Wajua msikiti wa Al aqsa Jerusalem ulijengwa likiwa ni kanisa la Byzantine (Byzantine church)?

Wajua msikiti wa Al aqsa Jerusalem ulijengwa likiwa ni kanisa la Byzantine (Byzantine church)?

Ambapo ukiangalia muundo wake wa nje na ndani + mosaic and design ni kutoka Roman Catholic Church or Byzantine empire
Most of Muslim hawajui hii historia na watakupinga sana ukimwambia kwa kuwa wamedanganwya na kulishwa vitu vingi vya uongo.

View attachment 1757085

Kilicho jitokeza ni nini?

Waislam wengi huupinga na kusema huu ni msikiti uliojengwa na Suleiman
🤣
🤣
🤣
ni vichekesho kidogo wengine wakasema umejengwa na Umar ibn Al-Khattāb ili mradi tu! Kupinga kuwa haukuwa kanisa before.

Na kitu wanacho changanya waislam wengi ni msikiti wa al aqsa na the dome of the rock
The dome of the rock sio msikiti msikiti ni al aqsa ijapokuwa hivi vitu viwili vipo karibu na eneo moja
hiyo ni kawaida ya waislam wengi kupinga na kupinga kwao si bure coz ni wamefundishwa vitu vingi na bila kujua kuwa mengine walidanganywa kwa manufaa ya viongozi wao bila wao kujua ni sumu walilishwa.

So tuangalie historia kidogo

Eneo hili ndipo palipokuwa hekalu la wayaudi na mara kwa mara waisrael walipokuwa wakivamiwa na kushambuliwa basi hekalu lilibomolewa basi miaka ikasonga mfalme Suleiman akajenga hekalu jipya kwa vipimo alivyopewa na Mungu

1 wafalme 6:1-38 likaanza kutumika miaka ikasonga mpaka akaja YESU kristo na kutoa utabiri huu
Marko 13:1-2
👇

Alipokuwa akitoka nje ya Hekalu, mmojawapo wa wanafunzi wake akamwambia, “Mwalimu, ona jinsi mawe haya na majengo haya yalivyo maridadi!”
Yesu akamjibu, “Unayaona majengo haya yalivyo makubwa? Hakuna hata jiwe moja litakalobaki juu ya jingine, yote yatabomo lewa.”


Na utabiri huo ulitimia March mwaka 70 A.D baada ya kristo kufa na kupaa mbinguni, warumi waliuvamia mji wa Jerusalem na kulibomoa kabisa hekalu na kila kitu kilichomo ndani ya hekalu hakikubakia kitu Kama Yesu alivyotabiri/

So nashangaa waislam wanavyosema kuwa huo msikiti ulijengwa na Suleiman wakati hekalu alilojenga Suleiman lilishabomolewa na warumi mwaka 70 na lilikuwa ni hekalu na si msikiti remember that
🤣
🤣
🤣
🤣
🤣


So miaka ikasonga mnamo mwaka 310A.D ndipo dola la kirumi lilianza kugeuza uelekeo na kuwa la kikristo kamili ,mfalme Constatino na mama yake Herena walianza kujenga makanisa katika dola ya kirumi na ndani ya Jerusalem 313AD, kwa kipindi hiko na moja ya makanisa yaliojengwa ni pamoja na hilo

msikiti wa al aqsa

Ilipofika mwaka 638AD Umar ibn Al-Khattāb aliuteka mji wa Jerusalem na kuukalia na kubadilisha mambo mengi ndani ya mji na moja vitu alivyo badirisha ni kanisa hilo na kujenga the dome of the rock but ilipofika mwaka 1100AD wakristo waliuchukua tena huo mji na kuukalia wakarudisha vitu vyao tena but ilipofika mwaka 1500AD Ottoman waliuchukua tena mpaka mwaka 1900AD, but kipindi cha katikati hapo Jerusalem hapakutulia palikuwa na mashambulio ya mara kwa mara baina ya Muslim na Christian na Jewish but ilipofika mwaka 1917 great British waliuchukua mji na kuukalia baada ya hapo ni mgawanyo wa mji mpaka leo

So tukirudi kwnye mada yetu ili jengo lilikuwaje?

Kama tunavyoona kwenye picha kapo chini
👇
muundo wa ujenzi na mosic, milango, madirisha, nguzo 100% ni mitindo ya makanisa hiyo haitoshi hivi karibuni kumegunduliwa mosic yenye takribani miaka 1700 ambapo ni mitindo ya Byzantine empire kwenye kudecorate makanisa na majengo yao miaka hiyo na imegunduliwa eneo moja wapo la msikiti so hii inatoa ushaidi tosha kuwa Byzantine or Roman empire walikuwa ndio wajenzi wa jengo hili na si vinginevyo
So kwa waislam wote nawasihi kusoma histolia before hujadanganywa na viongozi wenu coz bila kujua na nyinyi mnaongozwa na mihemko kuliko akili
View attachment 1757143



Haya maneno uliyoyanukuu ni maneno ya nani ??



