Wajua msikiti wa Al aqsa Jerusalem ulijengwa likiwa ni kanisa la Byzantine (Byzantine church)?

Wajua msikiti wa Al aqsa Jerusalem ulijengwa likiwa ni kanisa la Byzantine (Byzantine church)?

Sasa wewe ndugu kuna kitu gani ulichokielezea hapa.....
1. Unasema Yesu alifunga, alivaa kanzu, na mengine mengi... Tena kwa kutumia reference ya kwenye biblia, mbona hamsemi Yesu alishika sabato alafu waislamu hamuishiki, mbona Bible inasema Yesu alikufa na kufufuka ila nyie hamuamini, alafu unapouzungumzia ukristo akili yako usijifunge kwa wakatoliki madhehebu ni mengi na wanaamini tofauti kuna ambao hawaamini katika kusali rosali na maria fuatilia..... Kwa kifupi tamaduni za maisha ya Yesu hayathibitishi kuwa Yesu alikuwa muislamu na umeshasema zinathibitisha kuwa alikuwa myahudi na ndugu uyahudi sio uislamu, tikea zamani wanaabudu Mungu wao na sio Allah, wanataratibu zao za kiibada tofauti na waslamu hivyo Yesu hakuwa muislamu.

2. Sasa unasema biblia inajichanganya kuhusu kubatizwa kwa Yesu mbona huoneshi inavyojichnganya sasa..... Unaishia kusema tu Yesu na YOHANA walikuwa ni ndugu sasa undugu wao unathibitishaje kuwa Yesu hakubatizwa?
3. Alafu hizo video sijajua zina maana gani sababu hazifafanui chochote kati ya tunachokizungumza...
Uislam wa zama kabla ya Mitume wengine zilikuwa tofauti na uislam alio upokea mtume Mohammad SAW.
Hapo kwenye kufa na kufufuka anaye sema hivo ni nani? Yesu mwenyewe au vijana wake?
Niambie katika lugha ya ki hebrew neno Mungu lina tamkwaje?
Kwenye post zilizo pita nimeonyesha uhusiano wa karibu baina ya uislam na uyahudi. Kapitie tena uje.

2. Nimeonyesha ilivo jichanganya kwa kusema undugu wa Yesu na Yohana. Wakati Yohana anauliwa Yesu hakuwepo katika mji huo. Kwa maana kama angekuwepo na yeye angeuliwa. Yesu alirudi kwenye huo mji baada ya yule mtawala alio muua Yohana na Yeye kuwa wote wamekufa? Swali ni je alibatizwa mda gani hapo? Sijui ume elewa swali langu vizuri? Kuna maandiko yenu ya uwongo yanasema Yesu alibatizwa au kubatiza? Kipindi anafanya hivo, huku kwengine inasema Yohana aliuliwa na Mayahudi. Swali ni je amebatizwa na nani?

3. Video nilizo zituma zina fafanua kwa ukubwa sana udhaifu wa maandiko neno sababu hata neno biblia halipo kwenye maandiko yenu. Pili kuna video moja inaelezea andiko moja linalo ongelea kuhusu kufunga na kusali. Na matoleo mengine yamefuta hiko kipengele sasa ukisema hujaelewa hivo video ni dharau au kitu gani?
Video nyengine inaelezea kwanini uislam ni dini sahihi sababu toka kuletwa na Mtume Mohammad kama mtume wa mwisho hakuna kilicho badilika. Sasa ukisema video zangu huja zielewa ni wewe hujataka kuelewa.

Kwa maelezo hayo nilio yatoa natarajia ulete majibu sahihi kuhusu maswali yangu na usikimbie kwa kutafuta maswali mengine. Yaani tuendelee pale tulipo ishia ndio vizuri.
 
Sijakataa unasema uislamu ni kujisalimisha kwa Mungu, sasa wewe niambie dini ya Yesu ilikuwa ni uyahudi au uislamu? Toa na uthibitisho
Uislam ulikuwepo na utaendelea kuwepo kinacho changanya zaidi ni kutotaka kujua uislam ni nini na kwanini ni bora kuliko dini zengin
 
Uislam wa zama kabla ya Mitume wengine zilikuwa tofauti na uislam alio upokea mtume Mohammad SAW.
Hapo kwenye kufa na kufufuka anaye sema hivo ni nani? Yesu mwenyewe au vijana wake?
Niambie katika lugha ya ki hebrew neno Mungu lina tamkwaje?
Kwenye post zilizo pita nimeonyesha uhusiano wa karibu baina ya uislam na uyahudi. Kapitie tena uje.

2. Nimeonyesha ilivo jichanganya kwa kusema undugu wa Yesu na Yohana. Wakati Yohana anauliwa Yesu hakuwepo katika mji huo. Kwa maana kama angekuwepo na yeye angeuliwa. Yesu alirudi kwenye huo mji baada ya yule mtawala alio muua Yohana na Yeye kuwa wote wamekufa? Swali ni je alibatizwa mda gani hapo? Sijui ume elewa swali langu vizuri? Kuna maandiko yenu ya uwongo yanasema Yesu alibatizwa au kubatiza? Kipindi anafanya hivo, huku kwengine inasema Yohana aliuliwa na Mayahudi. Swali ni je amebatizwa na nani?

