Wajibu wa wanawake walioolewa katika kutunza familia na waume zao

Wajibu wa wanawake walioolewa katika kutunza familia na waume zao

Jaman baadhi ya wanawake walioolewa wanajisahau Sana ...unakuta mchafuuu ananuka jashooo aogi kw wakati ata kufua kwake ni mtihan kuna awa wake za watu walioajiriwa jaman ata kma ammeajiriwa jitahidini kuwajali waume zenu wanatoka home Rafu sanaaa kuna Mkaka namjua Ameoa ja NDoa. Yake ya miaka Mingi Sana mkewe ammeajiriwa jaman Uyo baba anaenda kazini nguo zimejikunja nguo zake ni mzuri Lakn ayupo smart unakuta Shati zimejikunja kavaaa TU ata ajali viatu vimejaa vumbi jaman mlio olewa jitahidini kuwajali waume zenu ata km mmejiriwa wawekeni smart waume zenu jaman inasikitisha Sana Uyo baba akipata michepuko msafi akamfulia akampa mapenz moto akampikia chakula kizuri atahamia uko uko mana kila siku yeye ni kula chakula cha housegal nguo anavaa azielrwek km zimetafunwa jMN sijui kwnn watu wakiolewa wanajisahau wajalini waume zenu jaman Sasa Uyo baba kw jin's anavo ishi utasema hana mke ni huruma kwakweli embu wajalini waume zenu waonekane smart MTU kaoa lkn mke ata kumuandalia nguo apana kumsafishia viatu mke atimizi majukumu yake kama mke yan inasikitisha kuna mwingine yeye ni kulala TU hana Kazi ni mama WA nyumban lkn ATA kufua nguo za wanae ni mtihani nyumba nzima inanuka mikojo na Mavi ya watoto nepi za Mavi anarundika siku mbili nyimba inanuka uozo na ni mke wa MTU ni mchafu Sana wanaume anavumilia mengi Jaman yan wanaume wanavumilia Jaman awasemi tuuuu Jaman Jaman wake za watu ni wachafu sanaaa asilikia kubwaa wanajisahau wanabweteka ata kujiweka smart awawez yan ni huzuni poleni sana wale wote mliooa wanawake wavivu
Huna lolote unataka kuungwa mkono na Wanaume tu apa.
Yani uwe Mchafu na rafu lawama ziende kwa Mke tena.
 
Unatakiwa kusaidiana kusafisha nyunba na miili yenu Sio mwanamke kila kitu
Apikie watoto,aandae waende Shule ajiandae yeye kwenda kazini Na bado amuandae mume????? Hugo mwanaume hata pasi nguo zake hawezi?
Hata kubrash viatu???
Hapo hapo umesema wananuka
Wananuka coz unatake care nyumba watoto,mifugo Na mume ambae hawezi jifanyia lolote kama kilema hivi hata hiyo hamu ya kujitake care inatoka wap??
Wanaume wasaidizane Na wake zao
 
Back
Top Bottom