Wajua msikiti wa Al aqsa Jerusalem ulijengwa likiwa ni kanisa la Byzantine (Byzantine church)?

Wajua msikiti wa Al aqsa Jerusalem ulijengwa likiwa ni kanisa la Byzantine (Byzantine church)?

Mbona swali umeuliza kitoto sana!?
Ulitakiwa useme wayahudi wasiokua wazayuni.Wayahudi wasiokuwa wazayuni waliishi na wapalestina vizuri tu na pia nao wana haki na hiyo ardhi kwasababu wamekulia hapo vizazi na vizazi.

Unazungumzia Kwa minajili ipi?Kama unazungumzia Kwa minajili ya kiislam basi mitume na manabii wengi walikua wana wa Israel sio wayahudi.Katika uislam uyahudi ni dini sio kabila au asili.Na uislam haujaanzia Kwa uzao wa Ismail usitake kudanganya watu.Uislam ulianzia toka enzi za Nabii Adam Hadi kuja kwa Muhammad.

Kujisalimisha katika uislam ni kuitakidi na kukubali kuwa Mungu ni mmoja na Muhammad ndiye mtume aliyeletwa kukamilisha hiyo dini.
Kujisalimisha Kwa wahindu ambao wanasema Mungu ni Ng'ombe sijui Mungu jike Saraswati hakufananii na kujisalimisha Kwa uislam.
Tunasema Yesu alikua muislam kwasababu alitumwa kuja kuitangaza ya kuwa Mungu mmoja na dini kamili ni uislam.
Manabii waliotajwa katika Biblia walikuwa sehemu ya historia ya Israeli na walifundisha sheria za Torati au Injili, si Uislamu.

Yesu hakuwa Muislamu; alifundisha imani kwa Mungu wa Israeli na alitimiza Torati.


Kujisalimisha kwa Mungu kuna maana pana, lakini Uislamu kama mfumo wa kidini ulianza na kukamilishwa kupitia Muhammad (SAW).


Ushahidi wa kihistoria na maandiko hauonyeshi kwamba Uislamu ulikuwepo kabla ya Muhammad kwa jina na mfumo wake wa sasa.



Madai kwamba manabii walikuwa Waislamu si sahihi kihistoria wala kimandiko.Ni uzushi kama uzushi mwingine
 
Nimekuelewa vizuri sana kitu ulichokisndika ila Kuna kaujinga kidogo kichwani kwako ngoja nikitoe

Hilo jina la huo msikiti Al sgswa limetajwa ndani ya Quran na Quran ni Maneno ya Mungu

Mungu anapokielezea kitu anakielezea Kwa msingi wake wa mwanzo
Mungu anasema ndani ya Quran msikiti wa Al aqswa amebarikiwa pamoja na vile unavyo vuzunguka katika hilo eneo maana hapo ndipo alipozikwa Ibrahim na mkewe Sara pia Isaka na Yakobo wamezikwa hapo na hao wote hawakuwa wakristo ila walikuwa waislam

Hivyo unaangaliwa msingi wa hilo eneo ulikuwa nini haijalishi Kwa Sasa Kuna gorofa au nyumba ya kawaida au je hayo makaburi ya hao manabii yanaonekana au hayaonekani

Na ndio maana Hadi Leo hi ukiuliza ni nani alijenga msikiti wa Maka utaambiwa ni nabii Ibrahim akiwa na mwanawe Ishmael wakati Jengo lililopo Leo pale sio hilo lililojengwa na Ibrahim na mwanawe Ishmael ila tu Kwa sababu wao ndio walioweka msingi na eneo ndio pale pale

Sasa ukitaka kujua ilikuwaje Hadi Leo hii msikiti wa Maka ni wa gorofa ndio utaenda katika historia ilikuwa hivi ikawa vile

Ndio historia ambazo wewe umezileta sijui Roma sijui Byzantine Mungu haangali hayo Mungu anaangalia msingi wa hilo eneo ni nini

Na hata binadamu pia ni hivyo hivyo Pale Kariakoo Jengo la DDC limevunjwa linajengwa upya ni Jengo tofauti kabisa na lile la zamani lakini bado litaendelea kuitwa DDC

Uislam Huwa haupingwi Kwa facts ila unapingwa Kwa propaganda
Historia haiongopi,historia zipo wazi kwanini mnadanganya watu ?

Qur'an inataja Msikiti wa Al-Aqsa katika Sura ya 17:1:

"Ametakasika Yeye aliyemchukua mja wake usiku kutoka Msikiti Mtakatifu hadi Msikiti wa Mbali (Al-Aqsa), ambao tumeubariki pembezoni mwake..."

Aya hii haisemi kwamba Msikiti wa Al-Aqsa ulijengwa na Nabii Ibrahim au kwamba ulikuwepo wakati wa Nabii Muhammad (SAW). Kwa hakika, Msikiti wa Al-Aqsa ulijengwa rasmi miaka mingi baada ya Muhammad.

Msingi wa imani unaojengwa hapa ni hadithi za Abunuasi na Bulicheka kwamba manabii wote walikuwa Waislamu. Hata hivyo, hakutajwa katika Qur'an kwamba Ibrahim au Isaka walijenga Msikiti wa Al-Aqsa, bali hoja hii hutokana na tafsiri za baadaye za historia za Kiislamu.,ili tu kuwasingizia manabii walikuwa waislamu

Qur'an yenyewe inasema kwamba Ibrahim hakufuata sheria ya Uislamu kama inavyofundishwa leo:

Qur'an 2:130-132 inasema:
"Na nani anayeikana mila ya Ibrahim isipokuwa aliyedhahiri kupumbazika? Na hakika tulimteua yeye katika dunia, na kwa hakika yeye katika Akhera ni miongoni mwa watu wema."

Hii inaonyesha kwamba Ibrahim alikuwa na "mila" yake maalum (Hanif) na si sheria za Uislamu wa Muhammad.

Biblia inathibitisha kwamba Ibrahimu, Isaka, na Yakobo walifuata maagizo ya Mungu wa Israeli, Yahweh, lakini haionyeshi kuwa walikuwa Waislamu:

Mwanzo 12:1-3: Mungu alimwita Ibrahimu kutoka kwa watu wake na akampa maagizo maalum. Hakutajwa popote kuhusu Uislamu kama mfumo wa kidini au kuwa alijisalimisha kwa Allah wa Qur'an.