Marko 13:1-2
👇


Alipokuwa akitoka nje ya Hekalu, mmojawapo wa wanafunzi wake akamwambia, “Mwalimu, ona jinsi mawe haya na majengo haya yalivyo maridadi!”
Yesu akamjibu, “Unayaona majengo haya yalivyo makubwa? Hakuna hata jiwe moja litakalobaki juu ya jingine, yote yatabomo lewa.”
 
Waislam mmekuwa mkidanganya kila siku kuwa eti Mungu anaitwa Allah

Allah ambaye sio Yehova na wala hajawai sema yeye ni Yehova kwenye Quran yake. Wakati Biblia inatumia jina la Yehova kwa zaidi ya mara 9000, Allah yeye anasema hivi kwa Muhammad: "Jua ya kwamba hakuna aabudiwaye kwa haki ila Allah..." (Qur’an. 47:19)

Unaona Allah anavyo likwepa jina la Yehova? Sasa tujifunze maana ya neno "JINA" . Waislam wengi kama sio wote hawajui tofauti ya JINA na [Jina la Sifa/wasifa kama Rais].

NINI MAANA YA JINA?
Ngoja kwanza nieleze kiurefu maana ya "JINA" na ASILI YAKE:
Kila mtu au kiumbe au Malaika ana jina lake na jina hilo linabeba kitu kikubwa sana.
Chimbuko ya neno ‘’jina’’ linatokana na neno la kigiriki liitwalo ‘’Sum’’

‘’Sum’’ maana yake ni ukumbusho au kumbukumbu. Ukumbusho au Sum kama ilivyoandikwa katika Biblia ya Kigiriki maana yake ni jina.

-Kwa hiyo maana ya kwanza ya jina/sum ni ukumbusho ambao mtu au kiumbe au Malaika anapewa.

-Jina/sum maana yake ni alama ya pekee ambayo anapewa mtu au kiumbe au Malaima ili kumtofautisha na wengine.

-Jina/sum ni zawadi ya pekee ambayo mtu au Malaika au Kiumbe anapewa.

Vigezo vya kumpatia mtu jina hutofautiana.
Majina mengine huwakilisha heshima ya kipekee.
Wafilipi 2:9-11( Kwa hiyo tena MUNGU alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina; ili kwa jina la YESU kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI BWANA, kwa utukufu wa MUNGU Baba. )

Majina mengine huwakilisha sifa ya huyo anayepewa jina .
Mfano rais wanchi ni [jina la sifa] ambalo anapewa mhusika.
Majina mengine ni kuonyesha mamlaka mfano [Askari ni jina ambalo linaonyesha mamlaka].

Kwa sababu ya tabia Fulani Fulani baadhi ya majina hutokea.
Mfano mwingine JEHOVAH SHALOM maana yake MUNGU ni Amani yetu hili ni jina jema ambalo linatokana na sifa ya MUNGU katika kuleta amani kwa watu wake.
SASA TURUDI KWENYE MADA YETU: YEHOVA KWA KIARABU NI YAHUH ( يهوه ) NA SIO ALLAH

Nini tafisri ya YEHOVA KWA KIARABU?
Kutokana na Tovuti ya Serikali ya Saudi Arabia ya AL TAFSIRhttp://www.altafsir.com/ Jina la Yehova kwa KIARABU NI YAHUH ( يهوه ). Umeona kuwa Kumbe Yehova sio Allah wa Waislam. Sasa, kwanini Waislam wanalazimisha kuwa Allah ni Yehova?

Majina yana tafsiri yake na yana utaalamu wake wa kuyafsir.
Mungu wa kwenye Biblia anaitwa Yehova (Jehovah/Yahweh) kwa zaidi ya mara 9000. LAKINI Allah hajaitwa kwa jina la Yehova kwenye Quran yake hata mara moja. Kama Allah ni Yehova kwanini Quran imekataa kumwita hivyo?

Mungu vile vile anaitwa Elohim kwenye Biblia kwa zaidi ya mara 2500, LAKINI hilo Jina la Elohim halipo kwenye Quran ya ALLAH.

Yehova ni Jina la Mungu ambalo kwa Kiingereza anaitwa Jehovah na kwa Kiebrania anaitwa יהוה (YHVH) na kwa Kiarabu anaitwa ( yahuh ) au ( يهوه ). ngoja niweke kwa urahisi ili wafuasi wa Muhmmad waelewe;

1. Kiebrania = יהוה (YHVH)
2. Kiingereza = Jehovah
3. Kiswahili = Yehova
4. Kiarabu = yahuh ( يهوه )

Umeona kuwa Tafsir ya Yehova ni YAHUH kwa KIARABU na sio ALLAH. Ingia hapa http://translation.babylon-software.com/…/to-arabic/jehovah/kwa msaada zaidi.

, tunaendelea kuona utofauti wa Allah ambaye ni MPINGA YEHOVA na Mwenyezi Mungu ambaye ni Yehova. "Wajue ya kuwa Wewe, uitwaye jina lako Yehovah, ndiwe peke yako Uliye juu, juu ya nchi yote". (Zaburi 83:18)https://www.wordproject.org/bibles/sw/19/83.htm#0
Mkuu unakosa exposure na unakaririshwa madesa usiyojua.

