Wajinga ndio wanadhani utawala wa Putin utaanguka

Wajinga ndio wanadhani utawala wa Putin utaanguka

Huu uzi angeandaa kabla ya wagner kuretreat angeonekana ana akili na aliona mbali, ila anaandaa uzi baada ya ceasefire alafu anataka kuchukua credit kwa kitu ambacho kipo obvious

Wewe ndio huelewi.
Unadhani kila MTU anaandika aonekane anaakili au apate Credit.
Wapo walishasema humu kuwa mpaka jumatatu mtaelewa kuwa kinachoendelea ni kitu gani. Wajinga mkaishia kulaghaiwa kijinga
 
Kwema Wakuu!

Bado natafakari wanaodhani kuwa kinachoendelea Huko Urusi ati kitaangusha utawala wa Putin. Kwa kweli Akili zao hawazitumii vizuri. Na macho Yao nafikiri hayaoni wala kujua Dunia inaendeshwaje.

Hivi kama Urusi imechukua miaka miwili kutaka kuangusha utawala wa Comedian Zelensky ndio hichi kikundi kiangushe utawala wa Urusi.
Kuangusha utawala wa Al Asady pale Syria huu ni Mwaka wa 12 tangu Mwaka 2011.
Hata kama ni ushabiki lakini usiwatie vipofu.
Masaa 48 kuanzia leo yaani jumatatu hapa tutazungumza ishu nyingine

Tusifikiri Russia ni kama nchi zetu


Bro kwa haya ya hawa Wahuni, Putin anaenda aisee, Bila Putin hii dunia haina raha, kweli nasikitika
 
Screenshot_20230624_220354_Chrome.jpg
 
Kuangusha utawala wa Putin wasingeweza. Ila kwa akili ya kawaida hili tukio la hawa wahuni wa wagner walichofanya kina maanisha nini?
 
kha! Usiuanguke umekuwa utawala wa Mungu acha ushabiki hadi unakufuru!, dikteta yeyote lazma mwisho wake mbaya soma historia hakuna jipya.

Kwa namna ile ni ngumu Sana Mkuu.
Hata Mimi Mchana nilikuwa bado ninawasiwasi 50/50 Ila kila dalili zilionyesha ni Ujanjaujanja.
Yaleyale ya Drone kulipua Ikulu😂
 
Ipo wazi wapi acha uongo na kutaka cheap popularity
😄 Jamaa anataka kuonekana brained kwenye low IQ issues kama hiki kilichotokea.

Yaani watu wanaangalia safari ya Wagner na source ya huu uasi wao yeye analeta blah blah ahahahaaaa...
 
Kwema Wakuu!

Bado natafakari wanaodhani kuwa kinachoendelea Huko Urusi ati kitaangusha utawala wa Putin. Kwa kweli Akili zao hawazitumii vizuri. Na macho Yao nafikiri hayaoni wala kujua Dunia inaendeshwaje.

Hivi kama Urusi imechukua miaka miwili kutaka kuangusha utawala wa Comedian Zelensky ndio hichi kikundi kiangushe utawala wa Urusi.

Kuangusha utawala wa Al Asady pale Syria huu ni Mwaka wa 12 tangu Mwaka 2011.

Hata kama ni ushabiki lakini usiwatie vipofu.

Masaa 48 kuanzia leo yaani Jumatatu hapa tutazungumza ishu nyingine

Tusifikiri Russia ni kama nchi zetu
Ufalme ukifitinika hausimami
 
Back
Top Bottom