Yakobo na Isaka walifuata maagizo ya Mungu wa Israeli, walipewa agano hilo, na walihusiana moja kwa moja na taifa la Israeli, si Uislamu.
 
Sisi waisilamu tupo restrictive sana kwenye historia yetu na vitabu vyetu.

Kuna mamia ya mamilioni ya watu wamehifadhi Quran na vitabu muhimu vya dini kama Vya Hadithi za mtume.

Hivyo inahitajika kuja na ushahidi wa maana kusema tunadanganya.
Kwa hiyo imeandikwa kuwa mtume alioa kitoto cha miaka sita ni na akaanza majukumu ya kindoa mtoto akiwa na miaka 9 ni kweli au sio kweli?

Nataka jibu moja
 
Historia haiongopi,historia zipo wazi kwanini mnadanganya watu ?

Qur'an inataja Msikiti wa Al-Aqsa katika Sura ya 17:1:



Aya hii haisemi kwamba Msikiti wa Al-Aqsa ulijengwa na Nabii Ibrahim au kwamba ulikuwepo wakati wa Nabii Muhammad (SAW). Kwa hakika, Msikiti wa Al-Aqsa ulijengwa rasmi miaka mingi baada ya Muhammad.

Msingi wa imani unaojengwa hapa ni hadithi za Abunuasi na Bulicheka kwamba manabii wote walikuwa Waislamu. Hata hivyo, hakutajwa katika Qur'an kwamba Ibrahim au Isaka walijenga Msikiti wa Al-Aqsa, bali hoja hii hutokana na tafsiri za baadaye za historia za Kiislamu.,ili tu kuwasingizia manabii walikuwa waislamu

Qur'an yenyewe inasema kwamba Ibrahim hakufuata sheria ya Uislamu kama inavyofundishwa leo:

Qur'an 2:130-132 inasema:
"Na nani anayeikana mila ya Ibrahim isipokuwa aliyedhahiri kupumbazika? Na hakika tulimteua yeye katika dunia, na kwa hakika yeye katika Akhera ni miongoni mwa watu wema."

Hii inaonyesha kwamba Ibrahim alikuwa na "mila" yake maalum (Hanif) na si sheria za Uislamu wa Muhammad.

Biblia inathibitisha kwamba Ibrahimu, Isaka, na Yakobo walifuata maagizo ya Mungu wa Israeli, Yahweh, lakini haionyeshi kuwa walikuwa Waislamu:

Mwanzo 12:1-3: Mungu alimwita Ibrahimu kutoka kwa watu wake na akampa maagizo maalum. Hakutajwa popote kuhusu Uislamu kama mfumo wa kidini au kuwa alijisalimisha kwa Allah wa Qur'an.


Yakobo na Isaka walifuata maagizo ya Mungu wa Israeli, walipewa agano hilo, na walihusiana moja kwa moja na taifa la Israeli, si Uislamu.
Mbona kama unalialia hivi nani aliyekuambia uwe mkristo dini ambayo ukianza kuangalia historia za manabii inakuwa bubu

Mandiko ndani ya Quran yanayosema manabii wote walikuwa waislam yapo mengi mno ila sitaki kuenda huko twende katika historia ya Masijid Al aqswa

Nabii Ibrahim alinunu kipande Cha aridhi Kwa ajili ya kupata eneo la kumzikia mkewe Sara na kujenga nyumba ya ibada na hilo eneo ndio Jerusalem

Alipofariki mkewe Sara alimzika hapo na akajenga nyumba ya kufanyia ibada hapo akiwa na mwanawe Isaka soma Mwanzo 12 katika maagizo ambayo anapewa Ibrahim atakapofika katika nchi aliyo elekezwa ni pamoja na kujenga nyumba ya kufanyia ibada
Sasa kama wewe unaamini kuwa Ibrahim na Isaka hawakuwa na nyumba ya kufanyia ibada huo ni umbumbu wako

Ibrahim na Isaka walipofariki Yakobo na wanawe wakarnda Misri ambako huko walikuwa watumwa na Yakobo alipofariki wanawe walienda kumzika Jerusalem hapo katika hivyo viwanja vya Masijid Al Aqswa

Daudi alipowarudisha waisrael Jerusalem ndiopo mwanawe Suleiman Akajenga Jengo zuri la hekalu katika hivyo viwanja ambapo pia Kuna bakaburi ya hao Babu zao na ndio huo msikiti wa Al Aqswa

Suleiman alipofariki Jerusalem ikatawaliwa na mfarume Nebuchadnezzar akalivunja akalivunj hekalu lililojengwa na Suleiman 580 AD

70 AD Roman empire wakalichoma moto na baadae wakalikarabati na kuanza kufanyia ibada zao za kuabudu masanamu

315 AD mfarume wa Roma Constantine alipo ibadirisha Roman empire kuwa ukristo wakawa hawana mpango tena wa kulitumia hilo Hekalu na Wayahudi hawakulichukulia tena kama kuwa kama ni nyumba takatifu
Hivyo likabaki kuwa kama gofu

621 AD Mtume Muhammad katika safari yake ya miraji alipita Jerusalem na akaswali ndani ya huo msikiti

637 AD Umar Ibn Khatab aliukarabati huo msikiti na waislam wakanza kuutumia kama nyumba Yao ya kufanyia ibada

Karine ya 11 European Christian wakawa choma moto wayahudi wakiwa ndani ya Temple na waislam wakiwa ndani ya Masijid Al Aqswa na kuiteka Jerusalem

1189 AD Salah Aldeen akawatimua European Christian katika Jerusalem na kuirudisha Jerusalem mikononi mwa waislam na hapo Christian, Wayahudi na waislam wakawa wanaishi Kwa amani

Hu mgogoro unaoendelea Sasa huko Israel ni kutukana na maamuzi ya 1948 kuwapa uhuru waisrael na kuminya uhuru Kwa Palestine

Hivyo kinacho angaliwa hapo katika huo msikiti wa Al Aqswa ni msingi wa mwanzo na sio nani alimuboa au aliuchoma moto na nani aliukarabati
 
Mbona kama unalialia hivi nani aliyekuambia uwe mkristo dini ambayo ukianza kuangalia historia za manabii inakuwa bubu

