Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

Kiongozi: mimi binafsi nilisimuliwa na mtu aliyemsaidia mzungu kuchukua hazina ya kale pale iringa- anasema mzungu alikuwa employee wa kampuni ya ujenzi ya WADE ADAMS, siku moja akamuimba msimuliaji amdindikize iringa. Walipofika iringa alimuomba amtafutie mchungaji wa kanisa. Mchungaji alipopatikana mzungu alionesha kibali cha kufukua na kuchukua masalia ya mwili wa babu yake , hivyo mzungu alielekeza makaburi husika, walipofika makaburini mzungu alionekana akipekua nyaraka na kisha alionesha kaburi husika. Anasema walipochimba walikuta masanduku manne ya shaba. Mzungu aliondoka nayo
Habari zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiongozi: mimi binafsi nilisimuliwa na mtu aliyemsaidia mzungu kuchukua hazina ya kale pale iringa- anasema mzungu alikuwa employee wa kampuni ya ujenzi ya WADE ADAMS, siku moja akamuimba msimuliaji amdindikize iringa. Walipofika iringa alimuomba amtafutie mchungaji wa kanisa. Mchungaji alipopatikana mzungu alionesha kibali cha kufukua na kuchukua masalia ya mwili wa babu yake , hivyo mzungu alielekeza makaburi husika, walipofika makaburini mzungu alionekana akipekua nyaraka na kisha alionesha kaburi husika. Anasema walipochimba walikuta masanduku manne ya shaba. Mzungu aliondoka nayo
Jamaa aliwalipa sh ngap.
Je mzungu aliendelea na Kaz?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu naomba ushare code chache tuu unazozifahamu nataka kujifunza hizi kuconfirm jambo
Nipo sehemu ambayo nawapokea wajerumani , ajabu wakija wanataka uwapeleke sehemu ambzo wajerumani walitawala
Sasa hata kama utalii nahisi wanajambo lao😊😊
 
Mkuu naomba ushare code chache tuu unazozifahamu nataka kujifunza hizi kuconfirm jambo
Nipo sehemu ambayo nawapokea wajerumani , ajabu wakija wanataka uwapeleke sehemu ambzo wajerumani walitawala
Sasa hata kama utalii nahisi wanajambo lao[emoji4][emoji4]
Wewe sema hata mkoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sina picha, maana ni miaka mingi hasa ya huko Singida wilaya Iramba, smartphone hazikuwepo maana ni 2006, ya karibuni ambayo ni ya 2014 ipo wilaya ya Ulanga,kijiji cha Mwaya. Kipindi hicho nilikuwa natumia Samsung, kwa sasa nina Redmi note 8, sikubahatika kusave picha yoyote.


Hii ya mwaya ilianza kwa kuangalia bikon za kwenye miti, zilatupeleka hadi kwenye mti mkubwa,hazikuonesha kusonga mbele...tukafukuafukua weee hatukuona kitu.

Sasa kwenye timu yetu tulikuwa na dakitari mmoja wa binadamu,alikuwa mchunguzi sana akayatazama vizuri majabali yalikuwepo pale akagundua kitu kwenye jabali moja,lilikuwa limechongwa vizuri mfano wa sura ya bundi,bundi haswaa unavyomjua kwa upande wa sura.Basi tukajua vitu vipo pale chini, tukalitia baruti kulilipuwa, baadaya kupangua mawe na kufukua chini tukakuta kielelezo kingine, kulikuwa na jiwe limechongwa mfano wa samaki....kadogo tu size ya cm 20, tukajiuliza tena tuelekee wapi,nyumaaa au mbele ya samaki? tukakubalia tuelekee huo uelekeo wa bundi na samaki....tukaendelea kufukua kwa tahadhari sana, tukakutana na mawe madogomadogo matatu yametobolewa na kuungwa kwa kipande cha chuma, tukatuaminia....tukazidi kuchimba...tukakutana na jiwe tena kubwa kiasi, nalo limechongwa kwa mfano wa shape ya kobe, dakitari akaliita jabali hilo the turtle, akimaanisha Kasa.

