Wajua msikiti wa Al aqsa Jerusalem ulijengwa likiwa ni kanisa la Byzantine (Byzantine church)?

Wajua msikiti wa Al aqsa Jerusalem ulijengwa likiwa ni kanisa la Byzantine (Byzantine church)?

Kilaza ni wewe unayebeba nukuu pasi na kufuatilia.
Muislam wa kwanza kwa mujibu gani?
Hilo ndilo la Muhimu.
Hata Nabii.Mussa alikua muislam wa kwanza kwa mujibu wa zama na umma wake aliotumwa kuulingania.
Sijui unaelewa au unaleta ujinga wa kulazimisha hoja uiaminiyo!?
Ndiyo maana nikakupa mfano ili uelewe kuwa wa kwanza darasani haimaanishi we ndiye wa kwanza shule nzima.
Endelea kuukumbutia ujinga wako.Wenye utimamu wamenielewa.
 
Endelea kuukumbutia ujinga wako.Wenye utimamu wamenielewa.
Endelea kuwa mpumbavu anaejifanya anajua.
Kulazimisha hoja utakazo ziaminike.
WENYE AKILI TIMAMU WATAKUA WAMENIELEWA.
NIMEMALIZA.
 
Qur'an hainukuliwi bila kuichambua mkuu.
Hizo ayah ni mushahabihaat kuanzia ayah ya 5 kuja mpk hapo.
Na nimekueleza MALAIKA WA ALLAH HUJITAMBULISHA KAMA WAJUMBE WA MWENYEZI MUNGU.
Huyo ni Jibril alitumwa aje kumpa ubashiri Bi.maryam kuwa atampata mtoto ambaye ni Issa.
Unukuu wa biblia na Qur'an ni tofauti.
Anaekariri huwa hawezi kuchambua , kuna jamaa mmoja alianzisha hoja kwamba eti Quran lugha iliyomo sio kiarabu nikagundua yote hayo ni madhara ya kukariri.
 
Qur'an hainukuliwi bila kuichambua mkuu.
Hizo ayah ni mushahabihaat kuanzia ayah ya 5 kuja mpk hapo.
Na nimekueleza MALAIKA WA ALLAH HUJITAMBULISHA KAMA WAJUMBE WA MWENYEZI MUNGU.
Huyo ni Jibril alitumwa aje kumpa ubashiri Bi.maryam kuwa atampata mtoto ambaye ni Issa.
Unukuu wa biblia na Qur'an ni tofauti.
Wazee wa kukopi na kupesti[emoji3]
 
Anaekariri huwa hawezi kuchambua , kuna jamaa mmoja alianzisha hoja kwamba eti Quran lugha iliyomo sio kiarabu nikagundua yote hayo ni madhara ya kukariri.
AMESEMA HUYO SIJASEMA MM.
MIE BALAGHA YANI MASUALA YA LUGHA NIMESOMA NA UCHAMBUZI WA QUR'AN NIMESOMA.
MIMI NI MM HUYO NI HUYO.
UKITAKA NAKUCHAMBULIA UTAKAPO.
 
Wacha twende taratibu.
Hayo kusema kuwa waislam wa uarabuni wanajua Suleyman alikua myahudi doh kaka huo ni mtazamo wako.
Then maelezo yako yanaelezea uyahudi km kabila siyo dini.
Maana uhusiano wa kidini hapo sijauona kulingana na mafundisho yetu.LABDA KAKA UNIWEKE SAWA BAADAE.
Na sijajua umetumia kitabu gani.
Ila kwa mujibu wa mafundisho yetu ambayo yapo kote kwa waislam wote wa dunia nzima,Suleyman mtoto wa Daud hao ni wapalestine.Na hao siyo chanzo cha kuwepo wayahudi.Maana wayahudi walikua kabla ht ya nabii Suleyman na nabii Daud.
Maana uyahudi sie twautambua km dini.
Ila wana wa israel ndio twawatambua kama asili.
Na Suleyman hakuwa mwana israel.

Kuhusu Mwaka wa kiislam ulianza pale baada ya muhammad kuhama kutoka makkah kwenda madinah kwa kalenda ya kawaida ni miaka ya 570s A.D km sijakosea.
Na ndio maana ukapewa jina la calendar ya hijriyah.Hijriyah imetokana na hijrah maana yake kuhama.
Na hijriyah ni mwaka wa mhamo.

ambapo sasa hv ni mwaka wa 1435 km sijakosea.
Ila hiyo calendar imeanza miaka 20 mbele baad ya mtume kuamriwa na Allah atoke Makkah aende madinah.

