Wajua msikiti wa Al aqsa Jerusalem ulijengwa likiwa ni kanisa la Byzantine (Byzantine church)?

Wajua msikiti wa Al aqsa Jerusalem ulijengwa likiwa ni kanisa la Byzantine (Byzantine church)?

Acha uzushi Mzee,Daudi alikuwa myahudi au mwebrania wa kabila la Yuda , na Hadi Leo archeologist wamechimbua mji wa Daudi upo pale Israel ,una historia nyingi na mabaki yanayothibitisha View attachment 3159364
Narudia tena alikua mwana wa Israel sio myahudi.
Historia ya mji kuwepo haijakataliwa.
Ila Daud was not a Jewish peleka uongo wako kuzimu huko.
 
Narudia tena alikua mwana wa Israel sio myahudi.
Historia ya mji kuwepo haijakataliwa.
Ila Daud was not a Jewish peleka uongo wako kuzimu huko.
Kama Daudi hakuwa Myaudi, Myaudi nani sasa? James Mbatia?
 
1. Hao wayahudi wasio wa zionism kama wapo hapo palestina je, wanauhusiano gani na sehemu inayopiganiwa na wapalestina wengine yaani hapo penye hekalu la suleiman au al aqsa?
Mbona swali umeuliza kitoto sana!?
Ulitakiwa useme wayahudi wasiokua wazayuni.Wayahudi wasiokuwa wazayuni waliishi na wapalestina vizuri tu na pia nao wana haki na hiyo ardhi kwasababu wamekulia hapo vizazi na vizazi.
2. Umesema kuwa mitume na mabii wengi walikuwa ni wayahudi.... Sasa dini yenu imetokana na ishmael na ikaja mpaka kwa mohamed ambae ni mwarabu... Je, mabii wakiarabu kutoka kwa ishmael mpaka kwa Mohamed wakowapi kama hawapo ni kwa nn?
Unazungumzia Kwa minajili ipi?Kama unazungumzia Kwa minajili ya kiislam basi mitume na manabii wengi walikua wana wa Israel sio wayahudi.Katika uislam uyahudi ni dini sio kabila au asili.Na uislam haujaanzia Kwa uzao wa Ismail usitake kudanganya watu.Uislam ulianzia toka enzi za Nabii Adam Hadi kuja kwa Muhammad.
3. Israeli kama taifa mwanzo wake ni upi? sababu hata maandiko ya historia za kale zinatambua israel kama taifa... Na je hao manabii wayahudi wakale uliowataja wao walikuwa taifa gani?
4. Kama a kila mtu anaejisalimisha kwa Mungu ni muislamu.... Basi wayahudi, wahindu, na dini zingine wote kwa tamaduni zao wako sahihi sababu abu kila mmoja anaamini amejisalimisha kwa Mungu...
Kwanini sasa uislamu unataka watu waslimu...? Hivyo huwenda Yesu hakuwa muislamu sababu tayari unakubali alikuwa ni myahudi ambayo nayo ilikuwa ni dini kama ulivyo sema na uislamu pia ni dini, kwa hio hata wakati wa Yesu uyahudi ulikuwepo na uislamu ulikuwepo, kwanini useme Yesu alikuwa ni mwislamu.?
Kujisalimisha katika uislam ni kuitakidi na kukubali kuwa Mungu ni mmoja na Muhammad ndiye mtume aliyeletwa kukamilisha hiyo dini.
Kujisalimisha Kwa wahindu ambao wanasema Mungu ni Ng'ombe sijui Mungu jike Saraswati hakufananii na kujisalimisha Kwa uislam.
Tunasema Yesu alikua muislam kwasababu alitumwa kuja kuitangaza ya kuwa Mungu mmoja na dini kamili ni uislam.
 
Kuwa submissive to the will of God ni kuzitii amri zake kumi, mtume alizitii? mtume hakuua? hakuzini?.....
Mtume hakuwahi kuzini na aliua vitani.
Kama una ushahidi Lete hapa kuwa mtume alizini na ni mtume yupi na alizini na nani.
 
Swali anarejeaje kwa vitabu mnavyosema vimebadilishwa?
Vimebadilishwa ama vimechakachuliwa!?
Wapo watu wa vitabu ambao walikua wana makala halisi za hivyo vitabu na ndio hao waliitwa watu wa vitabu na hata uislam uliwaruhusu kuwaoa.
 