Sijaona mkristo mwarabu anayekataa kwamba Allah hatajwi kwenye Biblia, na huwezi tumia neno Yehova kwa kiswahili ama Kingereza (lugha changa) na kutafsiri kwenda Kiarabu ama Aramaic (lugha Kongwe). Unatakiwa utafute Kopi za BiBlia za hizo Lugha.

Google neno Arabic Bible Genesis 1 uone Bible ya Kiarabu inamtaja Mungu kama Yehova ama ALLAH

Mfano hii Bible ya Coptic wa hapo misri

Unaliona kabisa neno Allah. Na hii Screenshot yake
main-qimg-8736f3863dde6e4650472c3368511d33-lq.jpg


Na hii ni kwenye Aramaic

main-qimg-e10fae851454397c00841c6d82effa73-lq.jpg

Sasa kama yesu mwenyewe alikuwa ana preach kwa Kutumia Aramaic na tunakubali hii ndio lugha Ya Biblia na ukristo Ulishuka Middle east je Tutafute evidence za Biblia kutoka kiswahili ama lugha aliotumia Yesu mwenyewe?
 
Waislam mmekuwa mkidanganya kila siku kuwa eti Mungu anaitwa Allah

Allah ambaye sio Yehova na wala hajawai sema yeye ni Yehova kwenye Quran yake. Wakati Biblia inatumia jina la Yehova kwa zaidi ya mara 9000, Allah yeye anasema hivi kwa Muhammad: "Jua ya kwamba hakuna aabudiwaye kwa haki ila Allah..." (Qur’an. 47:19)

Unaona Allah anavyo likwepa jina la Yehova? Sasa tujifunze maana ya neno "JINA" . Waislam wengi kama sio wote hawajui tofauti ya JINA na [Jina la Sifa/wasifa kama Rais].

NINI MAANA YA JINA?
Ngoja kwanza nieleze kiurefu maana ya "JINA" na ASILI YAKE:
Kila mtu au kiumbe au Malaika ana jina lake na jina hilo linabeba kitu kikubwa sana.
Chimbuko ya neno ‘’jina’’ linatokana na neno la kigiriki liitwalo ‘’Sum’’

‘’Sum’’ maana yake ni ukumbusho au kumbukumbu. Ukumbusho au Sum kama ilivyoandikwa katika Biblia ya Kigiriki maana yake ni jina.

-Kwa hiyo maana ya kwanza ya jina/sum ni ukumbusho ambao mtu au kiumbe au Malaika anapewa.

-Jina/sum maana yake ni alama ya pekee ambayo anapewa mtu au kiumbe au Malaima ili kumtofautisha na wengine.

-Jina/sum ni zawadi ya pekee ambayo mtu au Malaika au Kiumbe anapewa.

Vigezo vya kumpatia mtu jina hutofautiana.
Majina mengine huwakilisha heshima ya kipekee.
Wafilipi 2:9-11( Kwa hiyo tena MUNGU alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina; ili kwa jina la YESU kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI BWANA, kwa utukufu wa MUNGU Baba. )

Majina mengine huwakilisha sifa ya huyo anayepewa jina .
Mfano rais wanchi ni [jina la sifa] ambalo anapewa mhusika.
Majina mengine ni kuonyesha mamlaka mfano [Askari ni jina ambalo linaonyesha mamlaka].

Kwa sababu ya tabia Fulani Fulani baadhi ya majina hutokea.
Mfano mwingine JEHOVAH SHALOM maana yake MUNGU ni Amani yetu hili ni jina jema ambalo linatokana na sifa ya MUNGU katika kuleta amani kwa watu wake.
SASA TURUDI KWENYE MADA YETU: YEHOVA KWA KIARABU NI YAHUH ( يهوه ) NA SIO ALLAH

Nini tafisri ya YEHOVA KWA KIARABU?
Kutokana na Tovuti ya Serikali ya Saudi Arabia ya AL TAFSIRhttp://www.altafsir.com/ Jina la Yehova kwa KIARABU NI YAHUH ( يهوه ). Umeona kuwa Kumbe Yehova sio Allah wa Waislam. Sasa, kwanini Waislam wanalazimisha kuwa Allah ni Yehova?

Majina yana tafsiri yake na yana utaalamu wake wa kuyafsir.
Mungu wa kwenye Biblia anaitwa Yehova (Jehovah/Yahweh) kwa zaidi ya mara 9000. LAKINI Allah hajaitwa kwa jina la Yehova kwenye Quran yake hata mara moja. Kama Allah ni Yehova kwanini Quran imekataa kumwita hivyo?

Mungu vile vile anaitwa Elohim kwenye Biblia kwa zaidi ya mara 2500, LAKINI hilo Jina la Elohim halipo kwenye Quran ya ALLAH.

Yehova ni Jina la Mungu ambalo kwa Kiingereza anaitwa Jehovah na kwa Kiebrania anaitwa יהוה (YHVH) na kwa Kiarabu anaitwa ( yahuh ) au ( يهوه ). ngoja niweke kwa urahisi ili wafuasi wa Muhmmad waelewe;

1. Kiebrania = יהוה (YHVH)
2. Kiingereza = Jehovah
3. Kiswahili = Yehova
4. Kiarabu = yahuh ( يهوه )

Umeona kuwa Tafsir ya Yehova ni YAHUH kwa KIARABU na sio ALLAH. Ingia hapa http://translation.babylon-software.com/…/to-arabic/jehovah/kwa msaada zaidi.