Mandiko ndani ya Quran yanayosema manabii wote walikuwa waislam yapo mengi mno ila sitaki kuenda huko twende katika historia ya Masijid Al aqswa

Nabii Ibrahim alinunu kipande Cha aridhi Kwa ajili ya kupata eneo la kumzikia mkewe Sara na kujenga nyumba ya ibada na hilo eneo ndio Jerusalem

Alipofariki mkewe Sara alimzika hapo na akajenga nyumba ya kufanyia ibada hapo akiwa na mwanawe Isaka soma Mwanzo 12 katika maagizo ambayo anapewa Ibrahim atakapofika katika nchi aliyo elekezwa ni pamoja na kujenga nyumba ya kufanyia ibada
Sasa kama wewe unaamini kuwa Ibrahim na Isaka hawakuwa na nyumba ya kufanyia ibada huo ni umbumbu wako

Ibrahim na Isaka walipofariki Yakobo na wanawe wakarnda Misri ambako huko walikuwa watumwa na Yakobo alipofariki wanawe walienda kumzika Jerusalem hapo katika hivyo viwanja vya Masijid Al Aqswa

Daudi alipowarudisha waisrael Jerusalem ndiopo mwanawe Suleiman Akajenga Jengo zuri la hekalu katika hivyo viwanja ambapo pia Kuna bakaburi ya hao Babu zao na ndio huo msikiti wa Al Aqswa

Suleiman alipofariki Jerusalem ikatawaliwa na mfarume Nebuchadnezzar akalivunja akalivunj hekalu lililojengwa na Suleiman 580 AD

70 AD Roman empire wakalichoma moto na baadae wakalikarabati na kuanza kufanyia ibada zao za kuabudu masanamu

315 AD mfarume wa Roma Constantine alipo ibadirisha Roman empire kuwa ukristo wakawa hawana mpango tena wa kulitumia hilo Hekalu na Wayahudi hawakulichukulia tena kama kuwa kama ni nyumba takatifu
Hivyo likabaki kuwa kama gofu

621 AD Mtume Muhammad katika safari yake ya miraji alipita Jerusalem na akaswali ndani ya huo msikiti

637 AD Umar Ibn Khatab aliukarabati huo msikiti na waislam wakanza kuutumia kama nyumba Yao ya kufanyia ibada

Karine ya 11 European Christian wakawa choma moto wayahudi wakiwa ndani ya Temple na waislam wakiwa ndani ya Masijid Al Aqswa na kuiteka Jerusalem

1189 AD Salah Aldeen akawatimua European Christian katika Jerusalem na kuirudisha Jerusalem mikononi mwa waislam na hapo Christian, Wayahudi na waislam wakawa wanaishi Kwa amani

Hu mgogoro unaoendelea Sasa huko Israel ni kutukana na maamuzi ya 1948 kuwapa uhuru waisrael na kuminya uhuru Kwa Palestine

Hivyo kinacho angaliwa hapo katika huo msikiti wa Al Aqswa ni msingi wa mwanzo na sio nani alimuboa au aliuchoma moto na nani aliukarabati

Kwahiyo unakiri kabisa Quran inaongopa kuhusu hao manabii kuwa waislamu ,maana kwa historia uliyoweka hapo ni dhahiri inakufunga kuwa Quran ni tabu la uongo kuwasingizia wayahudi kina Daudi, Suleiman Hadi Yesu kuwa ni waislamu ,ilihali uislamu umekuja mwaka 600 na Muhammad
 
Historia haiongopi,historia zipo wazi kwanini mnadanganya watu ?

Qur'an inataja Msikiti wa Al-Aqsa katika Sura ya 17:1:



Aya hii haisemi kwamba Msikiti wa Al-Aqsa ulijengwa na Nabii Ibrahim au kwamba ulikuwepo wakati wa Nabii Muhammad (SAW). Kwa hakika, Msikiti wa Al-Aqsa ulijengwa rasmi miaka mingi baada ya Muhammad.

Msingi wa imani unaojengwa hapa ni hadithi za Abunuasi na Bulicheka kwamba manabii wote walikuwa Waislamu. Hata hivyo, hakutajwa katika Qur'an kwamba Ibrahim au Isaka walijenga Msikiti wa Al-Aqsa, bali hoja hii hutokana na tafsiri za baadaye za historia za Kiislamu.,ili tu kuwasingizia manabii walikuwa waislamu

Qur'an yenyewe inasema kwamba Ibrahim hakufuata sheria ya Uislamu kama inavyofundishwa leo:

Qur'an 2:130-132 inasema:
"Na nani anayeikana mila ya Ibrahim isipokuwa aliyedhahiri kupumbazika? Na hakika tulimteua yeye katika dunia, na kwa hakika yeye katika Akhera ni miongoni mwa watu wema."

Hii inaonyesha kwamba Ibrahim alikuwa na "mila" yake maalum (Hanif) na si sheria za Uislamu wa Muhammad.

Biblia inathibitisha kwamba Ibrahimu, Isaka, na Yakobo walifuata maagizo ya Mungu wa Israeli, Yahweh, lakini haionyeshi kuwa walikuwa Waislamu:

Mwanzo 12:1-3: Mungu alimwita Ibrahimu kutoka kwa watu wake na akampa maagizo maalum. Hakutajwa popote kuhusu Uislamu kama mfumo wa kidini au kuwa alijisalimisha kwa Allah wa Qur'an.


