Wajua msikiti wa Al aqsa Jerusalem ulijengwa likiwa ni kanisa la Byzantine (Byzantine church)?

Wajua msikiti wa Al aqsa Jerusalem ulijengwa likiwa ni kanisa la Byzantine (Byzantine church)?

YAMEKUWEPO madai kwamba Uislam ulianza tangu kuumbwa kwa dunia. Na wapo watu wanaotuaminisha hayo. Ukweli ni kwamba Uislam ulianzishwa na Nabii Muhammad mwaka 622 BK huko Arabia. Kabla yake, dini zilizokuwepo zilikuwa ni Uyuda ambayo ni dini rasmi ya Wayahudi (Judaism) na Ukristo ambayo ni dini ya mataifa wasio Wayahudi
Hayo ni madai yako ww na makafiri wenzako.
Jordan maeneo kama Petra,Israel maeneo ya occupied west bank kuna mabaki ya msikiti yaligundulika na kupimwa na kusemekana yalikuwepo toka 500AD kabla kuzaliwa kwa Muhammad.
Ila ww nguruwe pori mmoja unataka utuaninishe tofauti.
Makkah kuna unyayo wa Ibrahim ulokauwepo miaka zaidi ya 300 kabla ya Muhammad kuzaliwa.
TEMBEENI MUJIFUNZE HUSUSAN PETRA NA SUUDIA MTAUJUA UKWELI
 
Kama lilikuwa kanisa then ukawa msikiti ni habari njema hio [emoji4]
Kweli kabisa ni habari njema. Kwa sababu lazima Wayahudi wauvunje huo msikiti ili wajenge hekalu lao ili lile neno litimie. Usinhekuwepo huo msikiti basi unabii wa mitume wa Kiyahudi ungekuwa wa uongo. Lazima msikiti uvunjwe lijengwe hekalu.

 
Huo msikiti al aqsa/ golden dom wayahudi washasema wanataka hekalu leo na wapo tayari kuchukua. Sasa ni siku na muda tu kitanuka
 
Hayo ni madai yako ww na makafiri wenzako.
Jordan maeneo kama Petra,Israel maeneo ya occupied west bank kuna mabaki ya msikiti yaligundulika na kupimwa na kusemekana yalikuwepo toka 500AD kabla kuzaliwa kwa Muhammad.
Ila ww nguruwe pori mmoja unataka utuaninishe tofauti.
Makkah kuna unyayo wa Ibrahim ulokauwepo miaka zaidi ya 300 kabla ya Muhammad kuzaliwa.
TEMBEENI MUJIFUNZE HUSUSAN PETRA NA SUUDIA MTAUJUA UKWELI
sikutaka kukoment huu Uzi ila Kwa comment Yako imedhihilisha wewe ni kilaza mmoja usiejua chochote kuhusu historia ya Dini hizi za Abrahamic Yaani unataka kutuaminisha hapa et misikiti ilikuwepo kabla ya Muhammad Abdulla wa Mecca?
Hebu Acha kudanganya watu wazima Humu aiseee huko Petra Jordan unakodai Kuna mabaki ya misikiti ni ulongo mkuu Lete source ya habari Yako!
 
Wewe na hao waisilamu wako (kama wapo) wote mmejichanganya.

Masjid al aqsa ni eneo kama unavyo sema kinondoni,

Waisilamu hawa swali kwenye Dome of the rock, wanaswali kwengine, na dome of the rock imejengwa mtume Ameshafariki, na Hilo eneo lilikuwa takatifu toka kipindi cha mtume hivyo haimake sense kwa jengo jipya kuwa ni msikiti wa al aqsa hali ya kuwa mitume wa zamani wametumia.

Ushahidi nakupa hii picha
thumbs_b_c_318ed6db8923ceb5f0c9c14304cb624e.jpg


Hao ni waisilamu wanaswali AL Aqsa wameipa mgongo dome of the rock, kwa mbali unaona dome of the rock. Hivyo dome of the rock sio masjid al aqsa kama mnavyotaka kupiga watu kamba.

Conclusion, masjid al aqsa ni eneo si jengo, waisilamu wa naenda hapo na ku swali chini kwenye michanga, Dome of the rock ni Jengo.
Hapa ndipo Waislamu wanaponiacha hoi!
 
sikutaka kukoment huu Uzi ila Kwa comment Yako imedhihilisha wewe ni kilaza mmoja usiejua chochote kuhusu historia ya Dini hizi za Abrahamic Yaani unataka kutuaminisha hapa et misikiti ilikuwepo kabla ya Muhammad Abdulla wa Mecca?
Hebu Acha kudanganya watu wazima Humu aiseee huko Petra Jordan unakodai Kuna mabaki ya misikiti ni ulongo mkuu Lete source ya habari Yako!
Mbona unaropokwa sana?
Mie nilijua ukija utakua mjenga hoja kumbe mbwambwaji?
Kwanza umenisoma vizuri au umekurupuka!?
Unataka source?!
Mbona kuna mambo kibao yapo na source haipo?
Macca kuna unyayo wa nabii Ibrahim kwa walioenda hijjah na Umrah wameuona je hilo limeekwa mtandaoni?
MM NIMETEMBEA NAONGEA NACHOKIJUA.
UKITAKA KUUJUA UISLAM ULIPOTOKEA NENDA PETRA JORDAN NA MAKKAH,MADINAH TEMBEA SWAFAA NA MARWA UTAKUTA VIELELEZO VINGI SANA.
 
sikutaka kukoment huu Uzi ila Kwa comment Yako imedhihilisha wewe ni kilaza mmoja usiejua chochote kuhusu historia ya Dini hizi za Abrahamic Yaani unataka kutuaminisha hapa et misikiti ilikuwepo kabla ya Muhammad Abdulla wa Mecca?
Hebu Acha kudanganya watu wazima Humu aiseee huko Petra Jordan unakodai Kuna mabaki ya misikiti ni ulongo mkuu Lete source ya habari Yako!
We unasoma vitabu vilivyokua fabricated mwenzako NATEMBEA.
HATUWEZI KUFANANA.
 
