Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Hana tofauti na mshabiki ambaye anasubiria mpira uishe ndo anaisifia timu yake iliyoshinda kwa mbindeπ Jamaa anataka kuonekana brained kwenye low IQ issues kama hiki kilichotokea.
Yaani watu wanaangalia safari ya Wagner na source ya huu uasi wao yeye analeta blah blah ahahahaaaa...
Alafu huwez amin mim siku hata na upande nilikua nasubiria mwisho wake
Mim sio kama wewe ambaye unatafuta cheap popularity
Kwani uasi uliotishia kumtoa mwalimu Nyerere madarakani ulianzaje ?
Hapana,,tulijua tu ni kichekesho,kama mfatiliaji wa hii SMO usingekua na shaka.[emoji23][emoji23]
Leo mngewalaza na viatu Warusi wa kibondo.
Mchana wote hoi
Nikuulize wewe uliyepo Moscow ?Kwani wanajeshi wa Wagner huapa Kwa Katiba ipi?
Kumbikumbi mmeanza kutoka kwenye vichuguuKwema Wakuu!
Bado natafakari wanaodhani kuwa kinachoendelea Huko Urusi ati kitaangusha utawala wa Putin. Kwa kweli Akili zao hawazitumii vizuri. Na macho Yao nafikiri hayaoni wala kujua Dunia inaendeshwaje.
Hivi kama Urusi imechukua miaka miwili kutaka kuangusha utawala wa Comedian Zelensky ndio hichi kikundi kiangushe utawala wa Urusi.
Kuangusha utawala wa Al Asady pale Syria huu ni Mwaka wa 12 tangu Mwaka 2011.
Hata kama ni ushabiki lakini usiwatie vipofu.
Masaa 48 kuanzia leo yaani Jumatatu hapa tutazungumza ishu nyingine
Tusifikiri Russia ni kama nchi zetu
Sina imani tena na Russia, kitendo cha kundi la wafungwa waliofunguliwa na mchanganyiko wa vibaka wenye silaha kutembea mamia ya kilomita bila upinzani ni dalili mbaya ya Russia kijeshi. Wagner wao wenyewe hawawezi ipindua serikali, support kutoka jeshini, polisi na usalama ndio ingeleta mabadiliko. Au trigger kutoka Wagner, hata bila support yao ingeleta matokeo tofauti.Yeah! Nilikuwa nafuatilia BBC hapa. Waliposema tuu wameagiza vikosi virudi kambini na pia hataki umwagaji wa damu ndio nikaja mbiombio humu.
Sasa turudi kwenye uhalisia ambao hata ningeandika mada hii Jana au kesho. Kundi la Wagner linauwezo WA kuangusha utawala wa Putin?
Active combatant hatoki eneo la deployment bila ruhusa, aachi eneo aliloteka vitani na kurudi nyumbani kuzurula mjini, halipui helikopta za jeshi lake, halipui ndege, havunji vizuizi barabarani, hateki makao makuu ya kundi la jeshi lake, kamanda wake hatukani jeshi na Rais na Waziri wa Ulinzi na mkuu wa majeshi.Nahisi huu no mtego kwa askari walioko vitani wale wa Ukraine.ilimjue watu wametoka front line matokeo nikupigwa ambush.
Pili unapo ambiwa Wagner wamevuka mpaka na kuingia Russia unatakiwa ujiulize kwani Wagner wanatokea taifa gani na makao makuu yao yako wapi jibu yapo Russia so unakuja kujua kuwa wanarudi nyumbani.
Mkuu huwa nasoma baadhi ya posts zako uko vizuri sana kwenye mambo ya majeshi, kama hutojali ningependa kujua wewe ni mwanajeshi na kama siyo je unapenda kuwa mwanajeshi, au ni unapenda tu kufuatilia hivyo vituActive combatant hatoki eneo la deployment bila ruhusa, aachi eneo aliloteka vitani na kurudi nyumbani kuzurula mjini, halipui helikopta za jeshi lake, halipui ndege, havunji vizuizi barabarani, hateki makao makuu ya kundi la jeshi lake, kamanda wake hatukani jeshi na Rais na Waziri wa Ulinzi na mkuu wa majeshi.