Swali lingine bro.
Uyahudi ni kabila ama dini??
Na je wanaisrael wote ni wayahudi?
Nitajikita kwenye issue ya UYAHUDI kama ni dini au kabila. Iko hivi, inaweza kua ni dini au kabila vyovyote yaweza kua sawa na isiwe sawa at the same time. Wapo Wayahudi ambao hawaamini kabisa katika Mungu, mfano ni huyu mmiliki wa Facebook, ni Myahudi kwa baba na mama yake though yeye kapenda mtoto wa Kichina but haamini kabisa katika Mungu, yeye ni Etheist kama alivyo kaka Kilanga wa humu, wapo Wayahudi Waislamu kabisa na baadhi yao walisajiriwa kabisa kwenye lile kundi la Osama Bin Laden, moja kati ya prove ya hilo ni hi; jengo lile la world trade centre ambalo Osama alikiri kuhisika katika kulishambilia, Wayahudi zaidi ya 1000 walikua wanafanya kazi mule, kitu cha ajabu sana siku ile hakuna Myahudi hata mmoja alikufa cause hawakwenda kazini kabisa, do you know why? Wayahudi ambao ni member wa Alquida walivujisha inform kwa wenzao wa MOSAID na Mosaid nao wakatoa taarifa kwa hicho chama cha kidini cha Wayahudi wa kule New York, hi ya kutokufa hata Myahudi mmoja kule World trade centre ilimuumiza sana Osama. Again, wapo Wayahudi ambao ni Wakristo, wao wanajiita kama Messianic belivers, style yao ya kuabudu ni kama Walokole wa huku kwetu kwa Mtogole na wapo Wayahudi ambao wanaamini katika hicho tunacho kiita dini ya Wayahudi, na of course hawa ndio wengi sana, ni kama Wasabato kwa hapa Bongo, mfano ndio kama hao kina Netanyahu nk. Swali lingine!!?
 
Nitajikita kwenye issue ya UYAHUDI kama ni dini au kabila. Iko hivi, inaweza kua ni dini au kabila vyovyote yaweza kua sawa na isiwe sawa at the same time. Wapo Wayahudi ambao hawaamini kabisa katika Mungu, mfano ni huyu mmiliki wa Facebook, ni Myahudi kwa baba na mama yake though yeye kapenda mtoto wa Kichina but haamini kabisa katika Mungu, yeye ni Etheist kama alivyo kaka Kilanga wa humu, wapo Wayahudi Waislamu kabisa na baadhi yao walisajiriwa kabisa kwenye lile kundi la Osama Bin Laden, moja kati ya prove ya hilo ni hi; jengo lile la world trade centre ambalo Osama alikiri kuhisika katika kulishambilia, Wayahudi zaidi ya 1000 walikua wanafanya kazi mule, kitu cha ajabu sana siku ile hakuna Myahudi hata mmoja alikufa cause hawakwenda kazini kabisa, do you know why? Wayahudi ambao ni member wa Alquida walivujisha inform kwa wenzao wa MOSAID na Mosaid nao wakatoa taarifa kwa hicho chama cha kidini cha Wayahudi wa kule New York, hi ya kutokufa hata Myahudi mmoja kule World trade centre ilimuumiza sana Osama. Again, wapo Wayahudi ambao ni Wakristo, wao wanajiita kama Messianic belivers, style yao ya kuabudu ni kama Walokole wa huku kwetu kwa Mtogole na wapo Wayahudi ambao wanaamini katika hicho tunacho kiita dini ya Wayahudi, na of course hawa ndio wengi sana, ni kama Wasabato kwa hapa Bongo, mfano ndio kama hao kina Netanyahu nk. Swali lingine!!?

Uyahudi kama dini ulianza lini?
 