, tunaendelea kuona utofauti wa Allah ambaye ni MPINGA YEHOVA na Mwenyezi Mungu ambaye ni Yehova. "Wajue ya kuwa Wewe, uitwaye jina lako Yehovah, ndiwe peke yako Uliye juu, juu ya nchi yote". (Zaburi 83:18)https://www.wordproject.org/bibles/sw/19/83.htm#0


Kama mnavyodanganywa Wakristo

The Lost City


The Gospels tell us that Jesus's home town was the 'City of Nazareth' ('polis Natzoree'):



And in the sixth month the angel Gabriel was sent from God unto a CITY of Galilee, named Nazareth, To a virgin espoused to a man whose name was Joseph, of the house of David; and the virgin’s name was Mary.

(Luke1.26,27)

And all went to be taxed, every one into his own city. And Joseph also went up from Galilee, out of the CITY of Nazareth, into Judaea, unto the city of David, which is called Bethlehem; because he was of the house and lineage of David:
(Luke 2.3,4)

But when he heard that Archelaus did reign in Judaea in the room of his father Herod, he was afraid to go thither: notwithstanding, being warned of God in a dream, he turned aside into the parts of Galilee: And he came and dwelt in a CITY called Nazareth: that it might be fulfilled which was spoken by the prophets, He shall be called a Nazarene.
(Matthew 2.22,23)

And when they had performed all things according to the law of the Lord, they returned into Galilee, to their own CITY Nazareth. And the child grew, and waxed strong in spirit, filled with wisdom: and the grace of God was upon him.
(Luke 2.39,40)


The gospels do not tell us much about this 'city' – it has a synagogue, it can scare up a hostile crowd (prompting JC's famous "prophet rejected in his own land" quote), and it has a precipice – but the city status of Nazareth is clearly established, at least according to that source of nonsense called the Bible.


However when we look for historical confirmation of this hometown of a god – surprise, surprise! – no other source confirms that the place even existed in the 1st century AD.


• Nazareth is not mentioned even once in the entire Old Testament. The Book of Joshua (19.10,16) – in what it claims is the process of settlement by the tribe of Zebulon in the area – records twelve towns and six villages and yet omits any 'Nazareth' from its list.

• The Talmud, although it names 63 Galilean towns, knows nothing of Nazareth, nor does early rabbinic literature.

St Paul knows nothing of 'Nazareth'. Rabbi Solly's epistles (real and fake) mention Jesus 221 times, Nazareth not at all.

• No ancient historian or geographer mentions Nazareth. It is first noted at the beginning of the 4th century.
 
Waislam mmekuwa mkidanganya kila siku kuwa eti Mungu anaitwa Allah

Allah ambaye sio Yehova na wala hajawai sema yeye ni Yehova kwenye Quran yake. Wakati Biblia inatumia jina la Yehova kwa zaidi ya mara 9000, Allah yeye anasema hivi kwa Muhammad: "Jua ya kwamba hakuna aabudiwaye kwa haki ila Allah..." (Qur’an. 47:19)

Unaona Allah anavyo likwepa jina la Yehova? Sasa tujifunze maana ya neno "JINA" . Waislam wengi kama sio wote hawajui tofauti ya JINA na [Jina la Sifa/wasifa kama Rais].

NINI MAANA YA JINA?
Ngoja kwanza nieleze kiurefu maana ya "JINA" na ASILI YAKE:
Kila mtu au kiumbe au Malaika ana jina lake na jina hilo linabeba kitu kikubwa sana.
Chimbuko ya neno ‘’jina’’ linatokana na neno la kigiriki liitwalo ‘’Sum’’

‘’Sum’’ maana yake ni ukumbusho au kumbukumbu. Ukumbusho au Sum kama ilivyoandikwa katika Biblia ya Kigiriki maana yake ni jina.

-Kwa hiyo maana ya kwanza ya jina/sum ni ukumbusho ambao mtu au kiumbe au Malaika anapewa.

-Jina/sum maana yake ni alama ya pekee ambayo anapewa mtu au kiumbe au Malaima ili kumtofautisha na wengine.

-Jina/sum ni zawadi ya pekee ambayo mtu au Malaika au Kiumbe anapewa.

Vigezo vya kumpatia mtu jina hutofautiana.
Majina mengine huwakilisha heshima ya kipekee.
Wafilipi 2:9-11( Kwa hiyo tena MUNGU alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina; ili kwa jina la YESU kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI BWANA, kwa utukufu wa MUNGU Baba. )

Majina mengine huwakilisha sifa ya huyo anayepewa jina .
Mfano rais wanchi ni [jina la sifa] ambalo anapewa mhusika.
Majina mengine ni kuonyesha mamlaka mfano [Askari ni jina ambalo linaonyesha mamlaka].

