho, ukarabati ukazuiwa. Waza kwann Mbeya kuna ubalozi mdogo wa wajerumani? Sehemu nyingine za maji wameacha machunusi, pale Mbeya mabatini kuna mto ulikua unaitwa Yordan walitumia kubatiza watu wao ashapotea mtu mpaka leo hajaoneka. Dodoma kuna sehemu inaitwa Hombolo, kumbuka wajerumani wamekaa mno dodoma maeneo ya Mpwapwa. Ukiahana na chunusi kuna majoka makubwa.

Kuzipata izo mali ni mpaka uende ujerumani ktk library zao ukasome kuweza kujua safe entry point mzee.

Wazungu wametuaminisha kwamba Uchawi ni dhambi lkn wao wanautumia mpaka.kesho wakiwa wameuficha nyuma ya Sayansi. Jiulize anayeruka kwa ungo na anayeruka na ndege tofauti yao ni nn? Anayemtungua mwenye ungo usiku na anayetungua ndege tofauti yao ni nn? Kumbuka hata anayeruka na ungo kabla hajaruka anapima hali ya hewa kujua uelekeo ama aahilishe kuruka siku iyo kutokana na hali ya hewa kuwa mbaya[emoji120]
Muda mrefu sana nimekuwa nikisikia stori za mjerumani kuficha mali Tanzania, lakini kuna kitu najiuliza ! Ni kitu gani kilifanya washindwe kuondoka na hizo mali wakati zilikuwepo manuwari kibao miaka hiyo?
 
Ndugu zangu wanajamvi.
Nimekuwa katika utafiti wa mali kale na mambo ya asili kwa muda mrefu.
Katika utafiti wangu nimekuja kugundua wajerumani wameficha mali nyingi sana kawenye ardhi ya Tanzania.
View attachment 1022278

Wakati wa utawala wa wajerumani kulikuwa na fedha ambazo zilikuwa zikitumiaka.
Heller na Rupee zilikuwa zikitumiaka. Coin hizo zilikuwa na madini mengi sana tofauti na coin za sasa.
Kwa mfano 1 Heller kwa sasa inauzwa kwa $900 - $1000.
View attachment 1022271

View attachment 1022276

Kwenye vita vya kwanza vya dunia wajerumani walizichimbia hizo mali sehemu mbalimbali kwenye ardhi ya Tanzania kwa ustadi mkubwa.

Katika tafiti nilizozifanya mpaka hivi leo. Maeneo yafuatayo na mengine mengi ndiko zilipogichwa mali hizo. Inatakiwa kujua sasa ni eneo gani masanduku yenye mali yalichimbiwa:-

  1. Ikombe
  2. Mibirizi
  3. Kasanga
  4. Ilembule
  5. Rombo
  6. Nyakanazi
  7. Uvinza
  8. Mlalo
  9. Kisarawe
  10. Kazimzumbwi
  11. Kirondatal
  12. Tukuyu
  13. Leganga
  14. Igulwa
  15. Ushetu
  16. Mnazi
  17. Mikese
  18. Shume
  19. Lumbira
  20. Mbulu
  21. Nansio
  22. Sekenke
  23. Galula
  24. Liuli
  25. Manda
  26. Lushoto
Hizi ni sehemu kadhaa zinazohitajika utafiti wa kina ili kujua ni sehemu zipi mali hizo zilifichwa.

Asanteni
Hakikisha una shughuli nyingine ya kufanya na kukuingizia kipato kabla ya kuanza kujihusisha na hii shughuli ya kutafuta Mali ya Mjerumani. Bila hivyo utapoteza muda mwingi sana na kuishia kuchanganyikiwa.
 
Leo ndo nimeuona huu uzi,Mimi ni mmoja kati ya watu nilioshuhudia shuhuli hizo

Ila point yangu kubwa ni mwamba hizo mali za mjerumani ni za mjerumani kwanini tuwekeze nguvu kubwa kutafuta mali isiyo ya kwetu??
Kwa sababu kwenye hizo Hidden treasures, zimefichwa mpaka Mali zetu, kwa maana ya Madini!

Hivyo vingine vilikua Vitendea kazi vyao.
 
Muda mrefu sana nimekuwa nikisikia stori za mjerumani kuficha mali Tanzania, lakini kuna kitu najiuliza ! Ni kitu gani kilifanya washindwe kuondoka na hizo mali wakati zilikuwepo manuwari kibao miaka hiyo?
Vita vya dunia vilipotokea ,inasemekana alipoona anaenda kushindwa ikabid afiche kuliko kumuachia muingereza aje kunufaika...hvo alitumia magic katika kuficha
 
Vita vya dunia vilipotokea ,inasemekana alipoona anaenda kushindwa ikabid afiche kuliko kumuachia muingereza aje kunufaika...hvo alitumia magic katika kuficha
Kwani kama angeondoka nazo nini kingetokea? Kumbuka Vita ya kwanza ilikuwa toka mwaka 1914-1918.
Kumbuka kuwa Ujerumani ilitawala Tanganyika toka 1905 mpaka 1912 , sehemu nyingine zinasema tulitawaliwa mpaka 1919, kuna kitu hakiko sawa hapa au wewe unaonaje?
Je uwepo wa nadharia ya majoka na viumbe vya ajabu katika mapango yalikofichwa mali ni uchawi wa Kijerumani?
 
Back
Top Bottom