Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,816
- 8,809
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu uzi angeandaa kabla ya wagner kuretreat angeonekana ana akili na aliona mbali, ila anaandaa uzi baada ya ceasefire alafu anataka kuchukua credit kwa kitu ambacho kipo obvious
Kwema Wakuu!
Bado natafakari wanaodhani kuwa kinachoendelea Huko Urusi ati kitaangusha utawala wa Putin. Kwa kweli Akili zao hawazitumii vizuri. Na macho Yao nafikiri hayaoni wala kujua Dunia inaendeshwaje.
Hivi kama Urusi imechukua miaka miwili kutaka kuangusha utawala wa Comedian Zelensky ndio hichi kikundi kiangushe utawala wa Urusi.
Kuangusha utawala wa Al Asady pale Syria huu ni Mwaka wa 12 tangu Mwaka 2011.
Hata kama ni ushabiki lakini usiwatie vipofu.
Masaa 48 kuanzia leo yaani jumatatu hapa tutazungumza ishu nyingine
Tusifikiri Russia ni kama nchi zetu
Waliosema ni wengine ila sio weweWewe ndio huelewi.
Unadhani kila MTU anaandika aonekane anaakili au apate Credit.
Wapo walishasema humu kuwa mpaka jumatatu mtaelewa kuwa kinachoendelea ni kitu gani. Wajinga mkaishia kulaghaiwa kijinga
Nahisi Wagner wamevurugwa na vita.. wajeda wanapo toka vitani vichwa vinakuwa moto sanaWagner walikengeuka wakaaza kuelekea moscova....wamepata mashambulizi kazaa ya angaa nazan wameona hawatatoboa...
mkuu usitumie nguvu kubwa sana kuwaelewesha,yaani kikundi cha mgambo kiitingishe ngome ya putinKwa hiyo Kwa Akili yako ulifikiri kilichokiaa kinaendelea kilikuwa Halisi?
Waliosema ni wengine ila sio wewe
mkuu usitumie nguvu kubwa sana kuwaelewesha,yaani kikundi cha mgambo kiitingishe ngome ya putin
kha! Usiuanguke umekuwa utawala wa Mungu acha ushabiki hadi unakufuru!, dikteta yeyote lazma mwisho wake mbaya soma historia hakuna jipya.
Kuangusha utawala wa Putin wasingeweza. Ila kwa akili ya kawaida hili tukio la hawa wahuni wa wagner walichofanya kina maanisha nini?
😄 Jamaa anataka kuonekana brained kwenye low IQ issues kama hiki kilichotokea.Ipo wazi wapi acha uongo na kutaka cheap popularity
Naulizwa huku,nacheka Nini?Waliosema ni wengine ila sio wewe
Ufalme ukifitinika hausimamiKwema Wakuu!
Bado natafakari wanaodhani kuwa kinachoendelea Huko Urusi ati kitaangusha utawala wa Putin. Kwa kweli Akili zao hawazitumii vizuri. Na macho Yao nafikiri hayaoni wala kujua Dunia inaendeshwaje.
Hivi kama Urusi imechukua miaka miwili kutaka kuangusha utawala wa Comedian Zelensky ndio hichi kikundi kiangushe utawala wa Urusi.
Kuangusha utawala wa Al Asady pale Syria huu ni Mwaka wa 12 tangu Mwaka 2011.
Hata kama ni ushabiki lakini usiwatie vipofu.
Masaa 48 kuanzia leo yaani Jumatatu hapa tutazungumza ishu nyingine
Tusifikiri Russia ni kama nchi zetu
Ufalme ukifitinika hausimami
Hivi huwaga mnaota !??Wagner walikengeuka wakaaza kuelekea moscova....wamepata mashambulizi kazaa ya angaa nazan wameona hawatatoboa...