Wajua msikiti wa Al aqsa Jerusalem ulijengwa likiwa ni kanisa la Byzantine (Byzantine church)?

Wajua msikiti wa Al aqsa Jerusalem ulijengwa likiwa ni kanisa la Byzantine (Byzantine church)?

Mitume ya nyuma ndio ili viongozi wa uislam.
Hakukuwa na Ibada ya hijjah miaka ya nyuma.
Mitume ya nyuma walikua wana taratibu ya ibada tofauti na ya Muhammad.
Ila ya Muhammad ndio ikaja kufanywa timilifu.
Sawa nitajie jina la Kiongozi au Mtume wa Mwisho wa Waislamu kabla ya Muhammad?
Je Wayahudi nao Ni Waislamu?
wayahudi sio waislam.
Kwa mujibu wa mafundisho yetu wayahudi ni dini tofauti na waislam.
Mtume wa mwisho kabla ya Muhammad ni Issa ibn Maryam.


Isa Bin Mariamu alikuwa anaswali msikitini Akiwa Muislamu?
 
Uislam ulianza.
Bimaana uislam sio tu kusema unamuabudu Allah,uislam ni mfumo wa maisha kiujumla.
Toka Adam (a.s) alikua muislam.

Kwenye mafundisho ya uislamu (koran na hadithi) kuna sehemu inasema “jadiliana na watu wa dini zilizotangulia , watu wa kitabu yaani wayahudi na wakristo.

Unazungumziaje ilo andiko?
 
Wewe na hao waisilamu wako (kama wapo) wote mmejichanganya.

Masjid al aqsa ni eneo kama unavyo sema kinondoni,

Waisilamu hawa swali kwenye Dome of the rock, wanaswali kwengine, na dome of the rock imejengwa mtume Ameshafariki, na Hilo eneo lilikuwa takatifu toka kipindi cha mtume hivyo haimake sense kwa jengo jipya kuwa ni msikiti wa al aqsa hali ya kuwa mitume wa zamani wametumia.

Ushahidi nakupa hii picha
thumbs_b_c_318ed6db8923ceb5f0c9c14304cb624e.jpg


Hao ni waisilamu wanaswali AL Aqsa wameipa mgongo dome of the rock, kwa mbali unaona dome of the rock. Hivyo dome of the rock sio masjid al aqsa kama mnavyotaka kupiga watu kamba.

Conclusion, masjid al aqsa ni eneo si jengo, waisilamu wa naenda hapo na ku swali chini kwenye michanga, Dome of the rock ni Jengo.
Mkuu, kwa mujibu wa picha yako inaonyesha waz kabjsa waisilamu wanaswali masjid al aqsa na sio eneo la waz.

Iko hivi, kuna masjid al aqsa pia kuna dome of the rock, hivi ni vitu wiwili tofauti vilivyopo maeneo yanayokaribiana.

Tazama picha hiyo.
FB_IMG_1640848761233.jpeg
 
Kwenye mafundisho ya uislamu (koran na hadithi) kuna sehemu inasema “jadiliana na watu wa dini zilizotangulia , watu wa kitabu yaani wayahudi na wakristo.

Unazungumziaje ilo andiko?
Hadithi utoe hakuna mahali kuna hadithi ilitamka hilo.
Ila Qur'an ni zaid ya ayah tatu mtume ameambiwa aulize watu wa kitabu.
Kulingana na sababu tofauti.
Mayahudi na manaswara ni watu ambao waliteremshiwa vitabu taurat,injil na zabur.
Bimaana wanaufaham utukufu wa Allah na ndiomaana mtume aliambiwa arejelee kwao.
 
Sawa nitajie jina la Kiongozi au Mtume wa Mwisho wa Waislamu kabla ya Muhammad?
Je Wayahudi nao Ni Waislamu?



Isa Bin Mariamu alikuwa anaswali msikitini Akiwa Muislamu?
Msikiti ni eneo la ibada siyo lazima mpk jengo km jengo.
Hata ndan kwako waweza pafanya msikiti.
Ila kuhusu Nabii.Issa kuswali msikitini sina uhakika kwasababu usimamishaji wa swala wa zama za Muhammad na Issa ni tofauti
 