Historia ipo wazi ,vitabu vipo wazi vya historia ,

Archeologist wamechimbua mji wa Daudi ,Kuna ushahidi mwingi

Historia ipo wazi sana aisee, kwa hiyo mtu akisema Uislamu ulikuwepo kabla ya Muhammad,mara kina Daudi ,Suleiman walikuwa islamu mnafanya wenye akili timamu waone dini yenu ya kimagumashi sana

Mfano angalia kuhusu mji wa Daudi

Mji wa Daudi ni eneo la kale kusini mwa Mlima Moria, likiwa sehemu ya Yerusalemu ya kwanza. Ugunduzi wa mabaki kama Chemchemi ya Gihon na mahandaki umeonyesha ustaarabu wa kifalme na kidini wa Israeli.

Kimaandiko: Daudi aliteka mji kutoka kwa Wayebusi, akaifanya makao yake na kuleta Sanduku la Agano (2 Samweli 5:6-9; 6:12-17). Ni mahali pa asili ya ukoo wa kifalme wa Daudi na unabii wa Masihi (2 Samweli 7:12-16).
View attachment 3159400

Handaki la Hezekia

Kiaikolojia: Handaki hili lenye urefu wa mita 533 lilichimbwa wakati wa Mfalme Hezekia (karne ya 8 KK) ili kuelekeza maji kutoka Chemchemi ya Gihon hadi Bwawa la Siloamu ndani ya mji kwa ulinzi dhidi ya maadui. Maandishi ya Siloamu ndani yake yanathibitisha ujenzi wake.
View attachment 3159401
Kimaandiko: Biblia inaeleza jinsi Hezekia alivyojenga handaki hili kuwalinda watu wake wakati wa uvamizi wa Ashuru (2 Wafalme 20:20; 2 Mambo ya Nyakati 32:2-4). Bwawa la Siloamu lilihusishwa na miujiza ya Yesu (Yohana 9:1-11).
View attachment 3159403
Kuwepo Kwa huo ushahidi kunazuia vipi kusema kuwa Daud alikua muislam!?
Hivi unajua hata unachoongea wewe!?
Labda nilidhani huo ushahidi wa archeology ni wa makanisa ama mahekalu ya ibada kumbe ni ushahidi wa mji.
Sasa ushahidi wa mji ndio unatosheleza kusema kuwa Daud alikua sio muislam!?
Huwenda hujui hata unaongea nini.
Unapafahamu Petra!?
Kuna ushahidi wa mabaki ya msikiti miaka 600 kabla ya kuzaliwa mtume Muhammad.
Nenda kaifuatilie Petra Jordan.
Hii inathibitisha kabla ujio wa Muhammad uislam ulishaanza.
 
Vimebadilishwa ama vimechakachuliwa!?
Wapo watu wa vitabu ambao walikua wana makala halisi za hivyo vitabu na ndio hao waliitwa watu wa vitabu na hata uislam uliwaruhusu kuwaoa.
Leta hivo vitabu ambavyo havijachakachuliwa hapa tuone

Na hiyo haya inayosema mkaulize kwa manaswara na wayahudi wenye kitabu Leo Haina kazi Tena?
 
Ambapo ukiangalia muundo wake wa nje na ndani + mosaic and design ni kutoka Roman Catholic Church or Byzantine empire.

Most of Muslim hawajui hii historia na watakupinga sana ukimwambia kwa kuwa wamedanganwya na kulishwa vitu vingi vya uongo.

View attachment 1757085

Kilicho jitokeza ni nini?
Waislam wengi huupinga na kusema huu ni msikiti uliojengwa na Suleiman
🤣
🤣
🤣
ni vichekesho kidogo wengine wakasema umejengwa na Umar ibn Al-Khattāb ili mradi tu! Kupinga kuwa haukuwa kanisa before.

Na kitu wanacho changanya waislam wengi ni msikiti wa al aqsa na the dome of the rock
The dome of the rock sio msikiti msikiti ni al aqsa ijapokuwa hivi vitu viwili vipo karibu na eneo moja
hiyo ni kawaida ya waislam wengi kupinga na kupinga kwao si bure coz ni wamefundishwa vitu vingi na bila kujua kuwa mengine walidanganywa kwa manufaa ya viongozi wao bila wao kujua ni sumu walilishwa.

