Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

Kwani kama angeondoka nazo nini kingetokea? Kumbuka Vita ya kwanza ilikuwa toka mwaka 1914-1918.
Kumbuka kuwa Ujerumani ilitawala Tanganyika toka 1905 mpaka 1912 , sehemu nyingine zinasema tulitawaliwa mpaka 1919, kuna kitu hakiko sawa hapa au wewe unaonaje?
Je uwepo wa nadharia ya majoka na viumbe vya ajabu katika mapango yalikofichwa mali ni uchawi wa Kijerumani?
Usafiri uliokua upo najua unajua n njia ya bahari , kwenye tension ya vita n ngumu kutoa mzigo , simaanishi kwamba hawakusafirisha ila mali nyng pia zilibak na zingn zilizamishwa i.e ziwa Tanganyika kuna nadharia kua kuna mali zilizamishwa na kufichwa kwa alama maalum
 
Du pole sana mkuu.Haya mambo nadhani yapo sana.Pale kijijini kwetukulikuwa kuna sehem juu ya mlima wameweka alama nguzo ya zege fupi tu.Rumors ikawa kuwa hapo chini kuna utajiri wa kumwaga.

Kuna mwaka flani vijana walijitosa kuchimba maana sehemu yenyewe ilikuwa imezungukwa na mashamaba ya wanakijiji.walichimba kwa mda wa siku saba wanakutana na mishale ina point mara kulia mara kushoto.Baada ya siku saba wazee wa kijiji wakakataza na vijana wakaitwa kwenye mkutano wa kijiji na kuwekwa mtu kati.Basi wakaishia hapo.
Baada ya miaka mingi kupita 2017 kaja mzungu pale kijijini aisee na kaomba eneo la kukaa kijiji kikampatia na aliahidi kujenga zahanati huku pia alikuwa analea watoto wasio na wazazi wote pale kijijini.

Siku ya siku kaibuka night kali eneo lile like aisee kachimba na kubeba sanduku lake akiwa na vijana wa kijijin huku ana bastola so vijana hata hawakuona nini kilikuwepo ndani ya box.wanasema box lenyewe lilikuwa juu juu tu.

Wazungu ni kweli mali waliziacha sema nadhan wana formular zao namna ya kuzitoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesikia sana maelezo kama ya kwako kwa watu wengi sana na nimewahi kufuatilia na kuchimba kwa mchana mmoja kama masaa matatu hivi, tulipofikia kama futi 2 tu shimo tulikutana na utupu saizi ya chungu hivi. Kuanzia hapo tulianza kuchoka vibaya, mtu unalegea viungo hasa mabega mpaka unashindwa kunyanyua jembe, tukasepa. Ishara zote zilikuwepo kwamba kuna kitu hapo. Ilikuwa ni Iringa karibu na Makambako.
 
Nashukuru kwa kujua chimbuko la msamiati maarufu wa kiswahili na katika mtandao wetu pendwa wa jf, neno "hela" kumbe lilitoholewa kwenye neno la kijerumani lililokuwa linawakilisha pesa enzi za ukoloni yani "heller"
Kuna hela na pia helo, kuna pesa na peso vilevile. Peso linatokana na Wahispania.
 
Ukisikia watu walioishi siku nyingi wanakueleza jambo ni vyema kutafakari. Sisi ambao Mungu ametujalia kuona haya mambo tumejasikia hii kitu mara nyingi inatengezwa na pande mbili ambazo ziko pamoja. Moja inasema tunatafuta Rupia ya Kijerumani sijui yenye tundu tunanuna labda kwa Million 100.

Sasa afadhali sasa tunajua huko ebay na collector wengine ni $900 ambazo ni sawa na takriban 2m. Sasa inatangazwa demand ila huyo anayetoa hizo m 100 anakuwa ajawahi kuonekana ila unakuwa unasikia tuu kuna jamaa kuna jamaa ukiforce kuonana na mtu anayetaka kununua mzigo huonyeshi ila unaambiwa wewe tafuta ukipata hela iko na ukiangalia wazee walioaminishwa au wanaokueleza kama huna jicho la tatu lazima uingie kingi. Sasa wewe ukianza kuifanyia kazi anakuja mwingine kwenye team anakueleza kuna mtu wapi huko ana mzigo yeye labda anataka 30m ukichukua na yule aliyekueleza kuangalia Genuity anakuambia mzigo ndio huo sasa wewe nunua mzigo tumpeleke jamaa tupate 70 yetu ukilongwa huoni anayenunua wala nini.