Yakobo na Isaka walifuata maagizo ya Mungu wa Israeli, walipewa agano hilo, na walihusiana moja kwa moja na taifa la Israeli, si Uislamu.
Mbona kama unalialia hivi nani aliyekuambia uwe mkristo dini ambayo ukianza kuangalia historia za manabii inakuwa bubu

Mandiko ndani ya Quran yanayosema manabii wote walikuwa waislam yapo mengi mno ila sitaki kuenda huko twende katika historia ya Masijid Al aqswa

Nabii Ibrahim alinunu kipande Cha aridhi Kwa ajili ya kupata eneo la kumzikia mkewe Sara na kujenga nyumba ya ibada na hilo eneo ndio Jerusalem

Alipofariki mkewe Sara alimzika hapo na akajenga nyumba ya kufanyia ibada hapo akiwa na mwanawe Isaka soma Mwanzo 12 katika maagizo ambayo anapewa Ibrahim atakapofika katika nchi aliyo elekezwa ni pamoja na kujenga nyumba ya kufanyia ibada
Sasa kama wewe unaamini kuwa Ibrahim na Isaka hawakuwa na nyumba ya kufanyia ibada huo ni umbumbu wako

Ibrahim na Isaka walipofariki Yakobo na wanawe wakarnda Misri ambako huko walikuwa watumwa na Yakobo alipofariki wanawe walienda kumzika Jerusalem hapo katika hivyo viwanja vya Masijid Al Aqswa

Daudi alipowarudisha waisrael Jerusalem ndiopo mwanawe Suleiman Akajenga Jengo zuri la hekalu katika hivyo viwanja ambapo pia Kuna makaburi ya hao Babu zao na ndio huo msikiti wa Al Aqswa

Suleiman alipofariki Jerusalem ikatawaliwa na mfarume Nebuchadnezzar akalivunja hilo hekalu lililojengwa na Suleiman 580 BC

70 AD Roman empire wakalichoma moto na baadae wakalikarabati na kuanza kufanyia ibada zao za kuabudu masanamu

315 AD mfarume wa Roma Constantine alipo ibadirisha Roman empire kuwa ukristo wakawa hawana mpango tena wa kulitumia hilo Hekalu na Wayahudi hawakulichukulia tena kuwa kama ni nyumba takatifu
Hivyo likabaki kuwa kama gofu

621 AD Mtume Muhammad katika safari yake ya miraji alipita Jerusalem na akaswali ndani ya huo msikiti

637 AD Umar Ibn Khatab aliukarabati huo msikiti na waislam wakanza kuutumia kama nyumba Yao ya kufanyia ibada

Karine ya 11 European Christian wakawa choma moto wayahudi wakiwa ndani ya Temple na waislam wakiwa ndani ya Masijid Al Aqswa na kuiteka Jerusalem

1189 AD Salah Aldeen akawatimua European Christian katika Jerusalem na kuirudisha Jerusalem mikononi mwa waislam na hapo Christian, Wayahudi na waislam wakawa wanaishi Kwa amani

Hu mgogoro unaoendelea Sasa huko Israel ni kutukana na maamuzi ya 1948 kuwapa uhuru waisrael na kuminya uhuru Kwa Palestine

Hivyo kinacho angaliwa hapo katika huo msikiti wa Al Aqswa ni msingi wa mwanzo na sio nani aliubomoa au aliuchoma moto na nani aliukarabati
 
Mbona kama unalialia hivi nani aliyekuambia uwe mkristo dini ambayo ukianza kuangalia historia za manabii inakuwa bubu

Mandiko ndani ya Quran yanayosema manabii wote walikuwa waislam yapo mengi mno ila sitaki kuenda huko twende katika historia ya Masijid Al aqswa

Nabii Ibrahim alinunu kipande Cha aridhi Kwa ajili ya kupata eneo la kumzikia mkewe Sara na kujenga nyumba ya ibada na hilo eneo ndio Jerusalem

Alipofariki mkewe Sara alimzika hapo na akajenga nyumba ya kufanyia ibada hapo akiwa na mwanawe Isaka soma Mwanzo 12 katika maagizo ambayo anapewa Ibrahim atakapofika katika nchi aliyo elekezwa ni pamoja na kujenga nyumba ya kufanyia ibada
Sasa kama wewe unaamini kuwa Ibrahim na Isaka hawakuwa na nyumba ya kufanyia ibada huo ni umbumbu wako

Ibrahim na Isaka walipofariki Yakobo na wanawe wakarnda Misri ambako huko walikuwa watumwa na Yakobo alipofariki wanawe walienda kumzika Jerusalem hapo katika hivyo viwanja vya Masijid Al Aqswa

Daudi alipowarudisha waisrael Jerusalem ndiopo mwanawe Suleiman Akajenga Jengo zuri la hekalu katika hivyo viwanja ambapo pia Kuna makaburi ya hao Babu zao na ndio huo msikiti wa Al Aqswa

Suleiman alipofariki Jerusalem ikatawaliwa na mfarume Nebuchadnezzar akalivunja hilo hekalu lililojengwa na Suleiman 580 BC

70 AD Roman empire wakalichoma moto na baadae wakalikarabati na kuanza kufanyia ibada zao za kuabudu masanamu

315 AD mfarume wa Roma Constantine alipo ibadirisha Roman empire kuwa ukristo wakawa hawana mpango tena wa kulitumia hilo Hekalu na Wayahudi hawakulichukulia tena kuwa kama ni nyumba takatifu
Hivyo likabaki kuwa kama gofu

621 AD Mtume Muhammad katika safari yake ya miraji alipita Jerusalem na akaswali ndani ya huo msikiti

637 AD Umar Ibn Khatab aliukarabati huo msikiti na waislam wakanza kuutumia kama nyumba Yao ya kufanyia ibada

Karine ya 11 European Christian wakawa choma moto wayahudi wakiwa ndani ya Temple na waislam wakiwa ndani ya Masijid Al Aqswa na kuiteka Jerusalem

1189 AD Salah Aldeen akawatimua European Christian katika Jerusalem na kuirudisha Jerusalem mikononi mwa waislam na hapo Christian, Wayahudi na waislam wakawa wanaishi Kwa amani

Hu mgogoro unaoendelea Sasa huko Israel ni kutukana na maamuzi ya 1948 kuwapa uhuru waisrael na kuminya uhuru Kwa Palestine

Hivyo kinacho angaliwa hapo katika huo msikiti wa Al Aqswa ni msingi wa mwanzo na sio nani aliubomoa au aliuchoma moto na nani aliukarabati
Kwahiyo unakiri kabisa Quran inaongopa kuhusu hao manabii kuwa waislamu ,maana kwa historia uliyoweka hapo ni dhahiri inakufunga kuwa Quran ni tabu la uongo kuwasingizia wayahudi kina Daudi, Suleiman Hadi Yesu kuwa ni waislamu ,ilihali uislamu umekuja mwaka 600 na Muhammad
 