Nitajikita kwenye issue ya UYAHUDI kama ni dini au kabila. Iko hivi, inaweza kua ni dini au kabila vyovyote yaweza kua sawa na isiwe sawa at the same time. Wapo Wayahudi ambao hawaamini kabisa katika Mungu, mfano ni huyu mmiliki wa Facebook, ni Myahudi kwa baba na mama yake though yeye kapenda mtoto wa Kichina but haamini kabisa katika Mungu, yeye ni Etheist kama alivyo kaka Kilanga wa humu, wapo Wayahudi Waislamu kabisa na baadhi yao walisajiriwa kabisa kwenye lile kundi la Osama Bin Laden, moja kati ya prove ya hilo ni hi; jengo lile la world trade centre ambalo Osama alikiri kuhisika katika kulishambilia, Wayahudi zaidi ya 1000 walikua wanafanya kazi mule, kitu cha ajabu sana siku ile hakuna Myahudi hata mmoja alikufa cause hawakwenda kazini kabisa, do you know why? Wayahudi ambao ni member wa Alquida walivujisha inform kwa wenzao wa MOSAID na Mosaid nao wakatoa taarifa kwa hicho chama cha kidini cha Wayahudi wa kule New York, hi ya kutokufa hata Myahudi mmoja kule World trade centre ilimuumiza sana Osama. Again, wapo Wayahudi ambao ni Wakristo, wao wanajiita kama Messianic belivers, style yao ya kuabudu ni kama Walokole wa huku kwetu kwa Mtogole na wapo Wayahudi ambao wanaamini katika hicho tunacho kiita dini ya Wayahudi, na of course hawa ndio wengi sana, ni kama Wasabato kwa hapa Bongo, mfano ndio kama hao kina Netanyahu nk. Swali lingine!!?
Duh kaka sina swali tena.
Umenipa za mbavu.
 
Duh kaka sina swali tena.
Umenipa za mbavu.
Tuna elimishana tu mkuu, sina nia ya kushindana na mtu, naeleza kile ninacho kijua but again nipo tayari pia kujifunza kwa wengine as well. All in all, hawa watu wa mashariki ya kati wanatuchanganya sana sisi tusio wajua vizuri; mgogoro wao mkubwa wala sio DINI kama ambavyo watu wengi wa huku Africa tunavyo fikiri; wapo Waarabu Wakristo na wapo Wayahudi Waislamu kama nilivyo sema hapo ju
 
Nitajikita kwenye issue ya UYAHUDI kama ni dini au kabila. Iko hivi, inaweza kua ni dini au kabila vyovyote yaweza kua sawa na isiwe sawa at the same time. Wapo Wayahudi ambao hawaamini kabisa katika Mungu, mfano ni huyu mmiliki wa Facebook, ni Myahudi kwa baba na mama yake though yeye kapenda mtoto wa Kichina but haamini kabisa katika Mungu, yeye ni Etheist kama alivyo kaka Kilanga wa humu, wapo Wayahudi Waislamu kabisa na baadhi yao walisajiriwa kabisa kwenye lile kundi la Osama Bin Laden, moja kati ya prove ya hilo ni hi; jengo lile la world trade centre ambalo Osama alikiri kuhisika katika kulishambilia, Wayahudi zaidi ya 1000 walikua wanafanya kazi mule, kitu cha ajabu sana siku ile hakuna Myahudi hata mmoja alikufa cause hawakwenda kazini kabisa, do you know why? Wayahudi ambao ni member wa Alquida walivujisha inform kwa wenzao wa MOSAID na Mosaid nao wakatoa taarifa kwa hicho chama cha kidini cha Wayahudi wa kule New York, hi ya kutokufa hata Myahudi mmoja kule World trade centre ilimuumiza sana Osama. Again, wapo Wayahudi ambao ni Wakristo, wao wanajiita kama Messianic belivers, style yao ya kuabudu ni kama Walokole wa huku kwetu kwa Mtogole na wapo Wayahudi ambao wanaamini katika hicho tunacho kiita dini ya Wayahudi, na of course hawa ndio wengi sana, ni kama Wasabato kwa hapa Bongo, mfano ndio kama hao kina Netanyahu nk. Swali lingine!!?
Pia nimefuatilia Kuhusu asili ya Daud na Suleyman Allah awarehemu ni Wana wa israel wa uzao wa Yaquub toka kwa ishaq.
Ila wapalestina walikua chini ya uongozi wao pamoja na waisrael walikua chini ya uongozi wao.
 