Ndio maana waliona jua siku nyingi wanakuambia huu mchezo ulianza toka 70 huko ni moja ya utapeli wa siku nyingi. Ila uzuri siku hizi kuna taarifa za wazi mtu akitapeliwa kiihivyo watu wanashangaa ila inatokana mara nyingi na tamaa za haraka haraka za mali
Ni deci la aina yake hilo.
 
Sina comment kwamanake aliyeleta hii mambo hapa hajaja na ushahidi kaja na story kavu watu tunataka vitu vilivyoiva tuzalishe michongo ya ela mambo ya tafiti tafiti ulizofanya sijui nini

Leta ramani yenye mchongo uliokamilika watu hatuna kitu asee emb mambo kama izi kapige stori na machizi zako vijiweni man

Tusileteane michongo hewa kabisa life gumu hili mselangu emb sanuka basi
 
Mimali ya thamani iliyopo ardhini ambayo hiyo hiyo ndiyo waliifata Wajerumani inawashinda wanakuja akina Barick kuisomba nyie mnataka kuleta utapeli wa sarafu.
Mzee wako alikuwa anatengeneza mazingira ili mpate 'hata' 30% mkamuondoa!.
 
Tunza na hii, alipoachia👇🏾👇🏾👇🏾

Jeshi la Mtu Mmoja hakuachia kirahisi kama unavyofikiri nadhani, nasema nadhani alilambishwa asali.

Hii nchi kila kiongozi mwenye final decision anatengeneza njia yake ya 10perc so yawezekana nasema yawezekana JMM alilambishwa asali!.
 
Jeshi la Mtu Mmoja hakuachia kirahisi kama unavyofikiri nadhani, nasema nadhani alilambishwa asali.

Hii nchi kila kiongozi mwenye final decision anatengeneza njia yake ya 10perc so yawezekana nasema yawezekana JMM alilambishwa asali!.
Aliachia kiulaini kabisa, au umesahau alipowaanzishia sakata wababe ndege zikawa kila zilipo zinashikwa? Wenye uelewa wakamwambia hawa wababe ni heri ukubali tu watakavyo, utaiumiza nchi. Mwenyewe akaachia kiulaini kabisa, wababe wanachota mpaka leo, huelewi hayo?

Ambao hawajaachia kiulaini hujayaona matokeo au huyajuwi nikupe darsa?
 
Hizi mali zilipomfikisha anko wangu had kutimkia arabuni ni Mungu ajuae, niliwah kukoment kuhusu hivi vitu ngoja leo niwape nini kiliendelea

huyo mjomba wangu wakishirikiana na babu yangu hawakukata tamaa, waliendelea kuniambia ni kitu wamepata wanatafta soko, kuna jirani yetu niliwah kumgusia akanambia yeye anao watu wanaonunua hizo hela nilitaman kuacha na kupotezea hio habari lakini moyo ukanisukuma kwamba nimuunganishe mjomba na huyo jiran pengine anaweza akatusua kweli pengine ikawa ndio mlango wake wa kutokea nikamuunganisha mjomba, makutanio yao makuu yalikua ni nyumbani kwetu. Ankal anatoka vanga anakuja tanga mjini wanakutana ikawa kwenye kupata pata hizo hela nyingi sana zikawa fake nahuyo kaka jirani ndio azitambuaye kwamsaada wa kuwapigia sim hao anaowaita mawakala na wana ofisi mbezi beach sikujisumbua sana kuuliza sababu i was curious kuona outcome ya hizo hela.


Siku moja walibahatika kupata hela ilitokea tumbatu karibu navisiwa vya unguja, alikuja kaka mmoja akiongozana nanhuyo babu yangu, jirani akaja nyumbani niseme hii siku nilikua na bahati ya kuona live testing ya hio hela yan nguvu iliomo ndani yahio hela, nikaamriwa nilete maziwa fresh nisiyaweke katika glass kwamba ingepasuka nikaweka katika chombo cha plastic, ikawa matokeo zero nikatumwa maji ya take away ya uhai hio hela ikasgezwa karibu na hio chupa ya maji matokeo hayakutokea, sasa yalitakiwa matokeo gani ni kua ilivyiwekwa kwenye maziwa ilitakiwa hayo maziwa yanyweke na anekunywasie hatumuoni ila unaonanyanapungua, na kwenye maji ilitakiwa ya freeze kabisa barafu. kumbe hizi testing wakat wakiwa tumbatu walishajaribu ikakubali ikabidi yule jiran awaulize hii hela ni mali ya nani, akatajwa pale, wakaulizwa je mwenye hii hela aliridhia kabisa hii hela mje nayo, hapo sim ikaita ya huyo kijana atokae tumbatu akapokea akasema daag bas ndio anaharibu huku hela imegoma kutoa matokeo mwambie asiwe na waswas hatodhulumiwa mimi nipo nawaza nilijua nimeyaona mengi kwa umri wangu kumbe bado kabisa

