Jesuitdon
JF-Expert Member
- Dec 18, 2018
- 3,153
- 2,673
Mbona story yako Ni fupi?Kwa tulio soma iyunga boys secondary kule mbeya story hizi twazijua vyema, mayandaki twayajua vyema
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona story yako Ni fupi?Kwa tulio soma iyunga boys secondary kule mbeya story hizi twazijua vyema, mayandaki twayajua vyema
Sent using Jamii Forums mobile app
Taja eneo Kijiji na wilaya mkoaWadau haya mambo nimeshiriki sana kweli vitu vipo nimefika ktk eneo husika sema kutoa mzigo ni shughuli na mpaka niliamua kuacha kwasababu unapoteza muda mwingi na pesa kufuatilia but kuna eneo najua kuna mzigo ila kuchukua sasa ni kugumu nimekutana na huo.ugumu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sehem ganKuna baadhi ya hazina ni ngumu kupatikana bila ya kuwepo kwa mwongozo maana kama Mwadui kuna sehemu ukionekana lazima wazee wakuulize kuwa umekwenda kufanya nini huko
Sent using Infinix hot 4
AlafuKuna ankali wangu kateseka sana na hizi mambo na hadi leo huenda bado yuko huko "mgodini", kama ni mauza uza basi itakuwa kuna namna kichwa kinavurugwa unakuwa unaamini umezikaribia mali..... Pia hapo ulivyotaja Lumbira (kama ndo ile ya Mbeya) nimesoma shule moja maeneo yale nakumbuka kuna bweni hata walimu walichangia kulivunja eti kuna mali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole mkuu. Mi huwa naanza kusoma comments 5 za mwanzo au naanza kusoma ktikati au chini. [emoji23]Umeandika pumba tupu sijui kwa Nini ,sikuanza kusoma kuanzia chini kuja juu. Mana najuta kusoma point yako
Picha za eneoHizi habari ukizisikia unaeza dhani ni hadithi za Abunuasi,lakini ni balaa....!!! Wacha tu, ulimwengu huu ni lukumbalukumba..!
Sent using Jamii Forums mobile app
Story zaidiMsituni wa nou ulioko mpakani mwa mbulu na babati kijiji cha erri kuna mashimo hayo ya wajerumani katika kitongoji kinachopakana na kijiji cha merr.kazi kwenu wa tafiti.kwa u sahihi zaidi tafutamimi
Sent using Jamii Forums mobile app
Eneo gan?Hii inanikumbusha kuna jamaa alikuja mtaani akawa anataka tumtafutie shilingi 20 yenye mwaka 1993 kuna anaihitaji na angeweza kutupa milioni 5....dah tulitafuta kuanzia madukani kwa wauza sigara karanga urembo kote tunapata ya mwaka 1992 ilikua balaaa tukakata tamaa hatukupata kwahiyo hizi stori zinachanganya sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sehemu gani?Hii kitu mi naamini kabisa ipo.
Katika kijiji nilichokulia kuna kajimto kadogo, lakini kuna sehemu kamto kametengeneza maporomoko, eneo hilo kuna nguzo ya zege na mnyololo mkubwa umeingia ndani ya maji.
Lakini kulifikia eneo hilo ni shida sanaa, yaani kukutana na majoka kawaida, na kukuta eneo halipo ghafla ni kawaida.
Kuna kipindi wazungu walikuja pale lakini walikatazwa kwasababu eneo hilo sasa ni mali ya jeshi.
Hila hivi vitu vipo na mababu wametusimulia sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zaidiKuna kijiji kipo ndani ya Manyani kinaitwa Mkiwa, inasemekana kuna baadhi ya mapango kuna mali za mjerumani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zaidiMi kiukweli sipingani nawewe maana hata maeneo ya mpanda eneo naliweka kapuuni pale kuna mashimo au lugha rahisi niseme mahandagi Kule chini walihifadhi vitu vingi Sana pindi walipoachia nchi mbaya zaidi baadhi ya mashimo wameweka padlock ambazo hazijawahi funguka hata utumie njia gani dude halitoki na kuna baadhi ya maeneo mashimo wametia acid hajawhi ingia mjinga yoyote mpaka leo
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zaidimm ni mwenyeji wa tukuyu , kila mwaka wanakuja wenyewe kuja kuzichimbua walizificha kwenye ziwa kisiba! pale masoko pembezoni mwa shule ya msingi masoko kwa wageni! kiukweli kuna mali nyingi maana sio kwa garama wanaotumia
Habari zaidi Ni Kijiji gan?Kuna maeneo kweli nikishawahi kuona mauza uza ambayo sikuyaelewa mfano eneo moja huko singida ambalo lina zege na ni kwenye miamba, nilipouliza wenyeji wakasema kuna mali za mzungu zipo humo na watu walijaribu kufukua ila walishindwa.
Kwa hiyo kiasi fulani hizi mada zina ukweli ndani yake.
Naipata hii story na Mimi Ni mdau wa hizi mambokuna Train ilipotea huko ulaya ikiwa imesheheni dhahabu tupu mwishoni mwa vita kuu ya pili ya dunia,ilikuwa ya wa nazi na mara ya mwisho kuonekana ilionekana maeneo ya milima fulani,ilitafutwa mpaka leo haijapatikana
Kabisamtu akiweka picha mti tag maana hapo tu ndio nitaamini kwamba haya mambo yapo hapa Tanzania,wazungu wao huweka video youtube kabisa unajionea
Amepigaje hela, tupe somoKuna mtoto mmoja wa kiongozi mstaafu amepiga sana hela kwa mambo haya, watu wakamzushia anauza unga. Ila alijipanga sana
kununua maeneo na kuuza maliAmepigaje hela, tupe somo
Kiongozi: mimi binafsi nilisimuliwa na mtu aliyemsaidia mzungu kuchukua hazina ya kale pale iringa- anasema mzungu alikuwa employee wa kampuni ya ujenzi ya WADE ADAMS, siku moja akamuimba msimuliaji amdindikize iringa. Walipofika iringa alimuomba amtafutie mchungaji wa kanisa. Mchungaji alipopatikana mzungu alionesha kibali cha kufukua na kuchukua masalia ya mwili wa babu yake , hivyo mzungu alielekeza makaburi husika, walipofika makaburini mzungu alionekana akipekua nyaraka na kisha alionesha kaburi husika. Anasema walipochimba walikuta masanduku manne ya shaba. Mzungu aliondoka nayoRamani na uwepo wa hazina ni vitu viwili tofauti kabisa. Anyway nimetahadharisha kwakuwa nafahamu ninachokiandika. Nasubiri ushuhuda kwa aliyepata hizo hazina.Haya mambo ni ya kufikirika zaidi fanyeni utafiti wa kina mtanielewa ninachokimaanisha hapa.