Wajinga ndio wanadhani utawala wa Putin utaanguka

Wajinga ndio wanadhani utawala wa Putin utaanguka

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Kwema Wakuu!

Bado natafakari wanaodhani kuwa kinachoendelea Huko Urusi ati kitaangusha utawala wa Putin. Kwa kweli Akili zao hawazitumii vizuri. Na macho Yao nafikiri hayaoni wala kujua Dunia inaendeshwaje.

Hivi kama Urusi imechukua miaka miwili kutaka kuangusha utawala wa Comedian Zelensky ndio hichi kikundi kiangushe utawala wa Urusi.

Kuangusha utawala wa Al Asady pale Syria huu ni Mwaka wa 12 tangu Mwaka 2011.

Hata kama ni ushabiki lakini usiwatie vipofu.

Masaa 48 kuanzia leo yaani Jumatatu hapa tutazungumza ishu nyingine

Tusifikiri Russia ni kama nchi zetu
 
Kwema Wakuu!

Bado natafakari wanaodhani kuwa kinachoendelea Huko Urusi ati kitaangusha utawala wa Putin. Kwa kweli Akili zao hawazitumii vizuri. Na macho Yao nafikiri hayaoni wala kujua Dunia inaendeshwaje.

Hivi kama Urusi imechukua miaka miwili kutaka kuangusha utawala wa Comedian Zelensky ndio hichi kikundi kiangushe utawala wa Urusi.
Kuangusha utawala wa Al Asady pale Syria huu ni Mwaka wa 12 tangu Mwaka 2011.
Hata kama ni ushabiki lakini usiwatie vipofu.
Masaa 48 kuanzia leo yaani jumatatu hapa tutazungumza ishu nyingine

Tusifikiri Russia ni kama nchi zetu
Umeendaa uzi baada ya pande mbili kukubaliana na kusitisha walichokuwa wanafanya halafu unajiona umeongea point au unaakili sana

Ungeandika huu uzi kabla ya wagner hawaja-retreat ungeonekana unaakili na uliona mbali lakin tofauti na hapo wewe ni mshabiki tu ambaye anaongea sana baada ya timu yake kushinda
 
Kama kikundi Cha mamluki kimeweza kuvuka mpaka,wakateka kituo Cha kijeshi,wakafika 200km from Moscow!
Putin ilibidi aombe msaada wa beralus,ili kupatanisha,
Putin amehaibishwa,udhaifu umeonekana,hata kama hata ngolewa Leo,it's a matter of time
 
Hakuna aliyekua anajua nin kitatokea
In short hakuna ajuaye kesho
Acha kutaka sifa za kishamba

Wewe ndio unaakili za kishamba kudhani Mimi ninataka Sifa Kwa Watu ambao siwajui. Yaani nitake Sifa Kwa ID Fake? Wewe kweli Lofa
Yaani wewe unisifu Mimi napata nini kama sio Akili zako za kijinga.
Au uniponde Mimi na sikujui Mimi inanihusu nini?
Yaani kuna mijitu mijinga kweli
 
Kama kikundi Cha mamluki kimeweza kuvuka mpaka,wakateka kituo Cha kijeshi,wakafika 200km from Moscow!
Putin ilibidi aombe msaada wa beralus,ili kupatanisha,
Putin amehaibishwa,udhaifu umeonekana,hata kama hata ngolewa Leo,it's a matter of time

Hayo matukio ya kutengeneza. Yanaingiza mkenge wajinga
 
hauna tofauti na msukuma baada ya kuona kaongwa li v8 kavaa kanzu kujitetea kuwa waarabu wajamuonga
 
Wewe pia ni mkinga kudhani ufalme wa putin utadumu milele
 
Back
Top Bottom