Kwa sababu ya tabia Fulani Fulani baadhi ya majina hutokea.
Mfano mwingine JEHOVAH SHALOM maana yake MUNGU ni Amani yetu hili ni jina jema ambalo linatokana na sifa ya MUNGU katika kuleta amani kwa watu wake.
SASA TURUDI KWENYE MADA YETU: YEHOVA KWA KIARABU NI YAHUH ( يهوه ) NA SIO ALLAH

Nini tafisri ya YEHOVA KWA KIARABU?
Kutokana na Tovuti ya Serikali ya Saudi Arabia ya AL TAFSIRhttp://www.altafsir.com/ Jina la Yehova kwa KIARABU NI YAHUH ( يهوه ). Umeona kuwa Kumbe Yehova sio Allah wa Waislam. Sasa, kwanini Waislam wanalazimisha kuwa Allah ni Yehova?

Majina yana tafsiri yake na yana utaalamu wake wa kuyafsir.
Mungu wa kwenye Biblia anaitwa Yehova (Jehovah/Yahweh) kwa zaidi ya mara 9000. LAKINI Allah hajaitwa kwa jina la Yehova kwenye Quran yake hata mara moja. Kama Allah ni Yehova kwanini Quran imekataa kumwita hivyo?

Mungu vile vile anaitwa Elohim kwenye Biblia kwa zaidi ya mara 2500, LAKINI hilo Jina la Elohim halipo kwenye Quran ya ALLAH.

Yehova ni Jina la Mungu ambalo kwa Kiingereza anaitwa Jehovah na kwa Kiebrania anaitwa יהוה (YHVH) na kwa Kiarabu anaitwa ( yahuh ) au ( يهوه ). ngoja niweke kwa urahisi ili wafuasi wa Muhmmad waelewe;

1. Kiebrania = יהוה (YHVH)
2. Kiingereza = Jehovah
3. Kiswahili = Yehova
4. Kiarabu = yahuh ( يهوه )

Umeona kuwa Tafsir ya Yehova ni YAHUH kwa KIARABU na sio ALLAH. Ingia hapa http://translation.babylon-software.com/…/to-arabic/jehovah/kwa msaada zaidi.

, tunaendelea kuona utofauti wa Allah ambaye ni MPINGA YEHOVA na Mwenyezi Mungu ambaye ni Yehova. "Wajue ya kuwa Wewe, uitwaye jina lako Yehovah, ndiwe peke yako Uliye juu, juu ya nchi yote". (Zaburi 83:18)https://www.wordproject.org/bibles/sw/19/83.htm#0


Getting a Name


The expression 'Jesus of Nazareth' is actually a bad translation of the original Greek 'Jesous o Nazoraios' (see below). More accurately, we should speak of 'Jesus the Nazarene' where Nazarene has a meaning quite unrelated to a place name. But just what is that meaning and how did it get applied to a small village? The highly ambiguous Hebrew root of the name is NZR.


The 2nd century gnostic Gospel of Philip offers this explanation:


'The apostles that came before us called him Jesus Nazarene the Christ ..."Nazara" is the "Truth". Therefore 'Nazarene' is "The One of the Truth" ...'

– Gospel of Philip, 47.


What we do know is that 'Nazarene' (or 'Nazorean') was originally the name of an early Jewish-Christian sect – a faction, or off-shoot, of the Essenes. They had no particular relation to a city of Nazareth. The root of their name may have been 'Truth' or it may have been the Hebrew noun 'netser' ('netzor'), meaning 'branch' or 'flower.' The plural of 'Netzor' becomes 'Netzoreem.' There is no mention of the Nazarenes in any of Paul's writings, although ironically, Paul is himself accused of being a Nazorean in Acts of the Apostles. The reference scarcely means that Paul was a resident of Nazareth (we all know the guy hails from Tarsus!).


'For finding this man a pest, and moving sedition among all the Jews throughout the world, and a leader of the sect of the Nazaraeans.' – Acts 24.5. (Darby Translation).


The Nazorim emerged towards the end of the 1st century, after a curse had been placed on heretics in Jewish daily prayer.


'Three times a day they say: May God curse the Nazarenes'.

– Epiphanius (Panarion 29.9.2).


The Nazarenes may have seen themselves as a 'branch from the stem of Jesse (the legendary King David's father)'. Certainly, they had their own early version of 'Matthew'. This lost text – the Gospel of the Nazarenes – can hardly be regarded as a 'Gospel of the inhabitants of Nazareth'!


It was the later Gospel of Matthew which started the deceit that the title 'Jesus the Nazorene' should in some manner relate to Nazareth, by quoting 'prophecy':


"And he came and dwelt in a city called Nazareth: that it might be fulfilled which was spoken by the prophets, He shall be called a Nazarene."

– Matthew 2.23.


With this, Matthew closes his fable of Jesus's early years. Yet Matthew is misquoting – he would surely know that nowhere in Jewish prophetic literature is there any reference to a Nazarene. What is 'foretold' (or at least mentioned several times) in Old Testament scripture is the appearance of a Nazarite. For example:


"For, lo, thou shalt conceive, and bear a son; and no razor shall come on his head: for the child shall be a Nazarite unto God from the womb: and he shall begin to deliver Israel out of the hand of the Philistines."