Uislam ulianza.
Bimaana uislam sio tu kusema unamuabudu Allah,uislam ni mfumo wa maisha kiujumla.
Toka Adam (a.s) alikua muislam.
Uislamu ni dini iliyoanzishwa na wapagani wa Kiarabu wa Yaman hasa wa kabila la Qureysh kabla Muhammad hajazaliwa.
Waarabu hao walikuwa na miungu inayokadiliwa kufikia mia tatu sitini na tano, ambapo kila siku ilikuwa na mungu wake.
Baba yake Muhammad mzee Abdallah (mtumwa wa Allah) alikuwa akifanya kazi katika jumba moja lililojaa masanamu.
Allah ni jina la mungu wa kiislamu ambaye ni mkuu wa masanamu ambaye aliitwa Al Hubal.
Waarabu wa mwanzo walikuwa wakiabudu jeshi la mbinguni, yaani mwezi na nyota kabla ya Muhammad. Waarabu hao walijulikana kwa jina la Stars Family kwa sababu waliabudu jeshi la mbinguni, na mpaka hivi leo nembo za jeshi la mbinguni utalikuta juu ya kila msikiti yaani mwezi na nyota.
Kwa nini waislamu hudai kwamba Allah ni mkubwa???
Ni kwa sababu baada ya kuboresha dini, zilichambuliwa sanamu ndogo na kuwekwa pembeni, ili liabudiwe lililokuwa kubwa la hayo. Hii ndiyo sababu ya waislamu kupiga kelele kama walivyofanya kwa Artemi mungu mke wa Waefeso.
Allah ni jina la kubuni kwa ajili ya kupeleka watu jehanum ya moto. Ni jina lisilo na nguvu, halina uwezo wala nguvu, ndiyo maana waislamu hupigania Allah, na badala yake wamekuwa wakipigana kwa ajili yake kwa sababu hana uwezo kabisa kabisa.
1643411698458.png
 
Uislamu ni dini iliyoanzishwa na wapagani wa Kiarabu wa Yaman hasa wa kabila la Qureysh kabla Muhammad hajazaliwa.
Waarabu hao walikuwa na miungu inayokadiliwa kufikia mia tatu sitini na tano, ambapo kila siku ilikuwa na mungu wake.
Baba yake Muhammad mzee Abdallah (mtumwa wa Allah) alikuwa akifanya kazi katika jumba moja lililojaa masanamu.
Allah ni jina la mungu wa kiislamu ambaye ni mkuu wa masanamu ambaye aliitwa Al Hubal.
Waarabu wa mwanzo walikuwa wakiabudu jeshi la mbinguni, yaani mwezi na nyota kabla ya Muhammad. Waarabu hao walijulikana kwa jina la Stars Family kwa sababu waliabudu jeshi la mbinguni, na mpaka hivi leo nembo za jeshi la mbinguni utalikuta juu ya kila msikiti yaani mwezi na nyota.
Kwa nini waislamu hudai kwamba Allah ni mkubwa???
Ni kwa sababu baada ya kuboresha dini, zilichambuliwa sanamu ndogo na kuwekwa pembeni, ili liabudiwe lililokuwa kubwa la hayo. Hii ndiyo sababu ya waislamu kupiga kelele kama walivyofanya kwa Artemi mungu mke wa Waefeso.
Allah ni jina la kubuni kwa ajili ya kupeleka watu jehanum ya moto. Ni jina lisilo na nguvu, halina uwezo wala nguvu, ndiyo maana waislamu hupigania Allah, na badala yake wamekuwa wakipigana kwa ajili yake kwa sababu hana uwezo kabisa kabisa.
View attachment 2099974
Unakosea pakubwa.
Wacha nikufundishe kijana.
Qureysh ni kabila la Saudi Arabia sio Yemen.
Ambao wanapatikanika Makkah.
Na Miungu ya kisanam ya Maqureysh ilikua yahudha,yahuka.
Muhammad alipokuja baada ya kupewa ufunuo aliwaambia wamuabudu Mungu mmoja ambaye ni Allah.
Na kama Maqureysh ndio walioanzisha uislam basi WASINGEWAPIGA WAUMINI KIASI WAKIMBILIE YATHRIB(MADINAH).
HADITHI ULIYOLETA HAINA KHATWIYU THUBUTI WALA DILALAH.
NI HADITHI DHAIFU NA YA UONGO.
MAANA MASANAM WALIOKUA WANAYAABUDU MAQUREYSH YOTE YALIKUA NDAN YA KAABAH NA YAKAVUNJWA.
KTK DALILI ZA QIYAMA HIYO ULIYOLETA HAIPO.Kuna kuja kwa masihi dajjar,kuja jwa ajjuju wamahjjuju,kurudi kwa nabii Issa.Baada ya hapo ndipo kiama kitasimama.
KWANN WAISLAM WALIMPIGANIA ALLAH?
Siyo kwamba Allah hana nguvu bali Allah alitaka tuithamini dini yake na kuitetea dini yake.
Kama Allah angeshusha ghadhabu zake kwa wasio waumini dunia isingesalia.
Na waumini wasingekua na imani wala uchungu na dini yao km wasingeipigania.
Ila haimaanishi kwamba Allah hana nguvu.
KUFANANISHA UISLAM NA UQUREYSH UMEFELI.KUSEMA QUREYSH WAMETOKEA YEMEN NDIO UMEFELI KABISA.
 
