The useful idiot
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 1,019
- 2,670
Nilianza Quora nikiwa na 15 years old reddit huu mwaka wa tatu, na huko ndipo wenye akili tumoKabla sijasoma comment ya yote...nikupongeze tu kwa kutuMia reddit
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilianza Quora nikiwa na 15 years old reddit huu mwaka wa tatu, na huko ndipo wenye akili tumoKabla sijasoma comment ya yote...nikupongeze tu kwa kutuMia reddit
M Quora ni visitor tu...ila reddit ni member kabisa naenda mwaka Wa 2 huuNilianza Quora nikiwa na 15 years old reddit huu mwaka wa tatu, na huko ndipo wenye akili tumo
Kweli kabisa na ndio maana waafrika wengi hamna wanachokiweza cha maana , sasa ma juzi nimepigwa ban hata kosa silijui huku yeye anatukana kila anavyojisikia mpaka inbox ananifuataHilo la upendelea Kila siku linashamiri....
Sjui wanataka nn hao wanaojipendekeza...
Huyo anayekutukana mu I ignore tu...Kweli kabisa na ndio maana waafrika wengi hamna wanachokiweza cha maana , sasa ma juzi nimepigwa ban hata kosa silijui huku yeye anatukana kila anavyojisikia mpaka inbox ananifuata
Kweli humu JF raia wengi wana majina ya kike na picture pia ila ukisoma mawazo yao ni ya kiume 🤒🤒🤒😥😥Wewe mnafiki hata utubu hutoenda mbinguni hata utakee
Mwanamke anaolewa kwa ajili ganj?Tuanze na hili
Wapi?Wanakofunda.
Bhana kwani hujui nawe...?Wapi?
Kama ni kitchen party ninachojuwa mnakwenda kutunzana vyombo tu, je mnafundwa wapi?Bhana kwani hujui nawe...?
Siku chache kabla ya kuolewa inabidi ufundwe..hiyo ya kitchen part ni Kwa ajili ya kufurahishana tu na kutunzwa vitu ila hakuna (ga) mafunzo yyte..Kama ni kitchen party ninachojuwa mnakwenda kutunzana vyombo tu, je mnafundwa wapi?
Zamani kulikuwa na jando na unyago, sasa hivi hakuna, hivi Kajala atamfunda nini binti yake? Kudanga?
Tunafundwa na kungwi dear ndani Sio nnje kw sisi wqislam binti akikaribia kufunga ndoa anafundwa vzr KBS na mama MTU mzima wa kiuitwa kungwi kuanzia Usafi ,jinsi ya kumuhudumia na kumjali mume ,heshima ,tabia njema mahaba NKKama ni kitchen party ninachojuwa mnakwenda kutunzana vyombo tu, je mnafundwa wapi?
Zamani kulikuwa na jando na unyago, sasa hivi hakuna, hivi Kajala atamfunda nini binti yake? Kudanga?
Maana wanasura zababa zaoKweli humu JF raia wengi wana majina ya kike na picture pia ila ukisoma mawazo yao ni ya kiume 🤒🤒🤒😥😥
Mume akiyumba kipesa kidogo mafunzo yote yanayeyuka.Tunafundwa na kungwi dear ndani Sio nnje kw sisi wqislam binti akikaribia kufunga ndoa anafundwa vzr KBS na mama MTU mzima wa kiuitwa kungwi kuanzia Usafi ,jinsi ya kumuhudumia na kumjali mume ,heshima ,tabia njema mahaba NK