Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
- Thread starter
-
- #101
Wajinga ndio mliwao wajanja wametulia wanakunywa juice tu kivuliniMtoto wa kiume kuonea huruma pesa za wanaume wenzako Kuna mashaka [emoji848]
Simba nguvu moja[emoji120]
Mjinga ni mtu anayetumia muda wake kujadili watu anaodhani ni wajinga.Kuna bakuli linaendelea kwenye Klabu ya Simba ambapo Wajanja ambao ni Viongozi wa Simba wameona sehemu ya kupiga pesa kwa Mashabiki wao ambapo sasa inachangishwa million 100 na hapo Sasa mpaka muda huu imeshapita hicho kiasi ila kuna watu bado wanaendelea kupigwa eti inajiita Klabu kubwa inakosa hicho kiasi
Hapo kuna watu wanachangia mfano 25,000 kwenye account inabaki shilingi mia mbili. Aisee! Unakuta mtu kama huyu wazazi wake wanakosa hata pesa ya chumvi ila hela anawapa matapeli
Hawa aisee kweli wajinga kila siku wanazaliwa
Wajinga ndio mliwao katume tena hahahaha kekundu kekundu🤣🤣🤣🤣Mjinga ni mtu anayetumia muda wake kujadili watu anaodhani ni wajinga.
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Huu ni ujinga tu na upumbavu club kubwa kama Simba ni kivipi ichangishe hela ndogo kama Dola 40,000, wa Tanzania wengi uwezo wao wa kufikiri ni mdogo ndiomaana mambo Kama haya yanafanyika na watu hawahoji, huu ni upumbavu wa kiwango cha lami
Haya ni mahitaji ya sisi washabiki na wanachama..club imezingatia matakwa ya watu wake .CS Sfaxen mbona walinunuabtiketi zote na uwanjani hawakuingiaHuu ni ujinga tu na upumbavu club kubwa kama Simba ni kivipi ichangishe hela ndogo kama Dola 40,000, wa Tanzania wengi uwezo wao wa kufikiri ni mdogo ndiomaana mambo Kama haya yanafanyika na watu hawahoji, huu ni upumbavu wa kiwango cha lami
Ujinga na upumbavu ni kuwashwa na pili pili anayokula mtu mwingineHuu ni ujinga tu na upumbavu club kubwa kama Simba ni kivipi ichangishe hela ndogo kama Dola 40,000, wa Tanzania wengi uwezo wao wa kufikiri ni mdogo ndiomaana mambo Kama haya yanafanyika na watu hawahoji, huu ni upumbavu wa kiwango cha lami
Wivu Dada utakuua,kama ni kudanga uje tutakupatia tu na weweWajinga ndio mliwao katume tena hahahaha kekundu kekundu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani nimuonee wivu mjinga na masikini anaepigwa pesa na Matajiri🤣🤣🤣🤣Wivu Dada utakuua,kama ni kudanga uje tutakupatia tu na wewe
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Wanachama na wapenzi wa Simba ndio wameleta wazo la kuchangia klabu na viongozi wakakubali. Kwani kosa lilifanywa na mashabiki hivyo ni namna yao ya kuonyesha uwajibikaji.Huu ni ujinga tu na upumbavu club kubwa kama Simba ni kivipi ichangishe hela ndogo kama Dola 40,000, wa Tanzania wengi uwezo wao wa kufikiri ni mdogo ndiomaana mambo Kama haya yanafanyika na watu hawahoji, huu ni upumbavu wa kiwango cha lami
Naona una wivu sana mashabiki wa Simba kuchangia faini Sasa nikafikiri wewe ni mwanamkeWe ni mwanamke?
Una account kwenye X au Insta au Fb? Simba waliweka taarifa ila followers wakaweka maoni wenyewe ndio sababu ya simba kuja ni hii hoja. Wala haikuwa dhana yao kuchangisha. Shida inakuja nyie wa upande wa pili kwa kuwa hampo ktk hizo kurasa hata hamjuii sababu ya timu kufikia uamuzi huo.Huu ni ujinga tu na upumbavu club kubwa kama Simba ni kivipi ichangishe hela ndogo kama Dola 40,000, wa Tanzania wengi uwezo wao wa kufikiri ni mdogo ndiomaana mambo Kama haya yanafanyika na watu hawahoji, huu ni upumbavu wa kiwango cha lami
Wajinga ndio mliwao Nenda katume pesa wewe🤣🤣🤣Una account kwenye X au Insta au Fb? Simba waliweka taarifa ila followers wakaweka maoni wenyewe ndio sababu ya simba kuja ni hii hoja. Wala haikuwa dhana yao kuchangisha. Shida inakuja nyie wa upande wa pili kwa kuwa hampo ktk hizo kurasa hata hamjuii sababu ya timu kufikia uamuzi huo.
Una account kwenye X au Insta au Fb? Simba waliweka taarifa ila followers wakaweka maoni wenyewe ndio sababu ya simba kuja ni hii hoja. Wala haikuwa dhana yao kuchangisha. Shida inakuja nyie wa upande wa pili kwa kuwa hampo ktk hizo kurasa hata hamjuii sababu ya timu kufikia uamuzi huo.
kwani Simba ndio timu ya Kwanza kupata changamoto Kama hii, timu zingine walisolve vipii, timu yoyote inayojiendesha ki professional haiwezi kufanya upumbavu huu, lakini kwasababu ya uwezo wako mdogo wa kuchambua mambo unaona ni sawa, Halafu unajiita club kubwa kwa upumbavu Kama huu. Wewe na njaa zako unawachangia wa Janja wachache hela ya kupiga, una audit vipi hizi fedha za Michango hii??Wanachama na wapenzi wa Simba ndio wameleta wazo la kuchangia klabu na viongozi wakakubali. Kwani kosa lilifanywa na mashabiki hivyo ni namna yao ya kuonyesha uwajibikaji.
Cha kushangaza unaumia wewe usiehusika kutoa hata shillingi 1.
Huo ndio upumbavu na unafiki kuingilia yasiyokuhusu.
Mind your fucking business wacha ku comment visivyokuhusu.
Jibu limetosha labda nichomeke kwenye subwoofer asikie vzr....Wewe ndio mpumbavu wa kutaka kila mtu afuate unavyotaka wewe.Kuchanga nichange mimi kuumia na kulalamika ulalamike wewe!.Huoni una matatizo ya akili?Tokea lini ukawa mke wangu ukafikia kunishauri kuhusu matumizi ya pesa zangu?
Unateswa na mwiko wako nyuma mpaka mnaiba na kuku za watuHuu ni ujinga tu na upumbavu club kubwa kama Simba ni kivipi ichangishe hela ndogo kama Dola 40,000, wa Tanzania wengi uwezo wao wa kufikiri ni mdogo ndiomaana mambo Kama haya yanafanyika na watu hawahoji, huu ni upumbavu wa kiwango cha lami
Anaumizwa na ule mwiko wao kule nyumaWewe ndio mpumbavu wa kutaka kila mtu afuate unavyotaka wewe.Kuchanga nichange mimi kuumia na kulalamika ulalamike wewe!.Huoni una matatizo ya akili?Tokea lini ukawa mke wangu ukafikia kunishauri kuhusu matumizi ya pesa zangu?
Ndio maana mnaiba hadi kuku, hamna hela nyinyiWajinga ndio mliwao Nenda katume pesa wewe🤣🤣🤣