Uislamu ni dini iliyoanzishwa na wapagani wa Kiarabu wa Yaman hasa wa kabila la Qureysh kabla Muhammad hajazaliwa.
Waarabu hao walikuwa na miungu inayokadiliwa kufikia mia tatu sitini na tano, ambapo kila siku ilikuwa na mungu wake.
Baba yake Muhammad mzee Abdallah (mtumwa wa Allah) alikuwa akifanya kazi katika jumba moja lililojaa masanamu.
Allah ni jina la mungu wa kiislamu ambaye ni mkuu wa masanamu ambaye aliitwa Al Hubal.
Waarabu wa mwanzo walikuwa wakiabudu jeshi la mbinguni, yaani mwezi na nyota kabla ya Muhammad. Waarabu hao walijulikana kwa jina la Stars Family kwa sababu waliabudu jeshi la mbinguni, na mpaka hivi leo nembo za jeshi la mbinguni utalikuta juu ya kila msikiti yaani mwezi na nyota.
Kwa nini waislamu hudai kwamba Allah ni mkubwa???
Ni kwa sababu baada ya kuboresha dini, zilichambuliwa sanamu ndogo na kuwekwa pembeni, ili liabudiwe lililokuwa kubwa la hayo. Hii ndiyo sababu ya waislamu kupiga kelele kama walivyofanya kwa Artemi mungu mke wa Waefeso.
Allah ni jina la kubuni kwa ajili ya kupeleka watu jehanum ya moto. Ni jina lisilo na nguvu, halina uwezo wala nguvu, ndiyo maana waislamu hupigania Allah, na badala yake wamekuwa wakipigana kwa ajili yake kwa sababu hana uwezo kabisa kabisa.
View attachment 2099974
Na hiyo miungu 360 iliokua imeizunguka kaabah ilivunjwa yote.
Kama uislam na upagani ungekua kitu kimoja basi maqureysh na Muhammad wangeketi meza moja na wasingepigana vita zozote za badri wala uhdi.
ALLAH MAANA YAKE NI MWENYEZI MUNGU NA HILO NI NENO LA KIARABU.
Nikurekebishe kwenye hiyo mwexi na nyota ni kuonesha tu utukufu wa alivyoviumba Allah.
Haina uhusiano wa kiimani km usemavyo.
 
Unakosea pakubwa.
Wacha nikufundishe kijana.
Qureysh ni kabila la Saudi Arabia sio Yemen.
Ambao wanapatikanika Makkah.
Na Miungu ya kisanam ya Maqureysh ilikua yahudha,yahuka.
Muhammad alipokuja baada ya kupewa ufunuo aliwaambia wamuabudu Mungu mmoja ambaye ni Allah.
Na kama Maqureysh ndio walioanzisha uislam basi WASINGEWAPIGA WAUMINI KIASI WAKIMBILIE YATHRIB(MADINAH).
HADITHI ULIYOLETA HAINA KHATWIYU THUBUTI WALA DILALAH.
NI HADITHI DHAIFU NA YA UONGO.
MAANA MASANAM WALIOKUA WANAYAABUDU MAQUREYSH YOTE YALIKUA NDAN YA KAABAH NA YAKAVUNJWA.
KTK DALILI ZA QIYAMA HIYO ULIYOLETA HAIPO.Kuna kuja kwa masihi dajjar,kuja jwa ajjuju wamahjjuju,kurudi kwa nabii Issa.Baada ya hapo ndipo kiama kitasimama.
KWANN WAISLAM WALIMPIGANIA ALLAH?
Siyo kwamba Allah hana nguvu bali Allah alitaka tuithamini dini yake na kuitetea dini yake.
Kama Allah angeshusha ghadhabu zake kwa wasio waumini dunia isingesalia.
Na waumini wasingekua na imani wala uchungu na dini yao km wasingeipigania.
Ila haimaanishi kwamba Allah hana nguvu.
KUFANANISHA UISLAM NA UQUREYSH UMEFELI.KUSEMA QUREYSH WAMETOKEA YEMEN NDIO UMEFELI KABISA.
HAKUNA MWARABU HATA MMOJA ALIYEWAHI KUWA MWISLAMU KABLA YA MUHAMMAD USHAHID HUU HAPA QURAN 34:44 QURAN 43:21~22,QURAN 51:52,QURAN 3:164 NA QURAN 62:2

USHAHIDI HUU HAPA UISLAMU UMEKUJA MWAKA 610 CHINI YA PADRI WARAQA BIN NAUFAL MKATOLIKI :KAMA UNAPINGA TUPE USHAHIDI WAPI ADAMU ALIKUWA NA NGUZO KUU TANO ZA. KIISLAMU?

DINI YA UKRISTO ILITANGULIA KABLA YA UISLAMU USHAHIDI HUU HAPA TAFASIRI YA ALI MUHSINI BARWAN TOLEO MWAKA 1950
✔️
Qur'an 16:125. Waite waelekee kwenye Njia ya Mola wako Mlezi kwa hikima na mawaidha mema, na ujadiliane nao kwa namna iliyo bora. Hakika Mola wako Mlezi ndiye anaye mjua zaidi aliye ipotea Njia yake, na Yeye ndiye anaye wajua zaidi walio ongoka.
Ufafanuzi wake hiyo Aya ndani ya Qur'an