3. Video nilizo zituma zina fafanua kwa ukubwa sana udhaifu wa maandiko neno sababu hata neno biblia halipo kwenye maandiko yenu. Pili kuna video moja inaelezea andiko moja linalo ongelea kuhusu kufunga na kusali. Na matoleo mengine yamefuta hiko kipengele sasa ukisema hujaelewa hivo video ni dharau au kitu gani?
Video nyengine inaelezea kwanini uislam ni dini sahihi sababu toka kuletwa na Mtume Mohammad kama mtume wa mwisho hakuna kilicho badilika. Sasa ukisema video zangu huja zielewa ni wewe hujataka kuelewa.

Kwa maelezo hayo nilio yatoa natarajia ulete majibu sahihi kuhusu maswali yangu na usikimbie kwa kutafuta maswali mengine. Yaani tuendelee pale tulipo ishia ndio vizuri.
Jina la mungu wa wayahudi anaitwa YHWH halikuw na irabu katikakati saaa namna linavyotamkwa imesahaulika hata kwa wayahudi wa sasa hivi wanateolojia wameweka irabu ndio unavyo sikia neno Yahweh... Japo kuwa matamshi ya jina la Mungu wa kiyahudi yamepotea lakini hwajawahi kuwa na Mungu anaeitwa Allah......

Kuhusu YOHANA kumbatiza Yesu, sijui wewe unasoma kwenye biblia ipi sababu habari ya YOHANA kubatiza inapatikana kwenye injili ya matayo sura ya 3, kifo cha YOHANA kimeendikwa kwenye injili hiohio ila kwenye sura ya 14, sasa kwa kutumia akili je unadhani tukio la YOHANA kubatiza na kifo chake kipi kilitangulia? Soma na utumie akili ya kuzaliwa tu ndugu..
 
Jina la mungu wa wayahudi anaitwa YHWH halikuw na irabu katikakati saaa namna linavyotamkwa imesahaulika hata kwa wayahudi wa sasa hivi wanateolojia wameweka irabu ndio unavyo sikia neno Yahweh... Japo kuwa matamshi ya jina la Mungu wa kiyahudi yamepotea lakini hwajawahi kuwa na Mungu anaeitwa Allah......

Kuhusu YOHANA kumbatiza Yesu, sijui wewe unasoma kwenye biblia ipi sababu habari ya YOHANA kubatiza inapatikana kwenye injili ya matayo sura ya 3, kifo cha YOHANA kimeendikwa kwenye injili hiohio ila kwenye sura ya 14, sasa kwa kutumia akili je unadhani tukio la YOHANA kubatiza na kifo chake kipi kilitangulia? Soma na utumie akili ya kuzaliwa tu ndugu..
Mathayo 3:11


11 Kweli mimi nawabatiza kwa maji kwa ajili ya toba; bali yeye ajaye nyuma yangu ana nguvu kuliko mimi, wala sistahili hata kuvichukua viatu vyake; yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.

Suala la ubatizo wa maji liliishia siku ile alipobatizwa Yesu,baada yake hakuna tena ubatizo wa maji.
 
Mathayo 3:11


11 Kweli mimi nawabatiza kwa maji kwa ajili ya toba; bali yeye ajaye nyuma yangu ana nguvu kuliko mimi, wala sistahili hata kuvichukua viatu vyake; yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.

Suala la ubatizo wa maji liliishia siku ile alipobatizwa Yesu,baada yake hakuna tena ubatizo wa maji.
Kasome matendo ya mitume jinsi hata baada ya Yesu kupaa mbinguni mitume waliendelea kubatiza kwa maji... Kasome tena....
 
Ambapo ukiangalia muundo wake wa nje na ndani + mosaic and design ni kutoka Roman Catholic Church or Byzantine empire.

Most of Muslim hawajui hii historia na watakupinga sana ukimwambia kwa kuwa wamedanganwya na kulishwa vitu vingi vya uongo.

View attachment 1757085

Kilicho jitokeza ni nini?
Waislam wengi huupinga na kusema huu ni msikiti uliojengwa na Suleiman
🤣
🤣
🤣
ni vichekesho kidogo wengine wakasema umejengwa na Umar ibn Al-Khattāb ili mradi tu! Kupinga kuwa haukuwa kanisa before.

Na kitu wanacho changanya waislam wengi ni msikiti wa al aqsa na the dome of the rock
The dome of the rock sio msikiti msikiti ni al aqsa ijapokuwa hivi vitu viwili vipo karibu na eneo moja
hiyo ni kawaida ya waislam wengi kupinga na kupinga kwao si bure coz ni wamefundishwa vitu vingi na bila kujua kuwa mengine walidanganywa kwa manufaa ya viongozi wao bila wao kujua ni sumu walilishwa.