baada ya kukata sim akasema mwenyehela anahisi tunataka kumdhulum yule kaka akawaambia mnatakiwa lengo liwe moja kama hatak hamtafanikiwa akawapigia sim hao wakuitwa mawakala wakamwambia watakuja kesho yake
 
kweli hao mawakala walikuja, siku ya pili yake wakawa wameshafika nyumbani asbh nanmapema, wakaomba wapewe plain paper, wakaomba waorodheshewe watu wote wanaohusika na namna yoyote nanhio hela, iwe ulishuhudia wakat inatolewa, iwe umewakarim wenye hela nyumban kwako hapo ndio mama yangubalipoingizwa kwenye list na mdogo wangu wamwisho wakiume, mama yeye aliambiwa utaingia kwenye mgao kwa sababu hili zoez lankupata hela kupitia hela hio litafanyikia nyumbani kwake na dogo yeye ni kama shuhuda as for me nilikataa nikasema no mie sio kwangu pale nimekuja tu bahat nikakutana nahayo mazngaombwe,na siondoki mpaka nijue kipi kitatotokea, niseme tu mim ndio nilikua nauliza maswali sana kwahao mawakala kwamba kama sh ngap watapata wakasema hela nyingi sana karibu milion mia tano hahahaha nikauliza tena zinatokeaje, like vuup hela au mnafanyaje fanyaje wakasema hio nguvu abayo imo kwenye hio hela ndio italeta hizo hela mie tena nikauliza sio hela za mikataba na makubaliano na majini wakasema wala unatumia tani yako nikasema okay endeleeni tuone


kweye ile hela list ikatoka karibu watu 17 wale mawakala wakawaambia kuna watu hawahusiki mmewaingiza aliekua anataja hao watu ni huyo babu yangu baada ya majibu ya maswali yangu aliingia tamaa akaorodhesha watoto wake wote wapate mgao sawa hivo majina yakakatwa katwa yakabaki majina sita, walikua ni wakaka wawili wale mawakala mmoja akaishika ile hela akasema kitu kama malkia theresa sjui wangapi hii inayo thamani lakini akaigeuza upande wa pili akawauliza babu na yule kijaja hii hela ina deni je mmelilipa?? ikabidi sote tutege maskio deni mie na shauku umejuaje hio hela ina deni akasema hawa wakat wanaitoa hii hela waliahidi wataichinjia wanyama wawili mweupe na mweusi wakimaanisha mbuzi lakini walichinja mbuzi mweupe mweusi kwa ahadi walifanikiwa watachinja ila mnatakiwa mkaichinjie kwaza kwa sababu hata hio nguzu kwejye hio hela inaweza isiwepo hatakama mwenye hela yake ataridhia
 
basi ikatakiwa wafanye taratibu za kujua zoezi lankuchinja huyo mbuzi litaendaje simu zikapigwa tumbatu, babu yangu akarudisha majibu kua mbuzi amechinjwa tayar hivo kazi iendelee , wale mawakala wakamwambia hamna mbuzi aliechinjwa mkikamllilisha hilo zoezi sisi tutakuja ila hii hela ni yenyewe wakaondoka.

babu yangu na mgeni wake wakarudi tumbatu, mie nikarudi kwangu, ilipokaribia ramadhani ya mwaka jana mie nilienda kumsalimia mama nyumbani, naukuta ugeni safar hii ni mkaka mwengine kabisa na yuleyule babu yangu,lakini wakaja na hela kama ile isipokua huyu kijana yeye alioa jini huko tumbatu hivo hua anamletea kutoka ujinini, anasema ana mtindo wa kumletea hizo hela nyingi na hela za kitanzania katika sahani yeye huishia kuchagua za kitanzania tu this time around akachukua hio katika kuuliza uliza akafika kwa babu na wakaja nyumbani, hivo hio hela wahusika walikua ni babu, kijana na mke wa kibinadam huyo wa kijini waliachana baada ya yey kuoa binadam na walibahatika kupata watoto ambao wapo ujinini sema hua wanakuja mara moja moja kwa baba yao, mama yangu mzazi, mdogo na huyo kaka jirani alie connect mawakala na hao kina babu, kweli wakaambiwa waunue jaba jipya, mkeka wa kupakulia hela,mishumaa kama inayowekwa makanisani ile mikubwa myekundu miwili na miwili meupe, hio mishumaa wale majamaa wakasema watakuja nayo hivo watu wanunue jaba na mkeka na udi wa kijiti na chumba cha kufanyia hio shughuli kiandaliwe kisiwe na mwanga mkubwa bali kiwe na giza giza