✔️
Qur'an16:125. Na jadiliana na watu wa dini zilizo tangulia katika watu wa Biblia, yaani Mayahudi na Wakristo, kwa kutumia hoja za kiakili, Mant'iqi, na maneno laini, na majadiliano mazuri, si maneno ya ukali na matusi, ili uwakinaishe na uwavutie. Hii ndiyo njia ya Daa'wa (Wito), kuwaita watu kumwendea Mwenyezi Mungu -watu wa mila zote. Basi ifuate njia hii unapo waita, na baada ya hayo yaliyo baki mwachilie Mola wako Mlezi, ambaye anamjua aliye zama katika upotovu kati yao na akawa mbali na njia ya uwokovu, na nani ambaye aliye salimika, akaongoka, na akayaamini hayo uliyo waletea.
1643424589008.png
 
Na hiyo miungu 360 iliokua imeizunguka kaabah ilivunjwa yote.
Kama uislam na upagani ungekua kitu kimoja basi maqureysh na Muhammad wangeketi meza moja na wasingepigana vita zozote za badri wala uhdi.
ALLAH MAANA YAKE NI MWENYEZI MUNGU NA HILO NI NENO LA KIARABU.
Nikurekebishe kwenye hiyo mwexi na nyota ni kuonesha tu utukufu wa alivyoviumba Allah.
Haina uhusiano wa kiimani km usemavyo.
QURAN YA TAFASIRI YA ABDULLAH SALEH AL-FARSY NAYO IMEKIRI KUWA UISLAMU HAKUWAHI KUWEPO KABLA YA MUHAMMAD ABDULLAH MTALIB NA KABLA YA KHADIJA NA MUHAMMAD ALIPEWA UTUME NA MKEWE KHADIJA KABLA YA MUHAMMAD KUPELEKWA KWA PADRI WARAQA BIN NAUFAL KUTOKA ROMANI KISHA PADRI WARAQA BIN NAUFAL AKAMWAMBIA MUHAMMAD JIBASHIRIE WEWE MWENYEWE KUWA WEWE NI MTUME WA UMA HUU NA UTAENEZA DINI MPYA YA UISLAMU MNAMO 17/12/610
SWALI HII AYA NI YA KWELI AU UONGO WAISLAMU? Soma TAFSIRI ya Abdullah Saleh Al Farsy Ukrasa 698

✔
Quran 62:2-3
2 Yeye ndiye aliyemleta Mtume Katika watu wasiojuakusoma na kuandika anayetokana na wao awasomee Aya zake na kuwatakasa na kuwafunza Kitabu na Hekima, (ilimu nyinginezo na kabla ya hawa walikuwa katika upotofu (upotevu )ulio dhahiri
3 Na amemleta kwa wengine miongonimwao walio bado kuungana nao NDIO SISI WAISLAMU TULIOKUJA NYUMA na yeye Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu ni Mwenye hikima
✔
Quran 3:164. Hakika Mwenyezi Mungu amewafanyia wema mkubwa Waumini vile alivyo waletea Mtume aliye miongoni mwao wenyewe, anaye wasomea Aya zake, na anawatakasa, na anawafunza Kitabu na hikima, ijapo kuwa kabla ya hapo walikuwa katika upotovu ulio wazi

NJOO TENA HAPA
HAPA PIA QURAN YENU YA TAFASIRI YA ABDULLAH SALEH AL-FARSY UKRASA 311 INATHIBITISHA KUWA UISLAMU HAKUWAHI KUWEPO KABLA YA MUHAMMAD KUZALIWA SASA MWISLAMU KWANINI UNAPINGA QURAN YAKO?
✔
Quran 12:19-20
19 Na ukafika msafara karibu na pale kisimani wakamtuma mteka maji wao naye naye akatatumbukiza ndio yake kupanda ndoo ile akamwona mtoto alisema Ee furaha njema. Huyu hapa kijana mwanaume .Nao yeye na wenzie walikuwa kisiman hapo wakamficha kwa wale wasafiri wenzao wakasema kuwa kijana huyu ni Bidhaa (walimununua ).Na Mwenyezi Mungu akijua waliyokuwa wakiyafanya. Wakaenda naye Misri.
20 Na wakamuuza kwa thamani pungufu kwa pesa kidogo tu hivi za kuhesabika. Na hawakuwa na haja naye ya kumueka, wakiogopa wasitokee jamaa zake kuja kumtafuta huko( Misri)
✔
Ufafanuzi 19-20 Unaona kuuzana kulikuwako zaidi ya miaka 4000 kabla ya kuja dini ya KIISLAMU aliyokuja nayo NABII MUHAMMAD, HALAFU WAKAUSINGIZIA UISLAMU KUWA NDIO ULIKUJA KUUZA WATU.