So tuangalie historia kidogo
Eneo hili ndipo palipokuwa hekalu la wayaudi na mara kwa mara waisrael walipokuwa wakivamiwa na kushambuliwa basi hekalu lilibomolewa basi miaka ikasonga mfalme Suleiman akajenga hekalu jipya kwa vipimo alivyopewa na Mungu

1 wafalme 6:1-38 likaanza kutumika miaka ikasonga mpaka akaja YESU kristo na kutoa utabiri huu
Marko 13:1-2
👇

Alipokuwa akitoka nje ya Hekalu, mmojawapo wa wanafunzi wake akamwambia, “Mwalimu, ona jinsi mawe haya na majengo haya yalivyo maridadi!” Yesu akamjibu, “Unayaona majengo haya yalivyo makubwa? Hakuna hata jiwe moja litakalobaki juu ya jingine, yote yatabomo lewa.”


Na utabiri huo ulitimia March mwaka 70 A.D baada ya kristo kufa na kupaa mbinguni, warumi waliuvamia mji wa Jerusalem na kulibomoa kabisa hekalu na kila kitu kilichomo ndani ya hekalu hakikubakia kitu Kama Yesu alivyotabiri/

So nashangaa waislam wanavyosema kuwa huo msikiti ulijengwa na Suleiman wakati hekalu alilojenga Suleiman lilishabomolewa na warumi mwaka 70 na lilikuwa ni hekalu na si msikiti remember that
🤣
🤣
🤣
🤣
🤣


So miaka ikasonga mnamo mwaka 310A.D ndipo dola la kirumi lilianza kugeuza uelekeo na kuwa la kikristo kamili ,mfalme Constatino na mama yake Herena walianza kujenga makanisa katika dola ya kirumi na ndani ya Jerusalem 313AD, kwa kipindi hiko na moja ya makanisa yaliojengwa ni pamoja na hilo

Msikiti wa al aqsa
Ilipofika mwaka 638AD Umar ibn Al-Khattāb aliuteka mji wa Jerusalem na kuukalia na kubadilisha mambo mengi ndani ya mji na moja vitu alivyo badirisha ni kanisa hilo na kujenga the dome of the rock but ilipofika mwaka 1100AD wakristo waliuchukua tena huo mji na kuukalia wakarudisha vitu vyao tena but ilipofika mwaka 1500AD Ottoman waliuchukua tena mpaka mwaka 1900AD, but kipindi cha katikati hapo Jerusalem hapakutulia palikuwa na mashambulio ya mara kwa mara baina ya Muslim na Christian na Jewish but ilipofika mwaka 1917 great British waliuchukua mji na kuukalia baada ya hapo ni mgawanyo wa mji mpaka leo

So tukirudi kwnye mada yetu ili jengo lilikuwaje?
Kama tunavyoona kwenye picha kapo chini
👇
muundo wa ujenzi na mosic, milango, madirisha, nguzo 100% ni mitindo ya makanisa hiyo haitoshi hivi karibuni kumegunduliwa mosic yenye takribani miaka 1700 ambapo ni mitindo ya Byzantine empire kwenye kudecorate makanisa na majengo yao miaka hiyo na imegunduliwa eneo moja wapo la msikiti so hii inatoa ushaidi tosha kuwa Byzantine or Roman empire walikuwa ndio wajenzi wa jengo hili na si vinginevyo.

So kwa waislam wote nawasihi kusoma histolia before hujadanganywa na viongozi wenu coz bila kujua na nyinyi mnaongozwa na mihemko kuliko akili.

View attachment 1757143
Hii dunia una historia kubwa sana ambayo inaweza kukuacha kinywa wazi, kuna maeneo mengi ambayo dola ya kiiislam imeyateka na kuyafanya yao wakati sio yao yote kwa yote nimevutiwa zaidi na dola ya kimongoli zaidi
 
Kasome matendo ya mitume jinsi hata baada ya Yesu kupaa mbinguni mitume waliendelea kubatiza kwa maji... Kasome tena....
Mkuu,unapaswa kutuliza akili unaposoma maandiko.Tukio la Yesu kubatizwa lilifanyika katika siku zake za mwanzo kabisa za kufundisha neno la Mungu.Yesu alifundisha kwa zaidi ya miaka 20 tangu kubatizwa kwake,unafikiri ni kwa nini yeye hakuwahi kumbatiza mtu yeyote katika miaka hiyo 20?.

Amri ya wao wanafunzi na hasa Filipo kubatiza kwa maji,aliitoa wapi baada Yesu kuwa ameondoka?.

Matendo ya Mitume 8:36-38
[36]Wakawa wakiendelea njiani, wakafika mahali penye maji; yule towashi akasema, Tazama, maji haya; ni nini kinachonizuia nisibatizwe? [
And as they went on their way, they came unto a certain water: and the eunuch said, See, here is water; what doth hinder me to be baptized?
[37]Filipo akasema, Ukiamini kwa moyo wako wote, inawezekana. Akajibu, akanena, Naamini ya kwamba Yesu Kristo ndiye Mwana wa Mungu.]
And Philip said, If thou believest with all thine heart, thou mayest. And he answered and said, I believe that Jesus Christ is the Son of God.
[38]Akaamuru lile gari lisimame; wakatelemka wote wawili majini, Filipo na yule towashi; naye akambatiza.
And he commanded the chariot to stand still: and they went down both into the water, both Philip and the eunuch; and he baptized him.
 