So tuangalie historia kidogo
Eneo hili ndipo palipokuwa hekalu la wayaudi na mara kwa mara waisrael walipokuwa wakivamiwa na kushambuliwa basi hekalu lilibomolewa basi miaka ikasonga mfalme Suleiman akajenga hekalu jipya kwa vipimo alivyopewa na Mungu

1 wafalme 6:1-38 likaanza kutumika miaka ikasonga mpaka akaja YESU kristo na kutoa utabiri huu
Marko 13:1-2
👇

Alipokuwa akitoka nje ya Hekalu, mmojawapo wa wanafunzi wake akamwambia, “Mwalimu, ona jinsi mawe haya na majengo haya yalivyo maridadi!” Yesu akamjibu, “Unayaona majengo haya yalivyo makubwa? Hakuna hata jiwe moja litakalobaki juu ya jingine, yote yatabomo lewa.”


Na utabiri huo ulitimia March mwaka 70 A.D baada ya kristo kufa na kupaa mbinguni, warumi waliuvamia mji wa Jerusalem na kulibomoa kabisa hekalu na kila kitu kilichomo ndani ya hekalu hakikubakia kitu Kama Yesu alivyotabiri/

So nashangaa waislam wanavyosema kuwa huo msikiti ulijengwa na Suleiman wakati hekalu alilojenga Suleiman lilishabomolewa na warumi mwaka 70 na lilikuwa ni hekalu na si msikiti remember that
🤣
🤣
🤣
🤣
🤣


So miaka ikasonga mnamo mwaka 310A.D ndipo dola la kirumi lilianza kugeuza uelekeo na kuwa la kikristo kamili ,mfalme Constatino na mama yake Herena walianza kujenga makanisa katika dola ya kirumi na ndani ya Jerusalem 313AD, kwa kipindi hiko na moja ya makanisa yaliojengwa ni pamoja na hilo

Msikiti wa al aqsa
Ilipofika mwaka 638AD Umar ibn Al-Khattāb aliuteka mji wa Jerusalem na kuukalia na kubadilisha mambo mengi ndani ya mji na moja vitu alivyo badirisha ni kanisa hilo na kujenga the dome of the rock but ilipofika mwaka 1100AD wakristo waliuchukua tena huo mji na kuukalia wakarudisha vitu vyao tena but ilipofika mwaka 1500AD Ottoman waliuchukua tena mpaka mwaka 1900AD, but kipindi cha katikati hapo Jerusalem hapakutulia palikuwa na mashambulio ya mara kwa mara baina ya Muslim na Christian na Jewish but ilipofika mwaka 1917 great British waliuchukua mji na kuukalia baada ya hapo ni mgawanyo wa mji mpaka leo

So tukirudi kwnye mada yetu ili jengo lilikuwaje?
Kama tunavyoona kwenye picha kapo chini
👇
muundo wa ujenzi na mosic, milango, madirisha, nguzo 100% ni mitindo ya makanisa hiyo haitoshi hivi karibuni kumegunduliwa mosic yenye takribani miaka 1700 ambapo ni mitindo ya Byzantine empire kwenye kudecorate makanisa na majengo yao miaka hiyo na imegunduliwa eneo moja wapo la msikiti so hii inatoa ushaidi tosha kuwa Byzantine or Roman empire walikuwa ndio wajenzi wa jengo hili na si vinginevyo.

So kwa waislam wote nawasihi kusoma histolia before hujadanganywa na viongozi wenu coz bila kujua na nyinyi mnaongozwa na mihemko kuliko akili.

View attachment 1757143
Nimekuelewa vizuri sana kitu ulichokisndika ila Kuna kaujinga kidogo kichwani kwako ngoja nikitoe

Hilo jina la huo msikiti Al sgswa limetajwa ndani ya Quran na Quran ni Maneno ya Mungu

Mungu anapokielezea kitu anakielezea Kwa msingi wake wa mwanzo
Mungu anasema ndani ya Quran msikiti wa Al aqswa amebarikiwa pamoja na vile unavyo vuzunguka katika hilo eneo maana hapo ndipo alipozikwa Ibrahim na mkewe Sara pia Isaka na Yakobo wamezikwa hapo na hao wote hawakuwa wakristo ila walikuwa waislam

Hivyo unaangaliwa msingi wa hilo eneo ulikuwa nini haijalishi Kwa Sasa Kuna gorofa au nyumba ya kawaida au je hayo makaburi ya hao manabii yanaonekana au hayaonekani

Na ndio maana Hadi Leo hi ukiuliza ni nani alijenga msikiti wa Maka utaambiwa ni nabii Ibrahim akiwa na mwanawe Ishmael wakati Jengo lililopo Leo pale sio hilo lililojengwa na Ibrahim na mwanawe Ishmael ila tu Kwa sababu wao ndio walioweka msingi na eneo ndio pale pale