UISLAMU UMEANZA 17 DESEMBA 610 CHINI YA PADRI WARAQA BIN NAUFAL MKATOLIKI NA MKEWE MUHAMADI AITWAYE KHADIJA
 
Unakosea pakubwa.
Wacha nikufundishe kijana.
Qureysh ni kabila la Saudi Arabia sio Yemen.
Ambao wanapatikanika Makkah.
Na Miungu ya kisanam ya Maqureysh ilikua yahudha,yahuka.
Muhammad alipokuja baada ya kupewa ufunuo aliwaambia wamuabudu Mungu mmoja ambaye ni Allah.
Na kama Maqureysh ndio walioanzisha uislam basi WASINGEWAPIGA WAUMINI KIASI WAKIMBILIE YATHRIB(MADINAH).
HADITHI ULIYOLETA HAINA KHATWIYU THUBUTI WALA DILALAH.
NI HADITHI DHAIFU NA YA UONGO.
MAANA MASANAM WALIOKUA WANAYAABUDU MAQUREYSH YOTE YALIKUA NDAN YA KAABAH NA YAKAVUNJWA.
KTK DALILI ZA QIYAMA HIYO ULIYOLETA HAIPO.Kuna kuja kwa masihi dajjar,kuja jwa ajjuju wamahjjuju,kurudi kwa nabii Issa.Baada ya hapo ndipo kiama kitasimama.
KWANN WAISLAM WALIMPIGANIA ALLAH?
Siyo kwamba Allah hana nguvu bali Allah alitaka tuithamini dini yake na kuitetea dini yake.
Kama Allah angeshusha ghadhabu zake kwa wasio waumini dunia isingesalia.
Na waumini wasingekua na imani wala uchungu na dini yao km wasingeipigania.
Ila haimaanishi kwamba Allah hana nguvu.
KUFANANISHA UISLAM NA UQUREYSH UMEFELI.KUSEMA QUREYSH WAMETOKEA YEMEN NDIO UMEFELI KABISA.
HAKUNA NILIPOSEMA QURESH WAMETOKEA YEMENI, NI HUJEALEWA KISWAHILI TU...

HAKUNA MTUME WALA NABII ALIYEKUWA MWAARABU KABLA YA MUHAMMAD KUZALIWA MWAKA 570 USHAHIDI HUO CHINI: MAANA WAARABU HAWAKUWAHI KUHUBIRIWA NA ISHMAEL Quran 34:44 NA JE KITABU CHAKE KINAITWAJE HUYU Ishmael?
ISHMAEL ALIKUWA MTUME NA NABII KWA WATU GANI ? MAANA WAARABU HAWAKUWAHI KUHUBIRIWA NA ISHMAEL Quran 34:44 NA JE KITABU CHAKE KINAITWAJE HUYU Ishmael?

WAARABU KABLA YA MUHAMMAD ALIKUWA WAKIABUDU MANDAZI WAKIYAAMINI NDIYE ALLAH AKBAR WAO
------------------------------------------'
✔️
Quran 25:42-44
42. Kwa hakika alikuwa karibu kutupoteza tuiache miungu yetu, ingeli kuwa hatukushikamana nayo kwa kuvumilia. Bado watakuja jua, watakapo iona adhabu, ni nani aliye potea njia.
---------------------
43. Je! Umemwona aliye yafanya matamanio yake kuwa ndio mungu wake? Basi je, wewe utakuwa ni wakili wake?
----------------
44. Au wewe unadhani kwamba wengi wao wanasikia au wanaelewa? Hao hawakuwa ila ni kama nyama hoa tu, bali wao wamepotea zaidi njia
---------------------
Ufafanuzi wa Quran 25:43 ukrasa wa 460 Abdullah Saleh Al-fancy
✔
43 Waarabu kwa ujinga wao wa kuabudu chungu ya miungu walikuwa baadhi yao wakiona chochote kile kikiwapendeza hukiabudu,hata ANDAZI lililokaa kwa sura nzuri

✔
SWALI MANDAZI tunayoyala ndiyo ALLAH SWT?Na Kwanini Waislamu mnamtafutana Allah wa Waarabu?
 
Na hiyo miungu 360 iliokua imeizunguka kaabah ilivunjwa yote.
Kama uislam na upagani ungekua kitu kimoja basi maqureysh na Muhammad wangeketi meza moja na wasingepigana vita zozote za badri wala uhdi.
ALLAH MAANA YAKE NI MWENYEZI MUNGU NA HILO NI NENO LA KIARABU.
Nikurekebishe kwenye hiyo mwexi na nyota ni kuonesha tu utukufu wa alivyoviumba Allah.
Haina uhusiano wa kiimani km usemavyo.
ALLAH ALIABUDIWA NA WAPAGANI KABLA YA KUZALIWA MUHAMMAD NA MUHAMMAD ALIENDELEZA HILO JINA LA KIPAGANI

Uarabuni kabla ya Muhammad kabila lake liitwalo kabila la Kureshi walikuwa wanamwabudu Allah aliye zaa mabinti wa kike watatu ambao ni LATA, UZZA NA MANAAT na Muhammad alikiri kwa kuapa kuwa Allah amezaa Quran 90:3 Na amezaa Lata, Uzza na Manaat Quran 53:17-20:-

HAPA MUHAMMAD ANAAPA KWA ALLAH WAKE KUWA AMEZAA LATA, UZZA NA MANAAT
✔
*Quran 90:3 Naapa kwa mzazi na alicho kizaa

QURAN INATHIBITISHA NAYO KUWA MUHAMMAD ALIONA ISHARA KUU KUWA ALLAH ANAMABINTI WATATU AMBAO NI LATA, UZZA NA MANAAT

Quran 53:17-20
17. Jicho halikuhangaika wala halikuruka mpaka.
18. Kwa yakini aliona katika Ishara kubwa kabisa za Mola wake Mlezi Allah
19. Je! Mmemuona Lata na Uzza?
20. Na Manaat, mwingine wa tatu?
 