Wayahudi wasio na itikadi ya zionisim wapo tena wapo huko Palestina na wengine wapo nnje ya mji huo pia. Wakati wa mzozo huu kushamiri 07 October mwaka jana. Mbona kulikuwa na video zina sambaa kuonyesha wayahudi wenye mji wao wakipigwa na askari wa israel.
Kitu watu wengi wasio kijua na kufuatilia ni kwamba waisrael wana watumia wakristo kama sehemu yao wa kuficha maovu lakini wasicho jua hata makanisa yanapigwa bomu na hao waisrael pia. Kuhusu tamaduni labda uwe specific unataka tamaduni gani sababu tamaduni zao zinajulikana wanafuga ndevu na pia wanavaa majoho au tuseme kanzu.
Tunakubali sana kuwa Yesu alikuwa Myahudi sio Yesu tu peke yake bali mitume mingi walikuwa mayahudi hata nabii Musa pia. Kilicho tokea ni injil yenu imechezewa. MTUME Mohammad SAW ameongelewa na Yesu AS lakini vitabu vya sasa hazisemi. Na weka video chini uangalie. Nime attach video tatu tofauti ku support hoja yangu ili wote tupate kuelimika.

Uislam ulikuwepo kabla ya Mtume Mohammad SAW. Hata Yesu pia alikuwa muislam. Neno uislam ni kujisalimisha kwa mwenyezi Mungu. Hiyo miaka 600BC ni zama alizo kuja Mtume wetu Mohammad SAW. Sababu mayahudi wengi ni wabishi na wahuni walimkataa Yesu AS na hata historia yake wakadiriki kuifuta baadhi ya vitu. Lakini alivo kuja Mtume Mohammad SAW. Amerudisha agano na Mungu katika uhai tena.

Uyahudi ni imani ndio na sio utaifa na ndio maana tuna sema kila muisrael ni myahudi lakini sio kila myahudi ni muisrael. Kwa maana hata wewe unaweza kuwa myahudi lakini sio muisrael. Hao wakina Netanyahu sio waisrael. Waisrael pure ni wale walioko Palestina. Ndio maana kuna wapalestina ambao ni waarabu alafu sio waislam ni wakristo. Na pia kuna wapalestina ambao ni wayahudi. Dini zote tatu chimbuko lake ni Pale Yerusalem.

Tofauti kati ya kizazi cha Ismail na kizazi cha Israel ni uzao wao tu. Mmoja kazaliwa na mama muarab kutoka Misri mwengine kazaliwa na mama myahudi. Lakini baba yao,ni mmoja ambaye ni Ibrahim AS au baba wa Iman.

Waisrael ambao wamesemwa na Quran kwa jina lingine watu wa kitabu. Wameongelewa sana katika Quran na pia wamelaaniwa sana.
Hao ndio wale walikatazwa kuvua samaki siku ya Jumamosi. Lakini wakawa wabishi wakapigwa laana na kuwa manyani. Lakini pia hawa ndio walio taka kumuua Yesu.
Kitu mnacho kosea wakristo wengi mnadhani bado hawa ndio taifa teule. Ukweli ni kwamba walikuwa taifa teule zama hizo sababu walikuwa chini ya kiongozi wao ambaye ni nabii wa Mungu.
Lakini sasa nabii wa mwisho au mtume wa mwisho ni Mohammad SAW ambaye amekuja kwa ajili ya waislam wote. Hapa ndipo mnapo kataa ukweli. Lakini video nilizo weka hapo chini zitasaidia kuwaelimisha. Ahsante
Uongo ukipangiliwa vizuri uonekana kama ukweli. Kuna maswali yanatatiza kutokana na maezo yako. Sina tatizo na tafasili yako juu ya neno Uislam kwamba ni kujisalimisha kwa Mungu.

Tunajua wazi na wewe unajua kwamba Ishmael na Isaac walitengana wakiwa bado wadogo, na hawakuwai kuonana mpaka anazalia Jacob (Israel) na baadae sana Musa huko utumwani Misri. Kadri ya maandiko Musa ndiye aliwaongiza wana Waisrael kurudi Kaanani ndiyo baadae kabisa Ukristo ukaanza baada ya ujio wa Yesu. Kabla ya hapo Waisrael walikuwa wakimuabudu Mungu wao kwa Imani yao ya Kiyaudi. Na Yesu nae alizaliwa ktk jamii hiyohiyo ya Mayaudi.

Mohammed alizaliwa miaka zaidi ya mia tano baada ya Yesu. Na ni kipindi cha Mohammed ndiyo Uislam ukaanza.

Niambie, ulikotoka Uislam wa kuanzia kwa kina Ibrahim mwenyewe, Isaac, Ishmael, Jacob, Mussa, Suleiman, Daud, Yesu mwenyewe na manabii wengine wa kipindi kabla ya Mohammed?

Sipingani na wewe, kwa kiasi fulani ukristo tulinao leo umekuwa distorted kwa njia moja au nyingine. Lakini hii ni kwasababu ya mitizamo, tafasiri, na mafudisho ya madhehebu tofauti kuhusu Kristo na Ukristo wenyewe lakini Imani bado ni ileile aliyoiacha Yesu.
 
Umeishawahi kujiuliza Maka ilikuwaje kabla Muhammad hajazaliwa? Hakukuwahi kuwepo msikiti zaidi ni ibada za UPAGANI, ambazo mudy alipoanzisha uislamu aliziingiza humo....