Kwahiyo unakiri kabisa Quran inaongopa kuhusu hao manabii kuwa waislamu ,maana kwa historia uliyoweka hapo ni dhahiri inakufunga kuwa Quran ni tabu la uongo kuwasingizia wayahudi kina Daudi, Suleiman Hadi Yesu kuwa ni waislamu ,ilihali uislamu umekuja mwaka 600 na Muhammad

Mimi najua Kwa Nini hapo umeanza na Daudi na Suleiman na Yesu Ili upate kichaka Cha kujificha katika Uyahudi na ukristo na ukawacha akina Ibrahim, Isaka na Yakobo maana hao hauna uwezo wa kusema kuwa ni dini Yao ni Uyahudi au ukristo Kwa sababu Uyahudi na ukristo ni majina ya wajukuu zao hizo sio dini

Katika watoto 12 wa Yakobo mmoja ndio anaitwa Yuda likapatikana kabila la Uyahudi na baadae watu ndio wakaifanya ndio dini

Kristo maana yake ni masiha Yani mpakwa Mafuta ni jina hilo nyinyi ndio mlifanya kuwa dini

Quran inasema
Ibrahim, Isaka,Yakobo, Musa. Daudi, Suleiman, Zakaria na Yesu hao wote walikuwa waislam

Kama unao ushahidi wa mandika kuwa hao manabii walikuwa Wayahudi au wakristo au walikuwa wapagani toa Ili Quran ionekane imedanganya
 
Kuwepo Kwa huo ushahidi kunazuia vipi kusema kuwa Daud alikua muislam!?
Hivi unajua hata unachoongea wewe!?
Labda nilidhani huo ushahidi wa archeology ni wa makanisa ama mahekalu ya ibada kumbe ni ushahidi wa mji.
Sasa ushahidi wa mji ndio unatosheleza kusema kuwa Daud alikua sio muislam!?
Huwenda hujui hata unaongea nini.
Unapafahamu Petra!?
Kuna ushahidi wa mabaki ya msikiti miaka 600 kabla ya kuzaliwa mtume Muhammad.
Nenda kaifuatilie Petra Jordan.
Hii inathibitisha kabla ujio wa Muhammad uislam ulishaanza.
Acha uzushi Petra hakuna msikiti wewe usitufanye wajinga hapa
Huo msikiti alijenga mtume gani na Uislamu ulianzishwa na Mohammad Abdula bin Mutalib?
 
T
Mimi najua Kwa Nini hapo umeanza na Daudi na Suleiman na Yesu Ili upate kichaka Cha kujificha katika Uyahudi na ukristo na ukawacha akina Ibrahim, Isaka na Yakobo maana hao hauna uwezo wa kusema kuwa ni dini Yao ni Uyahudi au ukristo Kwa sababu Uyahudi na ukristo ni majina ya wajukuu zao hizo sio dini

Katika watoto 12 wa Yakobo mmoja ndio anaitwa Yuda likapatikana kabila la Uyahudi na baadae watu ndio wakaifanya ndio dini

Kristo maana yake ni masiha Yani mpakwa Mafuta ni jina hilo nyinyi ndio mlifanya kuwa dini

Quran inasema
Ibrahim, Isaka,Yakobo, Musa. Daudi, Suleiman, Zakaria na Yesu hao wote walikuwa waislam

Kama unao ushahidi wa mandika kuwa hao manabii walikuwa Wayahudi au wakristo au walikuwa wapagani toa Ili Quran ionekane imedanganya
Kusema Abraham,Isaka,Jacob nk walikua ni Islam ni sawa na mtu kusema Mwaka 1950 hii nchi iliitwa Tanzania huo ni uzuzu na ujinga wa kiwango cha lami!
 
Ambapo ukiangalia muundo wake wa nje na ndani + mosaic and design ni kutoka Roman Catholic Church or Byzantine empire.

Most of Muslim hawajui hii historia na watakupinga sana ukimwambia kwa kuwa wamedanganwya na kulishwa vitu vingi vya uongo.

View attachment 1757085

Kilicho jitokeza ni nini?
Waislam wengi huupinga na kusema huu ni msikiti uliojengwa na Suleiman
🤣
🤣
🤣
ni vichekesho kidogo wengine wakasema umejengwa na Umar ibn Al-Khattāb ili mradi tu! Kupinga kuwa haukuwa kanisa before.

Na kitu wanacho changanya waislam wengi ni msikiti wa al aqsa na the dome of the rock
The dome of the rock sio msikiti msikiti ni al aqsa ijapokuwa hivi vitu viwili vipo karibu na eneo moja
hiyo ni kawaida ya waislam wengi kupinga na kupinga kwao si bure coz ni wamefundishwa vitu vingi na bila kujua kuwa mengine walidanganywa kwa manufaa ya viongozi wao bila wao kujua ni sumu walilishwa.

So tuangalie historia kidogo
Eneo hili ndipo palipokuwa hekalu la wayaudi na mara kwa mara waisrael walipokuwa wakivamiwa na kushambuliwa basi hekalu lilibomolewa basi miaka ikasonga mfalme Suleiman akajenga hekalu jipya kwa vipimo alivyopewa na Mungu

1 wafalme 6:1-38 likaanza kutumika miaka ikasonga mpaka akaja YESU kristo na kutoa utabiri huu
Marko 13:1-2
👇

Alipokuwa akitoka nje ya Hekalu, mmojawapo wa wanafunzi wake akamwambia, “Mwalimu, ona jinsi mawe haya na majengo haya yalivyo maridadi!” Yesu akamjibu, “Unayaona majengo haya yalivyo makubwa? Hakuna hata jiwe moja litakalobaki juu ya jingine, yote yatabomo lewa.”