Sasa ukitaka kujua ilikuwaje Hadi Leo hii msikiti wa Maka ni wa gorofa ndio utaenda katika historia ilikuwa hivi ikawa vile

Ndio historia ambazo wewe umezileta sijui Roma sijui Byzantine Mungu haangali hayo Mungu anaangalia msingi wa hilo eneo ni nini

Na hata binadamu pia ni hivyo hivyo Pale Kariakoo Jengo la DDC limevunjwa linajengwa upya ni Jengo tofauti kabisa na lile la zamani lakini bado litaendelea kuitwa DDC

Uislam Huwa haupingwi Kwa facts ila unapingwa Kwa propaganda
 
Leta hivo vitabu ambavyo havijachakachuliwa hapa tuone
Wewe unaweza ukatuletea hapa agano la kale!??
Na hiyo haya inayosema mkaulize kwa manaswara na wayahudi wenye kitabu Leo Haina kazi Tena?
Qur'an imekua inashuka verse Kwa verse Kwa sababu maalum.
Sasa hivi hakuna watu wa vitabu waliokusudiwa.
Mayahudi na manaswara waliokusudiwa ni wale waliokua wanaoamini juu ya Mungu mmoja,sio manaswara nyie wavaa misalaba na wayahudi hawa wasiojielewa waenda uchi.
 
Kuwepo Kwa huo ushahidi kunazuia vipi kusema kuwa Daud alikua muislam!?
Hivi unajua hata unachoongea wewe!?
Labda nilidhani huo ushahidi wa archeology ni wa makanisa ama mahekalu ya ibada kumbe ni ushahidi wa mji.
Sasa ushahidi wa mji ndio unatosheleza kusema kuwa Daud alikua sio muislam!?
Huwenda hujui hata unaongea nini.
Unapafahamu Petra!?
Kuna ushahidi wa mabaki ya msikiti miaka 600 kabla ya kuzaliwa mtume Muhammad.
Nenda kaifuatilie Petra Jordan.
Hii inathibitisha kabla ujio wa Muhammad uislam ulishaanza.
Historia haiongopi,ujue nyie wenzetu mmenyimwa elimu Dunia pia hampendi kutoka nje ya box, pia dini yenu imejengwa kwa kuunga Unga vipande huku na kule kuchomeka uongo

Nitakujibu kama ifuatavyo

Daudi hakuwa Muislamu kwa sababu Uislamu kama dini ilianzishwa na Muhammad (SAW)

Qur'an inathibitisha kuwa Uislamu uliletwa kupitia Mtume Muhammad (SAW):
Katika Qur'an 5:3, Allah anasema:

"...Leo nimewakamilishieni dini yenu, na kuwatimizieni neema yangu, na nimewapendeleeni Uislamu uwe ndio dini yenu."
Hii inaonyesha wazi kwamba Uislamu ulitambuliwa rasmi kama mfumo kamili wa dini kupitia ujumbe wa mwisho wa Muhammad (SAW).

Daudi (AS) alikuja kabla ya Muhammad (SAW), na hakufundisha Qur'an wala kushikilia mafundisho ya Kiislamu kama tunavyoyafahamu leo. Alifuata sheria ya Musa (AS) na Torati.

Daudi hakuhubiri dini iliyoitwa Uislamu bali aliishi chini ya sheria ya Musa (Torati).

Pia Ushahidi wa Kiaikolojia wa Petra hauonyeshi dini ya Uislamu kabla ya Muhammad

Msikiti wa Petra sio wa Kiislamu:
Ushahidi wa msikiti huko Petra unahusishwa na madhehebu ya Nabateans, ambao walikuwa waabudu wa miungu mingi, si Waislamu. Petra ilikuwa mji wa kibiashara wenye utamaduni tofauti na dini nyingi, lakini hakuna ushahidi wa kwamba dini ya Kiislamu ilikuwepo huko.


Historia ya Uislamu inathibitisha ilianza na Muhammad (SAW):
Historia ya Kiislamu inaonyesha wazi kwamba Uislamu ulianzishwa rasmi kupitia Wahyi ulioteremshwa kwa Mtume Muhammad (SAW) katika karne ya 7 BK. Kabla ya hapo, kulikuwa na dini za Kiyahudi, Kikristo, na dini za kipagani. Hii inapingana na hoja kwamba Uislamu ulikuwepo Petra miaka 600 kabla ya kuzaliwa kwa Muhammad.