Watu wa kabila la Kureshi wa Maka walimwabudu Hubal, Al-ilah na mabinti watatu wa Al- ilah. Mwamba mweusi kutoka mbinguni uliheshimiwa sana uliwekwa kwenye kona ya kaaba.

Kaaba ilikuwa ni kitovu cha kuabudia miungu/sanamu 360 kwa mujibu wa Bukhari juzuu ya 3 kitabu cha 43 sura ya 33 na.658 uk. 396 na juzuu ya 5 kitabu cha 59 sura ya 47 na.583 uk. 406.

Ensaiklopidia ya Uislam (iliyohaririwa na Eliade) uk.303 na kuendelea inasema, watu, kabla ya Uislam, waliomba mara 5 wakielekeza nyuso zao Maka na kufunga nusu siku kwa muda wa mwezi mzima. Wakureshi walifunga siku ya 10 ya Myharram/Muharam.

Hii nayo Muhammad aliagiza ifanyike, lakini baadaye ikawa hiari. (Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 58 sura ya 25 na.172 uk.109), pia Bukhari juzuu ya 6 kitabu cha 60 sura ya 24 na.31 uk. 25.

Waarabu kabla ya Uislam walifanya hija (Umrah) Maka. Fiqh us-Sunnah juzuu ya 5 uk.122, na Bukhari juzuu ya 2 kitabu 26 sura ya 33 na.635 uk.371-372 zinasema walidhani kutokufanya 'Umrah ikijuwa ni moja ya dhambi kubwa sana duniani. Walipofika Maka waliifunika kaaba kwa nguo ya Fiqh juzuu ya 5 uk.131, na walikuwa na mwezi mtakatifu uliohitaji kujitenga na vita kabla ya kuja kwa Uislam (Bukhari juzuu ya 2 kitabu cha 23 sura ya 96 na.482 uk.273.


Kwa muhtasari, Maka wakati wa Muhammad ulikuwa mji wenye watu toka mataifa mbalimbali. Wasabaiani (Sabaeans), na kabila la Muhammad yaani Wakureshi waliabudu sanamu mwezi iliyoitwa Al-ilah au Allah, pamoja na mabinti zake watatu


HEKALU NI NYUMBA YA IBADA YA WAYAHUDI NA HUMO NDANI MWA HEKALU KULIKUWA NA IBADA ZA KUCHINJA WANYAMA ILI KUSAMEHEWA DHAMBI,KULIKUWA NA SANDUKU LA AGANO

Swali, haya mambo yanahusihana nini na uislamu, hadi muwasingizie Wakina IBRAHIMU, MUSA, SULEIMAN walikuwa dini ya kiislamu?
Hekalu la kwanza lilijengwa na mtoto wa mfalme Daudi,Mfalme Suleimani. Lilijengwa mnamo mwaka 957 KK.

Hekalu hili likabomolewa na mfalme Nebukadreza II mnamo 586 KK.
Hekalu la pili,
Lilijengwa 536 KK -515KK baada ya uhamisho wa Babeli.

BAADAE LILIVAMIWA MWAKA 70AD, historia haiongopi, baadae WAISLAMU walivamia hapo
Hakika wewe umeeleza iliyo kweli? Wenzetu mara nyingi ulishwa matangopori na bahati mbaya kwasababu wao ni consecutive wa kila kilichoandikwa kwa Kiarabu basi watakuja na hadithi.
 
Uongo ukipangiliwa vizuri uonekana kama ukweli. Kuna maswali yanatatiza kutokana na maezo yako. Sina tatizo na tafasili yako juu ya neno Uislam kwamba ni kujisalimisha kwa Mungu.

Tunajua wazi na wewe unajua kwamba Ishmael na Isaac walitengana wakiwa bado wadogo, na hawakuwai kuonana mpaka anazalia Jacob (Israel) na baadae sana Musa huko utumwani Misri. Kadri ya maandiko Musa ndiye aliwaongiza wana Waisrael kurudi Kaanani ndiyo baadae kabisa Ukristo ukaanza baada ya ujio wa Yesu. Kabla ya hapo Waisrael walikuwa wakimuabudu Mungu wao kwa Imani yao ya Kiyaudi. Na Yesu nae alizaliwa ktk jamii hiyohiyo ya Mayaudi.

Mohammed alizaliwa miaka zaidi ya mia tano baada ya Yesu. Na ni kipindi cha Mohammed ndiyo Uislam ukaanza.

Niambie, ulikotoka Uislam wa kuanzia kwa kina Ibrahim mwenyewe, Isaac, Ishmael, Jacob, Mussa, Suleiman, Daud, Yesu mwenyewe na manabii wengine wa kipindi kabla ya Mohammed?

Sipingani na wewe, kwa kiasi fulani ukristo tulinao leo umekuwa distorted kwa njia moja au nyingine. Lakini hii ni kwasababu ya mitizamo, tafasiri, na mafudisho ya madhehebu tofauti kuhusu Kristo na Ukristo wenyewe lakini Imani bado ni ileile aliyoiacha Yesu.
Naomba nikujibu vizuri maelezo yako. Unajua uislam ni historia ya mitume pia. Hii kitu inafuata lineage ya damu. Hawa watu wanaopigana huko Israel na Palestina wana uhusiano wa kindugu lakini kilicho fanyika ni siasa ya uhuni.