W
Mkuu, kwa mujibu wa picha yako inaonyesha waz kabjsa waisilamu wanaswali masjid al aqsa na sio eneo la waz.

Iko hivi, kuna masjid al aqsa pia kuna dome of the rock, hivi ni vitu wiwili tofauti vilivyopo maeneo yanayokaribiana.

Tazama picha hiyo.View attachment 2099633
Wako wapi? Sioni watu. Na vyema uweke source
 
ALLAH ALIABUDIWA NA WAPAGANI KABLA YA KUZALIWA MUHAMMAD NA MUHAMMAD ALIENDELEZA HILO JINA LA KIPAGANI

Uarabuni kabla ya Muhammad kabila lake liitwalo kabila la Kureshi walikuwa wanamwabudu Allah aliye zaa mabinti wa kike watatu ambao ni LATA, UZZA NA MANAAT na Muhammad alikiri kwa kuapa kuwa Allah amezaa Quran 90:3 Na amezaa Lata, Uzza na Manaat Quran 53:17-20:-

HAPA MUHAMMAD ANAAPA KWA ALLAH WAKE KUWA AMEZAA LATA, UZZA NA MANAAT
✔
*Quran 90:3 Naapa kwa mzazi na alicho kizaa

QURAN INATHIBITISHA NAYO KUWA MUHAMMAD ALIONA ISHARA KUU KUWA ALLAH ANAMABINTI WATATU AMBAO NI LATA, UZZA NA MANAAT

Quran 53:17-20
17. Jicho halikuhangaika wala halikuruka mpaka.
18. Kwa yakini aliona katika Ishara kubwa kabisa za Mola wake Mlezi Allah
19. Je! Mmemuona Lata na Uzza?
20. Na Manaat, mwingine wa tatu?
Nyie jamaa waongo sana Quran sura ya 90 inaongelea mambo mengine kabisa


Vyema ukiweka verse ya Quran utoe na source ya kuaminika.

Pia hio Quran verse 17 mpaka 20 jibu lake lipo verse ya 20 na 23, ila kujitoa ufahamu unaquote tu kipande cha Quran na kuacha vyengine.

19 Have you considered al-Lat and al-Uzza?

20 And Manat, the third one, the other?

21 Are you to have the males, and He the females?

22 What a bizarre distribution.

23 These (al-Lat and al-Uzza And Manat) are nothing but names, which you have devised, you and your ancestors, for which Allah sent down no authority. They follow nothing but assumptions, and what the ego desires, even though guidance has come to them from their Lord.
 
Uislamu ni dini iliyoanzishwa na wapagani wa Kiarabu wa Yaman hasa wa kabila la Qureysh kabla Muhammad hajazaliwa.
Waarabu hao walikuwa na miungu inayokadiliwa kufikia mia tatu sitini na tano, ambapo kila siku ilikuwa na mungu wake.
Baba yake Muhammad mzee Abdallah (mtumwa wa Allah) alikuwa akifanya kazi katika jumba moja lililojaa masanamu.
Allah ni jina la mungu wa kiislamu ambaye ni mkuu wa masanamu ambaye aliitwa Al Hubal.
Waarabu wa mwanzo walikuwa wakiabudu jeshi la mbinguni, yaani mwezi na nyota kabla ya Muhammad. Waarabu hao walijulikana kwa jina la Stars Family kwa sababu waliabudu jeshi la mbinguni, na mpaka hivi leo nembo za jeshi la mbinguni utalikuta juu ya kila msikiti yaani mwezi na nyota.
Kwa nini waislamu hudai kwamba Allah ni mkubwa???
Ni kwa sababu baada ya kuboresha dini, zilichambuliwa sanamu ndogo na kuwekwa pembeni, ili liabudiwe lililokuwa kubwa la hayo. Hii ndiyo sababu ya waislamu kupiga kelele kama walivyofanya kwa Artemi mungu mke wa Waefeso.
Allah ni jina la kubuni kwa ajili ya kupeleka watu jehanum ya moto. Ni jina lisilo na nguvu, halina uwezo wala nguvu, ndiyo maana waislamu hupigania Allah, na badala yake wamekuwa wakipigana kwa ajili yake kwa sababu hana uwezo kabisa kabisa.
View attachment 2099974
Unajua kama kwenye Biblia ya Kiarabu ama ya kiasili Hebrew hakuna neno Mungu wala God bali ni Allah?