To make the story short,tulikutana na zege tukabomowa, tukavunja majabali hadi tukakutana na vigae vimefunika na ukuta umejengelewa kwa ndani vizuuri....infact kule ndani baada ya kubomoa zege kulikuwa wazi,tulipolipuwa lile jabali vipande vikadumbukia ndani,tukavitoa nakuona sasa hivyo vigae vilivyofunika kitu tusichokijua,na ukuta wa kujengwa, pembeni kulikuwa na kama kisima...maji yake matulivu tu.

Sasa kwa nini hatukuendele, kwanza tuliogopa maana kulikuwa na mwamba juu yetu hatukuuvunja,ulikuwa unaninginia,maana inavyoonekana tulikosea njia, pili kikosi kazi kilipoteza morale,tukaanza kurumbana na mwisho wengine wakajitoa na hawataki hadi hii leo, tatu tuliambiwa kuna mtego,sasa ukojeukoje ndio hatujui uwoga ukazidi ujasiri,tukakimbia venue. Tukasema siku akipatikana mdau mwenye kujua vizuri hizi mishe,tutaunga tujaribu tena.

Sasa kama wewe unazijua hizi michezo,njoo nikupeke,mwaka jana nilienda nikakuta limeanza kuangukia,kujifukia.
Hata picha kwanza toa location na picha Kama 20 za eneo
 
Nashindwa kukuelewa. Hapa unasema niache udanganyifu halafu hapo hapo unasema anayetaka kufanya biashara za coin aende ebay. Which is which.
Biashara hiyo haifanyiki ebay pekee ni sehemu kibao zinafanyika. Labda sema kuwa helewi.
Hebu zitaje hizo sehemu kibao?
 
mm ni mwenyeji wa tukuyu , kila mwaka wanakuja wenyewe kuja kuzichimbua walizificha kwenye ziwa kisiba! pale masoko pembezoni mwa shule ya msingi masoko kwa wageni! kiukweli kuna mali nyingi maana sio kwa garama wanaotumia
Wanatumia gharama zipi/gani?.BTW: INAMAANA wajerumani walikuwa wengi hapa nchini kuliko sisi? Maana naona confessions zatoka mikoa na wilaya zoooote
 
Sina picha, maana ni miaka mingi hasa ya huko Singida wilaya Iramba, smartphone hazikuwepo maana ni 2006, ya karibuni ambayo ni ya 2014 ipo wilaya ya Ulanga,kijiji cha Mwaya. Kipindi hicho nilikuwa natumia Samsung, kwa sasa nina Redmi note 8, sikubahatika kusave picha yoyote.


Hii ya mwaya ilianza kwa kuangalia bikon za kwenye miti, zilatupeleka hadi kwenye mti mkubwa,hazikuonesha kusonga mbele...tukafukuafukua weee hatukuona kitu.

Sasa kwenye timu yetu tulikuwa na dakitari mmoja wa binadamu,alikuwa mchunguzi sana akayatazama vizuri majabali yalikuwepo pale akagundua kitu kwenye jabali moja,lilikuwa limechongwa vizuri mfano wa sura ya bundi,bundi haswaa unavyomjua kwa upande wa sura.Basi tukajua vitu vipo pale chini, tukalitia baruti kulilipuwa, baadaya kupangua mawe na kufukua chini tukakuta kielelezo kingine, kulikuwa na jiwe limechongwa mfano wa samaki....kadogo tu size ya cm 20, tukajiuliza tena tuelekee wapi,nyumaaa au mbele ya samaki? tukakubalia tuelekee huo uelekeo wa bundi na samaki....tukaendelea kufukua kwa tahadhari sana, tukakutana na mawe madogomadogo matatu yametobolewa na kuungwa kwa kipande cha chuma, tukatuaminia....tukazidi kuchimba...tukakutana na jiwe tena kubwa kiasi, nalo limechongwa kwa mfano wa shape ya kobe, dakitari akaliita jabali hilo the turtle, akimaanisha Kasa.