– Judges 13.5.


Matthew
slyly substitutes one word for another. By replacing Nazarite ('he who vows to grow long hair and serve god') with a term which appears to imply 'resident of' he is able to fabricate a hometown link for his fictitious hero.


So how did the village get its name?


It seems that, along with the Nozerim, a related Jewish/Christian faction, the Evyonim – ‘the Poor’ (later to be called Ebionites) – emerged about the same time. According to Epiphanius (Bishop of Salamis , Cyprus, circa 370 AD) they arose from within the Nazarenes. They differed doctrinally from the original group in rejecting Paul and were 'Jews who pay honour to Christ as a just man...' They too, it seems, had their own prototype version of Matthew – ‘The Gospel to the Hebrews’. A name these sectaries chose for themselves was 'Keepers of the Covenant', in Hebrew Nozrei haBrit, whence Nosrim or Nazarene!


In other words, when it came to the crunch, the original Nazarenes split into two: those who tried to re-position themselves within the general tenets of Judaism ('Evyonim'-Nosrim); and those who rejected Judaism ('Christian'-Nosrim)


Now, we know that a group of 'priestly' families resettled an area in the Nazareth valley after their defeat in the Bar Kochbar War of 135 AD (see above). It seems highly probable that they were Evyonim-Nosrim and named their village 'Nazareth' or the village of 'The Poor' either because of self-pity or because doctrinally they made a virtue out of their poverty.


"Blessed are the Poor in spirit for theirs is the kingdom of Heaven."

– Matthew 5,3.


The writer of Matthew (re-writer of the proto-Matthew stories) heard of 'priestly' families moving to a place in Galilee which they had called 'Nazareth' – and decided to use the name of the new town for the hometown of his hero.
 
Mungu wa biblia kajitambulisha kwa JINA lake kwenye biblia takatifu

Kutoka : 6 : 2 - Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, Mimi ni YEHOVA;
6 : 3 - nami nilimtokea Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kama Mungu Mwenyezi, bali kwa jina langu YEHOVA sikujulikana kwao.

Kwenye Koran tukufu Mungu kajitambulisha kwa jina gani maana Allah ni neno la kiarabu likimaanisha Mungu na je huyo Mungu jina lake nani ili kumtofautisha na miungu wengine.
 
We embu acha contradictions.
Muhammad ni mtume wa zama hizi ndio maana sasa hv ili ukiri kuwa ww ni muislam ni lazima umkubali Allah na Muhammad ndio mtume wake.
Kila zama ililetewa mtume wake na sheria zake.
Unaposema uislam upo tangu kuumbwa kwa dunia na hapohapo ukidai Mohammad ni muislamu wa kwanza na bi khadija ni wa pili hujaona contradiction hapo?!
 
Unaposema uislam upo tangu kuumbwa kwa dunia na hapohapo ukidai Mohammad ni muislamu wa kwanza na bi khadija ni wa pili hujaona contradiction hapo?!
We nani kakudanganya Muhammad ni muislam wa kwanza?
Muislam wa kwanza toka dunia iumbwe au muislam wa Kwanza wa zama zake na ummah wake?
Na bi.Khadija ni mwanamke wa kwanza kusilimu ktk zama za Muhammad.
Kuwa wa kwanza darasani sio kuwa wa kwanza shule nzima.
 
Unaposema uislam upo tangu kuumbwa kwa dunia na hapohapo ukidai Mohammad ni muislamu wa kwanza na bi khadija ni wa pili hujaona contradiction hapo?!
Mungu wa biblia kajitambulisha kwa JINA lake kwenye biblia takatifu

Kutoka : 6 : 2 - Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, Mimi ni YEHOVA;
6 : 3 - nami nilimtokea Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kama Mungu Mwenyezi, bali kwa jina langu YEHOVA sikujulikana kwao.

Kwenye Koran tukufu Mungu kajitambulisha kwa jina gani maana Allah ni neno la kiarabu likimaanisha Mungu na je huyo Mungu jina lake nani ili kumtofautisha na miungu wengine.
MUNGU WETU HUTOFAUTISHWA KWA SIFA SIYO JINA.
SIFA AMBAZO WENGINE HAWANA NI ZAKE PEKEE.

Pia nina swali mkuu.
Mungu wenu Yehova ama Yesu?

Screenshot_2022-01-30-16-30-06.png
 
MUNGU WETU HUTOFAUTISHWA KWA SIFA SIYO JINA.
SIFA AMBAZO WENGINE HAWANA NI ZAKE PEKEE.

Pia nina swali mkuu.
Mungu wenu Yehova ama Yesu?

View attachment 2101242

Kaka nyinyi mnaabudu msichokijua. Mungu wa kweli hawezi kukosa jina linalomtofautisha na miungu wengine.
Duniani kwa sasa kwa mfano kuna wahindi ambao wana miungu yenye majina kama brahma, shiva na krishna
Kwenye biblia kuna mungu wa wakaanani anaitwa baal, kuna mungu wa wafilisti anaitwa dagoni sasa inakuaje mungu wenu toka dunia iumbwe hajawahi kujitambulisha kwa jina lake na hata malaika wake hawana majina?