Kwanini hutaki kuamini kwamba uislam hauja letwa na mtume Mohammad SAW. Nimekupa ushahidi wa familiy tree, nimekupa ushahidi wa jinsi mitume kadhaa ambao ni mayahudi jinsi wanavyo fanya ibada. Lazima wasujudu, lazima wajitwaharishe(wachukue udhu), sehemu ya ibada lazima wavue viatu, hawanywi pombe, hawali nguruwe, sio wazinifu, wanafunga kwa kuto kula kitu chochote, wana muomba Mungu moja kwa moja na sio kumtumia mchungaji awaombee, walikuwa hawasali kwenye makanisa, walikuwa hawaweki misalaba au masanamu sehemu ya ibada na la mwisho wakati wa kutubu wana muomba Mungu mwenyewe na sio kusema dhambi zao kwa watu. Uislam ni matendo na sio kuitwa Mussa au Jumaa.

Uislam upo kimatendo zaidi na huu uislam wa sasa ndio alio uwacha mtume wetu Mohammad SAW. na Quraan ndi kitabu chetu pamoja Sunaa zake
 
Sijakataa unasema uislamu ni kujisalimisha kwa Mungu, sasa wewe niambie dini ya Yesu ilikuwa ni uyahudi au uislamu? Toa na uthibitisho
UISLAM, sababu zifuatazo.
Yesu hakula nguruwe
alifunga na kusali kama waislam
alisali kwa kumuoba Mungu wake tu
akikosea alitubu kwa kumuomba Mungu wake msamaha
hakubatizwa
hakuchora tatoo wala kutoboa masikio wala pua
haku abudu masanamu
alivaa kanzu
 
UISLAM, sababu zifuatazo.
Yesu hakula nguruwe
alifunga na kusali kama waislam
alisali kwa kumuoba Mungu wake tu
akikosea alitubu kwa kumuomba Mungu wake msamaha
hakubatizwa
hakuchora tatoo wala kutoboa masikio wala pua
haku abudu masanamu
alivaa kanzu
Sababu za kijinga sana kutaka kumsilimisha Yesu.Petro alikuwa muislam?
 
Sababu za kijinga sana kutaka kumsilimisha Yesu.Petro alikuwa muislam?
Kabla ya Muhammad Makureshi walivaa kanzu na makobazi,Kabla ya kuzaliwa Muhammad Makureshi waliswali sala tana na waliizungika Kaaba.Nao walikuwa waislam?
 
Sababu za kijinga sana kutaka kumsilimisha Yesu.Petro alikuwa muislam?
Sasa wewe niku ulize swali jepesi sana. unajua maana ya kumslimisha mtu?
Yesu ana fuata imani za mababu zake ambao wao walikuwa waislam. Hakubatizwa wala kubatiza mtu yeyote. Je unadhani muislam gani amebatizwa au kubatiza mtu?
kuhusu Petro sijui ila ukweli ni kwamba kasome kuhusu uislam ujue ukweli
badala upambane huko na dini yenu huko. Papa wenu ana zidi kukazia mapenzi ya jinsia na akisema yeye ndio baasi kesha wavua nguo nyoote.
 
Sababu za kijinga sana kutaka kumsilimisha Yesu.Petro alikuwa muislam?
unasema sababu za kijinga alafu huna hoja hata moja ya kutetea. hayo yote nilio andika yana ushahidi na yapo kwenye kitabu chenu.
Ni vema kama utanipinga basi na utoe andiko lakini unacho kazani ni kusema hoja za kijinga. haya hoja zenye ukweli ni zipi.
bisha na hoja. kama huna hoja tulia
 
Sasa wewe niku ulize swali jepesi sana. unajua maana ya kumslimisha mtu?
Yesu ana fuata imani za mababu zake ambao wao walikuwa waislam. Hakubatizwa wala kubatiza mtu yeyote. Je unadhani muislam gani amebatizwa au kubatiza mtu?
kuhusu Petro sijui ila ukweli ni kwamba kasome kuhusu uislam ujue ukweli
badala upambane huko na dini yenu huko. Papa wenu ana zidi kukazia mapenzi ya jinsia na akisema yeye ndio baasi kesha wavua nguo nyoote.
Wanafunzi wa Yesu walikuwa waislamu?
 
Ambapo ukiangalia muundo wake wa nje na ndani + mosaic and design ni kutoka Roman Catholic Church or Byzantine empire.

Most of Muslim hawajui hii historia na watakupinga sana ukimwambia kwa kuwa wamedanganwya na kulishwa vitu vingi vya uongo.

View attachment 1757085

Kilicho jitokeza ni nini?
Waislam wengi huupinga na kusema huu ni msikiti uliojengwa na Suleiman
🤣
🤣
🤣
ni vichekesho kidogo wengine wakasema umejengwa na Umar ibn Al-Khattāb ili mradi tu! Kupinga kuwa haukuwa kanisa before.