To make the story short,tulikutana na zege tukabomowa, tukavunja majabali hadi tukakutana na vigae vimefunika na ukuta umejengelewa kwa ndani vizuuri....infact kule ndani baada ya kubomoa zege kulikuwa wazi,tulipolipuwa lile jabali vipande vikadumbukia ndani,tukavitoa nakuona sasa hivyo vigae vilivyofunika kitu tusichokijua,na ukuta wa kujengwa, pembeni kulikuwa na kama kisima...maji yake matulivu tu.

Sasa kwa nini hatukuendele, kwanza tuliogopa maana kulikuwa na mwamba juu yetu hatukuuvunja,ulikuwa unaninginia,maana inavyoonekana tulikosea njia, pili kikosi kazi kilipoteza morale,tukaanza kurumbana na mwisho wengine wakajitoa na hawataki hadi hii leo, tatu tuliambiwa kuna mtego,sasa ukojeukoje ndio hatujui uwoga ukazidi ujasiri,tukakimbia venue. Tukasema siku akipatikana mdau mwenye kujua vizuri hizi mishe,tutaunga tujaribu tena.

Sasa kama wewe unazijua hizi michezo,njoo nikupeke,mwaka jana nilienda nikakuta limeanza kuangukia,kujifukia.
am here master of master £xperime"'t to call Spirits tl1at Guarb Treasure An Experiment to call out Spirits, that are Keepers of treasures Trove, Either by any Artificial Enchantment magically, or otherwise by Divine Justice; & those Spirits following have power to Command them away, & cast them out; and to do whatsoever the magick philosopher Shall Command them: Names of the Spirits Sulphur, Chalcos, Anaboth, Sonenel, Barbaros, Gorson, (or Gorzan) Everges, Mureril, Vassago, Dantelion, Barbasan, Sathan, The first thing the Magical Philosopher is to oberve herein, is to be well informed, or well to inform himself by all the best ways & means he Can, whether any Treasures are hidden in Such or Such a place or no, and by whom, and for what Reasons it should be hid and absconded from posterity, and whether it be kept by any Spirit commanded and Constrained thereon, by any Magical enchantment, or otherwise by Divine justice & whether by any Aerial Terre strial Spirit: For this is a maxim in Philosophy, That there is a great antipathy between us & Evil Spirits, & the Celestial Angels who are our governors, Protectors, & guardians, & are Continually Employed about us, according to their orders & ministries appointed them of God, Although the Evil Spirit
 
am here master of master £xperime"'t to call Spirits tl1at Guarb Treasure An Experiment to call out Spirits, that are Keepers of treasures Trove, Either by any Artificial Enchantment magically, or otherwise by Divine Justice; & those Spirits following have power to Command them away, & cast them out; and to do whatsoever the magick philosopher Shall Command them: Names of the Spirits Sulphur, Chalcos, Anaboth, Sonenel, Barbaros, Gorson, (or Gorzan) Everges, Mureril, Vassago, Dantelion, Barbasan, Sathan, The first thing the Magical Philosopher is to oberve herein, is to be well informed, or well to inform himself by all the best ways & means he Can, whether any Treasures are hidden in Such or Such a place or no, and by whom, and for what Reasons it should be hid and absconded from posterity, and whether it be kept by any Spirit commanded and Constrained thereon, by any Magical enchantment, or otherwise by Divine justice & whether by any Aerial Terre strial Spirit: For this is a maxim in Philosophy, That there is a great antipathy between us & Evil Spirits, & the Celestial Angels who are our governors, Protectors, & guardians, & are Continually Employed about us, according to their orders & ministries appointed them of God, Although the Evil Spirit
Some people are capable of taking them.
Without help of magic philosophers.
 
Back
Top Bottom