Mungu wetu jina lake yehova na ana mwanawe wa pekee jina lake ni kristo yesu.
 
Kaka nyinyi mnaabudu msichokijua. Mungu wa kweli hawezi kukosa jina linalomtofautisha na miungu wengine.
Duniani kwa sasa kwa mfano kuna wahindi ambao wana miungu yenye majina kama brahma, shiva na krishna
Kwenye biblia kuna mungu wa wakaanani anaitwa baal, kuna mungu wa wafilisti anaitwa dagoni sasa inakuaje mungu wenu toka dunia iumbwe hajawahi kujitambulisha kwa jina lake na hata malaika wake hawana majina?

Mungu wetu jina lake yehova na ana mwanawe wa pekee jina lake ni kristo yesu.
Hunielewi na sijui kama utanielewa.
Ngojea nikueleweshe na nipinge madai yako.
Malaika wetu wana majina kama ISRAFIIL,JIBRIL,MIKAAIL,RAKIIBUN,ATIID,RIDHWAAN,MALAKUL MAWUT N.K N.K.
KWA KIARABU CHA KAWAIDA MUNGU ANAITWA ILAAHA.
ILA KIISTWILAAGHA ALLAH NI MUNGU WA KIISLAM KWA KIARABU.
HATA HAO MAQUREYSH WAABUDU MASANAM MUNGU ZAO WALIKUA WANAZIITA RABBI AMA ILAAHA.
ILA ALLAH NI JINA LA MUNGU WA KIISLAM MAANA YAKE MWENYEEZI MUNGU MUWEZA.
NITAJIE MUNGU YUPI ANAYEITWA MWENYEZI MUNGU MUWEZA ZAIDI YA ALLAH KTK DINI ZINGINE!?
Halafu mbona madhehebu yenu mengine yanasema Yesu ni Mungu alokuja kwa umbile la mwanadamu?
Halafu Mungu kuwa na mtoto huoni anavunja upekee kisifa?Yani anakua na sifa sawa na viumbe alivyoviumba?
 
Kaka nyinyi mnaabudu msichokijua. Mungu wa kweli hawezi kukosa jina linalomtofautisha na miungu wengine.
Duniani kwa sasa kwa mfano kuna wahindi ambao wana miungu yenye majina kama brahma, shiva na krishna
Kwenye biblia kuna mungu wa wakaanani anaitwa baal, kuna mungu wa wafilisti anaitwa dagoni sasa inakuaje mungu wenu toka dunia iumbwe hajawahi kujitambulisha kwa jina lake na hata malaika wake hawana majina?

Mungu wetu jina lake yehova na ana mwanawe wa pekee jina lake ni kristo yesu.
Cha kuongezea.
Sifa za Mwenyeezi Mungu zipo kwake pekee
hazipo kwa miungu mengine.
 
Hunielewi na sijui kama utanielewa.
Ngojea nikueleweshe na nipinge madai yako.
Malaika wetu wana majina kama ISRAFIIL,JIBRIL,MIKAAIL,RAKIIBUN,ATIID,RIDHWAAN,MALAKUL MAWUT N.K N.K.
KWA KIARABU CHA KAWAIDA MUNGU ANAITWA ILAAHA.
ILA KIISTWILAAGHA ALLAH NI MUNGU WA KIISLAM KWA KIARABU.
HATA HAO MAQUREYSH WAABUDU MASANAM MUNGU ZAO WALIKUA WANAZIITA RABBI AMA ILAAHA.
ILA ALLAH NI JINA LA MUNGU WA KIISLAM MAANA YAKE MWENYEEZI MUNGU MUWEZA.
NITAJIE MUNGU YUPI ANAYEITWA MWENYEZI MUNGU MUWEZA ZAIDI YA ALLAH KTK DINI ZINGINE!?
Halafu mbona madhehebu yenu mengine yanasema Yesu ni Mungu alokuja kwa umbile la mwanadamu?
Halafu Mungu kuwa na mtoto huoni anavunja upekee kisifa?Yani anakua na sifa sawa na viumbe alivyoviumba?

Luka : 1 : 19 - Malaika akamjibu akamwambia, Mimi ni Gabrieli, nisimamaye mbele za Mungu; nami nimetumwa niseme nawe, na kukupasha habari

Kaka malaika Gabrieli kajitambulisha kwa zakaria hapo, vipi kwenye koran malaika wamejitambulisha hivyo pia?

Kuhusu Yesu anaitwa Mungu kwa kuwa karithi hilo jina kutoka kwa babake. Ni kama wewe nikikuita kwa jina la babako kutakuwa na kosa?

Kuhusu jina la mungu wa waislamu nimegundua kwamba hana jina linalomtambulisha, hajulikani!
 
Luka : 1 : 19 - Malaika akamjibu akamwambia, Mimi ni Gabrieli, nisimamaye mbele za Mungu; nami nimetumwa niseme nawe, na kukupasha habari

Kaka malaika Gabrieli kajitambulisha kwa zakaria hapo, vipi kwenye koran malaika wamejitambulisha hivyo pia?

