Wajibu wa wanawake walioolewa katika kutunza familia na waume zao

Wajibu wa wanawake walioolewa katika kutunza familia na waume zao

malikia balqiis

Senior Member
Joined
Apr 28, 2023
Posts
118
Reaction score
189
Jaman, baadhi ya wanawake walioolewa wanajisahau sana. Unakuta mchafu, ananuka jasho, haogi kwa wakati, hata kufua kwake ni mtihani. Kuna hawa wake za watu walioajiriwa, jamani, hata kama mmeajiriwa, jitahidini kuwajali waume zenu. Wanatoka home rafu sana. Kuna mkaka namjua ameoa, na ndoa yake ya miaka mingi sana, mkewe ameajiriwa. Jamani, huyo baba anaenda kazini, nguo zimejikunja. Nguo zake ni nzuri, lakini hayupo smart. Unakuta shati zimejikunja, kavaa tu, hata hajali. Viatu vimejaa vumbi.

Jamani, mlioolewa, jitahidini kuwajali waume zenu hata kama mmeajiriwa. Wawekeni smart waume zenu, jamani. Inasikitisha sana. Huyo baba akipata michepuko msafi, akamfulia, akampa mapenzi moto, akampikia chakula kizuri, atahamia huko huko. Maana kila siku yeye ni kula chakula cha house girl, nguo anavaa hazilowekwi, kama zimetafunwa. Jamani, sijui kwanini watu wakiolewa wanajisahau. Wajali waume zenu, jamani.

Sasa huyo baba kwa jinsi anavyoishi, utasema hana mke. Ni huruma, kwa kweli. Embu wajali waume zenu waonekane smart. Mtu kaoa lakini mke hata kumuandalia nguo hapana, kumsafishia viatu mke hatimizi majukumu yake kama mke. Inasikitisha. Kuna mwingine yeye ni kulala tu, hana kazi ni mama wa nyumbani, lakini hata kufua nguo za wanae ni mtihani. Nyumba nzima inanuka mikojo na mavi ya watoto. Nepi za mavi anarundika siku mbili, nyumba inanuka uozo, na ni mke wa mtu. Ni mchafu sana. Wanaume wanavumilia mengi, jamani, yaani wanaume wanavumilia jamani hawasemi tu. Jamani, jamani, wake za watu ni wachafu sana, asilimia kubwa wanajisahau, wanabweteka. Hata kujiweka smart hawawezi. Yaani ni huzuni. Poleni sana wale wote mliooa wanawake wavivu.
 
Sijasoma Uzi naweka matangazo kwanza
 

Attachments

  • Screenshot_20240816-014550_1.jpg
    Screenshot_20240816-014550_1.jpg
    76.3 KB · Views: 13
Unakuta akiwa ni mchumba anapiga night dress kali na kabikini, akishapa ndoa analala na t-shirt ya CWT.
Yan ni wachafu mi nimeahuhudia kw watu wa Karibu yan acha ni huzuni wengine atankuoga mpknwalazimishwe na mume wakisha olewa wanajibweteka jmn wanaume wanavumilia mengi Sana Sasamtu ata kumnyooshea mume wake Shati awezu Uyo ni mwananke AU Mwanaume mwenzao?

Mambo ni mengi Sana Tena Uku mtaan kwetu wake za watu WaPo kama vizee wamechoka balaa WaPo Lafu sanaaa ndo mana wanaume wanakosa nguvu za kiume ata ungekua wewe unalala na MTU ananuka km beberu na nepi za Mavi ndan zinatema uozo azifuliwi zimetelekezwa TU we kuweza ata izo nguvu za kiume zinatokea wapi
 
Ku
Hawakufundwa....
Mwanamke alofundwa.akafundika.anajua majukumu yake....
Hawa viumbe wanahitaji matunzo kama.watoto..
na mtu amefundwa na ni mchafu mvivu vby Sana nepi za mavi anarundika siku mbili mpk Hali ya hewa inabadilika ndan na hajali wala Nn na ameolewa ndo mana waume zao wanakosa nguvu za kiume MTU kiukwel uchafu unakata stimu KBS ATA kama wanalea wajitahid Usafi bwana
 
Ku

na mtu amefundwa na ni mchafu mvivu vby Sana nepi za mavi anarundika siku mbili mpk Hali ya hewa inabadilika ndan na hajali wala Nn na ameolewa ndo mana waume zao wanakosa nguvu za kiume MTU kiukwel uchafu unakata stimu KBS ATA kama wanalea wajitahid Usafi bwana
Ku

na mtu amefundwa na ni mchafu mvivu vby Sana nepi za mavi anarundika siku mbili mpk Hali ya hewa inabadilika ndan na hajali wala Nn na ameolewa ndo mana waume zao wanakosa nguvu za kiume MTU kiukwel uchafu unakata stimu KBS ATA kama wanalea wajitahid Usafi bwana
Vipi we umeolewa...?
 
kuna Mkaka namjua Ameoa ja NDoa. Yake ya miaka Mingi Sana mkewe ammeajiriwa jaman Uyo baba anaenda kazini nguo zimejikunja nguo zake ni mzuri Lakn ayupo smart unakuta Shati zimejikunja kavaaa TU ata ajali viatu vimejaa vumbi jaman mlio olewa jitahidini kuwajali waume zenu ata km mmejiriwa wawekeni smart waume zenu
Unaonaje ukijinata kwake hata kwa wiki moja tu umuonjeshe akirudi kwa mkewe akasimulie
 
Jaman baadhi ya wanawake walioolewa wanajisahau Sana ...unakuta mchafuuu ananuka jashooo aogi kw wakati ata kufua kwake ni mtihan kuna awa wake za watu walioajiriwa jaman ata kma ammeajiriwa jitahidini kuwajali waume zenu wanatoka home Rafu sanaaa kuna Mkaka namjua Ameoa ja NDoa. Yake ya miaka Mingi Sana mkewe ammeajiriwa jaman Uyo baba anaenda kazini nguo zimejikunja nguo zake ni mzuri Lakn ayupo smart unakuta Shati zimejikunja kavaaa TU ata ajali viatu vimejaa vumbi jaman mlio olewa jitahidini kuwajali waume zenu ata km mmejiriwa wawekeni smart waume zenu jaman inasikitisha Sana Uyo baba akipata michepuko msafi akamfulia akampa mapenz moto akampikia chakula kizuri atahamia uko uko mana kila siku yeye ni kula chakula cha housegal nguo anavaa azielrwek km zimetafunwa jMN sijui kwnn watu wakiolewa wanajisahau wajalini waume zenu jaman Sasa Uyo baba kw jin's anavo ishi utasema hana mke ni huruma kwakweli embu wajalini waume zenu waonekane smart MTU kaoa lkn mke ata kumuandalia nguo apana kumsafishia viatu mke atimizi majukumu yake kama mke yan inasikitisha kuna mwingine yeye ni kulala TU hana Kazi ni mama WA nyumban lkn ATA kufua nguo za wanae ni mtihani nyumba nzima inanuka mikojo na Mavi ya watoto nepi za Mavi anarundika siku mbili nyimba inanuka uozo na ni mke wa MTU ni mchafu Sana wanaume anavumilia mengi Jaman yan wanaume wanavumilia Jaman awasemi tuuuu Jaman Jaman wake za watu ni wachafu sanaaa asilikia kubwaa wanajisahau wanabweteka ata kujiweka smart awawez yan ni huzuni poleni sana wale wote mliooa wanawake wavivu
Kwa mara ya kwanza naona muandiko wa mwanamke jf
 
Back
Top Bottom