mie nikaondoka zangu lakini nikawa npiga sim sana nijue kipi kimejiri na mimi nilitaka kuona hatua ya mwisho hilo jaba lijae mihela, bas mdogo wangu ananihadithia anasema kweli baada ya swala ya saa mbili usiku zoezi likaanza, choma udi humo chumbani, mama akambiwa apike mkate wa kumimina na maziwa ya mtindi, wale wakaka wakaingia na watu wote babu, mume wajini, mdogowangu na huyo jirani mama alikataa akakaa nje,mdogo wangu akanambia dada ile hela ya kijini ikawekwa kwenye jaba pamoja na madawa yao na hela ya noti yenye thamani ya elf 10 kwamba zitajaa misimbazi kama yote kwneye jaba, mishumaa ikawashwa mmoja wa hao mawakala akapandisha jini akaita sjui majini sjilui kitu gan wakatoka nje wote wakaambiwa wasbiri dk tano baada ya kuisha wakaingia picha linaanza mkate na maziwa havipo, wakaanza tena kumimina dawa zao kwenye jaba na ile hela ikiwa ndani na hio noti wakatoka nje baada ya dk tano wakarudi kufungua jaba wapakue hela wakakuta jaba lipo full misimbazi lakini kuna kama noti mbili zina madoa moja ina doa jeusi moja ina doa jekundu
 
wale mawakala wakasema hii doa jekundu maana yakekama tutazigawa hizi hela bas mtapukutika wote mliokua kwenye list hii nyeusi n kua kuna mmojawao roho yake ni yatamaa kaingiwa na tamaa wale wakaka wakawaambia kama hamtaki kuamini tuzipakue hizi hela mana zinatakiwa zijae majaba matatu had sasa ni labkwanza tublimejaa ke tuzipakue mdogo wangu akakataaa akasema hayuko tayari kuzichukua wala kuzigusa jiran naye akakataa yule mwenye mke jini akakataa babu yangu alitaka apewe yeye hajali ikabid yule mwenye mume jini amwabie hapana mwisho wakaafikiana hizo hela wamrudishie huyo jini akae nazo kwanza huku wakiztaftia dawa za kuzisafisha hayo madoa, na zikisafishwa zinatumika hazina shida kweli wakapiga sim ofisini kwao dawa zikatumwa wakazipokea siku inayofuata jion kaz ikafajyika this time again doa likatoka moja tu jekundu ila jeusi likabakiankwamba bado babu tamaa haijaondoka kaka wakala mmoja akapandisha majini akamwambia mama yule jirani na dogo kwaba hawa wamepanga tamaa hata zikitoka hilo doa bado wanapanga kuwadhulum waachieni mzigo wao nyie kaen pembeni babu kuskia hivo akajirudi namisamaha lakini jini aliepanda akamnyooshea kidole akamwambia wewe ndio mbaya ukitaka msamaha ukubalike yabidi ulale kwenye mkeka usiku wa leo ujifunike shuka nyeupe atakuja jini mwenye dhamana nahizo hela alikozitoa atakuuliza una tatizo gan mbona hela mnazirudisha mnazitoa umjibu babu hakujaribu na ukawa ndio mwisho, haya mambo yalifanyikamwaka jana mpaka leo hatujawah kuwasikia tena wala kutupigia nahivi niandikapo mjomba wangu yuko dubai ameamua kuchana na hizo habari

yan nikikumbuka hua nacheka mana nilikua namwambia mama ukizipata hizo hela unipe mgao wangu bas mama ananijibu nikupe za nn na wewe umesema hutaki hela za mashetani yan ilikua hatuna stori ni hela za majaba had leo tukikumbuka tunacheka mama ananambia mpuuzi babu yako ilibaki kidogo niwe maprosoo mie sina mbavu mana zilinifanya niwapigie kaka zangu kuwapa taarifa nn kinaendelea nyumban bas ilikia sio mchezo kila mtu anataka kujua hela zimekuaje zimetokea au la ila ndio hivo naona mashrt babu yamemshinda lakini tumbatu hizo hela za kumwaga kwa story ndogo nilopewa na mama yangu mzazi ni kua zaman hizo kisiwa kilikua kinaishi majini na pia ilikua mkichinja mkamwaga mifupa mkiamka asbh hamkuta hata mfupa mmoja na ukienda tumbatu enzi hizo kama mwanamke uko hedhini bas usitoke nje ukae ndani uoge twahara ndio utoke hivo yawezekana ikawa kwei hizo hela zinapatikana kwa sabau ya kua linkage na majini
 
Back
Top Bottom