Tuna elimishana tu mkuu, sina nia ya kushindana na mtu, naeleza kile ninacho kijua but again nipo tayari pia kujifunza kwa wengine as well. All in all, hawa watu wa mashariki ya kati wanatuchanganya sana sisi tusio wajua vizuri; mgogoro wao mkubwa wala sio DINI kama ambavyo watu wengi wa huku Africa tunavyo fikiri; wapo Waarabu Wakristo na wapo Wayahudi Waislamu kama nilivyo sema hapo ju
Hujakosea kaka.
 
Pia nimefuatilia Kuhusu asili ya Daud na Suleyman Allah awarehemu ni Wana wa israel wa uzao wa Yaquub toka kwa ishaq.
Ila wapalestina walikua chini ya uongozi wao pamoja na waisrael walikua chini ya uongozi wao.
Safi kaka, ukifuatilia zaidi utajua dini ya kiislamu alianzisha Muhammad na hapo kabla haikuwepo kabisa!
 
Uyahudi kama dini ulianza lini?
Kwanza nieleze neno UYAHUDI tena kwa mara nyingine. Neno au jina Myahudi/Yahudi/Jew in englishi limeanza hasa kutumika baada ya mfalme Suleiman kuondoka madarakani/KUFA. Israel ni combination ya makabila 12, nitayazungumzia makabila 2 kwa maana ya mjadara hu; Yuda na Lawi, makabila haya yanatokana na majina ya watoto wa kiume ya mtu aliyeitwa Israel au Yakobo/Yacoub. Now baada ya mfalme Suleima kufariki, Waisrael hawakupendezwa na matendo ya mfalme wao so mrithi wake hawakuridhika nae, walihisi nae angefanya kama alivyo baba yake, Suleiman ni mtoto wa Daudi, Daudi ni mtoto wa mzee Yesse na Yesse alizaliwa na mtu anaitwa Boaz, tuishie hapo kwanza, now kabila hili la kina Daudi yaani Yuda ndio lilikua kabila la watawala na kabila la Lawi lilikua kabila na viongozi wa dini, sasa Israel nzima haikuridhika na mrithi huyu wa Suleiman kama nilivyosema and hence wakaona waachane na mambo ya ukoo huo wa Daudi, Daudi ndiye hasa aliufanya mji wa Yerusalem/Jerusalem kua makao makuu yake/Ikulu, makabila 10 katika 12 yakaasi likiwepo kabila la Lawi ambalo ndio hasa lina deal na mambo ya IMANI, yaani marabi (Rabi ni kama alivyo askofu kwenye Ukristo na sheikh mkuu kwenye Uislam ) la kabila la Yuda pamoja na Benyamin wao hawakukubaliana na huo UASI, wakabaki Yerusalem, yale makabila 10 yaenda mji wa Samaria na makao makuu ya nchi yalikua Damascus hi ya leo huko Syria; waliobaki Yerusalem wakaanza kuitwa wa YUDA baadae ndio neno YAHUDI lilianza kutumika as from that day, huwezi kulikuta hilo neno wakati Israel ikiwa na makabila yake 12, now to answer your question, hi dini ya UYAHUDI (though mimi sioni kama ni dini, UYAHUDI ni kabila but kwa muktadha hu tuendelee ) ilianza na baba yao Waarabu na Waisrael mzee Ibrahimu but sehemu maalumu ya kuabudia kwa maana ya JENGO ambalo ndio limetengeneza UZI lilijengwa na mfalme Suleiman hapo hapo kwenye mji wa baba yake, alianza kuijenga IKULU kwanza/makazi yake then akaja akajenga hilo jengo la kuabudia, hapo ndio walikua wakikutana kwa ajili ya mambo ya dini yao. Hope nimejibu kiasi fulani
 