Allah ni neno la Kiarabu ama Hebrew linamaanisha mungu.
 
Unajua kama kwenye Biblia ya Kiarabu ama ya kiasili Hebrew hakuna neno Mungu wala God bali ni Allah?

Allah ni neno la Kiarabu ama Hebrew linamaanisha mungu.
Historia inaonyesha kuwa kabla ya kuzaliwa kwa Muhamad hakukuweko na uislamu kama inavyodaiwa na wanaharakati wa kiislamu quran inathibitisha kuwa mwislamu wa kwanza katika wanaume ni Muhamad mwenyewe soma (surat al anaam – wanyama 6;14)…..

“Sema hakika mimi nimeamrishwa niwe wa kwanza katika wenye kusilimu….” Aidha kitabu cha Historia ya maisha ya nabii Muhamad cha Shehk abdallah Saleh Farsy uk 18 kifungu cha pili kinathibitisha kuwa mwislamu wa kwanza katika wanawake ni mke wa kwanza wa Muhamad bi Khadija

“ Basi Mwislamu wa mwanzo kabisa ni…..Bi Khadija” kwa msingi huu jamii ya waarabu wa kikureshi nduguze Muhamad walikuwa wanaaabudu miungu mingi ya kipagani na uchawi miungu hiyo ni pamoja na baal ambae historia inaonyesha ana asili ya Moab mashariki ya palestina,mungu huyu aliitwa ha-baal na waarabu walimuita hu-baal ndiye Hubal.

Vyanzo vya kuaminika toka kwa waislamu wenyewe vinatuambia kuwa babu ya Muhamad Abdul Mutalib hakuwa na watoto,Hivyo alikwenda al-kaaba na kuomba

“Eee allah nipe watoto” na aliweka mikono kwenye sanamu ya hubal /allah na kuomba,allah alimpa watoto kumi na aliporudi baadae kwenye ile sanamu ya hubal ambapo aliahidi kuwa akipewa watoto kumi atamtoa mmoja kuwa sadaka kwa hubal/allah alipata watoto hao na walipopigiwa kura watoto hao kura ilimwangukia abdallah,abdallah maana yak e ni mtumishi wa allah huyu ndiye baba wa muhamad ambeye kwa uongozi wa wachawi Hubal aliombwa apokee ngamia 100 kubadilishana na abdallah ambae aliishi mpaka miezi miwili kabla ya kuzaliwa muhamad akafa
 
Unajua kama kwenye Biblia ya Kiarabu ama ya kiasili Hebrew hakuna neno Mungu wala God bali ni Allah?

Allah ni neno la Kiarabu ama Hebrew linamaanisha mungu.
Waislam mmekuwa mkidanganya kila siku kuwa eti Mungu anaitwa Allah

Allah ambaye sio Yehova na wala hajawai sema yeye ni Yehova kwenye Quran yake. Wakati Biblia inatumia jina la Yehova kwa zaidi ya mara 9000, Allah yeye anasema hivi kwa Muhammad: "Jua ya kwamba hakuna aabudiwaye kwa haki ila Allah..." (Qur’an. 47:19)

Unaona Allah anavyo likwepa jina la Yehova? Sasa tujifunze maana ya neno "JINA" . Waislam wengi kama sio wote hawajui tofauti ya JINA na [Jina la Sifa/wasifa kama Rais].

NINI MAANA YA JINA?
Ngoja kwanza nieleze kiurefu maana ya "JINA" na ASILI YAKE:
Kila mtu au kiumbe au Malaika ana jina lake na jina hilo linabeba kitu kikubwa sana.
Chimbuko ya neno ‘’jina’’ linatokana na neno la kigiriki liitwalo ‘’Sum’’

‘’Sum’’ maana yake ni ukumbusho au kumbukumbu. Ukumbusho au Sum kama ilivyoandikwa katika Biblia ya Kigiriki maana yake ni jina.

-Kwa hiyo maana ya kwanza ya jina/sum ni ukumbusho ambao mtu au kiumbe au Malaika anapewa.

-Jina/sum maana yake ni alama ya pekee ambayo anapewa mtu au kiumbe au Malaima ili kumtofautisha na wengine.

-Jina/sum ni zawadi ya pekee ambayo mtu au Malaika au Kiumbe anapewa.

Vigezo vya kumpatia mtu jina hutofautiana.
Majina mengine huwakilisha heshima ya kipekee.
Wafilipi 2:9-11( Kwa hiyo tena MUNGU alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina; ili kwa jina la YESU kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI BWANA, kwa utukufu wa MUNGU Baba. )

Majina mengine huwakilisha sifa ya huyo anayepewa jina .
Mfano rais wanchi ni [jina la sifa] ambalo anapewa mhusika.
Majina mengine ni kuonyesha mamlaka mfano [Askari ni jina ambalo linaonyesha mamlaka].