Daudi alikuwa Mfalme wa Israeli na alifuata Torati:
Biblia inasema wazi kwamba Daudi alifuata sheria za Musa na alikuwa mtii wa Mungu wa Israeli.

Zaburi 19:7: "Sheria ya Bwana ni kamilifu, huiburudisha roho..."
Daudi hapa anarejelea Torati, sio Qur'an au mafundisho yoyote ya Kiislamu.


Kulingana na historia ya Kiyahudi, Daudi ni mfalme aliyechaguliwa na Mungu wa Israeli na si sehemu ya dini yoyote inayohusiana na Uislamu. Zaburi zake zinarejelea Bwana (Yahweh), Mungu wa Kiyahudi, si Allah.Kama mna kitabu au zaburi zinamrejea Allah zileteni hapa

Uislamu kama dini unahitaji kufuata mafundisho ya Muhammad (SAW)

Qur'an 4:59 inasema: "Enyi mlioamini, mtiini Mwenyezi Mungu, mtiini Mtume..."
Daudi hakuweza kuwa Muislamu kwa sababu hakumfuata Muhammad (SAW) wala hakufundishwa mafundisho ya Qur'an.

Kujisalimisha kwa Mungu sio kiashiria cha dini ya Uislamu pekee

Watu wengi katika historia (wakiwemo Wayahudi, Wakristo, na hata wapagani) wamejisalimisha kwa Mungu wao kulingana na imani zao. Hii haimaanishi kwamba wao ni Waislamu.

Uislamu ni mfumo maalum wa ibada unaojumuisha imani kwa Allah, Qur'an, na Muhammad kama Mtume wake wa mwisho (Qur'an 33:40). Daudi hakufuata mfumo huu.

Acheni kupakazia watu eti walikuwa waislamu
 
Wewe unaweza ukatuletea hapa agano la kale!??

Qur'an imekua inashuka verse Kwa verse Kwa sababu maalum.
Sasa hivi hakuna watu wa vitabu waliokusudiwa.
Mayahudi na manaswara waliokusudiwa ni wale waliokua wanaoamini juu ya Mungu mmoja,sio manaswara nyie wavaa misalaba na wayahudi hawa wasiojielewa waenda uchi.
Acha uzushi wewe,jibu swali ,hiyo Aya kwasasa Haina kazi?

Usirukeruke
 
Wewe unaweza ukatuletea hapa agano la kale!??

Qur'an imekua inashuka verse Kwa verse Kwa sababu maalum.
Sasa hivi hakuna watu wa vitabu waliokusudiwa.
Mayahudi na manaswara waliokusudiwa ni wale waliokua wanaoamini juu ya Mungu mmoja,sio manaswara nyie wavaa misalaba na wayahudi hawa wasiojielewa waenda uchi.
Agano la kale au Tanakh lipo Hadi Leo

Kama limebadilishwa leta original hapa tufananishe
 
Narudia tena alikua mwana wa Israel sio myahudi.
Historia ya mji kuwepo haijakataliwa.
Ila Daud was not a Jewish peleka uongo wako kuzimu huko.
Daudi alikuwa mwebrania mwana wa Yese, mwana wa Obedi ,

Hajui kuhusu uislamu ,why mnamsingizia
 
Narudia tena alikua mwana wa Israel sio myahudi.
Historia ya mji kuwepo haijakataliwa.
Ila Daud was not a Jewish peleka uongo wako kuzimu huko.
Mkuu,

Unaposema Daudi alikuwa muisrael/mwana wa israel hakuwa myahudi Huwa unamaanisha nini?

Israel ni taifa ambalo Daudi alizaliwa na uyahudi ni dini aliyoipokea kutoka kwa lineage yake, na alikuwa wa kabila la Ibrahim,yaani alikuwa ni mwebrania. kutoka enzi za Musa mpaka enzi za waamuzi kina Samson hadi kwa Daudi,Suleiman na baadae kina Isaya,wote walikuwa wanaabudu katika dini ya uyahudi.

Hawa wote walikuwa na Mila na taratibu za kuabudu ambazo zimeandikwa kwenye vitabu vya Musa. Hata Yesu alipozaliwa alizikuta hizi taratibu na aliabudu katika misingi ya dini ya uyahudi.

Summary:

Uyahudi ni dini,Israel ni taifa. Daudi alikuwa muisrael kama wewe ulivyo mtanzania na aliabudu katika Imani ya uyahudi kama wewe unavyoabudu katika Imani ya uislamu.
 
Back
Top Bottom