Na kitu wanacho changanya waislam wengi ni msikiti wa al aqsa na the dome of the rock
The dome of the rock sio msikiti msikiti ni al aqsa ijapokuwa hivi vitu viwili vipo karibu na eneo moja
hiyo ni kawaida ya waislam wengi kupinga na kupinga kwao si bure coz ni wamefundishwa vitu vingi na bila kujua kuwa mengine walidanganywa kwa manufaa ya viongozi wao bila wao kujua ni sumu walilishwa.

So tuangalie historia kidogo
Eneo hili ndipo palipokuwa hekalu la wayaudi na mara kwa mara waisrael walipokuwa wakivamiwa na kushambuliwa basi hekalu lilibomolewa basi miaka ikasonga mfalme Suleiman akajenga hekalu jipya kwa vipimo alivyopewa na Mungu

1 wafalme 6:1-38 likaanza kutumika miaka ikasonga mpaka akaja YESU kristo na kutoa utabiri huu
Marko 13:1-2
👇

Alipokuwa akitoka nje ya Hekalu, mmojawapo wa wanafunzi wake akamwambia, “Mwalimu, ona jinsi mawe haya na majengo haya yalivyo maridadi!” Yesu akamjibu, “Unayaona majengo haya yalivyo makubwa? Hakuna hata jiwe moja litakalobaki juu ya jingine, yote yatabomo lewa.”


Na utabiri huo ulitimia March mwaka 70 A.D baada ya kristo kufa na kupaa mbinguni, warumi waliuvamia mji wa Jerusalem na kulibomoa kabisa hekalu na kila kitu kilichomo ndani ya hekalu hakikubakia kitu Kama Yesu alivyotabiri/

So nashangaa waislam wanavyosema kuwa huo msikiti ulijengwa na Suleiman wakati hekalu alilojenga Suleiman lilishabomolewa na warumi mwaka 70 na lilikuwa ni hekalu na si msikiti remember that
🤣
🤣
🤣
🤣
🤣


So miaka ikasonga mnamo mwaka 310A.D ndipo dola la kirumi lilianza kugeuza uelekeo na kuwa la kikristo kamili ,mfalme Constatino na mama yake Herena walianza kujenga makanisa katika dola ya kirumi na ndani ya Jerusalem 313AD, kwa kipindi hiko na moja ya makanisa yaliojengwa ni pamoja na hilo

Msikiti wa al aqsa
Ilipofika mwaka 638AD Umar ibn Al-Khattāb aliuteka mji wa Jerusalem na kuukalia na kubadilisha mambo mengi ndani ya mji na moja vitu alivyo badirisha ni kanisa hilo na kujenga the dome of the rock but ilipofika mwaka 1100AD wakristo waliuchukua tena huo mji na kuukalia wakarudisha vitu vyao tena but ilipofika mwaka 1500AD Ottoman waliuchukua tena mpaka mwaka 1900AD, but kipindi cha katikati hapo Jerusalem hapakutulia palikuwa na mashambulio ya mara kwa mara baina ya Muslim na Christian na Jewish but ilipofika mwaka 1917 great British waliuchukua mji na kuukalia baada ya hapo ni mgawanyo wa mji mpaka leo

So tukirudi kwnye mada yetu ili jengo lilikuwaje?
Kama tunavyoona kwenye picha kapo chini
👇
muundo wa ujenzi na mosic, milango, madirisha, nguzo 100% ni mitindo ya makanisa hiyo haitoshi hivi karibuni kumegunduliwa mosic yenye takribani miaka 1700 ambapo ni mitindo ya Byzantine empire kwenye kudecorate makanisa na majengo yao miaka hiyo na imegunduliwa eneo moja wapo la msikiti so hii inatoa ushaidi tosha kuwa Byzantine or Roman empire walikuwa ndio wajenzi wa jengo hili na si vinginevyo.

So kwa waislam wote nawasihi kusoma histolia before hujadanganywa na viongozi wenu coz bila kujua na nyinyi mnaongozwa na mihemko kuliko akili.

View attachment 1757143
kwanza kabisa, msikitini pale lilijengwa hekalu la kiyahudi na Mfalme Suleiman mtoto wa Daudi. Daudi alimwomba Mungu amjengee hekalu Mungu akasema hapana, wewe mikono yako ina damu sana hautajenga, ila mwanao ndio anijengee, hivyo Suleiman alilijenga lile hekalu.

likaja kuvunjwa na Nebukadneza wa Baabeli/babylon, mnakumbuka hapa ndipo alipowachukua hata maketa wengi kweli wa kiyahudi kama kina Jeremia, shedrack meshack na abdnego. hadi leo hii kizazi kile cha mateka bado kipo Iran kama wayahudi 8,000 na iraq walikuwepo malaki na malaki wakafurushwa wote wamehamia Israel. sina uhakika ila hapo katikati liliwahi kuvunjwa ila likajengwa tena na Herode mfalme wa wayahudi aliyekuwepo mzima hadi kipindi cha Yesu. Herode, yule yule aliyetafuta kumuua Yesu alipozaliwa.