Na utabiri huo ulitimia March mwaka 70 A.D baada ya kristo kufa na kupaa mbinguni, warumi waliuvamia mji wa Jerusalem na kulibomoa kabisa hekalu na kila kitu kilichomo ndani ya hekalu hakikubakia kitu Kama Yesu alivyotabiri/

So nashangaa waislam wanavyosema kuwa huo msikiti ulijengwa na Suleiman wakati hekalu alilojenga Suleiman lilishabomolewa na warumi mwaka 70 na lilikuwa ni hekalu na si msikiti remember that
🤣
🤣
🤣
🤣
🤣


So miaka ikasonga mnamo mwaka 310A.D ndipo dola la kirumi lilianza kugeuza uelekeo na kuwa la kikristo kamili ,mfalme Constatino na mama yake Herena walianza kujenga makanisa katika dola ya kirumi na ndani ya Jerusalem 313AD, kwa kipindi hiko na moja ya makanisa yaliojengwa ni pamoja na hilo

Msikiti wa al aqsa
Ilipofika mwaka 638AD Umar ibn Al-Khattāb aliuteka mji wa Jerusalem na kuukalia na kubadilisha mambo mengi ndani ya mji na moja vitu alivyo badirisha ni kanisa hilo na kujenga the dome of the rock but ilipofika mwaka 1100AD wakristo waliuchukua tena huo mji na kuukalia wakarudisha vitu vyao tena but ilipofika mwaka 1500AD Ottoman waliuchukua tena mpaka mwaka 1900AD, but kipindi cha katikati hapo Jerusalem hapakutulia palikuwa na mashambulio ya mara kwa mara baina ya Muslim na Christian na Jewish but ilipofika mwaka 1917 great British waliuchukua mji na kuukalia baada ya hapo ni mgawanyo wa mji mpaka leo

So tukirudi kwnye mada yetu ili jengo lilikuwaje?
Kama tunavyoona kwenye picha kapo chini
👇
muundo wa ujenzi na mosic, milango, madirisha, nguzo 100% ni mitindo ya makanisa hiyo haitoshi hivi karibuni kumegunduliwa mosic yenye takribani miaka 1700 ambapo ni mitindo ya Byzantine empire kwenye kudecorate makanisa na majengo yao miaka hiyo na imegunduliwa eneo moja wapo la msikiti so hii inatoa ushaidi tosha kuwa Byzantine or Roman empire walikuwa ndio wajenzi wa jengo hili na si vinginevyo.

So kwa waislam wote nawasihi kusoma histolia before hujadanganywa na viongozi wenu coz bila kujua na nyinyi mnaongozwa na mihemko kuliko akili.

View attachment 1757143

Una chekesha sana , mbona tunaambiwa kanisa la kw2anza limejengwa Rome na St Peter ??
 
Ambapo ukiangalia muundo wake wa nje na ndani + mosaic and design ni kutoka Roman Catholic Church or Byzantine empire.

Most of Muslim hawajui hii historia na watakupinga sana ukimwambia kwa kuwa wamedanganwya na kulishwa vitu vingi vya uongo.

View attachment 1757085

Kilicho jitokeza ni nini?
Waislam wengi huupinga na kusema huu ni msikiti uliojengwa na Suleiman
🤣
🤣
🤣
ni vichekesho kidogo wengine wakasema umejengwa na Umar ibn Al-Khattāb ili mradi tu! Kupinga kuwa haukuwa kanisa before.

Na kitu wanacho changanya waislam wengi ni msikiti wa al aqsa na the dome of the rock
The dome of the rock sio msikiti msikiti ni al aqsa ijapokuwa hivi vitu viwili vipo karibu na eneo moja
hiyo ni kawaida ya waislam wengi kupinga na kupinga kwao si bure coz ni wamefundishwa vitu vingi na bila kujua kuwa mengine walidanganywa kwa manufaa ya viongozi wao bila wao kujua ni sumu walilishwa.

So tuangalie historia kidogo
Eneo hili ndipo palipokuwa hekalu la wayaudi na mara kwa mara waisrael walipokuwa wakivamiwa na kushambuliwa basi hekalu lilibomolewa basi miaka ikasonga mfalme Suleiman akajenga hekalu jipya kwa vipimo alivyopewa na Mungu

1 wafalme 6:1-38 likaanza kutumika miaka ikasonga mpaka akaja YESU kristo na kutoa utabiri huu
Marko 13:1-2
👇

Alipokuwa akitoka nje ya Hekalu, mmojawapo wa wanafunzi wake akamwambia, “Mwalimu, ona jinsi mawe haya na majengo haya yalivyo maridadi!” Yesu akamjibu, “Unayaona majengo haya yalivyo makubwa? Hakuna hata jiwe moja litakalobaki juu ya jingine, yote yatabomo lewa.”


Na utabiri huo ulitimia March mwaka 70 A.D baada ya kristo kufa na kupaa mbinguni, warumi waliuvamia mji wa Jerusalem na kulibomoa kabisa hekalu na kila kitu kilichomo ndani ya hekalu hakikubakia kitu Kama Yesu alivyotabiri/

So nashangaa waislam wanavyosema kuwa huo msikiti ulijengwa na Suleiman wakati hekalu alilojenga Suleiman lilishabomolewa na warumi mwaka 70 na lilikuwa ni hekalu na si msikiti remember that
🤣
🤣
🤣
🤣
🤣


So miaka ikasonga mnamo mwaka 310A.D ndipo dola la kirumi lilianza kugeuza uelekeo na kuwa la kikristo kamili ,mfalme Constatino na mama yake Herena walianza kujenga makanisa katika dola ya kirumi na ndani ya Jerusalem 313AD, kwa kipindi hiko na moja ya makanisa yaliojengwa ni pamoja na hilo

Msikiti wa al aqsa
Ilipofika mwaka 638AD Umar ibn Al-Khattāb aliuteka mji wa Jerusalem na kuukalia na kubadilisha mambo mengi ndani ya mji na moja vitu alivyo badirisha ni kanisa hilo na kujenga the dome of the rock but ilipofika mwaka 1100AD wakristo waliuchukua tena huo mji na kuukalia wakarudisha vitu vyao tena but ilipofika mwaka 1500AD Ottoman waliuchukua tena mpaka mwaka 1900AD, but kipindi cha katikati hapo Jerusalem hapakutulia palikuwa na mashambulio ya mara kwa mara baina ya Muslim na Christian na Jewish but ilipofika mwaka 1917 great British waliuchukua mji na kuukalia baada ya hapo ni mgawanyo wa mji mpaka leo

So tukirudi kwnye mada yetu ili jengo lilikuwaje?
Kama tunavyoona kwenye picha kapo chini
👇
muundo wa ujenzi na mosic, milango, madirisha, nguzo 100% ni mitindo ya makanisa hiyo haitoshi hivi karibuni kumegunduliwa mosic yenye takribani miaka 1700 ambapo ni mitindo ya Byzantine empire kwenye kudecorate makanisa na majengo yao miaka hiyo na imegunduliwa eneo moja wapo la msikiti so hii inatoa ushaidi tosha kuwa Byzantine or Roman empire walikuwa ndio wajenzi wa jengo hili na si vinginevyo.