Kwa sababu ya tabia Fulani Fulani baadhi ya majina hutokea.
Mfano mwingine JEHOVAH SHALOM maana yake MUNGU ni Amani yetu hili ni jina jema ambalo linatokana na sifa ya MUNGU katika kuleta amani kwa watu wake.
SASA TURUDI KWENYE MADA YETU: YEHOVA KWA KIARABU NI YAHUH ( يهوه ) NA SIO ALLAH

Nini tafisri ya YEHOVA KWA KIARABU?
Kutokana na Tovuti ya Serikali ya Saudi Arabia ya AL TAFSIRhttp://www.altafsir.com/ Jina la Yehova kwa KIARABU NI YAHUH ( يهوه ). Umeona kuwa Kumbe Yehova sio Allah wa Waislam. Sasa, kwanini Waislam wanalazimisha kuwa Allah ni Yehova?

Majina yana tafsiri yake na yana utaalamu wake wa kuyafsir.
Mungu wa kwenye Biblia anaitwa Yehova (Jehovah/Yahweh) kwa zaidi ya mara 9000. LAKINI Allah hajaitwa kwa jina la Yehova kwenye Quran yake hata mara moja. Kama Allah ni Yehova kwanini Quran imekataa kumwita hivyo?

Mungu vile vile anaitwa Elohim kwenye Biblia kwa zaidi ya mara 2500, LAKINI hilo Jina la Elohim halipo kwenye Quran ya ALLAH.

Yehova ni Jina la Mungu ambalo kwa Kiingereza anaitwa Jehovah na kwa Kiebrania anaitwa יהוה (YHVH) na kwa Kiarabu anaitwa ( yahuh ) au ( يهوه ). ngoja niweke kwa urahisi ili wafuasi wa Muhmmad waelewe;

1. Kiebrania = יהוה (YHVH)
2. Kiingereza = Jehovah
3. Kiswahili = Yehova
4. Kiarabu = yahuh ( يهوه )

Umeona kuwa Tafsir ya Yehova ni YAHUH kwa KIARABU na sio ALLAH. Ingia hapa http://translation.babylon-software.com/…/to-arabic/jehovah/kwa msaada zaidi.

, tunaendelea kuona utofauti wa Allah ambaye ni MPINGA YEHOVA na Mwenyezi Mungu ambaye ni Yehova. "Wajue ya kuwa Wewe, uitwaye jina lako Yehovah, ndiwe peke yako Uliye juu, juu ya nchi yote". (Zaburi 83:18)https://www.wordproject.org/bibles/sw/19/83.htm#0
 
Historia inaonyesha kuwa kabla ya kuzaliwa kwa Muhamad hakukuweko na uislamu kama inavyodaiwa na wanaharakati wa kiislamu quran inathibitisha kuwa mwislamu wa kwanza katika wanaume ni Muhamad mwenyewe soma (surat al anaam – wanyama 6;14)…..

“Sema hakika mimi nimeamrishwa niwe wa kwanza katika wenye kusilimu….” Aidha kitabu cha Historia ya maisha ya nabii Muhamad cha Shehk abdallah Saleh Farsy uk 18 kifungu cha pili kinathibitisha kuwa mwislamu wa kwanza katika wanawake ni mke wa kwanza wa Muhamad bi Khadija

“ Basi Mwislamu wa mwanzo kabisa ni…..Bi Khadija” kwa msingi huu jamii ya waarabu wa kikureshi nduguze Muhamad walikuwa wanaaabudu miungu mingi ya kipagani na uchawi miungu hiyo ni pamoja na baal ambae historia inaonyesha ana asili ya Moab mashariki ya palestina,mungu huyu aliitwa ha-baal na waarabu walimuita hu-baal ndiye Hubal.

Vyanzo vya kuaminika toka kwa waislamu wenyewe vinatuambia kuwa babu ya Muhamad Abdul Mutalib hakuwa na watoto,Hivyo alikwenda al-kaaba na kuomba

“Eee allah nipe watoto” na aliweka mikono kwenye sanamu ya hubal /allah na kuomba,allah alimpa watoto kumi na aliporudi baadae kwenye ile sanamu ya hubal ambapo aliahidi kuwa akipewa watoto kumi atamtoa mmoja kuwa sadaka kwa hubal/allah alipata watoto hao na walipopigiwa kura watoto hao kura ilimwangukia abdallah,abdallah maana yak e ni mtumishi wa allah huyu ndiye baba wa muhamad ambeye kwa uongozi wa wachawi Hubal aliombwa apokee ngamia 100 kubadilishana na abdallah ambae aliishi mpaka miezi miwili kabla ya kuzaliwa muhamad akafa
Hichi ulichokiandika kinahusiana nini na comment yangu?
 
Ambapo ukiangalia muundo wake wa nje na ndani + mosaic and design ni kutoka Roman Catholic Church or Byzantine empire
Most of Muslim hawajui hii historia na watakupinga sana ukimwambia kwa kuwa wamedanganwya na kulishwa vitu vingi vya uongo.
Huna lolote ulijualo, we mwenyewe umejazwa ujinga na uongo tu umeamini ujinga na uongo, na unatuhadithia ujinga na uongo tu.
 
Back
Top Bottom