Hakuna mtego hapo, ni udhaifu wa superpower uchwara. Hata jeshi la Congo misituni wale wavaa yeboyebo hawafanyi hivyo
Hao hawawezi kumuondoa Putin ndio kawalea. Kulikuwa na changamoto wanataka kuzi address kwenye serikali ya Putin ila washawekana sawa.Nahisi Wagner wamevurugwa na vita.. wajeda wanapo toka vitani vichwa vinakuwa moto sana
Panya wa Pro Nato walitoka mashimoni baada ya kuona paka mkubwa amevamiwa lindoni na watoto wakeπ€£π€£π€£ππ
Sasa nini hiki walichokifanya kututia presha siku nzima tangu Jana.
Alafu mapinduzi gani ya vile, au uasi gani wa vile. Kimsingi wengi tuliachwa Njia panda,
pro-Nato leo ilikuwa siku nzuri kwaoππ
Usichokijua ni kwamba Russia na Wagner PMC walijua Igizo walilokuwa wakilifanya ili kuchezesha akili zenu π€£π€£π€£ mlivyo wapuuzi mkajaa. Subirieni kipigo kitakachowapata huko Ukraine.Sina imani tena na Russia, kitendo cha kundi la wafungwa waliofunguliwa na mchanganyiko wa vibaka wenye silaha kutembea mamia ya kilomita bila upinzani ni dalili mbaya ya Russia kijeshi. Wagner wao wenyewe hawawezi ipindua serikali, support kutoka jeshini, polisi na usalama ndio ingeleta mabadiliko. Au trigger kutoka Wagner, hata bila support yao ingeleta matokeo tofauti.
Sasa kama ingekuwa jeshi halisi ingekuwaje.
Mkuu siku hizi umekuaje? Ulikuaga vizuri mbona tena unaenda kusiko? Matusi ya nini sasa kwa mfano?Wewe ndio unaakili za kishamba kudhani Mimi ninataka Sifa Kwa Watu ambao siwajui. Yaani nitake Sifa Kwa ID Fake? Wewe kweli Lofa
Yaani wewe unisifu Mimi napata nini kama sio Akili zako za kijinga.
Au uniponde Mimi na sikujui Mimi inanihusu nini?
Yaani kuna mijitu mijinga kweli
Punyeto zimeathiri ufahamu wako mpaka unashindwa hata kungamuwa kitu kidogo namna hiyo?Active combatant hatoki eneo la deployment bila ruhusa, aachi eneo aliloteka vitani na kurudi nyumbani kuzurula mjini, halipui helikopta za jeshi lake, halipui ndege, havunji vizuizi barabarani, hateki makao makuu ya kundi la jeshi lake, kamanda wake hatukani jeshi na Rais na Waziri wa Ulinzi na mkuu wa majeshi.
Hakuna mtego hapo, ni udhaifu wa superpower uchwara. Hata jeshi la Congo misituni wale wavaa yeboyebo hawafanyi hivyo
Russia ni disorganized, hata ikilipua ndege yake yenyewe mnasema walipanga. Hata ilipopigwa misafara yake ikakimbia Kyiv mlisema walipanga. Kutumia zaidi ya mwaka kwenye vita na taifa dhaifu mnasema wamepanga. Jeshi zima kutishiwa na babantilie hadi kuvunja madaraja, kulipua maghala ya mafuta, kumpigia magoti Lukashenko afanye negotiations, kufanya rally ya majenerali kumuunga mkono Putin, Putin kuhutubia na kulaani huku akisema kasalitiwa, bado na hayo yote mnasema imepangwa. Hata wangempindua Putin nayo mungesema wamepanga.Usichokijua ni kwamba Russia na Wagner PMC walijua Igizo walilokuwa wakilifanya ili kuchezesha akili zenu π€£π€£π€£ mlivyo wapuuzi mkajaa. Subirieni kipigo kitakachowapata huko Ukraine.