Kuhusu Yesu anaitwa Mungu kwa kuwa karithi hilo jina kutoka kwa babake. Ni kama wewe nikikuita kwa jina la babako kutakuwa na kosa?

Kuhusu jina la mungu wa waislamu nimegundua kwamba hana jina linalomtambulisha, hajulikani!
KAKA NIMEGUNDUA WW MBISHANI.
NIMEKUULIZA UMEONA WAPI AU DINI GANI INATUMIA NENO MWENYEZI MUNGU!?
BRO ACHA UBISHANI NIMEKUELEZA KILA KITU MUNGU WA UISLAM ANAJULIKANAJE.
HAYO KUSEMA HAJULIKANI NI JUU YAKO NA AKILI ZAKO.

TWENDE KWA MALAIKA KUJITAMBULISHA

Katika dini yetu malaika hujitambulisha kama wajumbe wa Mungu.

Cha mwisho nimekuuliza HUONI KAMA MUNGU WENU KAVUNJA UPEKEE KWA KUWA NA SIFA SAWA NA VIUMBE ALIVYOVIUMBA(KWA KUWA NA MTOTO)!?

Screenshot_2022-01-30-21-30-20.png
 
KAKA NIMEGUNDUA WW MBISHANI.
NIMEKUULIZA UMEONA WAPI AU DINI GANI INATUMIA NENO MWENYEZI MUNGU!?
BRO ACHA UBISHANI NIMEKUELEZA KILA KITU MUNGU WA UISLAM ANAJULIKANAJE.
HAYO KUSEMA HAJULIKANI NI JUU YAKO NA AKILI ZAKO.

TWENDE KWA MALAIKA KUJITAMBULISHA

Katika dini yetu malaika hujitambulisha kama wajumbe wa Mungu.

Cha mwisho nimekuuliza HUONI KAMA MUNGU WENU KAVUNJA UPEKEE KWA KUWA NA SIFA SAWA NA VIUMBE ALIVYOVIUMBA(KWA KUWA NA MTOTO)!?

View attachment 2101677

Kaka asante, sijaona jina la malaika hapo ?
 
Wakuu nina anajua lilipokuwa limejengwa hekalu la mfalme suleiman?
 
MUNGU WETU HUTOFAUTISHWA KWA SIFA SIYO JINA.
SIFA AMBAZO WENGINE HAWANA NI ZAKE PEKEE.

Pia nina swali mkuu.
Mungu wenu Yehova ama Yesu?

View attachment 2101242
Acha ku-contradict jibu swali,mohd ni wa kwanza kusilimu na khadija wa pili unaposema uislam upo tangu mwanzo wa dunia una maana huyo mohd na khadija ni wa kwanza kuumbwa?
 
We nani kakudanganya Muhammad ni muislam wa kwanza?
Muislam wa kwanza toka dunia iumbwe au muislam wa Kwanza wa zama zake na ummah wake?
Na bi.Khadija ni mwanamke wa kwanza kusilimu ktk zama za Muhammad.
Kuwa wa kwanza darasani sio kuwa wa kwanza shule nzima.
Haha nyie kweli vilaza.
 
Acha ku-contradict jibu swali,mohd ni wa kwanza kusilimu na khadija wa pili unaposema uislam upo tangu mwanzo wa dunia una maana huyo mohd na khadija ni wa kwanza kuumbwa?
SIJA CONTRADICT WW NDIYE UNAYEKAZA FUVU.
ACHA KULAZIMISHA UNACHOAMINI KIWE.
NARUDIA,MUHAMMAD NI MUISLAM WA KWANZA KATIKA ZAMA ZAKE NA BI.KHADIJA NI MWANAMKE WA KWANZA KUSILIMU KTK ZAMA ZA MTUME MUHAMMAD(S.A.W) KWA MUJIBU WA SIRAH.
AYA WEWE UNAPINGA KWA MUJIBU WA NINI??
MANASWARA BHANA!
 
Haha nyie kweli vilaza.
Kilaza ni wewe unayebeba nukuu pasi na kufuatilia.
Muislam wa kwanza kwa mujibu gani?
Hilo ndilo la Muhimu.
Hata Nabii.Mussa alikua muislam wa kwanza kwa mujibu wa zama na umma wake aliotumwa kuulingania.
Sijui unaelewa au unaleta ujinga wa kulazimisha hoja uiaminiyo!?
Ndiyo maana nikakupa mfano ili uelewe kuwa wa kwanza darasani haimaanishi we ndiye wa kwanza shule nzima.
 
Kaka asante, sijaona jina la malaika hapo ?
Qur'an hainukuliwi bila kuichambua mkuu.
Hizo ayah ni mushahabihaat kuanzia ayah ya 5 kuja mpk hapo.
Na nimekueleza MALAIKA WA ALLAH HUJITAMBULISHA KAMA WAJUMBE WA MWENYEZI MUNGU.
Huyo ni Jibril alitumwa aje kumpa ubashiri Bi.maryam kuwa atampata mtoto ambaye ni Issa.
Unukuu wa biblia na Qur'an ni tofauti.
 
Back
Top Bottom