Hili ndio likajengwa kwa muda wa miaka 40. Na lilijengwa palepale ambapo warumi walivunja hekalu la Suleiman. hili ndio lilelile Hekalu Yesu alikuwa anaenda kusali, na ndio lile aliwatania wanafunzi wa mafumbo kwamba wangelivunja na yeye angelijenga kwa siku tatu wakashangaa wazee wetu walilijenga miaka 40 wewe ujenge siku 3? kumbe alitumia mfano wa hekalu wanaloliona akilenga hekalu ambalo ni mwili wake angekufa na kufufuka siku ya tatu.

baada ya Hekalu lililojengwa na Mfalme Herode ambaye alikuwa mfamle wa wayahudi, lilikuja kuvunjwa tena na Warumi, kama unakumbuka kuna siku Yesu aliulilia Yerusalem akasema hakuan jiwe litasalia manake hekalu litavunjwavunjwa tena. Nani alikuja kulivunja? Warumi miaka 70 baada ya Yesu kufariki na kufufuka. kumbuka kipindi hiki chote uislam ulikuwa haujazaliwa, hata mood alikuwa hata hategemewi kama angezaliwa.

baadaye, mood alizaliwa, kwanza wakristo walienda pale wakatawala, mood alipoanzisha hii imani yake ya ajabuajabu akavamia Jerusalem wakati wa vita za crusades, ndio ulikuja kujengwa ule msikiti palepale kwenye hekalu la wayahudi. just imagine. hivyo waislam leo wanasema pale ni mahali pao patakatifu wajue palianza kuabudiwa na wayahudi wakati hata imani yao haijazaliwa. baadaye tena, waislam walikuja kufurushwa, then baadaye hapa juzi walirudi tena kwa ottoman empire ndo imekuwa maintained hadi leo wanaamini pale ni pa kwao, ila ni pa wayahudi, wao ni wakuja tu na walipapata kwa mkono wa damu.
 
unasema sababu za kijinga alafu huna hoja hata moja ya kutetea. hayo yote nilio andika yana ushahidi na yapo kwenye kitabu chenu.
Ni vema kama utanipinga basi na utoe andiko lakini unacho kazani ni kusema hoja za kijinga. haya hoja zenye ukweli ni zipi.
bisha na hoja. kama huna hoja tulia
wajinga ndio hutamani kumsilimisha Yesu, ionekane Yesu alikuwa muislam. ajabu yake, Yesu alipaa mbinguni 500 kabla uislam haujazaliwa. mtu mwenye elimu duni anakuja leo anasema Yesu alikuwa muislam, muislam gani wakati baada ya kupaa imepita hadi miaka 500 mtume azaliwe ndio uislam uanzishwe? kabla ya hapo waarabu walikuwa waabudu miungu mingine na 500 years later mood alipozaliwa ndio akachukua talmud/torati na agano jipya, akacopy na kupaste baadhi ya nyaraka na zingine akatunga kichwani akawa ametengeneza kitabu chake na yeye. kwa wasiojua, hata petro alizaliwa na kuishi miaka mingi akafa ikapita miaka mingi ndipo mood akazaliwa, na mitume wengine wote, yaani mood amezaliwa huu ukristo ameukuta na akaanz akupambana nao na amepambana nao kwelikweli.
 
wajinga ndio hutamani kumsilimisha Yesu, ionekane Yesu alikuwa muislam. ajabu yake, Yesu alipaa mbinguni 500 kabla uislam haujazaliwa. mtu mwenye elimu duni anakuja leo anasema Yesu alikuwa muislam, muislam gani wakati baada ya kupaa imepita hadi miaka 500 mtume azaliwe ndio uislam uanzishwe? kabla ya hapo waarabu walikuwa waabudu miungu mingine na 500 years later mood alipozaliwa ndio akachukua talmud/torati na agano jipya, akacopy na kupaste baadhi ya nyaraka na zingine akatunga kichwani akawa ametengeneza kitabu chake na yeye. kwa wasiojua, hata petro alizaliwa na kuishi miaka mingi akafa ikapita miaka mingi ndipo mood akazaliwa, na mitume wengine wote, yaani mood amezaliwa huu ukristo ameukuta na akaanz akupambana nao na amepambana nao kwelikweli.
Dah maskini umeongea maneno mengi yasiyo na ushahidi sasa nitakuwa nawajibu kwa kupiga maswali.

Aliye kudanganya uislam umeletwa na Mohammad SAW nani? Unajua maana ya neno uislam?

Kuhusu kabla ya kuzaliwa mtume Mohammad SAW waarabu walikuwa wana abudu miungu au masanamu hujakosea. Kwani nani amekuambia uislam ni dini ya waarabu? Kwani hujui asilimia kubwa ya waislam sio waarabu?

Niki kwambia ulete ushahidi unaosema kuwa Mtume wetu Mohammad SAW alicopy na kupaste na kutunga kichwani na kuanzia kitabu chake utaleta????

Huyo Petro alikuwa anaitwa Petro nani? Je baba yake na mama yake walikuwa wakiitwa nani?
Walikuwepo wakati Yesu anahubiri ?

Kuhusu ukristo na Mtume Mohammad SAW umeanza Ukristo lakini kuhusu uislam na ukristo umeanza uislam.

Huu ukristo umeanzishwa na Roman empire.
 
Back
Top Bottom