So kwa waislam wote nawasihi kusoma histolia before hujadanganywa na viongozi wenu coz bila kujua na nyinyi mnaongozwa na mihemko kuliko akili.

View attachment 1757143
Sawa mkuu nenda kauchukue
 
Ambapo ukiangalia muundo wake wa nje na ndani + mosaic and design ni kutoka Roman Catholic Church or Byzantine empire.

Most of Muslim hawajui hii historia na watakupinga sana ukimwambia kwa kuwa wamedanganwya na kulishwa vitu vingi vya uongo.

View attachment 1757085

Kilicho jitokeza ni nini?
Waislam wengi huupinga na kusema huu ni msikiti uliojengwa na Suleiman
🤣
🤣
🤣
ni vichekesho kidogo wengine wakasema umejengwa na Umar ibn Al-Khattāb ili mradi tu! Kupinga kuwa haukuwa kanisa before.

Na kitu wanacho changanya waislam wengi ni msikiti wa al aqsa na the dome of the rock
The dome of the rock sio msikiti msikiti ni al aqsa ijapokuwa hivi vitu viwili vipo karibu na eneo moja
hiyo ni kawaida ya waislam wengi kupinga na kupinga kwao si bure coz ni wamefundishwa vitu vingi na bila kujua kuwa mengine walidanganywa kwa manufaa ya viongozi wao bila wao kujua ni sumu walilishwa.

So tuangalie historia kidogo
Eneo hili ndipo palipokuwa hekalu la wayaudi na mara kwa mara waisrael walipokuwa wakivamiwa na kushambuliwa basi hekalu lilibomolewa basi miaka ikasonga mfalme Suleiman akajenga hekalu jipya kwa vipimo alivyopewa na Mungu

1 wafalme 6:1-38 likaanza kutumika miaka ikasonga mpaka akaja YESU kristo na kutoa utabiri huu
Marko 13:1-2
👇

Alipokuwa akitoka nje ya Hekalu, mmojawapo wa wanafunzi wake akamwambia, “Mwalimu, ona jinsi mawe haya na majengo haya yalivyo maridadi!” Yesu akamjibu, “Unayaona majengo haya yalivyo makubwa? Hakuna hata jiwe moja litakalobaki juu ya jingine, yote yatabomo lewa.”


Na utabiri huo ulitimia March mwaka 70 A.D baada ya kristo kufa na kupaa mbinguni, warumi waliuvamia mji wa Jerusalem na kulibomoa kabisa hekalu na kila kitu kilichomo ndani ya hekalu hakikubakia kitu Kama Yesu alivyotabiri/

So nashangaa waislam wanavyosema kuwa huo msikiti ulijengwa na Suleiman wakati hekalu alilojenga Suleiman lilishabomolewa na warumi mwaka 70 na lilikuwa ni hekalu na si msikiti remember that
🤣
🤣
🤣
🤣
🤣


So miaka ikasonga mnamo mwaka 310A.D ndipo dola la kirumi lilianza kugeuza uelekeo na kuwa la kikristo kamili ,mfalme Constatino na mama yake Herena walianza kujenga makanisa katika dola ya kirumi na ndani ya Jerusalem 313AD, kwa kipindi hiko na moja ya makanisa yaliojengwa ni pamoja na hilo

Msikiti wa al aqsa
Ilipofika mwaka 638AD Umar ibn Al-Khattāb aliuteka mji wa Jerusalem na kuukalia na kubadilisha mambo mengi ndani ya mji na moja vitu alivyo badirisha ni kanisa hilo na kujenga the dome of the rock but ilipofika mwaka 1100AD wakristo waliuchukua tena huo mji na kuukalia wakarudisha vitu vyao tena but ilipofika mwaka 1500AD Ottoman waliuchukua tena mpaka mwaka 1900AD, but kipindi cha katikati hapo Jerusalem hapakutulia palikuwa na mashambulio ya mara kwa mara baina ya Muslim na Christian na Jewish but ilipofika mwaka 1917 great British waliuchukua mji na kuukalia baada ya hapo ni mgawanyo wa mji mpaka leo

So tukirudi kwnye mada yetu ili jengo lilikuwaje?
Kama tunavyoona kwenye picha kapo chini
👇
muundo wa ujenzi na mosic, milango, madirisha, nguzo 100% ni mitindo ya makanisa hiyo haitoshi hivi karibuni kumegunduliwa mosic yenye takribani miaka 1700 ambapo ni mitindo ya Byzantine empire kwenye kudecorate makanisa na majengo yao miaka hiyo na imegunduliwa eneo moja wapo la msikiti so hii inatoa ushaidi tosha kuwa Byzantine or Roman empire walikuwa ndio wajenzi wa jengo hili na si vinginevyo.

So kwa waislam wote nawasihi kusoma histolia before hujadanganywa na viongozi wenu coz bila kujua na nyinyi mnaongozwa na mihemko kuliko akili.

View attachment 1757143


ukristo upi , kihistoria huyo yesu ni fiction tu ??


View: https://www.youtube.com/watch?v=k24cQMaJzPk&list=PLpJsLTOXQpoBH0t_6BWVbxWUlqxz6nxZ0
 
T
Kusema Abraham,Isaka,Jacob nk walikua ni Islam ni sawa na mtu kusema Mwaka 1950 hii nchi iliitwa Tanzania huo ni uzuzu na ujinga wa kiwango cha lami!

Quran 2:132
Na Ibrahim akawausia wanawe, na pia Yaaqub: Enyi wanangu! Hakika Mwenyezi Mungu amekuteulieni Dini hii; basi msife ila nanyi mmekuwa Waislamu, wanyenyekevu.