Kwanza nieleze neno UYAHUDI tena kwa mara nyingine. Neno au jina Myahudi/Yahudi/Jew in englishi limeanza hasa kutumika baada ya mfalme Suleiman kuondoka madarakani/KUFA. Israel ni combination ya makabila 12, nitayazungumzia makabila 2 kwa maana ya mjadara hu; Yuda na Lawi, makabila haya yanatokana na majina ya watoto wa kiume ya mtu aliyeitwa Israel au Yakobo/Yacoub. Now baada ya mfalme Suleima kufariki, Waisrael hawakupendezwa na matendo ya mfalme wao so mrithi wake hawakuridhika nae, walihisi nae angefanya kama alivyo baba yake, Suleiman ni mtoto wa Daudi, Daudi ni mtoto wa mzee Yesse na Yesse alizaliwa na mtu anaitwa Boaz, tuishie hapo kwanza, now kabila hili la kina Daudi yaani Yuda ndio lilikua kabila la watawala na kabila la Lawi lilikua kabila na viongozi wa dini, sasa Israel nzima haikuridhika na mrithi huyu wa Suleiman kama nilivyosema and hence wakaona waachane na mambo ya ukoo huo wa Daudi, Daudi ndiye hasa aliufanya mji wa Yerusalem/Jerusalem kua makao makuu yake/Ikulu, makabila 10 katika 12 yakaasi likiwepo kabila la Lawi ambalo ndio hasa lina deal na mambo ya IMANI, yaani marabi (Rabi ni kama alivyo askofu kwenye Ukristo na sheikh mkuu kwenye Uislam ) la kabila la Yuda pamoja na Benyamin wao hawakukubaliana na huo UASI, wakabaki Yerusalem, yale makabila 10 yaenda mji wa Samaria na makao makuu ya nchi yalikua Damascus hi ya leo huko Syria; waliobaki Yerusalem wakaanza kuitwa wa YUDA baadae ndio neno YAHUDI lilianza kutumika as from that day, huwezi kulikuta hilo neno wakati Israel ikiwa na makabila yake 12, now to answer your question, hi dini ya UYAHUDI (though mimi sioni kama ni dini, UYAHUDI ni kabila but kwa muktadha hu tuendelee ) ilianza na baba yao Waarabu na Waisrael mzee Ibrahimu but sehemu maalumu ya kuabudia kwa maana ya JENGO ambalo ndio limetengeneza UZI lilijengwa na mfalme Suleiman hapo hapo kwenye mji wa baba yake, alianza kuijenga IKULU kwanza/makazi yake then akaja akajenga hilo jengo la kuabudia, hapo ndio walikua wakikutana kwa ajili ya mambo ya dini yao. Hope nimejibu kiasi fulani
Shukrani kwa somo zuri, historia inasemaje kuhusu asili ya waarabu, nimeona umeandika Ibrahim alikuwa baba wa waisrael na waarabu.
 
Safi kaka, ukifuatilia zaidi utajua dini ya kiislamu alianzisha Muhammad na hapo kabla haikuwepo kabisa!
Unalosema ww halipo.
Uislam ulikuwepo kabla ya Muhammad .
Na kufuatilia nimefuatilia.
Mwisho kila mtu abaki na imani yake ndugu.
 
Na wewe unaamini kwamba kina Suleiman, Daudi, Ibrahim, Yakubu, Isaka nk walikua Waislamu? Unajua kwamba hawa jamaa hadi makabila yao yanajulikana? Wote walikua Wayahudi na wanatokea kabila la Yuda; how comes Waislamu hawa wawe tofauti sana na Waislamu wa sasa? Vitu vingine vya kutumia logic tu ya kawaida.
Waarabu wenyewe wana kalenda zao zinaonesha u ni mwaka wa ngapi wa Kiislamu, haifiki miaka 200, ni miaka 1400+ so how tuamini kwamba hao mitume walikua Waislamu ili hali walikuwepo kabla ya huo mwaka? Ukweli ni kwamba wanao hubiri uislamu wa hao mitume ni waislamu wa huku Africa, sio huko Uarabuni
Akili kubwa
 
dini ya uislamu habari yake ipo katika Quran takatifu na sio issue ya kihistoria ,kwaiyo wakuu tuheshimiane na kila moja akae na dini yake hatulazimishani ,acheni kujifanya munajua dini ya kiislamu kwa kuleta habari ya abunuasi hapo ,wabilahi towfiq.
Sis sidhan Kama tunabisha uislamu ulikuja na muhamad kwamaan uliukuta ukristo ambao kipindihicho dini hii ilitimia injili aliyoteremshiwa nabii Isa alysam (yesu) lkn kuja kwa muhamad ni kukamilisha imani hii ya dini ya mungu mmoja na mitume na manabii wake wote ambao wapo waliandkwa katk injili hadi kuwa kuran swala la huo msikiti kuwa wa kikristo na baadae kuwa wa kiislamu mm sjaona shida hapa ukiwa waislamu wanaamini katika injili hivyo sijui Kama kunatatizo kwahilo
 
Back
Top Bottom