Mbona unaropokwa sana?
Mie nilijua ukija utakua mjenga hoja kumbe mbwambwaji?
Kwanza umenisoma vizuri au umekurupuka!?
Unataka source?!
Mbona kuna mambo kibao yapo na source haipo?
Macca kuna unyayo wa nabii Ibrahim kwa walioenda hijjah na Umrah wameuona je hilo limeekwa mtandaoni?
MM NIMETEMBEA NAONGEA NACHOKIJUA.
UKITAKA KUUJUA UISLAM ULIPOTOKEA NENDA PETRA JORDAN NA MAKKAH,MADINAH TEMBEA SWAFAA NA MARWA UTAKUTA VIELELEZO VINGI SANA.
Nani hajatembea hata Ndugai alitembea ila alikuja kutwambia alimeona Yesu na mke wake Marry Magdalene huko Capernaum,
Unaweza ukawa umetembea na ukawa zuzu vile vile kama ilivyo kwako,wewe historia hujui umekaririshwa ujuha na Ujinga kuamini bila kureson mambo

Narudia Tena hapa kabla ya Muhammad Abdulla wa Mecca kuzaliwa kulikua hakuna Dini inaitwa uislamu Wala jengo linaloitwa msikiti na kama
Hio misikiti ilikuwepo basi Ilikua ni majengo ya kuabudia wapagan wa kiquresh,
Acha kupotosha hapa sisi sio watoto maana tunajua Muhammad kabla hajaanzisha Dini ya kiislamu alikua mpagan then akaenda Jerusalem kikazi na huko akawa anaabudu Dini ya uyahudi Kwa kusali jumamosi na kuitunza Sabato baade Ndio akapata maono pangon na kuja na Quran na kuanzisha Uislam
Hiyo Ndio historia iliyokaa Katika mpangilio wa kihistoria na ushahidi upo
Halafu unakuja kunyer kunyer hapa et misikiti ilikuwepo miaka 500 nyuma kabla ya Muhammad acha porojo bwana mkubwa
Eboooo!
 
We unasoma vitabu vilivyokua fabricated mwenzako NATEMBEA.
HATUWEZI KUFANANA.
Wewe umetembea tu huko Mimi nimekimbia kabisa na huwezi nifananisha Mimi na wewe ni watu wawili tofauti kabisa,
Mmoja ana akili za kukariri mwingine ana akili za kutafuta maarifa!
 
Hayo ni madai yako ww na makafiri wenzako.
Jordan maeneo kama Petra,Israel maeneo ya occupied west bank kuna mabaki ya msikiti yaligundulika na kupimwa na kusemekana yalikuwepo toka 500AD kabla kuzaliwa kwa Muhammad.
Ila ww nguruwe pori mmoja unataka utuaninishe tofauti.
Makkah kuna unyayo wa Ibrahim ulokauwepo miaka zaidi ya 300 kabla ya Muhammad kuzaliwa.
TEMBEENI MUJIFUNZE HUSUSAN PETRA NA SUUDIA MTAUJUA UKWELI
kuna uthibitisho gani huo unyayo ni wa ibrahimu au ngwanamalundi? upi uthibitisho kuwa huo unyayo ni wa ibrahimu? msidanganye watu kisa mmedanganywa

kabla ya mudy hakukuwahi kuwepo dini ya uislamu wa msikiti ....duniani kote hata saudia hakuna hata kijitabu cha historia kinachoonesha dalili paliwahi kuwepo uislamu au msikiti au mabaki kabla ya muhammad,
 
Nani hajatembea hata Ndugai alitembea ila alikuja kutwambia alimeona Yesu na mke wake Marry Magdalene huko Capernaum,
Unaweza ukawa umetembea na ukawa zuzu vile vile kama ilivyo kwako,wewe historia hujui umekaririshwa ujuha na Ujinga kuamini bila kureson mambo

Narudia Tena hapa kabla ya Muhammad Abdulla wa Mecca kuzaliwa kulikua hakuna Dini inaitwa uislamu Wala jengo linaloitwa msikiti na kama
Hio misikiti ilikuwepo basi Ilikua ni majengo ya kuabudia wapagan wa kiquresh,
Acha kupotosha hapa sisi sio watoto maana tunajua Muhammad kabla hajaanzisha Dini ya kiislamu alikua mpagan then akaenda Jerusalem kikazi na huko akawa anaabudu Dini ya uyahudi Kwa kusali jumamosi na kuitunza Sabato baade Ndio akapata maono pangon na kuja na Quran na kuanzisha Uislam
Hiyo Ndio historia iliyokaa Katika mpangilio wa kihistoria na ushahidi upo
Halafu unakuja kunyer kunyer hapa et misikiti ilikuwepo miaka 500 nyuma kabla ya Muhammad acha porojo bwana mkubwa
Eboooo!
huyu anadhani wote ni wapuuzi eti unyayo wa ibrahimu....
 
huyu anadhani wote ni wapuuzi eti unyayo wa ibrahimu....
Hawa Ndio wale majuha waojazwa Ujinga na maostadh ubwabwa madrasa wasio na Elimu yoyote Wala kujua historical background,
Yaani huyo jamaa alivyo zuzu nadhani history alipata F na hajui kusoma Timeline chat inayoonesha vipindi na miaka ya kihistoria vipindi vya matukio mhimu ya mwanadamu!
 
Back
Top Bottom