Isije ikawa wewe ndio mjinga hapo Quran inasema Ibrahim na wanawe na wajukuu zake walikuwa waislam

Sasa wewe unayepinga Ili usiwe mjinga toa andika katika kitabu chochote Cha Mungu kinacho Sema dini yao walikuwa wakristo au wayahudi
 
Mbona kama unalialia hivi nani aliyekuambia uwe mkristo dini ambayo ukianza kuangalia historia za manabii inakuwa bubu

Mandiko ndani ya Quran yanayosema manabii wote walikuwa waislam yapo mengi mno ila sitaki kuenda huko twende katika historia ya Masijid Al aqswa

Nabii Ibrahim alinunu kipande Cha aridhi Kwa ajili ya kupata eneo la kumzikia mkewe Sara na kujenga nyumba ya ibada na hilo eneo ndio Jerusalem

Alipofariki mkewe Sara alimzika hapo na akajenga nyumba ya kufanyia ibada hapo akiwa na mwanawe Isaka soma Mwanzo 12 katika maagizo ambayo anapewa Ibrahim atakapofika katika nchi aliyo elekezwa ni pamoja na kujenga nyumba ya kufanyia ibada
Sasa kama wewe unaamini kuwa Ibrahim na Isaka hawakuwa na nyumba ya kufanyia ibada huo ni umbumbu wako

Ibrahim na Isaka walipofariki Yakobo na wanawe wakarnda Misri ambako huko walikuwa watumwa na Yakobo alipofariki wanawe walienda kumzika Jerusalem hapo katika hivyo viwanja vya Masijid Al Aqswa

Daudi alipowarudisha waisrael Jerusalem ndiopo mwanawe Suleiman Akajenga Jengo zuri la hekalu katika hivyo viwanja ambapo pia Kuna bakaburi ya hao Babu zao na ndio huo msikiti wa Al Aqswa

Suleiman alipofariki Jerusalem ikatawaliwa na mfarume Nebuchadnezzar akalivunja akalivunj hekalu lililojengwa na Suleiman 580 AD

70 AD Roman empire wakalichoma moto na baadae wakalikarabati na kuanza kufanyia ibada zao za kuabudu masanamu

315 AD mfarume wa Roma Constantine alipo ibadirisha Roman empire kuwa ukristo wakawa hawana mpango tena wa kulitumia hilo Hekalu na Wayahudi hawakulichukulia tena kama kuwa kama ni nyumba takatifu
Hivyo likabaki kuwa kama gofu

621 AD Mtume Muhammad katika safari yake ya miraji alipita Jerusalem na akaswali ndani ya huo msikiti

637 AD Umar Ibn Khatab aliukarabati huo msikiti na waislam wakanza kuutumia kama nyumba Yao ya kufanyia ibada

Karine ya 11 European Christian wakawa choma moto wayahudi wakiwa ndani ya Temple na waislam wakiwa ndani ya Masijid Al Aqswa na kuiteka Jerusalem

1189 AD Salah Aldeen akawatimua European Christian katika Jerusalem na kuirudisha Jerusalem mikononi mwa waislam na hapo Christian, Wayahudi na waislam wakawa wanaishi Kwa amani

Hu mgogoro unaoendelea Sasa huko Israel ni kutukana na maamuzi ya 1948 kuwapa uhuru waisrael na kuminya uhuru Kwa Palestine

Hivyo kinacho angaliwa hapo katika huo msikiti wa Al Aqswa ni msingi wa mwanzo na sio nani alimuboa au aliuchoma moto na nani aliukarabati
Unaongea hadi mimi naona aibu.
Wenye historia yao mayahudi wakikusikia wanacheka sana
 
Mbona swali umeuliza kitoto sana!?
Ulitakiwa useme wayahudi wasiokua wazayuni.Wayahudi wasiokuwa wazayuni waliishi na wapalestina vizuri tu na pia nao wana haki na hiyo ardhi kwasababu wamekulia hapo vizazi na vizazi.

Unazungumzia Kwa minajili ipi?Kama unazungumzia Kwa minajili ya kiislam basi mitume na manabii wengi walikua wana wa Israel sio wayahudi.Katika uislam uyahudi ni dini sio kabila au asili.Na uislam haujaanzia Kwa uzao wa Ismail usitake kudanganya watu.Uislam ulianzia toka enzi za Nabii Adam Hadi kuja kwa Muhammad.

Kujisalimisha katika uislam ni kuitakidi na kukubali kuwa Mungu ni mmoja na Muhammad ndiye mtume aliyeletwa kukamilisha hiyo dini.
Kujisalimisha Kwa wahindu ambao wanasema Mungu ni Ng'ombe sijui Mungu jike Saraswati hakufananii na kujisalimisha Kwa uislam.
Tunasema Yesu alikua muislam kwasababu alitumwa kuja kuitangaza ya kuwa Mungu mmoja na dini kamili ni uislam.
Porojo za kuwafanya manbii wa Mungu wa Ibbeahim ,Isaka na Yakobo kuwa muslims
 
Quran 2:132
Na Ibrahim akawausia wanawe, na pia Yaaqub: Enyi wanangu! Hakika Mwenyezi Mungu amekuteulieni Dini hii; basi msife ila nanyi mmekuwa Waislamu, wanyenyekevu.

Isije ikawa wewe ndio mjinga hapo Quran inasema Ibrahim na wanawe na wajukuu zake walikuwa waislam

Sasa wewe unayepinga Ili usiwe mjinga toa andika katika kitabu chochote Cha Mungu kinacho Sema dini yao walikuwa wakristo au wayahudi
Hivi nyie mnajielewa kweli?
Hivi unajua mwanzo wa Dini za Abrahamic?

Abraham na wanawe hawajawahi kuabudu kwenye dini yeyote iwe Uyahudi,Ukristo na Uislamu
Kwanza huyo Abram alikua anaabudu Miungu ya Wakaldayo kabla Elohim hajamtokea na kwa Taarifa yako Wakaldayo waliabudu miungu ya Zoadic yaani Miungu ya Babel
Sasa ukija na abracadabra za kua alikua Muslim nakuona hamnazo maana hizo dini zote mbeleni zilikuja maelfu ya miaka mbele baada ya hao watu kutoweka
Hivi nyie hicho kitabu chenu kimejaa uongo na uzushi ambao hata historical background inawapiga chenga halafu mnadai kilishushwa na mungu Allah
Hio inadhihilisha huyo mungu wenu kilaza na hana historical information,
Someni historia acheni kulishana nyanyachungu wazee!
😁😁
 
Back
Top Bottom