Wajibu wa wanawake walioolewa katika kutunza familia na waume zao

Wajibu wa wanawake walioolewa katika kutunza familia na waume zao

Wangu Toka aoe hata kikombe hasogezi😅.hivi mnafanyaga makusudi au..?
Kabla hajakuoa anapiga kampeni
Atadeki hadi nyumba
Mi nachoshukuru Mungu nasemaga sijui kunyoosha nguo za kiume
Hiyo ndo imebaki shuhuki yake pekee,Ila nashukuru Mungu pamoja Na madhaifu ya mume Wangu ananisaidia Sana watoto,kuanzia kuwalisha kuwaogesha Na yeye mwenyewe kujiweka Safi
Nashauri vijana wapitie jkt hakiyanani
 
Ni ajabu yani utoke shati limejikunja kisa mke hajanyoosha na umeme upo, pasi ipo.
Inachekesha Sana
Tuassume upon jeshini afsa
Umeenda Na Ile suti yao imejikunja unaulizwa Na mkuu unasema mke Wangu hajanyoosha
Aiseee kila mtu Na namna anavyoyatizama Maisha
Ila kama unapenda kuwa smart,mke wako Ni kipeuo tu
 
Inachekesha Sana
Tuassume upon jeshini afsa
Umeenda Na Ile suti yao imejikunja unaulizwa Na mkuu unasema mke Wangu hajanyoosha
Aiseee kila mtu Na namna anavyoyatizama Maisha
Ila kama unapenda kuwa smart,mke wako Ni kipeuo tu
Kuna watakaoacha kuoga wanuke alafu waseme ni wake zao😂

Mke ana majukumu yake sikatai ila usafi wa mwili, mavazi na unadhifu wa mtu unachangiwa pakubwa sana na yeye mwenyewe.
 
Kabla hajakuoa anapiga kampeni
Atadeki hadi nyumba
Mi nachoshukuru Mungu nasemaga sijui kunyoosha nguo za kiume
Hiyo ndo imebaki shuhuki yake pekee,Ila nashukuru Mungu pamoja Na madhaifu ya mume Wangu ananisaidia Sana watoto,kuanzia kuwalisha kuwaogesha Na yeye mwenyewe kujiweka Safi
Nashauri vijana wapitie jkt hakiyanani
Mm Bado hatujajaliwa mtoto...
Ndoa changa ila mmm
😅😅
 
Hata watoto wataiga hayo hayo wanayoyashuhudia, haya mambo ya kutegemea mke/mama ndio afanye kila kitu ni shida sana.

Kuna mzee yeye hata chooni akienda haja hasafishi, anatoka mkewe au watoto ndio wasafishe. 😬
Ni
Mm Bado hatujajaliwa mtoto...
Ndoa changa ila mmm
😅😅
kawaida kabla ya ndoa ni kampeni
But hata mkipata watoto na akiwa na utu na utulivu he will help….
All the best
 
Kuna watakaoacha kuoga wanuke alafu waseme ni wake zao😂

Mke ana majukumu yake sikatai ila usafi wa mwili, mavazi na unadhifu wa mtu unachangiwa pakubwa sana na yeye mwenyewe.
Sahihi
unaacha nywele za sirini ukiinua mkono zinatokeza kama umeekabana kama panya kwapani
Alafu unasema hii yote ni mke wangu
Kuna wengine vijana hawajaoa ila eeeee
 
Kabla hajakuoa anapiga kampeni
Atadeki hadi nyumba
Mi nachoshukuru Mungu nasemaga sijui kunyoosha nguo za kiume
Hiyo ndo imebaki shuhuki yake pekee,Ila nashukuru Mungu pamoja Na madhaifu ya mume Wangu ananisaidia Sana watoto,kuanzia kuwalisha kuwaogesha Na yeye mwenyewe kujiweka Safi
Nashauri vijana wapitie jkt hakiyanani
Katika watu wachafu ni wa huko JKT sasa kama hujui...Tukiwa JKT kulala na Mabuti ninkawaida alafu yana matope.
Usafi ni mtu mwenyewe kuamua na hulka ya mtu tusilete visingizio mara Mke au mlemavu.
No way
 
Unatakiwa kusaidiana kusafisha nyunba na miili yenu Sio mwanamke kila kitu
Apikie watoto,aandae waende Shule ajiandae yeye kwenda kazini Na bado amuandae mume????? Hugo mwanaume hata pasi nguo zake hawezi?
Hata kubrash viatu???
Hapo hapo umesema wananuka
Wananuka coz unatake care nyumba watoto,mifugo Na mume ambae hawezi jifanyia lolote kama kilema hivi hata hiyo hamu ya kujitake care inatoka wap??
Wanaume wasaidizane Na wake zahousegirl ndo anafanya tote ayo Sio Uyo mke

Unatakiwa kusaidiana kusafisha nyunba na miili yenu Sio mwanamke kila kitu
Apikie watoto,aandae waende Shule ajiandae yeye kwenda kazini Na bado amuandae mume????? Hugo mwanaume hata pasi nguo zake hawezi?
Hata kubrash viatu???
Hapo hapo umesema wananuka
Wananuka coz unatake care nyumba watoto,mifugo Na mume ambae hawezi jifanyia lolote kama kilema hivi hata hiyo hamu ya kujitake care inatoka wap??
Wanaume wasaidizane Na wake zao
Hujaelewa Mada we Uyo mke anaenda kazn tu Kazi zingune zote anafanya housegirl sikuiz madhouse girl ndo wanafanya majukumu ya NDoa Sio ao wake zenu unao watetea na pia ni jukumi la mke kumjali mumewe ndo mana akaolewa ili aende kumcare mume
 
Back
Top Bottom